Njia 5 za KuSAVE/AKIBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • njia mbalimbali ambazo unaweza ukafuata na ukasave hela nzuri ya kutimiza malengo yako

Комментарии • 63

  • @sharifaiddi5064
    @sharifaiddi5064 7 лет назад +5

    Nakupenda ndo kitu naweza kuambia kwa hii video nimekuwa nakufuatilia katika mapishi sikuwahi jua kama una video za hivi Mungu akubariki

  • @remigiusdeogratius8294
    @remigiusdeogratius8294 7 лет назад +7

    Saving is all about Discpline towards your goals

  • @eliudimwigi8368
    @eliudimwigi8368 6 лет назад +2

    Ahsante sana Dada kwa mafundisho haya mazuri

  • @benmunisi3469
    @benmunisi3469 6 лет назад +2

    nakufatilia sana dada yang big up kwa hichi unachotupa

  • @danielulomi8994
    @danielulomi8994 6 лет назад +2

    sikupingi dada asante kwa somo zuri

  • @kanasiamtui9816
    @kanasiamtui9816 6 лет назад +3

    Mungu akubariki

  • @mezani782
    @mezani782 6 лет назад +1

    Video nzuri...points zinaeleweka kabisa...

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 7 лет назад +10

    Hii video imenisaidia sana nilikuwa nafulia Lakini sasa hivi nina uhuru wa kifedha nashukuru.

  • @annabenpol3866
    @annabenpol3866 4 года назад

    Nimeipenda hii...

  • @empoweredentrepreneurworld7446
    @empoweredentrepreneurworld7446 7 лет назад +2

    Good Good Godbless you

  • @braineltzmusicbraineltzmus6764
    @braineltzmusicbraineltzmus6764 7 лет назад +1

    respect sister Niko pamoja na wewe by brainel Tz official music

  • @lichadavid7677
    @lichadavid7677 8 лет назад +4

    mungu abariki kazi ya mikono yako

  • @tricycharly
    @tricycharly 6 лет назад +2

    Nimejifunza kitu. Asante mpz

  • @CHIEFBARUTV-e5e
    @CHIEFBARUTV-e5e 7 лет назад +3

    vizuri sana

  • @samsan95tvlaizer59
    @samsan95tvlaizer59 7 лет назад +4

    good job my ccter nakupendaga bure

  • @pudensianalinwatu5320
    @pudensianalinwatu5320 5 лет назад +1

    Naelewa kama nmemaliza shule jana ubarikiwe dada yangu

  • @masomoyakarne5122
    @masomoyakarne5122 7 лет назад +2

    Umenisaidia madam!

  • @happyedson1406
    @happyedson1406 6 лет назад

    Barikiwa mom

  • @erickmsallenge3724
    @erickmsallenge3724 7 лет назад +1

    Asante,somo zuri

  • @mwandoimma123
    @mwandoimma123 6 лет назад +2

    Nc one

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 7 лет назад +1

    Ongera Dadangu nimependa elimu yako keep doing it

  • @raysalsalym6179
    @raysalsalym6179 7 лет назад +2

    ubarkiwe. mungu akupe umri. nme gain hpo

  • @sundaymariba360
    @sundaymariba360 6 лет назад +4

    Asante mamaa

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016
    @mamapekupekupilipilimuwash9016 7 лет назад +3

    ww mdio mwanamke bora

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 2 года назад

    Safi

  • @mammiejeyb6771
    @mammiejeyb6771 8 лет назад +3

    ok.my dear nipo job.Kenya.napokea 24000.but nauliza.katika uwo mshahara nitumie ngapi nisave ngapi

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  8 лет назад +1

      Kwa mwezi ni vizuri kuanza kusave 10% ya mshahara wako, kwahiyo kama unapokea 24,000 basi save 2400. Matumizi ya lazima itakuwa 50% ambayo itakuwa 12,000. Matumizi ya ziada 30% ambayo itakuwa 7200.
      KWA MAELEZO ZAIDI JINSI YA KUANDAA BAJETI check hii video yangu
      ruclips.net/video/HoGwBDthzsY/видео.html

  • @shedsmicharazo7308
    @shedsmicharazo7308 6 лет назад

    Naomba NAMBA zako mwaya

  • @shabanchuma7832
    @shabanchuma7832 7 лет назад

    Mchanganuo nimeupenda

  • @joyceabdallah465
    @joyceabdallah465 8 лет назад +6

    We ni noumaaa😂😂😂

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 6 лет назад

    Safisana

  • @marizianasumba7110
    @marizianasumba7110 7 лет назад +1

    Asante sana dada

  • @rahmasellemani4563
    @rahmasellemani4563 7 лет назад +2

    mashaallah

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 7 лет назад +1

    SAFI SANA NIME KUELEWA SANA.

