🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 29

  • @HassanKibindo-ti1nu
    @HassanKibindo-ti1nu 10 месяцев назад +1

    Allah akuifadhi sheikh unapatikana wap

  • @rehefehe8890
    @rehefehe8890 Год назад +6

    Mashaallah, shekhe umeongea point mm nna mwenzangu nimemsaidia pesa ili tuende masomon pamoja baada ya kufika huku chuoni kanitenga anaongea na watu wengine kama hanijui, hatoki na mm kama safari za mjin, sokoni hadi nashangaa kweli tenda wema nenda zako

  • @JUMAJUMAPILI
    @JUMAJUMAPILI Год назад +1

    Jazaakallahu kheira sheikh maneno yako mazuri sana hawa watu unawapata vzr sana tena wabaya hawafai hata mm siwapendi wanawachafua watu kwl Allah akulipe kill lenye kheri insha Allah na ukubalikie kile ulicho nacho insha Allah

  • @feisal6592
    @feisal6592 Год назад +1

    Mashallah baraki allah ishallah

  • @ablaalnaamani7670
    @ablaalnaamani7670 Год назад

    Mansha Allah sheikh Allah swt akuzidishie elmu na umri mazungumzo yenye faida kweli tunashukuru Sana Sana kuwafaham wacawi niwatu wa Aina gani mungu awalani wacawi fi Dunia walk akhera

  • @maimunaabdallah1294
    @maimunaabdallah1294 Год назад +3

    Nakubali maneno yako yalishanikuta rafiki yangu, langu lake lake langu siku moja nipo kwenye matatizo, maneno aliyonitamkia nilimwambia mimi na wewe basi hadi leo siamini
    Ila nashukuru tangu tumetengana naishi vizuri nchi za watu.

  • @shariffm7049
    @shariffm7049 Год назад

    JazakaAllah

  • @nasramanchilauk5343
    @nasramanchilauk5343 Год назад +3

    Mashallah

  • @nasserabdallah5750
    @nasserabdallah5750 Год назад +2

    Jazzakka Allah khyern 🤲❤💟❤

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Год назад

    Mungu akupe cheikh wetu mie mtoto mdogo n'a uchawi nilisha okotwa n'a ndugu zangu n'a mie ni mdogo wao TN wa mwisho

  • @mamysarah7071
    @mamysarah7071 Год назад +1

    Swadakta.asante

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 11 месяцев назад

    asante kwa kutuelimisha

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim3392 Год назад +1

    Kweli kabisa yako hayo sheikh

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 Год назад

    Allah atulinde na hasad

  • @nasramanchilauk5343
    @nasramanchilauk5343 Год назад +2

    Kwa kweliii hakika

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan Год назад +1

    ASsalaam Aalaykm Wa RahmatuLLAHI Wa Baarakatuh.
    AlHaamduliLLAHI Maa-Shaa-Allah Tabaaraka Wa Taala Azza Wa Jal ❤️
    AkuZidishie Ilmu yenye manufaa kwa Dunia na Dini.
    Uweze kusaidia na kuelimisha jamii zaidi na zaidi. Aamiyn Yaa DhilJalaliWa'LIkraam ❤️
    JazakyAllahuKhaiyr Wa BaarakatAllahuFiyykm.
    Kweli kabisa unayo nena.
    Mie mpaka leo bado napata tabu. Pamoja na wakuu katika kunifanyia sihri na fitina katika ukoo na watu wa karibu, wawili wamefariki, mwingine pamoja na binti na mjukuu wake na watoto wao wakhiyari, (wanavyowaita wao) bado wapo.
    AlHaamduliLLAHI.

  • @ag3044
    @ag3044 Год назад

    Asalaam aleykum jamani Habari za yuko Zanzibar Mbona sio nzuri Sheikh mambo za ushoga sana Ndio maongezi, inatisha unatakiwa kuongelea Sanaa hii Mada kwa ajili ya watoto wa Kislam.

  • @MuhammedBalkiss
    @MuhammedBalkiss Год назад

    Maashallah

  • @nasimharoon1270
    @nasimharoon1270 Год назад +1

    Kweli kabisa

  • @guluramadhani1799
    @guluramadhani1799 Год назад +2

    🙏🙏🙏

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed6687 Год назад

    Uposahihi

  • @HawaJuma-m9z
    @HawaJuma-m9z Год назад

    Shehekwer mpakanariya

  • @khauraasaad1947
    @khauraasaad1947 Год назад +2

    Sheikh mm nauliza ikiwa mtu hakusalimi mpaka siku maalum kama tarehe 20 ama 30 ama 10 jee Huyu mtu ni VP siku nyengine haniulizi

  • @caddymilanfarah6520
    @caddymilanfarah6520 Год назад

    Asm

  • @فاطمهالكينيه-ك7ب
    @فاطمهالكينيه-ك7ب Год назад +1

    Sadakta umenigusa hpo kwa mume