Ni kujiaibisha sisi wenyewe kama Watanzania, pili tujifunze kusema hapana kama kitu sicho sicho huwezi kumshikia mtu fimbo akubali..... tuoneshe ile ya Mandela pale South Joberg' - Nadhani sio peke yetu ila hata wanayoitetea moyoni wanajua sio .... Madaraka - Tunaomba Picha Moja tu Ya Baba wa Taifa inatofanana na hiyo Sanamu au iliyotumika kuitengeneza
Kweli viongozi wa nchi( CCM) hakikika MATAAHIRA. Mimi niimekuwapo tangu uhuri mpaka anan' ngatuka, hakika ,Si Nyerere niliyemjua. Duh! WANAFANYA UFISANDI HATA KWA BABA WA TAIFA, PUMBAVU KABISA.
Samia alikuwepo huko Addis Ababa kwenye uzinduzi hakuona hii kasoro? Kwa nini alikubali udhalilishaji huu wa Baba wa Taifa? IONDOLEWA HARAKA NA KUWEKWA SANAMU NYINGINE YENYE UHALISIA. Na hayo mamilioni ya pesa yaliyotolewa kwa ajili ya sanamu hiyo hao "waliopiga" hizo pesa wachunguzwe na hatua stahiki zichukuliwe dhidi yao.
SANAMU HII SIYO BABA WA TAIFA BORA IVUNJWE ITENGENEZWE NYINGINE SISI AMBAO TUNATHAMINI MCHAMGO WAKE na UTAWALA WAKE BORA HATUTAKI FOJALI LINAPOKUJA SUALA LA MUASISI WA TAIFA LETU NI ISHU NYETI & SERIOUS KULIKO HUYO Jk na Samia WASITUFANYE WAJINGA"
Iitafutwe, zipo picha nyingi za Baba/Babu yetu. Hizo ni Hela zinatuponza hata kukubali kumsahahau,⁉️kumuuza Mtuwetu muhimu! Mungu iponye TANZANIA Mungu ifungue TANZANIA, Mungu Ibariki TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 7 x 70 Amina.
KWA NINI MH. RAIS SAMIA NA KIKWETE NA HATA MADARAKA NYERERE WAMEKUBALI NA KUIBARIKI HIYO SANAMU YA HAYATI MWALIMU NYERERE....AIBU NA FEDHEHA KWA SERIKALI YETU YA TANZANIA.
Maoni yangu kwanza Mambo haya Yanazidi kutupa hasira watz huu Ni ufisadi mkubwa Sana ,sielewi wtz tunachukuliwaje , maoni yangu nikuwa kwanza CAG achunguze sanamu hiyo walio husika kuitengeneza nakwenda kuizindua walitumia kiasi gani Cha fedha,Jambo lapili wahusika nauzinduzii huo pamoja na mtoto wake nyerere Madaraka wahojiwe walikuwa na maana gani kulidhalilisha taifa la Tz kiasi hiki, kwani sanamu hiyo siyo ya ukoo Ni ya Taifa la Tz. Jambo la tatu Kikwete aangalie Sana Nini anachotaka juu ya nchi hii kwani tunashindwa kumuelewa analengo gani na Taifa hili
Hivi huyu Mzee utawala si uliisha? Anahitaji Nini alichokisahau, mtu mzima huhitaji kulaumiwa Kila Wakati, anataka akifa watu wafanye sherehe badala ya kumlilia?
Nakuunga mkono mia kwa mia.Ule ni ufisadi na ukosefu wa maadili.Ile sio sura ya Nyerere.Yaani kwa kweli wametudharau sana sisi watanzania kwa kutuona sisi ni majinga na mambulula.kuweka sanamu kama ile ni kumdhalilisha na kumkosea heshima baba wa Taifa.
