Twayib sheik.. Allah Aliniokoa mtihani huo ulinipata, nikiwa kazini nafsi haitaki naomba ruhusu natoka, ikafika mpaka nilikuwa sifiki kazini naenda kukaa seemu tu au narudi nyumbani kulala chaajabu nikiwa nyumbani nahisi vizuri nikiweka nia ya kwenda kazini balaa... Nilifanyiwa tiba ya ruqya. Alhamdulillah...... Wanga wabaya.. Humu kazini watu wanarogana.. Wivu na chuki.. Ukionekana wachapa kazi vizuri basi. Watu hawapendi.
Thank you for this teaching, Sheikh Salum na Sheikh Watamamun nilitembea juzi Mombasa, Ukunda niliomba kila Usubuhi Bahari la Indian Ocean asubuhi mapema, Wanga na Wachawi wenye Uzda na Hasidi Maulana awahukumu Kwa kuwachoma Kwa Jina Lake Yesu Kristo,Amen. asante kutuelimisha God bless you, niombee nisafiri Qatar kazi ya hoteli, naipenda Sana kutizama Zanibar TV
MASHA ALLAH , list ya VIPINDI nnavyovipenda ZINJIBAR TV AL HAMDULLILLAH 1) TWIBUL QULUB 2) ZUNGUMZA NA AL HABIB SHEIKH MARDHIYYA 3) VIPINDI VYA AL HABIB SHEIKH SUL TAN AL MENDHIR 4)AL HABIB SHEIKH SHARIFU YUSSUF 5) VIPINDI VYA AL HABIB SHEIKH KARAMA 6) VIPINDI VYA SIKU MOJA MOJA VYA AL HABIB ABDUL RAHMAN (Sheikh TUNAOMBA nawe ufanye VIPINDI vya mfululizo maana kuna vitu MASHA ALLAH tunaviona kwako na TUNAVIHITAJI INSHA ALLAH" YA ALLAH WAPE AFYA NA KILA LA KHEIR INSHA ALLAH MASHEIKH WETU AMIN 🤲🏽😍 AL HAMDULLILLAH.
A.Alykum mi mume wangu mambo yke ameharibika ghafla sasa miaka mitatu Hana kazi ya kueleweka akipata safari ikiwa karibu kusimama mara yavunjika naomba unisaidie amerogwa ama ni mitihani yke Allah
Mm nimewangundua kwa njia ya hizo ndoto asubuhu nikawa nawahadithia hao ninao waona maana niko kwenye kaz oman niko nyumba moja nao saiv ndo wananikomesha ,nikiamka nimechanjwa,ucku kuna vitu vinaniingia kwenye miguu vinatembea mpk milin mpk kwenye utosi,nahasira mara kwa mara zisizokuwa na msingi ,kichukiwa nachukiwa mm mpk nashangaa imekuwaje,mwanzo haikuwa ivi nilikiwa napendwa sana na familia hii
😳😳🤔 Mie siipendi sana dini ya kiislam ila nawapata wanaume hao hao ndio wanataka kunioa so kubadili dini kisa mwanaume hiii si ni ujinga 🤦♀️ Eeeh Mungu saidia Mie Mja wako yarrab 🙏🤲
ASSALAAMU ALEYKUM MY BROTHER SHEIKH SALUM MARDHIYA HOW ARE U AND HOW IS UR FAMILY IN 🇿🇦 ZANZIBAR UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 WS. U FORGOT ME I DIDN'T FORGOT U WHAT'S HAPPEN ABOUT MY KAZI U TELL ME U WILL DO IT NO ANY ANSWER NO CALL IT CAN U EXPLAIN ME WHAT'S HAPPEN UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 WS 😢😢😢😢😢😢
Assalam alaku. Mimi kunasiku nilikuwa nimelala kabla ya kupata usingizi nikaona vinga viwili vinawaka moto nahuku nahuku vinapishana chanyuma na chambele kubaki nyuma na baada ya hapo nikawa siwezi kunyanyuka na niliponyanyuka kichwa kama vile sichangu .je hiipia nimerogwa?
@@lilianrichard9065Kuna tunda zinaitwa kunazi sijui upo wapo lkn ukienda Unguja ni maarufu sana hzo tunda. Ssa majani yake ndio yanaitwa majani ya mkunazi. Tunda ndogo za round mfano wa cherry km upo nje.
