TUMWAMINI DK SLAA WA CHADEMA AU WA USALAMA WA TAIFA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Ni tafakuri juu ya nafsi mbili za Dk Willibrord Slaa akiwa Chadema na akiwa Serikalini

Комментарии • 136

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Год назад +2

    ni propaganda tu hizo kama kweli yeye anasimamia haki kwanini akumuitia huyo kijana wangu ofisa wa redbrigade polisi waje wamkamate kwa kuteka..!!? kuteka mtu ni crime iwe imefanywa na mwanachadema au asiye mwanachadema..

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 5 дней назад

    JOSEPH YONA ANAHAKI YAKUMFUNGULIA MBOE MASHITAKA KAULI HII NI SAHIHI CHADEMA KUNAUTEKAJI

  • @leonardchoma3765
    @leonardchoma3765 Год назад +8

    Mimi naamini Chadema kuna ujanja ujanja mwingi sana.Dr Slaa ni mkweli Sana.

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Год назад

      Kwa kuwa amefanya propaganda unazozipenda? Je, huoni hata anachokisema anajikanganya? Kama huna uwezo wa kuchambuia mkanganyiko wake, basi huwezi kuelewa hata anachosema. Huyu anafanya kazi ya waliompa mkate. Yupo kazini. Ila anapoteza muda.

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 Год назад

      Hivi ingekua kweli chadema ndo waliohusika na tukio la kumpiga risasi Lissu, kwanini serikali mpaka ss hawajawakamata waliohusika na tukio hilo? 🤔 Kwani serikali ilisema Lissu alishambuliwa na wasiojulikana? 🤔 Ujinga ni ufukara mkubwa. Kabla ya kuongea kitu fikiria kwanza bro.

  • @geraldmihimbo1542
    @geraldmihimbo1542 Год назад +2

    Huyu Slaa hana hisia hata kidogo.kumbuka hata kesi ya uongo ya Mbowe alisema anashangaa wanaosema Mbowe sio gaidi.

  • @madafajulius3257
    @madafajulius3257 Год назад +2

    Dr anachuki tuu na tamaa yake ya madaraka....alikuwa wap wakati woote ..

  • @philbertcelestin7057
    @philbertcelestin7057 Год назад

    Kama kijana wa red brigade alimwambia,kweli hiyo inatosha kusema kuwa huo ndo ukweli? Huyu ndo anasisitiza kuhusu kiongozi kusema ukweli???

  • @humphreysolo3331
    @humphreysolo3331 Год назад +1

    Mzee msomi unaposha taifa kwa faida zako za siasa chafu.

  • @adammbaruku2499
    @adammbaruku2499 Год назад

    Mbona mnamshambulia kwa maneno Dr Slaa badala ya kufanya uchunguzi kwa aliloongea!! Kwan yaweza kuwa kweli, kwani hao CDM hawawezi kufanya hivyo? Nakumbuka cku mbili kabla ya tukio Lema alisema bungeni kuwa hao jamaa wanao ua Kisini kuna siku watakuja Dodoma!! Je alijuaje!?

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Год назад

      Akili timamu zinatosha kujua nani aliamuru tukio lifanyike. Hiyo si ndiyo ingekuwa tiketi ya JPM kuua Chadema? Fikirini!
      Unaelewa sababu ya kuondoa ulinzi wote katika makazi ya viongozi alipoishi Lissu na jirani zake, akiwemo Tulia Ackson? Unafahamu sababu ya JPM kuagiza uchunguzi wa kamati ya Bunge ya Adadi Rajab usisomwe bungeni? Unafahamu sababu ya JPM kuzuia malipo ya matibabu ya Lissu? Unafahamu sababu ya Polisi kuchukua na kuficha CCTV Camera? Unafahamu sababu ya waziri wa mambo ya ndani baadaye kudai kuwa CCTV Camera haipo? Unafahamu sababu ya JPM kuagiza Lissu avuliwe ubunge wakidai hawajui aliko? Unafahamu sababu ya Jeshi la Polisi kugoma kufanya uchunguzi wa tukio hili hadi leo?
      Yote haya na mengine, bado hayastui akili yako hata kabla ya uchunguzi wowote? THINK!