Mimi najiuliza hao wote wanaoitetea sanamu hii kuwa ni Mwalimu Nyerere tuna wasi wasi na vitu viwili wanatetea ugali wao au wamepewa bahasa ili kuongea uongo hata aliezaliwa 2000 hakubali kweli tunaongozwa na mazuzu kbs jmn dah
Sisi tumekaa na mwl muda wote tunamfahamu hata nikifumba macho Kwa herufi kubwa nakataa hii SI SURA NYERERE WETU. Hii ni serikali imekuweje Kila kitu Kona. Komaeni kutetea hili kama kawaida yenu. Mjadala ndo umeanza. "TUSHIRIKI" kujadili hii aibu.
...ndiyo maana wakati mwingine unaweza kusema this is the land of ninnies and total mediocrity!!...kweli tunafanyiwa kejeli hii halafu unakuta mtu mzima anaitetea eti iko sawa!! Kaka Hansbert umenena vema!!...hii irudishwe kwao!!
Itakuwa hao wanakamati waliweka macho yao kwa hiyo Tsh 500m, wakanunua sanamu feki ili wabaki na pesa ya kutosha. Ccm ni jipu lililoiva tayari, limekosa mtumbuaji tu
Shemles s vitu vingine tunatia aibu hii Sanam haifani na mwalimu nyere kupeana kazi kindungu kisa pesa lakini jee aibu kwa sisi wote watanzania kisa wapiga deal kuzunguka serekali nchi yenye wanafunzi wa chuo kikuu wachoraji ktk taaluma zao ndani ya chuo kikuu alafu tunaonyesha nn Dunia aibu tupu hii sio sura ya mwalimu nyere
Mchambuzi hiyo sanamu, si ya Mwl. Nyerere, huo ni udhalilishaji wa baba waTaifa letu ambaye pia ni mwasisi wa umoja wa Afrika, hiyo sanamu iondolewe haraka, hiyo ni fedhea tupu.
Mimi nauliza imetengenezwa na kampuni Gani? Imetumia dola ngapi tukijua pesa tugawe mala walio kwenda uko nchi yetu kwa ten pasent tutakula na lambilanbi
Hivi walishindwa kuchukua mfano wa sanamu ya Nyerere square iliyoko dodoma kwel?au hata mtengenezaji alietengeneza Ile sanamu ya Nyerere iliyoko dodoma kwanini wasingempa iyo kaz?
Picha za rais awamu ya kwanza zipo kwa wingi Rais binafsi Samia akili kuwa haujui sura/sanamu!.Huyu ndio mgombea kupitia CCM kosa hili halitoshi kukosa sifa ya kugombea????. Inaonekana kuna mengi makosa ametutendea
Hebu sanamu ya mwl.Nyerere iliopo makao makuu Dodoma ipelekwa Adis Ababa italeta heshima kubwa...na hiyo iliyozinduliwa ibomolewe ksbisaa.Ya Dodoma itengenezwe ingine kwa tenda ya alieitengeneza!
Ndugu Ngurumo, hiyo kamati haitakaa ijitokeze yenyewe, wala haitaomba radhi. Ni ya mafisadi. Wameshapiga, ndo maana wanamtanguliza Madaraka kuhalalisha upigaji huo. Dawa yao ni kuwaumbua.
Nyerere hakuwa baba yangu wa kunizaa lakin namkumbuka vizuri jinsi alivyo. Nchi hii imezidi kuchekacheka na kuchakachuliwa kweupe mchana. Shame shame shame😢
Sanamu ya marehemu Mwalimu Julius Nyerere iliyopo Dodoma Square ni nzuri kuliko hiyo iliyopo Mji Mkuu wa Ethiopia.Kwa kuwa hiyo imekosewa Condoleezza bila masharti yo yote,baada ya hapo tuweke sanamu ya kweli.Ndugu zangu wa CCM kulikoni? Hata Mwalimu hamtambui sura yake iliyopo Dodoma Makao Makuu ya CCM?