Twayib sheik.. Allah Aliniokoa mtihani huo ulinipata, nikiwa kazini nafsi haitaki naomba ruhusu natoka, ikafika mpaka nilikuwa sifiki kazini naenda kukaa seemu tu au narudi nyumbani kulala chaajabu nikiwa nyumbani nahisi vizuri nikiweka nia ya kwenda kazini balaa... Nilifanyiwa tiba ya ruqya. Alhamdulillah...... Wanga wabaya.. Humu kazini watu wanarogana.. Wivu na chuki.. Ukionekana wachapa kazi vizuri basi. Watu hawapendi.
Nitampaje na mm na shda naye pls nisaidie hapokei sm
REHMA na Amani za MWENYEZI MUNGU zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu ALLEYHI Wasallam AHLI ZAKE na MASWAHABA ZAKE wote
Allah akulipe kheri fi dunia wali akhera Shekhe wetu 🙏
Great work my brother in Islam and i love you for the sake of Allah both of you all .nimeweza kupata elimu sana kwa hii program.
Shukraan na SIFA zote ZIMUENDEE MUUMBA MBINGU,ARDHI na VOTE VILIVOMO ndani yake ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA
Mashaallah tabarakallah sheikh wetu Allah akulipe kheri fidunia wal-akhera nawapenda sana kwa ajili ya Allah shukran sana
Thank you for this teaching, Sheikh Salum na Sheikh Watamamun nilitembea juzi Mombasa, Ukunda niliomba kila Usubuhi Bahari la Indian Ocean asubuhi mapema, Wanga na Wachawi wenye Uzda na Hasidi Maulana awahukumu Kwa kuwachoma Kwa Jina Lake Yesu Kristo,Amen. asante kutuelimisha God bless you, niombee nisafiri Qatar kazi ya hoteli, naipenda Sana kutizama Zanibar TV
Shukran sheikh Salim Allah akuzidishie elmu tunaomba saa unatowa mihadhara wasitie music ilitupate kusikiya vizuri
Kila la kheri shekhe maneno yako ni kweli ❤❤
Namuomba ALLAH akupe Heri
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️
Shukrn Al hbb sheikh salum mardhiyya .........
Kwa elimu
0:18 mashaallha shehe wetu
MashaALLAH,shukrani sheikh
Nikweli kabisa shaikh
Masha Allah, njazakallahu kheyr
MASHA ALLAH , list ya VIPINDI nnavyovipenda ZINJIBAR TV AL HAMDULLILLAH 1) TWIBUL QULUB 2) ZUNGUMZA NA AL HABIB SHEIKH MARDHIYYA 3) VIPINDI VYA AL HABIB SHEIKH SUL TAN AL MENDHIR 4)AL HABIB SHEIKH SHARIFU YUSSUF 5) VIPINDI VYA AL HABIB SHEIKH KARAMA 6) VIPINDI VYA SIKU MOJA MOJA VYA AL HABIB ABDUL RAHMAN (Sheikh TUNAOMBA nawe ufanye VIPINDI vya mfululizo maana kuna vitu MASHA ALLAH tunaviona kwako na TUNAVIHITAJI INSHA ALLAH" YA ALLAH WAPE AFYA NA KILA LA KHEIR INSHA ALLAH MASHEIKH WETU AMIN 🤲🏽😍 AL HAMDULLILLAH.
Mashallah jazakallahu kheir mada ya leo ni nzuri sana 😍
Shukran Jazza ka Allah kher
MashaAllah shukran sana sheikh wetu
A.Alykum mi mume wangu mambo yke ameharibika ghafla sasa miaka mitatu Hana kazi ya kueleweka akipata safari ikiwa karibu kusimama mara yavunjika naomba unisaidie amerogwa ama ni mitihani yke Allah
Assalam alykom asanthe sana ndugiyangu allah akujaze inshallah mohammed kutoka mombasa
Jazzallahu ghaira
Mashaallah 🤲🤲
Asanti sheikh Mungu akuweke
Nahitaji usaodizi wko sheikh dharura sana
Bismillah
Waalaykum Salam warahmatuLLAH wabarakatuh mashaa Allah tabarakallah 🔥♥️ nawapenda sana kwa akili ya ALLAH ♥️ Allah awajaalie umri mrefu
Mashallah. Shukran
mashaAllah..Allah awahifadhi inshaAllah
Mashallah shukran sheikh
Ma shaa Allah Allah akuhifadhi Sheikh
Subhannallah Allah atuhifadhi
Kesho kwa aalllah watawazibiwa mungu atawalani wachawi
Masha Allah Sheikh fire 🔥 🔥 lecture, well explained and well detailed... BarakAllah is feek Sheikh, Watamamann, staffs & viewers
Assalam A, mungu akuweke umri mrefu akulinde na kila jambo
Mtihan
Mashallah tabaraka Allah
❤❤❤❤❤❤❤❤
Alllawhukbar subhanallllah
Subhannnallllah
💯💯💯👌
nakama hujui kusoma hizo dua nitafanya nini
nita kujui kama sijui kusoma hizo dui nitafanya nini
No za simu mnazopatikana
Karama yangu imevurugiwa urabuni Saudia ,sasa Utanisaidiaje Sheikh salim maridhia.