  • @damasmaleo4845
    @damasmaleo4845 Год назад

    Silaa kazeeka anashindwa kuwa na macho akilini

  • @user-zh8wg3lc4i
    @user-zh8wg3lc4i Год назад +2

    Nafikiri huyu bwana ni mgonjwa mbona anachanganya mambo? Anatuchanganya si mtu wa kumwamini.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri День назад

    Huyu mzee,hana hakika kama maelezo aliyopewa na mtumishi wake ni ya kweli bila mashaka.Nadhani haya ni ya kuficha ukweli uliokuwepo.

  • @kudraisrael1068
    @kudraisrael1068 Год назад +1

    Dkt. Slaa je , ni msema kweli?? Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA anaichafua chama kisasi hiki...! Dkt. Slaa ni Padre wa Katoliki kws kiapo Altereni mwaka 1977 Agosti. Ameacha Upadre huo na kuingia Siasa. Huyo ni wa kuaminika kweli? Sasa anaifagilia CCM/Maguguli anliyempa cheo cha Ubalozi Sweden, nk. Dkt. Slaa ni wa kuogopwa kama Ukoma...

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 Год назад +5

    Huyu alikuwa mpumbav na atazidi kuwa mpumbavu haswaaa

  • @zachariamakamillo1965
    @zachariamakamillo1965 Год назад +4

    Smg chadema wametoa wapi? Tuanzie hapo.

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 5 дней назад

    UNAMTUKAN SASA KWAKUWA KAFICHUA UKWELI KATOA SIRI ZA CHAMA MBOE NIGAIDI ASIKOFU ALIMUOMBEA KWA RAIS AFUTIWE SHITAKA LA UGAIDI

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 Год назад +3

    Dr. Slaa Atakiwa apelekwe Milembe akapimwe kisha atibiwe, Dr. Hafai hata kukaa nae jirani, Dr. Anaweza kukupa mkojo wajati ukiwa na kiu kali. Dr. Slaa is a pathological liar he is sick 😫 Dr. Slaa is sick, and he needs medical attention ASAP.

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 Год назад

      Hueezi kumuelewa. Ni wewe ndiyo inatakiwa kupelekea milembe

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Год назад +3

    Huyu mzee ni bwege kbs hafai kuwa kiongozi ana njaa kali ya madaraka NB ajitambue

  • @ibrahimidabu3300
    @ibrahimidabu3300 Год назад +3

    Kwahiyo baadaye ulichukua hatua zipi kama kiongozi mtendaji mkuu kipindi hichohicho

  • @coolsinare2191
    @coolsinare2191 Год назад +1

    ukishachukuliwa na ccm akili yako inageuka inakuwa ya shetani..kama ndani ya chadema kuna ubaya wowote serikali na ccm ingekuwa ya kwanza kuiumbua..we are not fools and stupid so unataka kusema ni chadema wamempiga risasi Lissu ndani ya majengo ya serikali halafu serikali tena ya Magufuli inyamaze??ndo maana nchi hii imeoza msomi kama yeye anazungumza uchafuuu tena kwenye media

  • @zakayoyohana1736
    @zakayoyohana1736 Год назад +9

    Yan mimi hiki kizee sikipendi kwanza alisema kwamba siasa aliacha

    • @paschalmartin9598
      @paschalmartin9598 Год назад

      Humpendi kwa sababu hujielewi kiufupi unapenda siasa za majitaka kwanza slaa sio mnafiki

    • @knight6757
      @knight6757 Год назад

      🤔🤣

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Год назад +4

    KWANN UNAMLAZIMISHA DR SLAA AFIKIRI KIDOGO KAMA WEWE? WEWE UNA CHUKI NA MAGUFULI FULL STOP. SASA UNA HASIRA DR SLAA NA WIVU TUU!