Hebu acha kuonyesha ujinga wako hadharani. Wenye kujua historia tumeona maisha magumu ya kutisha miaka hiyo. Sukari, sabuni, soda, bia, chakula usafiri ilikuwa jinamizi kipindi kikubwa cha utawala wake. Hatuna tatizo na mchango wake katika kuleta uhuru na kutuunganisha kama taifa lakini maisha yalikuwa magumu sana. Tumevumilia mengi sana kutokana tu na uwezo wake kutushawishi kuwa mbele kulikuwa matumaini. Lakini alivyoiacha ilikuwa juhudi za wenzake kwa kubomoa na kuanza upya.
Sura hiyo haiendani na sura halisi ya mwl Nyerere hata kama ndugu zake wanakiri ni ya baba yao binafsi kama Mtz napinga napinga mwl alikuwa kiongozi wa nchi nzima hivyo tuna kila sababu ya kutoa maoni yetu Nyerere tunamfahamu tusidanganyane mwl lazima apewe heshima yake
Kwanza familia ya nyerere iache kabisa kuhondhi Ubaba wa mwalimu nyerere wachague moja kama ni baba wa taifa la watanzania basi haki zetu nao ziwe sawa. Na kama wanamhodhi wao peke yao basi tukome kumwita baba wa taifa..na madaraka kama angeitwa kwenye mdahalo na kujibu tuhuma asituone sisi ma zombie😢
Hahaha ya mwaka 60 na 80 duh kweli hii nihatareee. Kwanza kwanini serikali inalazimisha hili jambo wakati watanzania hawataki nilikuwa naiman na serikali ya chama Cha mapinduzi ila kwa hili mh hapana.
Hii sio sura yake hata chembe jamani hata Makongoro naye kweli amesahau sura ya mwalimu? Hata mwalimu ulipokuwa na umri wa miaka 40-70 hakuwa na sura kama hii
Tanzania need original peacher of late julias kambarege Nyerere adisababa not that one f fake peaches no one dasnt know late julias kambarege Nyerere his face we have face of late julias kambarege Nyerere face who drowing that peacher of late julias kambarege Nyerere fake peacher
Haya ni muendelezo wa maudhi kwa watanzania kama watawala wanageuka wapiga deal kila kitu,kila mahali!! Sasa tunaamini kuwa hakika mjenga nchi au mvunja nchi atatokea miongoni mwa wale tuliowaamini na kuwapa dhamana watuongoze!
Hakika kama tunaweza fanya hivyo kwa miaka michache tu , je uko mbele itakuwaje ??? Hakika SERIKALI ISIKUBALI KUHAIBIKA KWENYE HILO ,MAANA INATIA UTATA SIYO MWALIMU NYERERE NA MWAL.NYERERE ALIKUWA HB haswaaaaa wanatupaje sura hiyo . Hakika wachonge sanamu ya kinyago cha mpingo , ni makosa kunyamaza kwa serikali kwenye hili na watu kukataa bado wanachuna , hapana kwakweli WATZ TUTACHANGA ILI SANAMU HALISI YA MWALIMU ITENGENEZWE , naomba KIFIMBO CHA MWALIMU NYERERE ISHUGHULIKIE WOTE WALOHISIKA
Tunaopinga kuwa hii sio sura ya Mwalimu Nyerere like
Naunga mkono hoja. Sura ya Sanam ya Nyerere ibadilishwe. Wametudharau na kutuhadaa
Ni kujiaibisha sisi wenyewe kama Watanzania, pili tujifunze kusema hapana kama kitu sicho sicho huwezi kumshikia mtu fimbo akubali..... tuoneshe ile ya Mandela pale South Joberg' - Nadhani sio peke yetu ila hata wanayoitetea moyoni wanajua sio .... Madaraka - Tunaomba Picha Moja tu Ya Baba wa Taifa inatofanana na hiyo Sanamu au iliyotumika kuitengeneza
Kweli viongozi wa nchi( CCM) hakikika MATAAHIRA. Mimi niimekuwapo tangu uhuri mpaka anan' ngatuka, hakika ,Si Nyerere niliyemjua. Duh! WANAFANYA UFISANDI HATA KWA BABA WA TAIFA, PUMBAVU KABISA.