Maashallah Lakini itakuwa vizuri kuzima hiyo sauti ya nyuma
Nikweli kabisa shekhe
Assalam aleykum warah matuAllah wabaraqat kweli 👌 👌 👌 kabisa
Mm nimewangundua kwa njia ya hizo ndoto asubuhu nikawa nawahadithia hao ninao waona maana niko kwenye kaz oman niko nyumba moja nao saiv ndo wananikomesha ,nikiamka nimechanjwa,ucku kuna vitu vinaniingia kwenye miguu vinatembea mpk milin mpk kwenye utosi,nahasira mara kwa mara zisizokuwa na msingi ,kichukiwa nachukiwa mm mpk nashangaa imekuwaje,mwanzo haikuwa ivi nilikiwa napendwa sana na familia hii
😳😳🤔 Mie siipendi sana dini ya kiislam ila nawapata wanaume hao hao ndio wanataka kunioa so kubadili dini kisa mwanaume hiii si ni ujinga 🤦♀️ Eeeh Mungu saidia Mie Mja wako yarrab 🙏🤲
Km unaona ni ujinga ci utafute mume huko kw dini yako
Mpka hapo unaelekwa kuwa muislam usingemtaja ya rabbi
Hilo la mwanga kuja ndotoni ni kweli.
Kama roho ya shanngazi yangu mwanga aliyekubuhu kazi kuhalibu maisha ya watu
Huyo shangazi mtihani wa dunia
Sheikh naomb namba yako na adress yako
Tweebe
Subhanallah
Shehe mimindivyo nilivyo kabisa nitakupataji upate kunitibu
ASSALAAMU ALEYKUM MY BROTHER SHEIKH SALUM MARDHIYA HOW ARE U AND HOW IS UR FAMILY IN 🇿🇦 ZANZIBAR UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 WS. U FORGOT ME I DIDN'T FORGOT U WHAT'S HAPPEN ABOUT MY KAZI U TELL ME U WILL DO IT NO ANY ANSWER NO CALL IT CAN U EXPLAIN ME WHAT'S HAPPEN UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 WS 😢😢😢😢😢😢
Background nasheed bora mungeitoa au kupunguza.
Assalam alaku. Mimi kunasiku nilikuwa nimelala kabla ya kupata usingizi nikaona vinga viwili vinawaka moto nahuku nahuku vinapishana chanyuma na chambele kubaki nyuma na baada ya hapo nikawa siwezi kunyanyuka na niliponyanyuka kichwa kama vile sichangu .je hiipia nimerogwa?
Nahitaji kuonana na shekhe wapi naweza kumpata, kutoka mwera apa
Unajua wakati tunamsikiliza Salim inabidi huo muziki uzimwe inaleta distruction. Maoni tu natoa
Naomba namba yako shekhe yaani wachawi nishida sana kwetu handeni tanga wapo yaani asikuone unakauwezo kidogo umekwisha watiwa hata kichaa kabisa
Asalamau alaikum mm Nina matatizo
Kipindi kizuri ila soud tracks punguzeni zinakera ni ombi tu
Ubani dhakari ni upi
Ni Ubani mweupe
Majani ya mkunanz yakoje kiswail jaman kigum
@@lilianrichard9065Kuna tunda zinaitwa kunazi sijui upo wapo lkn ukienda Unguja ni maarufu sana hzo tunda. Ssa majani yake ndio yanaitwa majani ya mkunazi. Tunda ndogo za round mfano wa cherry km upo nje.
@@Fear_Allah394 nipo mwanza mpendwa
@@lilianrichard9065. Ukipata mda in shaa Allah nenda Znz ukiuliza utaoneshwa ipo tele. Na inaezekana hata baadhi ya mikoa/sehemu bara ipo.