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 11 дней назад

    Dr slaa alifukuzwa updre kwasababu ya upumbavu

  • @nakeidepaulo2766
    @nakeidepaulo2766 Год назад

    ata wewe mchambuzi ni pathetic na wewe n mwenye propaganda TU, CCM chadema and whatever if it's politics I warn you don't mess yourself in that fucking trap

  • @jesaminzo
    @jesaminzo Год назад

    Huyu dr simwelewi, hivi ni CDM au Serikali walio na vyombo vya uchungizi? Kwa hiyo Tundu Lissu au kijana wake wafanyiwe haya na upinzani halafu wanyamaziwe? Ngurumo umemaliza kila kitu hapa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 11 месяцев назад

    Hajakimbilia kwa magufuli kupewa ubalozi yeye alikuwa mkimbizi wa kisiasa kutoka Chadema kwa vile Wenzie walimuingiza Lowasa awe Rais wakati alikuwa na makosa ya richimond hadi kujiudhuru Uwaziri Mkuu Dr slaa alipendwa tu na Magufuli kwa ajili ya ukosoaji wake kama vile Bashiru aliyemtoa Cuf

  • @sashawambura
    @sashawambura Год назад +2

    Huyu mzee anayeitwa Dr. Slaa hafai tena kua ndani ya Chadema..ni mole..ni msaliti..ni opportunist..ni mnafiki hakika...abaki huko alipo na hatumuitaji asilani..hana cha kutuongeza..Chadema ni kubwa na ina watu sahihi na mujarabu..let's forget about him completely

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Год назад +12

    Huyu ndio mwanasiasa wa kweli🤔🙏🏿

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Mnafiki huyo

    • @eaglecrown6470
      @eaglecrown6470 Год назад

      @@ahz6907 Dr slaaa sio mnafiki Kuna siku Dr slaaa aliongea mambo mengi Sana ikiwemo utata juu ya kifo Cha Chacha wangwe unavyousianishwa ndani ya chadema na hilo chadema Hadi leo hawajalipinga unasemaje Dr slaaa mnafiki?
      Kwanin zito kabwe alitoka chadema nae ni mnafiki?

  • @reginaldtemu6305
    @reginaldtemu6305 Год назад +7

    Huyu slaa alinunuliwa na magufuli, ipo siku atakiri Mungu yupo

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 Год назад

      Dr Slaa hanunuliki. Hans tamaa ya pesa. Walionunuliwa tunawajuwa. Dr Slaa no kiongozi mwenye musimamo. Chadema ni chama wazungu wanataka kishike madaraka kwa manufaa yawo na sio ya watanzania. Africa kazika iwe masikini kutumia njia yeyote ile.

  • @EmanuelBayo-i8b
    @EmanuelBayo-i8b 6 месяцев назад

    Unamlazimisha aseme kitu ambacho hana taarifa nayo ? Huna hoja maana yanayotokea hata wewe unajua sasa dk slaa afanyeje au wewe umetumwa?

  • @abdallavictory6723
    @abdallavictory6723 4 месяца назад

    Kwa Umri wake anatakiwa slaa asamehewe' mahana hajui atendalo, baya wala zuri.

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Год назад +3

    Sasa kwahiyo Chadema wanauwezo wakuondoa Cctv Cameras za pale maeneo ya Bunge???!Huyu Doctor Silaa niwamchongo.

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi Год назад

    Sema la kwako,sasa tusikosoane hatutafika kwa staili yako hiyo . Adui yetu ni ccm. Mbona wewe uko mbali njoo

  • @johnmlangi6890
    @johnmlangi6890 Год назад

    Dr W. Slaa alikisaliti Chama na kuanza Propaganda za Chama Tawala. Kama anataka kurudi Chadema awe Mwanachama wa Kawaida. Hawezi aminika kupewa uongozi wa juu wa Chama.

  • @sasungafumbwa8130
    @sasungafumbwa8130 Год назад +5

    Ila huyu Slaa kweli mpumbavu na hawezi rekebishika

  • @gefreyazeki5158
    @gefreyazeki5158 Год назад +6

    Pumbavu ivi ww mzee unafikili tunasahau ulivyo lamba asali nakutusaliti olewako tukuone majukwaani

  • @EmanuelBayo-i8b
    @EmanuelBayo-i8b 6 месяцев назад

    Mwamini unayemwani ila slaa Huna hata namna ya kumjadili waandishi hawa bwana bc

  • @emanuellukwaro1032
    @emanuellukwaro1032 Год назад +7

    Uliripoti wapi tukio Hilo kama katibu mkuu

  • @mopehcompany232
    @mopehcompany232 Год назад +1

    Dr slaaa kiukweli hana hata aibu inakuaje? hawez fikia km kpnd kile ashapoteza popularity kwa kweli hata ubunge kwao hawezshindaaaa.....asamehewe awe raia wa kawaida tu asipeweuongoz wowote

  • @jafferterry9000
    @jafferterry9000 Год назад +1

    Huyu Dr slaa hajawahi kuaminika . Ni ujinga na upumbavu kupoteza muda kumjadili . He is a spent force.

  • @petersulle1937
    @petersulle1937 Год назад +2

    Hakuna kinachonishangaza kama tabia ya huyu Slaa kusema vijana wangu, watu wangu, anashindwa kujua alikuwa anaongoza taasisi alipaswa kusema vijana wetu, watu wetu. Ajisahihishe

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Год назад +3

    Huyo Dr slaa ni chawa wa watawala.

  • @alexmpoke2610
    @alexmpoke2610 Год назад +1

    Kumbe ameshanyanganywa ubalozi?Ha ha ha

  • @joejosca7594
    @joejosca7594 Год назад +2

    Amina Kaka Ngurumo

  • @jiwekichwa2857
    @jiwekichwa2857 Год назад +2

    Dr Slaa ni mnafki asiye na haya.

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Год назад +2

    Huyu Slaa ana kalaana kanakomnyemelea. Vinginevyo he is very stupid

  • @kilongodaff
    @kilongodaff Год назад +4

    Huyu mzee sio mzima ni mgonjwa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 11 месяцев назад

    Kwani humo Chadema hamna Mamluki

  • @petersulle1937
    @petersulle1937 Год назад +1

    Mimi nakubaliana na wewe kabisa wala sikuwahi kufikiria mara mbili kwamba Slaa anayeongea siyo yule wa chadema, wala sina haja naye, hivi ni ccm gani wanaojua wapinzani wanatekana halafu waachwe huru.kwa upendo upi?

  • @godblesskessy5516
    @godblesskessy5516 Год назад +2

    Hakuaminika kanisani ataaminika kwenye siasa?

  • @AP-uk3mq
    @AP-uk3mq Год назад +5

    Nakubaliana na wewe %100

  • @manchumaiddi766
    @manchumaiddi766 Год назад +3

    Mzee acha kutumika unazingua

  • @sinaubavu2810
    @sinaubavu2810 Год назад +2

    Dokta slaa nimuongo

  • @alizanzibar1586
    @alizanzibar1586 Год назад +4

    Mzee wangu umechemcha, Madaraka yamekulewesha

  • @gersonfungo5893
    @gersonfungo5893 Год назад

    Nadhani Chadema sio malaika sana. Kuna elements za ugaidi zinawafuatilia na Dr. Slaa amelisema hili(kutekana etc)
    SWALI: KWANINI DR. SLAA AKIMBIE NCHI BAADA YA KUAMUA KUTOUNGANA NAO 2015??? Mtu wa caliber yake akimbie na huku ameungana na ccm sio jambo la dogo.
    Dr. Slaa ndio mkimbizi wa kwanza wa kisiasa kabla ya hawa wengine walio make it a political agenda ya kuichafua nchi.

