Yaani katika interview zote leo nakupa big up salama kwanza umependeza Alhamdulillah. Nakuombea kwa Allah uongofu zaidi uzidi kuvaa ushungi. Masha Allah.
Sh Mardhia Allah akujaalie kheri kwanza kabla ya kuanza mazungumzo ukamwambia Salama avae mtandio na yy pia Allah amuongoze akipende kivazi hicho Cha stara
Ahasant san kwanza tuendelee kushukuru mungu kwa kutuwenzesha kuendeleya na harakat na wajibuwetu kufanikisha yalio wajibu kwelituu NA kwathat kabsa ni mpogeze shekh ila mi mpogeze zaid zaid kwa that kabsa yaan had moyoni kwa hakika SALAMA umependeza masha allh na tumuombe munguu atuendeleze hvoo kwasote kuthid kupendeza kwa ajili yake kwahikia ukipija utaji unapezaxsan masha allh
Mashallah kipindi kilikuwa hot sheikh katoa dawa kwa kugusia gusia tu ila jumbe zake zilikuwa kubwa tusome jamani tusifate mikumbo maana starehe tunafanya zahir ila tobaa mtu anafanya peke yake sasa ww endelea kufata watu
Inawezekana na comment anapitia huyu akajua hisia za watu zinavyotamani anavyoongea na mashekhe,binadamu anatakiwa ajifunze kila siku hapa tumshukuru Allah inawezekana ni hatua Moja mbele maana hatujui kesho yetu Allah anakuamshaje
Naomba kuuliza hivi kimaadili inasihi kutumia neno "Malaya" hadharani? pili hongera sana Salama hakika kipindi unakinogesha kwa hayo maneno yako unayochomekea eti "uwanja wa fisi"
Masha Allah sweetheart salama your very smart on vail do it always in'sha Allah 🇺🇬 🇺🇬 loves you we appreciate your work last time shk kipozeo now shk maridhia in one way or another your bringing dawah
Ni zahiri sisi viumbe tunaheshimu binaadamu wenzetu na wala hatumuheshimu muumba mbingu na ardhi kustiri kichwa kwa muislamu wa kike ni wajibu wake wakati wowote anapokuwepo na watu wengine leo hii stara ya kuchwa tunaifanyia maonyesho na kuzihirisha kuwa ni jambo la tabaka fulani Ni msiba mkubwa
Hongera salama hijabu ndo vazi bora kwako Allah akulinde ameen
Mashaallah tunajifunza ,asante sana salama kwa kutuletea mtu wa kutupa masomo mazuri ya dini
Salama umependeza sana,nakuombea uvae ushungi salama
Yaani katika interview zote leo nakupa big up salama kwanza umependeza Alhamdulillah. Nakuombea kwa Allah uongofu zaidi uzidi kuvaa ushungi. Masha Allah.
Sh Mardhia Allah akujaalie kheri kwanza kabla ya kuanza mazungumzo ukamwambia Salama avae mtandio na yy pia Allah amuongoze akipende kivazi hicho Cha stara
Kweli umependeza sana na mjitandio MANSHALLAH 😍🤩
Nampenda sana Shekhe Salum Maridhiya, Pia Salama umependeza sana leo❤❤❤
Ahasant san kwanza tuendelee kushukuru mungu kwa kutuwenzesha kuendeleya na harakat na wajibuwetu kufanikisha yalio wajibu kwelituu NA kwathat kabsa ni mpogeze shekh ila mi mpogeze zaid zaid kwa that kabsa yaan had moyoni kwa hakika SALAMA umependeza masha allh na tumuombe munguu atuendeleze hvoo kwasote kuthid kupendeza kwa ajili yake kwahikia ukipija utaji unapezaxsan masha allh
I love you salama nakuombea uendelee na hijabu umependeza sana shukran maridhiya kwani sasa malaika wanahudhuria ❤🙏
Dasalama umendeza uvae ckuzte inshallah
MaashaAllah salama tunaomba uwe unajistiri namna hiyo unapendeza sana Allah akuwafikishe
Allah akuhidi uongoze uislam insh
Salama
Ninamuomba sana allah dada salama akuongoze sana undelee kuvaaa ivo ivo ushungi
Tena salama anajua kujitanda mashallah
Mashallah ❤❤❤Salama
Masha'Allah Tabaraka'Allah
ma shaa laah. Salama umependeza. sana.
MashaAllah barakallah
Masha Alla shekhe mardhiya tumenufaika mengi na salama uendelee kuvaa shungi inshallah
Mashaallah sheikh umeanzanza vizur umeongea vizur.
Allah amsamehe Sheikh wetu kakosea kidogoo kasema zaidi ya wanne ila najua alimaanisha zaidi ya mmoja
Hajakusudia hivyo ila kateleza tu
Anasema kwa papara sana
Salama umependeza sana umependeza mungu na sisi
Mashaa Allah Salama umependeza sana. Ila sheikh fupisha maneno kaa!
Masha Allah
Sasa umependeza sana mashah
ilove u salama please mlete kaka yake kishki anasaidia sana
Salama Umependeza Kwa Ushungi Mashaallah👌
Mashaallah mko vizuri
Mashaa Allah Hii Kali Kuliko show zote Big Up Siz Salama Allah zaidi🙏🙏🙏👌👌👌👌
Maa Shaa Allah Salama
Pendeza
Salama umependeza sana na shungi
Ahsante shekhe ahsante salama Mungu awabariki
Oman 🇴🇲 we love u salama
asee nafikiria kubadili dini niwe muislam....yani katika uislam kila amri ina faida katika maisha
karibu sana Ni dini ya Haki
Karibu ktk dini ya haki
Mashallah Alhamdulilah mungu atakujaaliya
Umependeza sana leyo salama
Ma sha Allah nimependa hii ya leo
nzuri inamafunzo
Nilichukia sana sheh kipoozeo hajakwambia ujifunike siku ile
Hata mm sijui unjuajee
Mnajuaje kama alimwambie « off camera », acheni kuchukia msiyoyajua. Muombeeni dua Salama ni vzr zaidi
Leo amejiandaa na mtandio ujue Kuna kitu inawezekana akakumbuka kupitia comment au kushauriwa na huyo aliepita Leo amejiandaa nao mtandio
Ndo masheikh wetu tena tuwasameh
@@missladybirdlibellule3236 angemwambia angejifunika hakumwambia salama muelew tu
Ulimi umeteleza,zaidi ya mke mmoja
Shekhe katish🥰
Shukran sana Sheikh… Hakika tumeletwa hapa duniani ili TUENJOY🔥🔥🔥🔥🔥
Salama umependezaaa
Hongera sana salama wewe umtwii masha Allah
Mansh Allah 🥰
Smart woman
Ila salama asee mungu amuweke
Masha'Allah huyu angekua mnasara angeitwa nabii anatenda miujiza
Dada salaam ungejua unavaa hvo hvo kila siku.aiseee
Salama leo anacheka na anaishiwa maswali
Jaman Salama umependeza Mashaa'Allah Mashaa'Allah Mashaa'Allah
Sanaaaaaa❤
Umetisha salama
Umependeza mammy 👌🏻
Aisha Mambo
Mashallah nimepata dawaaaa kubwa sna
Mansha Allah shukran
Tuna muomba adili chapakazi ... Kwenye salama na plz mamdogo
Aunt salama respect
Salama wewe ni mke mwema
Salam kiukwel uko vizuli san endelea kuvaa jabu umependeza san
Umeona ametokea unguja ndio maana umevaa shunngi..... ubaguzi huo, maana kipozeo alikuja hapo na hukuvaa. Fanya kwa ajili ya ALLAH
Apana tuzaniyane heri mana watuwengi wamemwambiya Nahisi ameskiya
Leo choach kakutana na na Boss mwenye team yake nikujifunga na nguo nzuli
Umepe dezaje dada hadi rahaa🙏🙏🙏
Subhanallah
Jamen nampenda sheykh mardhiya
السلام عليكم
@@issaal-busaidi4479 وَعَلَيْكُم السَّلَام
Hahah Salama wewe Msela I wish one time nikutane na wewe , Maana huwa na cheka sana kwa kituko vyako vya ucheshi
Buibui linakupendezaaa bibie lkn ukikaa kichwa wazi ni tafran
Mashallah my dear sister unapendeza na hijabu big from North Eastern Kenya
Salama tafadhali tuleteeni SHEIKH MUHIDDIN MAALIM SIASA NA SABRA MACHANO WA ZANZIBAR🙏
Tunaomb pia umlete ostadh maalim
Mashalla Tabarak Allah. Salama umekupendeza ushungi usiuvue tena taim imefika little sis yakuva♥
Salama❤ umenoga
Salama nakupenda c unitafute dear
Okay ❤❤❤❤❤❤
Dakika nyingi umeongea kweli ustaz una hasira bila ya kuulizwa
mashaaallah umependezeza kweli Leo salama
ningependa kujua kwanin kweny hichi kipindi salama huvaa nguo nyeusi
Salama hapo perfect
Mashallah kipindi kilikuwa hot sheikh katoa dawa kwa kugusia gusia tu ila jumbe zake zilikuwa kubwa tusome jamani tusifate mikumbo maana starehe tunafanya zahir ila tobaa mtu anafanya peke yake sasa ww endelea kufata watu
Assalamwaleikum vip hali da salam naitaji nikija Tanzania naomb unikaribishe mwahich kipid nakipenda saan
Karibu sana
Shekh leo kakunja mpaka umevaa ijabu kipozeo alikupozea.Ila Shekh kachachuka utadhani Fei toto.😀😃😄
Inawezekana na comment anapitia huyu akajua hisia za watu zinavyotamani anavyoongea na mashekhe,binadamu anatakiwa ajifunze kila siku hapa tumshukuru Allah inawezekana ni hatua Moja mbele maana hatujui kesho yetu Allah anakuamshaje
Naomba kuuliza hivi kimaadili inasihi kutumia neno "Malaya" hadharani? pili hongera sana Salama hakika kipindi unakinogesha kwa hayo maneno yako unayochomekea eti "uwanja wa fisi"
Dunia ya sasa mpaka uwaambie watu peupe ama hawaelewi.
Ila Mardhyya🤭🤭🤣🤣🤣
Masha Allah sweetheart salama your very smart on vail do it always in'sha Allah 🇺🇬 🇺🇬 loves you we appreciate your work last time shk kipozeo now shk maridhia in one way or another your bringing dawah
Mwaka 1994 ndo nimezaliwa Mimi kumbe umetoka mbqli
MASHALLAH
Ni zahiri sisi viumbe tunaheshimu binaadamu wenzetu na wala hatumuheshimu muumba mbingu na ardhi kustiri kichwa kwa muislamu wa kike ni wajibu wake wakati wowote anapokuwepo na watu wengine leo hii stara ya kuchwa tunaifanyia maonyesho na kuzihirisha kuwa ni jambo la tabaka fulani
Ni msiba mkubwa
Ila huu ni mwanzo mzuri
Mashallah umependeza ukhty
Tunaomba umkaribishe in Yahstone Town Sheikh Muharram Mziwanda tutafrahi sana.
Good bless
ماشاء الله
Umenenepa
Siwezi kuelezea husia zangu ila natamani kkuona dadaangu salama
Mashaallah
Huyu mtu ni tapeli
Sjategemea ila mardhia naam shekh maneno 💯
Salama leo umependeza
Sana bora aendelee kuvaa daima
Unaish wap
@@issaal-busaidi4479 Zanzibar ❤️
@@ruwaidaal-ismaily9099 km ww hahaha 🤣
Tuna ngoja part 2
am christian,but jamaa ana madini
respect the riligion
Pamoja na kwamba mimi binabsi nakukubali ila sio lazima shekh Salim Kila mtu akukubali wewe sio nabii ishi humo kaka.
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
MashaAllah dada Salama nikupe sifa zako umendeza❤️❤️
Zaidi ya wanne????
Ni kinolewacho hupata si hukata
Salama bwn!!
Kwa hyo ulkuwa unsubir kuambiwa ujitande?