Kwa mwezi ni vizuri kuanza kusave 10% ya mshahara wako, kwahiyo kama unapokea 24,000 basi save 2400. Matumizi ya lazima itakuwa 50% ambayo itakuwa 12,000. Matumizi ya ziada 30% ambayo itakuwa 7200. KWA MAELEZO ZAIDI JINSI YA KUANDAA BAJETI check hii video yangu ruclips.net/video/HoGwBDthzsY/видео.html
Swali nzuri, Kama una deni basi panga utaratibu wa kulipa hilo deni kwa muda maalum wakati pia unasave kidogo. Kwani tharura hazikwepeki na ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na akiba.
mi namajukum home family yote inaniangalia mm mshahara wangu kwa mwezi laki 3 na nipo oman nifanyeje ili nipate kumalizia nyumba yangu hatua niliyofikia nipo kwenye kench lakini hizo kench hata kununua bado cjui napunguza vipi hiyo bajet
Jitahidi kupitia Matumizi yako na kuacha Matumizi yasio ya lazima. Angalia ni mambo gani ambao ni muhimu na yenye thamani kwenye maisha yako na familia yako. Mambo yasio yalizima acha ili uweze kusave. Kama umeshajibana vyakutosha basi tafuta kipato cha ziada au endelea na ujenzi taratibu kadiri ya uwezo wako.
David Phares weeeee laki 3! Huo mshahara laki 3 ulishazuiliwa na ubarozi. KM unakuja kwa mara ya kwanza OMAN mshahara ni laki 450, yaani unatakiwa upewe rial 80 ZIDISHA mara 5500 unapata Tsh .Km laki 470. Unaporudi mara ya pili km ni tajiri huyo huyo anatakiwa akupe riali 100. WAOMBE kwa upole waeleze una wazazi na watoto wote wanakutegemea ukiona hawataki waambie Mimi kazi basi narudi nyumbani walahi utaongezwa japo km alikuwa anakupa 60, atakuwa 75 au 70. Mimi niko Oman pia napata rial 150, tena kwa kazi za ndani ila Jumba ni kubwa sana. Wetu wangu ni 4, ijumaa ndio wanakuja watoto wake 5.
samahani kuuliza sasa kama utakuwa unaweka akiba kwanza alafu siku ikitokea tatizo kubwa si itakulazimu kutumia kiasi chote na akiba yako itakuwa imekwisha?
+Josephat John huo ndio umuhimu wa kuweka Akiba, tatizo likitokea hauadhiriki kwani umeshajipanga kukabiliana na hilo tatizo. Alafu unaanza kusave tena kwa matatizo ya mbeleni.
Hapo ndio unatakiwa kuangalia jambo ngani ni muhimu Kwanza, kwa mfano wako unaweza kusaidia familia Kwanza kadri ya uwezo wako, Kisha panga utaratibu wa kulipa madeni, halafu weka akiba.
Nakupenda ndo kitu naweza kuambia kwa hii video nimekuwa nakufuatilia katika mapishi sikuwahi jua kama una video za hivi Mungu akubariki
Saving is all about Discpline towards your goals
Ahsante sana Dada kwa mafundisho haya mazuri
nakufatilia sana dada yang big up kwa hichi unachotupa
sikupingi dada asante kwa somo zuri
Mungu akubariki
Video nzuri...points zinaeleweka kabisa...
Hii video imenisaidia sana nilikuwa nafulia Lakini sasa hivi nina uhuru wa kifedha nashukuru.
Nimeipenda hii...
Good Good Godbless you
respect sister Niko pamoja na wewe by brainel Tz official music
mungu abariki kazi ya mikono yako
Nimejifunza kitu. Asante mpz
vizuri sana
good job my ccter nakupendaga bure
Naelewa kama nmemaliza shule jana ubarikiwe dada yangu
Safii
Umenisaidia madam!
