PROF Mkenda Aweka Jiwe La Msingi Ofisi za TAEC//Asisitiza Serikali kuwekeza Zaidi Kwenye Teknolojia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda ameweka jiwe la msingi la jingo la maabara na Ofisi ya Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania -TAEC Kanda ya Kati katika eneo la Kikombo-Mtumba Jijini Dodoma tarehe 15 Februari 2022

Комментарии •