  • @francohaule8057
    @francohaule8057 Год назад +3

    Kizee hiki kimezeka vibya

  • @nelsonishengoma9548
    @nelsonishengoma9548 Год назад +1

    Akuna mtu mpuuzi maka mbowe,lipumba, lisu.
    Dr Slaa yupo sahii

    • @januarysila1569
      @januarysila1569 Год назад

      Siku zote cjaacha kukukubari mzee wa maswari magumu

  • @mabubambassa4882
    @mabubambassa4882 Год назад

    Acha uongo wewe unayoyaongea una ushahidi, usitudanganye. Dr. Slaa alikuwa katibu mkuu anafahamu anachokisema. Kuna John Marwa ambaye leo ni mtangazaji wa Dar Mpya, aliwahikutuambia alipigwa na vijana wa redbrigedi waliotumwa na mbowe kwa sababu John Marwa alikuwa anamkampeignia Zitto kuwa mwenyekiti alipokuwa chadema enzi hizo.

  • @philbertcelestin7057
    @philbertcelestin7057 Год назад

    Unabaki kwenye chama hatari baada ys kuripotiwa utekaji ndani ya chama kuna utekaji??unafummbia macho utekaji?

  • @olaismollel7162
    @olaismollel7162 Год назад +7

    Asante kwa ufafanuzi huyu mzee nimoja wawatu wasiopaswa kusikilizwa hata na mtoto wa lakwanza...kama agenda ilikua nikuitoa ccm madarakani kilchomfanya ajiengue 2015 ninini??? Siangevumilia tu huo urais angekuja kuupata?? Kwani lowasa angeongoza milele??? Hapa mtu mwenye mageuzi yakweli asiekubali kuuza wananchi ni lissu na mbowe tuu ndio viongozi wakuu wakusikilizwa

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 Год назад

      Tunamusiliza sisi wenye akiri timamu. Wajonga kama wewe kaa prmbrni xiba masikio.

    • @drsumatz7539
      @drsumatz7539 Год назад

      Kaka uko sahihi

  • @saidinalmsofethatsgoodwaya6454

    muda wa tukio

  • @kenedrocky5964
    @kenedrocky5964 Год назад +3

    HUYU DR SLAA ANAZEEKA VIBAYA NINAMTAZAMO NA FIKRA ZA HIVYO.

  • @user-zh8wg3lc4i
    @user-zh8wg3lc4i Год назад

    Huyu bwana ni mwongo na mzandiki simpendi kabisa anazunguka zunguka.

    • @user-zh8wg3lc4i
      @user-zh8wg3lc4i Год назад

      Anatapa tapa,lakini amechelewa nani anamwamini sasa? CHADEMA wanakujua na hawana time na wewe kadandie CCM mkashindane ufisadi.

  • @kombidin..2583
    @kombidin..2583 Год назад

    Chukua Wasomali wahamiaji haramu wenye jaa,weka kwenye viroba ,tupa barini,singizia serikali!Does it make any sense to you?Mjitafakari sana

  • @leonkindole4986
    @leonkindole4986 Год назад +5

    Nice analysis Mr. Man, I like u

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 Год назад +2

    Kweli hata ukiwa PhD kama umezaliwa mjinga ni mjinga tu. Kwanini hamtaki huyo kijana aliye mpa taarifa? Je kama chadema wanatekana jesh la police kwa nini halijafanya uchaguzi na kuwakamata hao wanao tekana.

  • @samwelitangasi9580
    @samwelitangasi9580 Год назад

    Dokter slaa anazeeka kiakili mwanzo kasema aliamina moja kwa moja kijana katekwa na usalama wa taifa

  • @mmewaswida
    @mmewaswida Год назад +1

    Kweli ni mjinga.

  • @christophermanyaku1390
    @christophermanyaku1390 Год назад +2

    Ulichukua hatua gani kama kiongozi?

