Lugha tano (5) za mawasiliano kwenye mahusiano ( Five Love Languages)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Lugha tano (5) za mawasiliano kwenye mapenzi (Five 5 Love Languages)
    1.Maneno yenye hamasa (Word of affirmation)
    2.Quality time ( Muda wa faragha).
    3.Gifts(Zawadi).
    4.Acts of Service (Matendo ya Huduma).
    5.Touch (Mguso).
    #DrChrisMauki#LoveLanguages#Mahusiano.a

Комментарии • 185

  • @happytimothy6598
    @happytimothy6598 4 года назад +11

    Inaelekea doctor cris wewe ndoa yko inafuraha sana

  • @Graclyna12
    @Graclyna12 Год назад +6

    I love your videos ,they are short and detailed ❤,be blessed

  • @seifthani8468
    @seifthani8468 4 года назад +23

    Dr criss hongera sanaaa ,,,,,izo lugha za mawasiliano kwakweli zitatusaidia sanaaa mana tuliowengi mahusiano yetu tayari yamekwishakufa bado kuzikwa tuu

    • @magrethkawa4841
      @magrethkawa4841 3 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @asmaafamau8307
      @asmaafamau8307 3 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад +3

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @divinemushi1417
      @divinemushi1417 Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @mzizirashid709
      @mzizirashid709 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 4 года назад +9

    Nikimpata nitamfanyia ivyo 🙏

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 3 года назад +5

    Shukran Dr mauki hakika yatatusaidia Sana maneno haya Allah akitujaalie wenza amin

  • @FredGDangote
    @FredGDangote 2 года назад +1

    Napenda kazi yako ndugu,daktari,ubarikiwe sana.

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 года назад +8

    Fantastic nice speech indeed be blessed dr Cris mauki 🙋‍♂️🙋‍♂️🙋‍♂️

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @nancycharo4095
      @nancycharo4095 10 месяцев назад

      Barikiwa haki umefunza jambo njema la mbolea katika ndoa zetu mtumishi hongera kwa mara ingine tena

  • @francinebuhendwa2114
    @francinebuhendwa2114 28 дней назад

    Thank you for doing this in Swahili

  • @tucasaardhichoir4352
    @tucasaardhichoir4352 3 года назад +2

    Shukran kaka mkubwa.... I appreciate you brother

  • @stevstephano5539
    @stevstephano5539 Год назад +2

    Tulio single tucoment wapi?????????

  • @fatmayusuph3963
    @fatmayusuph3963 4 года назад +8

    Nilichogundua yuliowengi tunaingia tu kwenye mahusiano bila kujua vitu 🙏🙏🙏

  • @LuciaLulegu
    @LuciaLulegu 5 месяцев назад

    Asante doctor

  • @vincentmtana2521
    @vincentmtana2521 4 года назад +1

    No.5..umenierevusha hapa..mm mda wote nmefikiri ni bulling nafanyiwa..kumbe ni mapenzi..God bless you doctor.

  • @Anna-i5o8c
    @Anna-i5o8c 10 месяцев назад

    Asantee sana Dr Chris naendelea kujifunza

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    Barikiwa mtumishi nimepata kitu,,,,nimependa hiyo ya kusaidiana,,,,

  • @rosemarymalechela5090
    @rosemarymalechela5090 4 года назад +5

    Mh! Haya mambo mazuri sana.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @simawaziri8647
    @simawaziri8647 2 года назад

    Napenda nakufurahia mafundisho yako yananijenga Sana.

  • @neemaiddy934
    @neemaiddy934 2 года назад

    Asante xan mauki kwa mafundisho yako mungu akutie nguvu

  • @rajabmadai822
    @rajabmadai822 3 года назад +2

    Nimependa sana hii topic ya leo nzuri Sana na ni ya muhimu

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @mwasitiiddy1089
      @mwasitiiddy1089 Год назад

      @@ChrisMauki1 unawez kuw nalov languages 2 au 3

  • @rhodasaid3262
    @rhodasaid3262 3 года назад +1

    Asante sana Dr. Kwa mafundisho yako, Mimi napenda sana lakini kiu yangu ya miaka mingi natamani kukutana na wewe uso kwa uso!!!

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Tuwasiliane kwa 0713407182 Thanks

  • @eldarmwakabuta7589
    @eldarmwakabuta7589 2 года назад

    Asante sana mauki sijutiii kukufaham

  • @julianalameck9045
    @julianalameck9045 3 года назад +1

    Mmmh, Asante Sana doctor Mauki hiyo ya Tano wanaume waliobora ndo wanaitumia, Asante MUNGU akutunze 🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @ngasakayeji8507
      @ngasakayeji8507 2 года назад

      Wanaume Bora ni wapi???....Kwan wewe umekutana na kila mwanaume??

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад

    Mungu akubarik

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 3 года назад

    Shukran Dr mngu akubariki

  • @salimhamad2924
    @salimhamad2924 2 года назад

    Asante kwa somo zuri.

  • @roseomari6218
    @roseomari6218 3 года назад

    Daaaah Doctor asante sana

  • @pharesooko1452
    @pharesooko1452 4 года назад +1

    Safi sana , psychologist!!!

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @goodluckngonyani8626
    @goodluckngonyani8626 3 года назад +1

    Hahahah Dr Unajua
    We ninomaaa kila unachokisema Nikwelii kabisaa huwanaona hizo hali zotee Ahsante Sana Dr

  • @dankirwa6526
    @dankirwa6526 4 года назад +1

    Asante kwa mafundisho yako

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @leylasaid3629
    @leylasaid3629 Год назад +3

    Love languages
    Maneno yenye hamasa ya penzi
    Kuwa na muda wa falagha
    Zawadi
    Matendo ya huduma (kupenda kusaidia)
    Mguso (kugusana)
    Shukrani dokta 🙏🙏

  • @kelvinkafumu7297
    @kelvinkafumu7297 4 года назад +1

    I appriciate umeniongezea uelewa..!

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @heavenlightfrank6203
    @heavenlightfrank6203 Год назад +1

    Hivi Dr. mtu mmoja anaweza akawa na love language zaidi ya moja

    • @Switielie
      @Switielie 6 месяцев назад

      Maana mi naona 3 ninazo,hii ya nne tu ndo sina

  • @zahrathomary1805
    @zahrathomary1805 3 года назад +2

    Doctor anamapenz ya mbele! Ety mguso 😂nimependa

  • @pharesooko1452
    @pharesooko1452 4 года назад +2

    Like it

  • @سنتياالشهري
    @سنتياالشهري 3 года назад

    Asante sana

  • @fatmhfatmh8286
    @fatmhfatmh8286 3 года назад

    Asante kwa mafunzo mazuri

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @mbogonijoel5529
    @mbogonijoel5529 11 месяцев назад

    Dr Chris nakushuru Sana umenibariki na kunisaidia Sana katika mahusiano

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 3 года назад +2

    Mimi kabisa napenda kutoa zawadi nikusubili kupewa najitoaga mpk nakuwa Kama chizi 😅💗

    • @neemamsabaha8791
      @neemamsabaha8791 2 года назад +1

      Huyo unae mpa ni mbnafs pia ni mchoyo maana ukijua kupokea ujue na kutoka mijanaume mingine mpaka KERO

  • @hassaniothumani5501
    @hassaniothumani5501 4 года назад

    Hiyo ya 5 ya kizazi sana Ndio demu wangu anapenda hatari

  • @EverlyneShivayiro
    @EverlyneShivayiro Год назад

    Ww shuubavu wa mafunxo ubarkiwe sana

  • @selemanisaidi3457
    @selemanisaidi3457 3 года назад

    Dokta you are my light in the dark

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @bitunisebarua3884
    @bitunisebarua3884 3 года назад +2

    Mh hiyo ya tano ninzuri sana ila dah haya doct asante wengi watajifunza

  • @CLEMENTINAKAMALA
    @CLEMENTINAKAMALA 6 месяцев назад

    Mme wangu ni msaliti mpaka sielewi na hii tabia yake ni ya mud mrefu sana nimejitaid sana ila ninapoelekea nashindwa

  • @lilianmungure8374
    @lilianmungure8374 4 года назад +2

    Thnx Mauki,be blessed

  • @veronicasanga3358
    @veronicasanga3358 3 года назад

    I appreciate dat....Thanks doctor unaniteach meng

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @agathawenceslaus8250
    @agathawenceslaus8250 3 года назад

    Thanks again

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 3 года назад +2

    Is happiness the choice ?

  • @VicentiGordianigabriel-vj6iv
    @VicentiGordianigabriel-vj6iv 5 месяцев назад

    Thanks

  • @upendokawanga2149
    @upendokawanga2149 4 года назад

    Hap umenigusa asnt Dr🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @mbogonijoel5529
    @mbogonijoel5529 11 месяцев назад

    Dr Chris Kama Mimi napenda lugha ya mguso na mpenzi wangu anapenda neno nifanyaje ili tuende sawa

  • @rizzymitchell6822
    @rizzymitchell6822 3 года назад

    Wow I just got to learn something today

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    Issue sio joto jamani,,,,,, mpigie makofi mtumishi kwa darasa zurii

  • @florencekanze
    @florencekanze Год назад

    Hapa umesema Dr Mimi wangu anapenda kugusa muno atanisipomuekea mkono time yakulala yeye ananiekea wake tu

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 4 года назад

    Somo Zuri dr

  • @esterzabron5933
    @esterzabron5933 2 года назад

    Naxhukur xana kwan nmejfunza kwako juu ya mahuxiano yanguu

  • @jannetjimv6231
    @jannetjimv6231 3 года назад

    Asante kaka tunajivunza vingi toka kwako🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @Saidiasha013
    @Saidiasha013 4 года назад

    Somo zuri sana Dr.
    Nmejifunza kitu kizuri mno.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @CLEMENTINAKAMALA
      @CLEMENTINAKAMALA 6 месяцев назад

      Mimi doctor na fel kabisa jamani Mme wangu Mimi ana chepuka sana

  • @nassoroabdallah2596
    @nassoroabdallah2596 2 года назад

    Mpenz wng anapenda cn kukumbuka mzito alio pitia kwnn inakua hv

  • @clementinawabomba7221
    @clementinawabomba7221 3 года назад

    Shukran sanaaa

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @tupilikemwanyemba2853
    @tupilikemwanyemba2853 4 года назад +5

    Yaan hapo kwenye izo lugha zote zangu jaman kasiro moja tu iyo a kubebea vitu. Ila iyo ya tano jaman doctor ni mimi kabisa jaman.

    • @ashrafgeorge9384
      @ashrafgeorge9384 4 года назад

      Ndo ubadilike sasa dada Tupilike,
      Yan kubeba tu!!

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  4 года назад +3

      Sasa inabidi uielewe yamwenzako na yeye aielewe yako

  • @arafamumba7572
    @arafamumba7572 3 года назад +1

    Je kama unazo lugha zote inakuaje

  • @annethwangwe6744
    @annethwangwe6744 4 года назад

    Nakuelewa sana kaka chris mauki asante,

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @lydiabosibori4116
    @lydiabosibori4116 2 года назад

    True kbsaa

  • @NjuuJera-gg9ec
    @NjuuJera-gg9ec Год назад

    Hapo kwa mguso ndo mm kabisa

  • @moanamohammed1406
    @moanamohammed1406 4 года назад

    Somo zur sana

  • @loverey8056
    @loverey8056 4 года назад +8

    Kabixa wengin ukimguxa unajibiwa tokaaaa 😀😀

  • @medicalphysicsbiomedicalen1707
    @medicalphysicsbiomedicalen1707 4 года назад +1

    Shukran sana Dr. Watching from Italy

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @alakhy9448
      @alakhy9448 2 года назад

      Medical phsyics & biomedical engireening naomba tuwasiliane tafadhali kama uko italy nina shida sana ndugu mimi nipo tanzania

  • @ЛадаДойкина
    @ЛадаДойкина 2 года назад

    You can choose for one of the above gifts

  • @ninirogers6997
    @ninirogers6997 4 года назад

    Hii ya tano ni mm exactly.

  • @muniraramadhani1557
    @muniraramadhani1557 2 года назад

    Mm napenda zawad jaman yaan mtu asiponipa zawad nawezaaga ata kulia

  • @generosakayagambe436
    @generosakayagambe436 Год назад

    Je, ni wakati gani sahihi wa kuzungumza lugha hizi kabla au baada ya Ndoa?