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 7 лет назад +2

    je ukiwa na madeni unaweza kusave kweli

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  7 лет назад

      Swali nzuri, Kama una deni basi panga utaratibu wa kulipa hilo deni kwa muda maalum wakati pia unasave kidogo. Kwani tharura hazikwepeki na ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na akiba.

  • @mussasuleiman.2198
    @mussasuleiman.2198 7 лет назад

    Asant dd

  • @davidphares5316
    @davidphares5316 7 лет назад +4

    mi namajukum home family yote inaniangalia mm mshahara wangu kwa mwezi laki 3 na nipo oman nifanyeje ili nipate kumalizia nyumba yangu hatua niliyofikia nipo kwenye kench lakini hizo kench hata kununua bado cjui napunguza vipi hiyo bajet

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  7 лет назад

      Jitahidi kupitia Matumizi yako na kuacha Matumizi yasio ya lazima. Angalia ni mambo gani ambao ni muhimu na yenye thamani kwenye maisha yako na familia yako. Mambo yasio yalizima acha ili uweze kusave. Kama umeshajibana vyakutosha basi tafuta kipato cha ziada au endelea na ujenzi taratibu kadiri ya uwezo wako.

    • @renaldakamugishazeramulake940
      @renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад

      David Phares weeeee laki 3! Huo mshahara laki 3 ulishazuiliwa na ubarozi. KM unakuja kwa mara ya kwanza OMAN mshahara ni laki 450, yaani unatakiwa upewe rial 80 ZIDISHA mara 5500 unapata Tsh .Km laki 470. Unaporudi mara ya pili km ni tajiri huyo huyo anatakiwa akupe riali 100. WAOMBE kwa upole waeleze una wazazi na watoto wote wanakutegemea ukiona hawataki waambie Mimi kazi basi narudi nyumbani walahi utaongezwa japo km alikuwa anakupa 60, atakuwa 75 au 70. Mimi niko Oman pia napata rial 150, tena kwa kazi za ndani ila Jumba ni kubwa sana. Wetu wangu ni 4, ijumaa ndio wanakuja watoto wake 5.

    • @gloriachristianshirima5001
      @gloriachristianshirima5001 6 лет назад +1

      Huko oman unafanya nn usirud kama unapokea laki 3'bora urudi

    • @fofomohammed6253
      @fofomohammed6253 6 лет назад

      David Phares Mimi pia tupo sawa kwenye majukumu

    • @rahimaaaaa8699
      @rahimaaaaa8699 6 лет назад

      MmmmTz hakuna kazi za mshahara laki 3? Mbona unatuma aibu ndg yangu.

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 2 года назад

    namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee

  • @RED-kr5vc
    @RED-kr5vc 6 лет назад

    viti vinacheza au vinaitikia? sijaelewa

  • @shabanmahamud9215
    @shabanmahamud9215 7 лет назад

    nice

  • @victormkello9575
    @victormkello9575 7 лет назад +1

    bless

  • @josephatjohn2125
    @josephatjohn2125 7 лет назад

    samahani kuuliza sasa kama utakuwa unaweka akiba kwanza alafu siku ikitokea tatizo kubwa si itakulazimu kutumia kiasi chote na akiba yako itakuwa imekwisha?

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  7 лет назад

      +Josephat John huo ndio umuhimu wa kuweka Akiba, tatizo likitokea hauadhiriki kwani umeshajipanga kukabiliana na hilo tatizo. Alafu unaanza kusave tena kwa matatizo ya mbeleni.

    • @hamisa3447
      @hamisa3447 6 лет назад

      ndugu jitahidi uku unaweka akiba uku unafanya kitu maana ata mie nilikuwa naweka ila likaja tatizo yote ikaishaa yaan nusu weka nusu tumia

  • @faridahussein350
    @faridahussein350 6 лет назад

    Je unawezaje kulipa madeni na wakati huohuo ukaweka akiba, na bado familia inakutegema wewe?

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  6 лет назад

      Hapo ndio unatakiwa kuangalia jambo ngani ni muhimu Kwanza, kwa mfano wako unaweza kusaidia familia Kwanza kadri ya uwezo wako, Kisha panga utaratibu wa kulipa madeni, halafu weka akiba.

  • @aikasolomon7781
    @aikasolomon7781 7 лет назад +1

    thank u

  • @sylvanussebastian6209
    @sylvanussebastian6209 7 лет назад +1

    Ccta hiyo njia ya tano inanihusu na ya pili

    • @misckkoba7224
      @misckkoba7224 7 лет назад

      Sylvanus Sebastian bigup sis asante kwa elimu bora

  • @jastinnyatano4049
    @jastinnyatano4049 7 лет назад

    Sijapoteza muda kukusikiliza

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 2 года назад

    namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee