HIZI NDIO TEZO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #ZinjibarTV# Sheikh Salum Mardhiya
Mashaallah ❤❤
Slm alykm . Naomba hii dua mtu anisndikie hapa ya Rizq. Shukran
Shukran sheikh Salim Allah swt akuzidishie elim
Mungu awalaani wachawi watutesa sana hatuna raha shukran shekhe kwa elimu yako
Mbona kijana watamaman hutaji kenya mombasa pia twafatiliya vipindi venues shukran sheikh mardhiya
""Subhanallah,Allah atustiri yarabbiy na hawa watu wabaya...Ewe mola wetu, wape ilmu zaidi mashekh wetu watusaidie na uwalinde kwa nguvu zako Allah.
Masha Allah sheikh, naomba hilo day ya mtume sws ya kufungua rizki shukran.
Asante Sana Sheikh Swaleh and Sheikh Salum maombo haya ya kwanza I met in gum za ni Yale ninayo tap it i fungi saba, kufutwa kazi Vila sababu, kutenganishwa kwa ndoa na kutozaa alafu aliyenisaidia anapigwa vita na binadamu wants hasidi wenye USDA na jicho liloharibika kama evil eye akitumia 7 planets, 7 seas au rivers (ziwa na bahari) kwa astrology nisaidie kuniombea Sheikh Salum nirudi kazi na ndoa yangu. Asante sana Mungu awabariki😇😇😇
Masha Allah sheikh wetu kipindi kizuri sana . Pole sana sheikh kazi mzito lkn ww endelea kututibu na ww malipo yako ni yy Allah ndie ayakayekukulipa na akulipe pepo ya juu janatul firdaus
Mashaallha, mashaallha this is really helpful my Allah help you guys people struggling in this world.
Asalam aleykum warahamatul lwahi wabarakatuh Ma'Shaa'Allah Jazakahlaulkhairàan sheikh... Mola awabariki wote crew nzima ya zinjibaritv na Mola awaangamize wote wachawi,na mashekhe feki wanaowaibia watu bahati zao na kuwazidishia uzito na maradhi zaidi katika miili Yao. IN'SHAA'ALLAH ALLAH AHUKUMU HAPA HAPA DUNIANI...AMEEN🙏🙏🙏
Shukrani.sana.shehe Allah akulipe inshalah
Sheikh Allah akulipe kheri kwa elimu unayotupa kwa kweli tunahangaika lkn tunashkuru kwa duwa zako
Salam alyikum subhana shekhe mungu awangamize wanga Hao unavo Sema ni swahihii
Wa alleykum salaam warahmatulah wabaraqatuu....
Amiin ya Rabbil Allamin....
Maasha Allah nyinyi ni kati ya masheikh wetu vipenzi @salummaridhia na Mwenyezi Mgu akupe nguvu na umri uweze kuwasaidia waja wake maanake ni mitihani mingi twapitia i wish ningekua karibu nihakikishe nimefika kituoni kwako...
Na @swalehwatamaman shukraan jazzakah Allahu kheir kwa kututupia kipindi hewani na ma crew wako wote
Asalam alaikum ustadh naomba namba nakuhitaji kitiba
Masha Allah Sheikh Salum, this topic was much needed in our community in large, honesty this lecture was eye opener for a lot people, May Allah grant our sheikh sakeena , peace & blessings in this DUNYA and hereafter Ameen yarab 🙏as well Watamaman, crews members, fans & viewers
Pm
Waleikussalam warahmatullah wabarakat, mansha Allah sheikh Allah akulipe kheir na afya njema, Allah atukinge na nitiani hiyo Allah awaumbuwe
Asalam aleykum masha allah nimeguswa n maneno y ustadhi mana mamangu anamatatizo yalio tajwa tumeangaika tumechoka
Mashallah sheikh Allah akuhifadhi
Mashaallah Allah akulinde na waovu
ManshaAllah Shekhe Allah akulipe kheri fidunia wali akhera. kwakazi nzito munayoyifanya wachawi Allah awalani.
i guess Im pretty randomly asking but does anyone know of a good website to stream newly released tv shows online ?
@Uriel Drake lately I have been using Flixzone. Just search on google for it =)
@Seth Archie definitely, been using flixzone for years myself =)
@Seth Archie thanks, I went there and it seems like a nice service :) I appreciate it!!
@Uriel Drake Happy to help =)
Allhamdullaah mungu akulinde na kheri zao na akuongoze akuepusbie nahasad na ushilikina
Mungu awalani kabisa hawa wachawi mm mtoto wangu amekata school hivi tu ss ni wa class eight nami miguu imeganda yafaa ganzi nipeni ujuzi jamani nipone na mwanangu 😢😢
shukran jazeela
MASHALLAH Sheikh Salim Allah akujaze kher zadunia nakesh akhera we lup u Wallah soomuch😙😍😗
Alaykum salaam warahmatulullah wabarakatuh Jazzakallahu khayra sheikhe salim Mardhiya Allaah akupe afya njema ili uzidi kupambana nao hao wachawi
Mungu akuepushe na mabaya
Allahumma Ammin Rabbi azitakabal dua zako👐👐👐
Jazzakallahu kheri sheikh
Sheikh Allah akuzidishie akupe umri na familiar yako walai SoMo lako limenifunza Mimi Sana Sana walai sheikh may Allah be with you always 🙏🙏🙏🌹🌹🌹💐💐💐
Sheikh una patakana wapi in Mombasa please.