Barikiwa mom
Asante,somo zuri
Nc one
Ongera Dadangu nimependa elimu yako keep doing it
checkhizipia
ubarkiwe. mungu akupe umri. nme gain hpo
Raysal Salym
Asante mamaa
ww mdio mwanamke bora
Safi
ok.my dear nipo job.Kenya.napokea 24000.but nauliza.katika uwo mshahara nitumie ngapi nisave ngapi
Kwa mwezi ni vizuri kuanza kusave 10% ya mshahara wako, kwahiyo kama unapokea 24,000 basi save 2400. Matumizi ya lazima itakuwa 50% ambayo itakuwa 12,000. Matumizi ya ziada 30% ambayo itakuwa 7200.
KWA MAELEZO ZAIDI JINSI YA KUANDAA BAJETI check hii video yangu
ruclips.net/video/HoGwBDthzsY/видео.html
Naomba NAMBA zako mwaya
Mchanganuo nimeupenda
We ni noumaaa😂😂😂
Safisana
Asante sana dada
mashaallah
SAFI SANA NIME KUELEWA SANA.
je ukiwa na madeni unaweza kusave kweli
Swali nzuri, Kama una deni basi panga utaratibu wa kulipa hilo deni kwa muda maalum wakati pia unasave kidogo. Kwani tharura hazikwepeki na ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na akiba.
Asant dd
mi namajukum home family yote inaniangalia mm mshahara wangu kwa mwezi laki 3 na nipo oman nifanyeje ili nipate kumalizia nyumba yangu hatua niliyofikia nipo kwenye kench lakini hizo kench hata kununua bado cjui napunguza vipi hiyo bajet
Jitahidi kupitia Matumizi yako na kuacha Matumizi yasio ya lazima. Angalia ni mambo gani ambao ni muhimu na yenye thamani kwenye maisha yako na familia yako. Mambo yasio yalizima acha ili uweze kusave. Kama umeshajibana vyakutosha basi tafuta kipato cha ziada au endelea na ujenzi taratibu kadiri ya uwezo wako.
David Phares weeeee laki 3! Huo mshahara laki 3 ulishazuiliwa na ubarozi. KM unakuja kwa mara ya kwanza OMAN mshahara ni laki 450, yaani unatakiwa upewe rial 80 ZIDISHA mara 5500 unapata Tsh .Km laki 470. Unaporudi mara ya pili km ni tajiri huyo huyo anatakiwa akupe riali 100. WAOMBE kwa upole waeleze una wazazi na watoto wote wanakutegemea ukiona hawataki waambie Mimi kazi basi narudi nyumbani walahi utaongezwa japo km alikuwa anakupa 60, atakuwa 75 au 70. Mimi niko Oman pia napata rial 150, tena kwa kazi za ndani ila Jumba ni kubwa sana. Wetu wangu ni 4, ijumaa ndio wanakuja watoto wake 5.
Huko oman unafanya nn usirud kama unapokea laki 3'bora urudi
David Phares Mimi pia tupo sawa kwenye majukumu
MmmmTz hakuna kazi za mshahara laki 3? Mbona unatuma aibu ndg yangu.
namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee
viti vinacheza au vinaitikia? sijaelewa
nice
bless
samahani kuuliza sasa kama utakuwa unaweka akiba kwanza alafu siku ikitokea tatizo kubwa si itakulazimu kutumia kiasi chote na akiba yako itakuwa imekwisha?
+Josephat John huo ndio umuhimu wa kuweka Akiba, tatizo likitokea hauadhiriki kwani umeshajipanga kukabiliana na hilo tatizo. Alafu unaanza kusave tena kwa matatizo ya mbeleni.
ndugu jitahidi uku unaweka akiba uku unafanya kitu maana ata mie nilikuwa naweka ila likaja tatizo yote ikaishaa yaan nusu weka nusu tumia
Je unawezaje kulipa madeni na wakati huohuo ukaweka akiba, na bado familia inakutegema wewe?
Hapo ndio unatakiwa kuangalia jambo ngani ni muhimu Kwanza, kwa mfano wako unaweza kusaidia familia Kwanza kadri ya uwezo wako, Kisha panga utaratibu wa kulipa madeni, halafu weka akiba.
thank u
Ccta hiyo njia ya tano inanihusu na ya pili
Sylvanus Sebastian bigup sis asante kwa elimu bora
Sijapoteza muda kukusikiliza
+Jastin Nyatano Nafurahi kusikia hivyo 😊
namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee