Unafanyiwa Husda | Hii ndio Sababu na jinsi ya Kujilinda | Sheikh Salum Mardhiya
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #ongeanamardhiyya
Unafanyiwa Husda | Hii ndio Sababu na jinsi ya Kujilinda | Sheikh Salum Mardhiya
Jazzallahu ghaira kwa ukumbusho sheikh wetu Allah(s. w) akujaalie kila lenye kher aaaamin
Masha Allah lecture BarakAllah feek
Bass haya nasikiliza tu mm sauti nzur mashaalah
Shukran shekhe maridhiyya Allah akulipe kheri inshallah 🙏
Alhamdullillah kwa elimu nzuri
Jazzakka Allah khyern 🤲❣❤❣
Salam ndugu zetu , kisomo kizuri,shukruni
Nafurahia sana kipindi chenu
Allah akupeni afya
Tuendelee kuelimika
Thanks for this wonderful teaching Sheikh Salum na Sheikh Watamaman I have learnt a lot 🙏🙏🙏😇😇
برك الله فيك ياشيخ 🌹
Marshall ah she Salum
Shukan sheh Allah akulipe kila lakheri
mashallah Shekh Salum, good Job 👏 Allah akupe uwezo minkuli hali uzidi kuizindua jamii kutokana na hao madhwalim.
A/alaykum,shekh nilikuwa nakuuliza, mm Nina dada angu Ana ujauzito lkn damun yke inapanda na kushuk na vyakula vya damu anajitahid kula lkn bado ,na pia akalazwa hospital akawengezewa damu chup moja alaf akafanyiwa vipo akapt damu 7.3 akaaa km siku mbili akawengezewa Tena damu baada ya siku mbili akafanyiwa vipim akapata damu 6.2 ss mm nilikuwa nakuuliza tatiz nn hap maan naona vyakula vya dam anajitahid kula
hasid wakaribu mbaya sana
Shukran
Asalm aleykum warahmatulahi alafu shida nyengine upata ndoto zakupigana na mtu pendine anivuta anipeleke sehemu anayo itaka ila mimi upandisha nakutaja jina la Allah kisha uona mimi ndiyo umshinda uyo mtu nakupoteya lkn mtu mwenyewe simuoni uhisi kivuli tu 😭😭😭
Asalam alaikum wedzangu .nashukuru kwa mawaidha haya .jamani naomba msaada wenu shelk salimu na wedzako. Mimi na mume wangu tuko katika vita na mama wa mume .hili ni kwa ajili ya kaka wa mumewangu ndo amesababisha vita hivi. Je tufanyeje jamani mumewangu alikasirikiwa na mamake kisa ni fitina na masenginyo ya huyu.
Mimi sina uzoefu ila mama ni mama muende tu kumuomba msamaha. Siku zote hasidi hatoki mbali. Mwenyezi Mungu ndiye ajua ae. Poleni sana. Natumai sheikh ata kujibu but hapa sio mahali pake mtumie message kwa number za WhatsApp
Pole sana
Mtafute private hivo vita hata mie ninavo tena vangu mpk ushirikina kwa kutaka kulazwa kitandani mie
@@fatmamansour676 ndugu ni wabaya sana. Mwenyezi Mungu atustiri
Shukrani daa Fatuma.
kabisa unacho kinena nisahihi
Hasidi anaumiza hasa awe ndugu yako mmetoka tumbo moja ukamuamini na ukiambiwa huamini
always hatoki mbali
Shukran jazakallahulkher sheikh Allah akulipe kila la kher.Amiin
Hujakosea hata kidogo
برك الله فيك ياشيخ 🌹