Ibomolewe tu hiyo siyo sanamu ya Mwalimu Nyerere hayukhivyo
Hiyo sura ya Shabani Madobe 😂😂😂😂😂
Hawa viongozi wa Afrika wanalenga kuondoka kabisa spiritual legacy ya mwalimu Nyerere.
Wanafanya makusudi sio kwamba wamekosea.
Yaani wanachakachua hadi sanamu.hatari sana nchi hii
IVI wabongo maskini ni wanaakili sana ila viongo ni waseng tyu
Blind leadership
Huyu SK Media ni MTATA Siku zote; BUT Leo KAHOJI JAMBO LA MSINGI SANA. Sanamu ile Haifanani na Mwl.Nyerere.
Kwambali inafanana na MADARAKA Nyerere!😅
Utafikiri mzoga umevalishwa nguo😂
Sio kweli afanan hata kdg
Tutangaze maandamano kupinga hii sanamu ya mwl nyerere
Hawa watakuwa ccm wamepiga dili ndo zao
Bomoeni Huyo Si nyrere snanywele za Kihabrshi
Naunga mkono Baba wa Taifa sio huyuuuuu
NA KARUME 😮😮😮😮😮😮😮😮😮 SISI HATUABUDU MASANAMU TUPENI MASANAMU WAISLAMU MSIWEKE MASANAMU UPUMBAVU NA USHIRIKINA
Mimi nimesema toka juzi
Hawa wanafanya kusudi
Mami naikataa sanamu hiyo
Samia alikuwepo huko Addis Ababa kwenye uzinduzi hakuona hii kasoro? Kwa nini alikubali udhalilishaji huu wa Baba wa Taifa?
IONDOLEWA HARAKA NA KUWEKWA SANAMU NYINGINE YENYE UHALISIA.
Na hayo mamilioni ya pesa yaliyotolewa kwa ajili ya sanamu hiyo hao "waliopiga" hizo pesa wachunguzwe na hatua stahiki zichukuliwe dhidi yao.
Ndio aifanani hata.kidogo awa ccm mungu anawalaani kila idala tatizo wamezidisha zuluma
Naunga mkono sanamu hili libomolewe. Huyu siye Mwalimu Nyerere, Baba yetu wa Taifa.
SANAMU HII SIYO BABA WA TAIFA BORA IVUNJWE ITENGENEZWE NYINGINE SISI AMBAO TUNATHAMINI MCHAMGO WAKE na UTAWALA WAKE BORA HATUTAKI FOJALI LINAPOKUJA SUALA LA MUASISI WA TAIFA LETU NI ISHU NYETI & SERIOUS KULIKO HUYO Jk na Samia WASITUFANYE WAJINGA"
Yaani fojali hadi kwenye sanamu daaaaaaa hadi aibu
Walinganishe na ya Dodoma. Huyo sio Mwalimu kabisa
Iitafutwe, zipo picha nyingi za Baba/Babu yetu. Hizo ni Hela zinatuponza hata kukubali kumsahahau,⁉️kumuuza Mtuwetu muhimu! Mungu iponye TANZANIA Mungu ifungue TANZANIA, Mungu Ibariki TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 7 x 70 Amina.
Sanamu hii iondolewe ikisubiri kupatikana sanamu inayoonyesha sura sahihi ya hayati baba wa taifa..Mwlm. Nyerere.
Ccm Kila wakianzisha kitu wanafeli nikwasababu ya wizi utapeli uliokithiri
KWA NINI MH. RAIS SAMIA NA KIKWETE NA HATA MADARAKA NYERERE WAMEKUBALI NA KUIBARIKI HIYO SANAMU YA HAYATI MWALIMU NYERERE....AIBU NA FEDHEHA KWA SERIKALI YETU YA TANZANIA.
Wamekubali kwa vile wameshawishiwa kuikubali.
Maoni yangu kwanza Mambo haya Yanazidi kutupa hasira watz huu Ni ufisadi mkubwa Sana ,sielewi wtz tunachukuliwaje , maoni yangu nikuwa kwanza CAG achunguze sanamu hiyo walio husika kuitengeneza nakwenda kuizindua walitumia kiasi gani Cha fedha,Jambo lapili wahusika nauzinduzii huo pamoja na mtoto wake nyerere Madaraka wahojiwe walikuwa na maana gani kulidhalilisha taifa la Tz kiasi hiki, kwani sanamu hiyo siyo ya ukoo Ni ya Taifa la Tz. Jambo la tatu Kikwete aangalie Sana Nini anachotaka juu ya nchi hii kwani tunashindwa kumuelewa analengo gani na Taifa hili
Hivi huyu Mzee utawala si uliisha? Anahitaji Nini alichokisahau, mtu mzima huhitaji kulaumiwa Kila Wakati,
anataka akifa watu wafanye sherehe badala ya kumlilia?
Nakuunga mkono mia kwa mia.Ule ni ufisadi na ukosefu wa maadili.Ile sio sura ya Nyerere.Yaani kwa kweli wametudharau sana sisi watanzania kwa kutuona sisi ni majinga na mambulula.kuweka sanamu kama ile ni kumdhalilisha na kumkosea heshima baba wa Taifa.
@@salummohamed2689I
.@@MathewNathan-yb2bz
Hivi nn kinaenderea katka ulimwengu wa roho kwenye
Taifa letuuu???? Maana hatuerewi!!!!!
Rais na Kikwete hawamjui Nyerere? Au kuna kitu gani juu ya hili jambo?
Mimi najiuliza hao wote wanaoitetea sanamu hii kuwa ni Mwalimu Nyerere tuna wasi wasi na vitu viwili wanatetea ugali wao au wamepewa bahasa ili kuongea uongo hata aliezaliwa 2000 hakubali kweli tunaongozwa na mazuzu kbs jmn dah
Sisi tumekaa na mwl muda wote tunamfahamu hata nikifumba macho Kwa herufi kubwa nakataa hii SI SURA NYERERE WETU. Hii ni serikali imekuweje Kila kitu Kona. Komaeni kutetea hili kama kawaida yenu. Mjadala ndo umeanza. "TUSHIRIKI" kujadili hii aibu.
Naunga mkono lisanamu lisilofanana na My ticha libomolewe linatia aibu na kichefu watz.
Hii nchi usanii umezidi dah naiona aibu. Huyu madaraka anahitaji tiba ya afya ya akili.
...ndiyo maana wakati mwingine unaweza kusema this is the land of ninnies and total mediocrity!!...kweli tunafanyiwa kejeli hii halafu unakuta mtu mzima anaitetea eti iko sawa!! Kaka Hansbert umenena vema!!...hii irudishwe kwao!!
Itakuwa hao wanakamati waliweka macho yao kwa hiyo Tsh 500m, wakanunua sanamu feki ili wabaki na pesa ya kutosha. Ccm ni jipu lililoiva tayari, limekosa mtumbuaji tu
Wamepiga mwingi. Aibu hiyo. Mungu wetu amejibu. Ametenga maji na mafuta. Hiyo ni moja tu ya mabaya yanayotendeka.
Sio sura ya mwl asilani!!!. Madaraka alikuwa na bifu na baba yake alikuwa hampendi.
Shemles s vitu vingine tunatia aibu hii Sanam haifani na mwalimu nyere kupeana kazi kindungu kisa pesa lakini jee aibu kwa sisi wote watanzania kisa wapiga deal kuzunguka serekali nchi yenye wanafunzi wa chuo kikuu wachoraji ktk taaluma zao ndani ya chuo kikuu alafu tunaonyesha nn Dunia aibu tupu hii sio sura ya mwalimu nyere
Mwendelezo wa mikataba ya hovyo
😂😂😂Ufisadi Wào,
Mikataba Hewa Wao,
Sanamu Hewa Nayo Wao.......
Kila Kitu Cha Ovyo Wao ....
BAYA HALIJUI NJEMA
Mchambuzi hiyo sanamu, si ya Mwl. Nyerere, huo ni udhalilishaji wa baba waTaifa letu ambaye pia ni mwasisi wa umoja wa Afrika, hiyo sanamu iondolewe haraka, hiyo ni fedhea tupu.
Mimi nauliza imetengenezwa na kampuni Gani? Imetumia dola ngapi tukijua pesa tugawe mala walio kwenda uko nchi yetu kwa ten pasent tutakula na lambilanbi
HUYO SIYO NYERERE TUIKATAE TUACHE KUWA WAJINGA NA WAPOLE. KWANI HAKUNA MAFUNDI WA KUTENGENEZA NYERERE WA UKWELI!!???
Hivi walishindwa kuchukua mfano wa sanamu ya Nyerere square iliyoko dodoma kwel?au hata mtengenezaji alietengeneza Ile sanamu ya Nyerere iliyoko dodoma kwanini wasingempa iyo kaz?
Point
Yani hiyo sanamu hakuna ATA kinacho fanana na nyeleke labda uyo kalambishwa chochote sio bule
CCM ya Kikwete
Ccm waache ubishi wabadilishe hiyo sanamu maana wao wanatakiwa wasikilize maoni na sio kudictate mambo ya hovyo
Huyo alie tengeneza sanamu ilyopo mwanza siawatengenezee kama hiyo?au wakachukue iliyo pale mwanza
Ndio ibomolewe tu haifanani kbs na sura ya mwalimu
Huyo sijui kafanana na proff lumumba au sijui nani huyo.Huyo sio nyerere kabisa
Jiulize kwa nini sanamu ya Nyerere iliyopo Dodoma haipigiwi kelele.!?
Wameghafirika wakachukua sura ya Nyerere wakachanganya na ya prof. Lumumba. Kazi kwao waliozaliwa kuanzia 1990 watakuja kumjua Nyerere yupi!
Huyu Samia huyu......inawezekana kabisa yeye binafsi hamjui Baba wa Taifa na huyo Madaraka anababatizwa anaogopa kuchomoa ..................
Ukiiangalia vizuri, HASA pua, mashavu na mdomo, BILA kupepesa macho, hii ni sanamu ya *Madaraka Nyerere*
Ni ukweli huyu ni Madaraka Nyerere sio Mwl. Nyerere
Picha za rais awamu ya kwanza zipo kwa wingi Rais binafsi Samia akili kuwa haujui sura/sanamu!.Huyu ndio mgombea kupitia CCM kosa hili halitoshi kukosa sifa ya kugombea????. Inaonekana kuna mengi makosa ametutendea
Hebu sanamu ya mwl.Nyerere iliopo makao makuu Dodoma ipelekwa Adis Ababa italeta heshima kubwa...na hiyo iliyozinduliwa ibomolewe ksbisaa.Ya Dodoma itengenezwe ingine kwa tenda ya alieitengeneza!
Never, hiyo sanamu siyo sura ya Nyerere
Ndugu Ngurumo, hiyo kamati haitakaa ijitokeze yenyewe, wala haitaomba radhi. Ni ya mafisadi. Wameshapiga, ndo maana wanamtanguliza Madaraka kuhalalisha upigaji huo. Dawa yao ni kuwaumbua.
Hiyo ni ela za umoja wa afrika sio za Tanzania 🇹🇿 tutengeneze ya kwetu kwa ela zetu ndio tutasikilizwa.
Naunga mkono asilimia Mia,sura hii SIO ya baba wa Taifa,Bora tuchange tutengeneze ya kwetu kuliko kupoteza sura ya mwasisi wa Taifa letu
Inaoneka kikwete si mtu mwema tena kwataifa Tanzania annaliwe kwa jicho lingine
Nyerere hakuwa baba yangu wa kunizaa lakin namkumbuka vizuri jinsi alivyo. Nchi hii imezidi kuchekacheka na kuchakachuliwa kweupe mchana. Shame shame shame😢
Sanamu ya marehemu Mwalimu Julius Nyerere iliyopo Dodoma Square ni nzuri kuliko hiyo iliyopo Mji Mkuu wa Ethiopia.Kwa kuwa hiyo imekosewa Condoleezza bila masharti yo yote,baada ya hapo tuweke sanamu ya kweli.Ndugu zangu wa CCM kulikoni? Hata Mwalimu hamtambui sura yake iliyopo Dodoma Makao Makuu ya CCM?
Mwl amekataa kuzinduliwa .umeme shida,sukari shida,maisha magumu hata kama tunapambana ..Mwl kakataa maana nchi yake hakuiacha hivi..
Hebu acha kuonyesha ujinga wako hadharani.
Wenye kujua historia tumeona maisha magumu ya kutisha miaka hiyo. Sukari, sabuni, soda, bia, chakula usafiri ilikuwa jinamizi kipindi kikubwa cha utawala wake. Hatuna tatizo na mchango wake katika kuleta uhuru na kutuunganisha kama taifa lakini maisha yalikuwa magumu sana. Tumevumilia mengi sana kutokana tu na uwezo wake kutushawishi kuwa mbele kulikuwa matumaini. Lakini alivyoiacha ilikuwa juhudi za wenzake kwa kubomoa na kuanza upya.
@@Sheba4651 😂😂😂😂😂
Sura hiyo haiendani na sura halisi ya mwl Nyerere hata kama ndugu zake wanakiri ni ya baba yao binafsi kama Mtz napinga napinga mwl alikuwa kiongozi wa nchi nzima hivyo tuna kila sababu ya kutoa maoni yetu Nyerere tunamfahamu tusidanganyane mwl lazima apewe heshima yake
Hakika sijutii kukutana na channel ya mzee huyu, amenifumbua Mambo mengi sana ambayo hapo awali siku weza kuyajua juu ya Taifa letu hili🇹🇿
Jambo msilolijua ni Madaraka peke yake kwa vijana wa Mwalimu Nyerere aliyekataa kuozwa na Baba yake.Alioa kwa jasho lake mwenyewe.
Kwanza familia ya nyerere iache kabisa kuhondhi Ubaba wa mwalimu nyerere wachague moja kama ni baba wa taifa la watanzania basi haki zetu nao ziwe sawa.
Na kama wanamhodhi wao peke yao basi tukome kumwita baba wa taifa..na madaraka kama angeitwa kwenye mdahalo na kujibu tuhuma asituone sisi ma zombie😢
Nchi makini hawawezi kufanya kitu kama hiki
Hata mimi naikataa..huyo kijana aliyesena ni sura ya babake, labda huyo ni babake musibishe...ila si sura ya mwl Nyerere.
Hahaha ya mwaka 60 na 80 duh kweli hii nihatareee. Kwanza kwanini serikali inalazimisha hili jambo wakati watanzania hawataki nilikuwa naiman na serikali ya chama Cha mapinduzi ila kwa hili mh hapana.
Hii sio sura yake hata chembe jamani hata Makongoro naye kweli amesahau sura ya mwalimu? Hata mwalimu ulipokuwa na umri wa miaka 40-70 hakuwa na sura kama hii
Toa order kwa mtaalam aliyekomaa kwenye fine art, (sculptor)atengeneze sanamu ya baba wa Taifa.
Tanzania need original peacher of late julias kambarege Nyerere adisababa not that one f fake peaches no one dasnt know late julias kambarege Nyerere his face we have face of late julias kambarege Nyerere face who drowing that peacher of late julias kambarege Nyerere fake peacher
Haya ni muendelezo wa maudhi kwa watanzania kama watawala wanageuka wapiga deal kila kitu,kila mahali!! Sasa tunaamini kuwa hakika mjenga nchi au mvunja nchi atatokea miongoni mwa wale tuliowaamini na kuwapa dhamana watuongoze!