  • @sallkazi9319
    @sallkazi9319 Год назад +2

    Hahaaaaaaa dokta slaa

  • @leonardsebunga7187
    @leonardsebunga7187 Год назад

    Hoja nini,Ni maneno ya Dr slaa au tatizo la lissu wewe pia hujioni kwamba unalazimisha uongo wako uwe wa slaa

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Год назад

    Memorandum of understanding???

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Год назад

    Dr Slaa yuko sahihi kwenye hoja zake. Mtu akisema hana comment, wewe kwa nini umlishe maneno. Ametolea mfano tukio lingine. Na huo ni mfano tu. Ko mchambuzi pia unatuchanganya, mtu kasema no comment ww unaendelea kuhoji. Ni uzumbukuku

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Год назад

      Kama yupo sahihi, basi amekuwa anatumikia usalama wa taifa akiwa Chadema. Otherwise, haya angeyasema siku ya pili akiwa katibu mkuu, na kama angekuwa hakubaliani nayo angejiuzulu. Tungemuunga mkono. Au hujui maana ya kuwa mtendaji mkuu? Lolote linalotokea, ndiye anawajibika. Na kama lilitokea na halihusu TISS, hiyo kesi iko wapi? Iliishia wapi? Kesi ya dola dhidi ya upinzani inaweza kufifishwa kimya kimya bila hata vyombo vya habari? CCM hii ambayo imekuwa inatafuta mwanya wa kuua upinzani, ipate upenyo kama huu halafu yenyewe ifunike kombe? Akili yako inakuruhusu kuona hili? Uzumbukuku ni kutoona propaganda chafu anazofanya Dk Slaa. TUMBO!

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 Год назад +4

    Dr slaaa mwehu ambe hatopona. Sjui huu ubarozi sjui mjinga gani alimpa

  • @davidmwandiga3465
    @davidmwandiga3465 Год назад +2

    Hakuna wa kumwamini hapo, nikiini macho dkt

  • @mahanjisanga3077
    @mahanjisanga3077 Год назад +1

    Mzee vipi mbona siku zote hukusema .zeeka vinzuri

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Год назад

    Nenda zako huko. Dr Slaa yuko sawa.He is aman of integrity, na habaishwi na uwongo. Ni musema kweli wenye chuki naye wajonyonge. Hiki sio kituko, kituko ni Tundu Lissu mernye kusema shutuma bila ushaidi.

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 Год назад

      Grace tafuta mti ili ujinyonge ujue zama zimebadilika

  • @mwalimukhamisi1680
    @mwalimukhamisi1680 Год назад +1

    Ukweli wa jambo hili utabainika iwapo kama Serikali itafuatilia hoja ya Dr. Slaa kuanzia huyo aliyetekwa, na ushahidi mwingi wataupata kwake kwani wahusika wote anawajuwa kwani hiyo ni Jinai si ya kupuuzwa.
    Kama chama cha Siasa kina haki ya kufanya hayo alafu kikaachiwa hivi hivi basi Raia tupo hatarini ktk mikono ya vyama vya Siasa.

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +2

    sasa Mbona hukusema ulipokua chadema

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 Год назад

    Nyie CHADEMA hamjawahi kuaminika vipi kuhusu Chacha Wangwe? Na vipi kuhusu Lowassa mbona mlimsema fisadi bado mkampa kugombea Urais?

    • @iampirezofficial5272
      @iampirezofficial5272 Год назад

      kutubu ni swala la kutoka kwa Mwenyezi Mungu

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Год назад

      Muulize Yusuf Makamba, Kikwete na polisi wao. Chadema wamewahi kumiliki TISS au polisi? Jiongeze usiwe unalishwa propaganda za kitoto. Au hujui dola inavyo-operate?
      Propaganda hiyo imewagomea kwa zaidi ya miaka 10. Hamjifunzi? Hata kama una ubongo mdogo kiasi gani, ni rahisi kujua nani amekuwa anacheza mchezo huu...

