Ee Mwenyezi Mungu; naomba nuru angavu mbele ya safari ya mpendwa wetu Prof. Ngowi asafiri salama na apumzishwe kwa amani. Mafunzo yako ya itifaki ya uchumi uliyonipatia chuo cha Diplomasia DSM ni zawadi kwangu ulioniachia. Ulinifundisha vema pia suala la umuhimu wa ufugaji; tazama familia yako ikiona shamba lako la mifugo; mbuzi, bata, njiwa n.k. ni mavhungu tupu mwalimu wangu. Nenda baba, nenda, Taifa la Tanzania, Africa Mashariki na Africa kwa ujumla timakulilia. Pole baba kwa kifo cha maumivu makali uliyoyapata ukiwa safarini kulitumikia Taifa la Tanzania. Hatuna la kusema; machozi yanakaba roho
R.i.p dad
Alikuwa na upendo sana
Inauma sana sana sana 😭😭😭😭😭😭😭
R.i.p ngowi tv the one of inspiration channel in my poultry farm
R.I.P Prof Honest Ngowi, mawazo yako na utaalam wako utaishi siku zote.
Mmh,
Ee Mwenyezi Mungu; naomba nuru angavu mbele ya safari ya mpendwa wetu Prof. Ngowi asafiri salama na apumzishwe kwa amani.
Mafunzo yako ya itifaki ya uchumi uliyonipatia chuo cha Diplomasia DSM ni zawadi kwangu ulioniachia. Ulinifundisha vema pia suala la umuhimu wa ufugaji; tazama familia yako ikiona shamba lako la mifugo; mbuzi, bata, njiwa n.k. ni mavhungu tupu mwalimu wangu. Nenda baba, nenda, Taifa la Tanzania, Africa Mashariki na Africa kwa ujumla timakulilia. Pole baba kwa kifo cha maumivu makali uliyoyapata ukiwa safarini kulitumikia Taifa la Tanzania. Hatuna la kusema; machozi yanakaba roho
R.i.p dad
Pumzika kwa amani ndugu.
Pumzika kwa amani mwalimu wangu