Ni bora wangekuja kuchukua sanamu ya baba wa taifa iliyopo Tabora
Hee. Yaani. Ni kwamba sanamu ilitaka kufanana fanana kidogo na mwalimu but ni kitu cha kurudiwa tena ili ukumbusho ukae sahihi
Huyo atakuwa banda wa malawi
1FAL3:21.....nilipomtazama sana,kumbe siye mtoto wangu niliye mzaa.MADARAKA soma hiyo,umebadilishiwa Baba yako.Phew!!!
Hivi tuna serilari Tanzania au tuna nini? Hilo lisanamu walitoe walipeleke walikolitoa undugu na rushwa vinaangamiza taifa hili
SIO SANAMU YENYE MUONEKANO WA BABA WA TAIFA LANGU HII JOMONI 😭😭😭 HEBU WAIVUNJILIE MBALI HUKOO
Ibomolewe hata leo isindele kukaa hapo. Madaraka tueleze kilichokupata
yan wamesahau sura ya nyerere baba wa taifa hapana ni ufisadi tu huu watanzania tuamke huu ni unyonyaji ccm inatuendesha wanavyo taka
Nakataa sio picha ya mwalimu haina mvuto pia huyo mfupi tengenezeni ingine tuone
Wanatuchezea!...naamini hata pale idara ya FPA UDSM wengeweza kufanya kazi hiyo vizuri...
Madaraka mwenyewe ni mlevi wakishampa mvinyo hajui kinachoendelea.
Viongozi wetu jamani hivi hawaoni aibu
Shuti ya mwalimu haikuwa kubwa hivyo, suti ya mwalimu ilikuwa ina mvaa vizuri
Mimi nasema sanamu lile liondolewe tu
hapo2 inatosha kujua na kufahamu vingozi wetu hawatoshi kabsaaaa
Naunga mkono kwa usahihi itengenezwe sanamu nyingine full stop
Hili ni lisanamu la.mtu wa kale miaka 1000 iliyopita, si Nyerere tunayemjua, Baba Wa Taifa
Mimi toka walipolifunua tu siku ya uzinduzi Niliikataa na sasa nasema waliondoe , waliondoe, kichefu chefu.
Nina mashaka na Madaraka kama kweli Julius Nyerere alikuwa baba yake halali.
Kuna mambo mengi haya itaji utahalamu macho yanatosha
Jaman hahaha hahaha 🤣🤣🤣 madaraka kapiga vyombo.... Si Bure. Huwezi msahau baba yako KIASI iko Jamani.
Hakika kama tunaweza fanya hivyo kwa miaka michache tu , je uko mbele itakuwaje ??? Hakika SERIKALI ISIKUBALI KUHAIBIKA KWENYE HILO ,MAANA INATIA UTATA SIYO MWALIMU NYERERE NA MWAL.NYERERE ALIKUWA HB haswaaaaa wanatupaje sura hiyo . Hakika wachonge sanamu ya kinyago cha mpingo , ni makosa kunyamaza kwa serikali kwenye hili na watu kukataa bado wanachuna , hapana kwakweli WATZ TUTACHANGA ILI SANAMU HALISI YA MWALIMU ITENGENEZWE , naomba KIFIMBO CHA MWALIMU NYERERE ISHUGHULIKIE WOTE WALOHISIKA
Tatizo la kulishwa bulga si mchezo, lakinii serlikali iko wapi?
Hata i fm iliikosoa sana ile sana kwa challenge yao pale ofisini kwa kuichonga mfano wa masanja eti ndio majizo
Aibu kubwa!
Tanzania bdo san kama had sanamu akafinyangwe ulaya
Tuna wasanii wa kutosha. Ni dharau au dili tu.