Salaam sheikh
Masha allah tabarakallah shekhe sikuhizi ijumaa hakuna kipindi cha live?
Waalekum msalam warah matuAllah wabaraqat
Ma Sha Allah
Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh
Assalaimu warammatu mimi nmezaliwasawa nimefikiya kusoma mwaka 2006 mpakasasa
Salamalekum sheikh Salim mathiya,Hakika we miss you alot...
Asalaam aleykum maneno yote nikweli asante shekh shukraan
masha allha. nampenda. huyu. shekhe. uko. wapi. nitakuja.
Zanzibar karibu sana
Kwa iyo sisi tulip daresaalam huduma tunapataje?
Mashaallah
Aamiin yaarabb al aalamiin
Namuomba Allah amjaalie salama ntajipanga nmtafute insha'Allah
Pole sana sana
Huyu mwenyewe shaykh mwenyewe mushkilah , ushahidi wa hili ni pale alipo sema eti kuna makhuddaam wanao muonyesha ni makhudaam wapi hao kama si majini, halafu una singizia eti Allaah anamwenyesha
Hukulazimishwa kuamini ,kama humuamini ni Basi hakuna atakaekuja kukuforce , uko huru
Mashallah hesein umeongea kama watu mia. Ata mm nashuku huyu shekhe nimganga wamajini lakin ajifanya yeye niwalii wamungu alochaguliwa kuonyeshwa mambo
Wachawi washenzi sana wamenitaabisha sana mpaka sina raha ya dunia
Pole sana ndugu yangu wanakutia umaskini Allah awashinde awaadhirishe
Asalaam Aleykum Warahamatullah Wabarakatu
Assalam alaykum naoma namba ya sheikh salum mardhiya
Walahi mimi ndio mana natamani dua za kila siku kuwaombea hawa watu wafe wote
AMEEN YARABY
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh
Subhanallah🙏
Asalaam alaykum vipi hali zenu hapo studio? Nilikua nawaomba mufike KENYA Mombasa tumechoka kuumizwa na wachawi waliomo ndani ya familia
Mm pia natamani waje kenya
We she mm nakupenda
Acha ujjinga we huyu mganga tu wakienyeji atangaza tu biashara yake
Munhu awabariki
M"M'MUNGU atawadhalilisha na kuwapa adhabu kali tangu hapa juu ya mgongi wa Ardhi mpaka ktk tumbo la Ardhi na siku ya kiana watafungwa minyororo na lami ishaAllah na wakae Jahannam khalid na fiha.
Mbona haupokei simu Shekhe wangu?
Ushindwe kwajina ya yesu
ALLAH AKUZIDISHIE TUPATE ZAIDI FAIDA
Jina la yesu?
Sheikh hakuponya kwa jina la yesu anatumia qurani ya Allah.
Yesu ni mtume wa Allah wala sio Mungu
Au kipindi kimebadilika siku ya Saturday
ASALAM ALEIYKUM
NAOMBA KUJUA MBONA SMS ATUJIBIWI WHTSP
Asalamu alaykumu sheh mmi nikipata mwanamme ananiahidi ataniowa lla ahadi hazitimiii kisha nikimlilia shida hanisaidii ananiahidi kesho baadae hapi chchote je hii nini ttzo
😭😭😭
Asalaaiku wara tuwa mimi nna potaka kuwowa niki taffuta wachumba hawasimami
Lol
Allah Awategeee Matego Gunduuu wakituchwaiaa Inshaallah Wakagandee Uchiii Wasigandukeee!
Km tupo Pamojaa na Shekh kupinga Uchawii na Wanga Kuwapa Laaanaa Tul-allah! SAY..AMEEN YARABIII AMEEN.
TUMUOMBEE ALLAH SANAAAAAA MAFUNDO NA TEGO ZAO IWADATIEE KM BISIIII KWA DUA TUKUFU ZA ALLAH! AMEEN.
Asalaaikumu warammatu owani kuna aina ngapi za husuda kwasababu ninapo taka ki lakini hasimami kwanini
Hata hajui kiarabu eti بِمَا رَهُبَّ haisomwe hivi بِمَا رَحُبَتْ lakina haina shida yeye mwenyewe kasema hajasomea na hili jambo la ruqya ni jambo la kusomea halafu angalia ushauri wake badala kuwahusia wati kusoma na kulazimiana na adh kaari eti nendeni kwa watu wenye kutibu kisuna suna gani ambayo haujaisomea muongo halafu eti kuna sura yake ya siri kama si uongo nini leo qur-aan ime kua ni siri yamtu kadhaabu dajjaal
Yeye mwenyewe mganga anawatumia majini zaili kabisa yani hapa wajinga ndio waliwao
She mm nimekuowa
A, alykum
Hata haueleweki
Nipgie nikusaidie we bibie achana na huyo mganga
@@mohamediabdirashidi1099 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 watu mnavituko😂
Nifanye bi mdogo
Mbna hiioo nmba muloweka haioatikan akipigiwa shekh na wengn tunashida atutalie shida zt lbd anaptkna wpi kwa zanzbr
Mi naitaji msada mkubwa san
Salam alyikum subhana shekhe mungu awangamize wanga Hao unavo Sema ni swahihii
Mashaallah
Ma sha Allah