  • @anadavid6923
    @anadavid6923 Год назад

    Wengn wanaahid zawad na hatimiz Kila kuahid hatimiz kabsa

  • @rozalinaogollah811
    @rozalinaogollah811 3 года назад +1

    Unaweza ukawa na love languages zote?

  • @EvodearVenance-im8sz
    @EvodearVenance-im8sz Год назад

    Viashiria gani vinavyo onyesha mwanamme muoaji

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 3 года назад

    Lugha ya upendo

  • @hanifahanifa3934
    @hanifahanifa3934 3 года назад

    Mbona npo kote humo..... itakuaje

  • @janethcharles9541
    @janethcharles9541 Год назад

    Nakupataje prv doct ?

  • @mwasitiiddy1089
    @mwasitiiddy1089 Год назад

    Mbon hujasem secondary

  • @quyenngoc3973
    @quyenngoc3973 2 года назад

    how did you do it can you share with me , thank you

  • @magrethngwira-ct4qm
    @magrethngwira-ct4qm Год назад

    Je mtu mmoja anaweza akawa na hizo love languages zote tano?

  • @christineayuma4030
    @christineayuma4030 4 года назад

    Thank you dok....be blessed

  • @meshackadam1521
    @meshackadam1521 3 года назад

    Dr Chris vip kam mtu upo naye kwenye relation halaf hujaona lugha yoyote ambayo anaipenda na kuitumia kati ya hizo ulizo eleza hapo juu

    • @ebenezermsuya3504
      @ebenezermsuya3504 3 года назад +1

      Nahs mtu anachokilalamikia sana inaashiria lugha yake

  • @yuwenmwashitete2932
    @yuwenmwashitete2932 Год назад

    Hataukifanyahayoyote usalitiuponaulikuwepoenzinaenzi

  • @ruwaidashaaban7267
    @ruwaidashaaban7267 2 года назад

    Lkn nafikiri kuna watu hawasomeki lugja zao au mm cjui kusoma?😄😄😄

  • @francinechirezi506
    @francinechirezi506 3 года назад

    Mbona zote hizo wakwangu hana nazo

  • @mhandosuzy6790
    @mhandosuzy6790 4 года назад +1

    Jamani ya tano mimi huyo ahahahaaaa

  • @lydiaphilipo5160
    @lydiaphilipo5160 3 года назад

    Sasa mm mbona kama nipo kote kote jmn

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 3 года назад

    Noted something

  • @ceciliakalihadya2758
    @ceciliakalihadya2758 3 года назад

    Vipi kuhusu ambaye haamini kuhusu Love Languages?

  • @miriamjacob7963
    @miriamjacob7963 4 года назад

    Sasa Mbona mm nipo kwenye lugha zote ila mm nashindwa kujua lugha yake

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 года назад +1

    Asante jamani daaah nahisi nilichelewa sana ku-subcrible channel yako, Blessed.

  • @salmabakar6531
    @salmabakar6531 4 года назад +1

    kip it up

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 года назад

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @chemimoses5877
    @chemimoses5877 4 года назад

    Haswaaaa

  • @salamajuma6743
    @salamajuma6743 2 года назад

    Dr nawezaje kuwasiliana na ww private

  • @delfinafrancis9148
    @delfinafrancis9148 Год назад +1

    Hivi mnajua kama kuna watu ambao wako busy kama magari ya ambulance,,,sasa cjui tuwafanyaje Dr kuna mtu mwingine yupo busy hawezi kuelewa haya,,utaonekana kama kituko flani hivi ,,sasa cjui na mi niwe busy

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 4 года назад

    Ahsante

  • @evannajohn1963
    @evannajohn1963 3 года назад

    Duh leo ndio nimegundua had nacheka kabisa lugha kuu ya mume wangu hapo ni matendo ya huduma 😆😆😆 nlikuwa simuelew kabisa anaona simpendi wakat nampenda sana nkisahau huwa analalamika anaona simpendi sasa nkawa nachanganyikiwi nkawa natumia lugha yangu mm yan maneno ya hamasa kumbe kwake sio 🤣🤣🤣 full kupishana

  • @nassoroabdallah2596
    @nassoroabdallah2596 2 года назад

    Hollow

  • @janethseba8795
    @janethseba8795 3 года назад

    Sawa kaka

  • @rehemagadau1564
    @rehemagadau1564 3 года назад

    Ninafurahi kuyajua masomohaya