  • @shijamarco2662
    @shijamarco2662 Год назад

    Mbona hamsemi alie mukubalia roasa kuingia Chadem kwajili ya kugombea urais wakati huo silaha mlimsaslit

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Год назад

      Ni Slaa mwenyewe aliyemkaribisha. Mengine muulize mkewe. Sasa wote wapo huko alikokimbilia.

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Год назад

    Huyo Silaa nichizi

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Год назад +4

    Huyu zombi mpuuzi

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Год назад

    I wish ungesoma kitabu chake Cha NYUMA YA PAZIA WEKA CHUKI PEMBENI. AT LEAST I KNOW U TO BE A CHRISTIAN TENA A CATHOLIC LAKINI UR WAYS OF THINKING ARE PERVERTED.

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Год назад +1

      Laiti ungejua ninachokijua juu yake, na nyuma ya pazia ya kitabu chenyewe. Muwe mnajiongeza. Kwani ukatoliki wa Slaa una uzito kuliko wa nani? Unaenzi ukatoliki unaomeza na kutema propaganda? Hayo anayosema hata mtoto wa darasa la 7 anaweza kutambua kuwa ni uwongo. Mantiki ya mtoto mdogo tu inatosha

    • @baraka1237
      @baraka1237 Год назад

      Mambo ya siasa niii fumboo kuu

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja74 Год назад +1

    Ngurumo ni mtu mwenye uweled sana. Napenda Chambuz zake.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Год назад

    SK MEDIA acha propaganda. Watanzania sio wajinga. Dr Slaa anasema ilivyo. Acha propaganda zako.

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Год назад +1

      Amekukamata? Au nawe unaogelea katika mawazo maovu ya kipropaganda? Unaona yana maana yoyote? Hebu msaidie kujibu hayo maswali niliyouliza.

    • @drsumatz7539
      @drsumatz7539 Год назад

      Kweli wewe hujui hata kusoma nyakat kaka au !!!!!! How unaanza kusupport katk direction ambayo Sio muda wake !? Mzeeee zama za giza zishaisha saiv nuru you kubali tuendeleeee mbele

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Год назад

    Nakuelewaga sana 😘

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Год назад

    Ndiyo maana ikaitwa sili hili neno sili ni baya sana pamoja na pesa unaweza ukapata matatizo na mtu usiyemtegea na ikwa kimya na mtu usiye mtegemeya vile vile na ikawa kimya

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 Год назад

      Mzee Jimmy unalaana lakipekeekabisa , wewe hunahuruma nawatoto ndg najmaa pamoja namarafiki wako, ebufikilia mambohaya yaajabu yanayotekea TZ,

    • @jimmymnuano7165
      @jimmymnuano7165 Год назад

      @@josephmakutano7067 Sio laana bali huwo ndiyo ukweli sio lamli bali wewe ni mtu wakufiliya pumba hauoni mbali ndiyo wale watu wa 2+2 =5 baadaye ndiyo unajilaumu wala haujuwi kama huo ni mkenge baadaye ndiyo utajuwa kama mkenge

  • @harithmuhammad4394
    @harithmuhammad4394 Год назад +1

    Wee kicha naona

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 Год назад

    namkubal slaa

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 Год назад +1

    unajambo lako ww

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 Год назад

    Mwenye akili atamuelewa Dr Slaa,lakini wale wenye akili fupi,watamshambulia Dr Slaa,ukweli utabaki kuwa ukweli.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Год назад

    🤔Kwa usemi wake anawajua baadhi ya watu waliohusika na hujma au vitendo vya uvunjaji wa sheria. Kama ni hivyo, kwanini alishindwa kuripoti, au kwanini yeye mwenyewe yuko huru?🤔

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 Год назад

    Tatizo nyie chadema mlisha Anza utekaji na kiongoz wako mwekiti kahusika

  • @danielmatya373
    @danielmatya373 Год назад

    Tunawapa matahira air time

  • @tanzaniashinyanga454
    @tanzaniashinyanga454 Год назад

    Propsganda zako ibaki nazo huko huko