ni propaganda tu hizo kama kweli yeye anasimamia haki kwanini akumuitia huyo kijana wangu ofisa wa redbrigade polisi waje wamkamate kwa kuteka..!!? kuteka mtu ni crime iwe imefanywa na mwanachadema au asiye mwanachadema..
Kwa kuwa amefanya propaganda unazozipenda? Je, huoni hata anachokisema anajikanganya? Kama huna uwezo wa kuchambuia mkanganyiko wake, basi huwezi kuelewa hata anachosema. Huyu anafanya kazi ya waliompa mkate. Yupo kazini. Ila anapoteza muda.
Hivi ingekua kweli chadema ndo waliohusika na tukio la kumpiga risasi Lissu, kwanini serikali mpaka ss hawajawakamata waliohusika na tukio hilo? 🤔 Kwani serikali ilisema Lissu alishambuliwa na wasiojulikana? 🤔 Ujinga ni ufukara mkubwa. Kabla ya kuongea kitu fikiria kwanza bro.
Mbona mnamshambulia kwa maneno Dr Slaa badala ya kufanya uchunguzi kwa aliloongea!! Kwan yaweza kuwa kweli, kwani hao CDM hawawezi kufanya hivyo? Nakumbuka cku mbili kabla ya tukio Lema alisema bungeni kuwa hao jamaa wanao ua Kisini kuna siku watakuja Dodoma!! Je alijuaje!?
Akili timamu zinatosha kujua nani aliamuru tukio lifanyike. Hiyo si ndiyo ingekuwa tiketi ya JPM kuua Chadema? Fikirini! Unaelewa sababu ya kuondoa ulinzi wote katika makazi ya viongozi alipoishi Lissu na jirani zake, akiwemo Tulia Ackson? Unafahamu sababu ya JPM kuagiza uchunguzi wa kamati ya Bunge ya Adadi Rajab usisomwe bungeni? Unafahamu sababu ya JPM kuzuia malipo ya matibabu ya Lissu? Unafahamu sababu ya Polisi kuchukua na kuficha CCTV Camera? Unafahamu sababu ya waziri wa mambo ya ndani baadaye kudai kuwa CCTV Camera haipo? Unafahamu sababu ya JPM kuagiza Lissu avuliwe ubunge wakidai hawajui aliko? Unafahamu sababu ya Jeshi la Polisi kugoma kufanya uchunguzi wa tukio hili hadi leo? Yote haya na mengine, bado hayastui akili yako hata kabla ya uchunguzi wowote? THINK!
Dkt. Slaa je , ni msema kweli?? Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA anaichafua chama kisasi hiki...! Dkt. Slaa ni Padre wa Katoliki kws kiapo Altereni mwaka 1977 Agosti. Ameacha Upadre huo na kuingia Siasa. Huyo ni wa kuaminika kweli? Sasa anaifagilia CCM/Maguguli anliyempa cheo cha Ubalozi Sweden, nk. Dkt. Slaa ni wa kuogopwa kama Ukoma...
Dr. Slaa Atakiwa apelekwe Milembe akapimwe kisha atibiwe, Dr. Hafai hata kukaa nae jirani, Dr. Anaweza kukupa mkojo wajati ukiwa na kiu kali. Dr. Slaa is a pathological liar he is sick 😫 Dr. Slaa is sick, and he needs medical attention ASAP.
ukishachukuliwa na ccm akili yako inageuka inakuwa ya shetani..kama ndani ya chadema kuna ubaya wowote serikali na ccm ingekuwa ya kwanza kuiumbua..we are not fools and stupid so unataka kusema ni chadema wamempiga risasi Lissu ndani ya majengo ya serikali halafu serikali tena ya Magufuli inyamaze??ndo maana nchi hii imeoza msomi kama yeye anazungumza uchafuuu tena kwenye media
ata wewe mchambuzi ni pathetic na wewe n mwenye propaganda TU, CCM chadema and whatever if it's politics I warn you don't mess yourself in that fucking trap
Huyu dr simwelewi, hivi ni CDM au Serikali walio na vyombo vya uchungizi? Kwa hiyo Tundu Lissu au kijana wake wafanyiwe haya na upinzani halafu wanyamaziwe? Ngurumo umemaliza kila kitu hapa
Hajakimbilia kwa magufuli kupewa ubalozi yeye alikuwa mkimbizi wa kisiasa kutoka Chadema kwa vile Wenzie walimuingiza Lowasa awe Rais wakati alikuwa na makosa ya richimond hadi kujiudhuru Uwaziri Mkuu Dr slaa alipendwa tu na Magufuli kwa ajili ya ukosoaji wake kama vile Bashiru aliyemtoa Cuf
Huyu mzee anayeitwa Dr. Slaa hafai tena kua ndani ya Chadema..ni mole..ni msaliti..ni opportunist..ni mnafiki hakika...abaki huko alipo na hatumuitaji asilani..hana cha kutuongeza..Chadema ni kubwa na ina watu sahihi na mujarabu..let's forget about him completely
@@ahz6907 Dr slaaa sio mnafiki Kuna siku Dr slaaa aliongea mambo mengi Sana ikiwemo utata juu ya kifo Cha Chacha wangwe unavyousianishwa ndani ya chadema na hilo chadema Hadi leo hawajalipinga unasemaje Dr slaaa mnafiki? Kwanin zito kabwe alitoka chadema nae ni mnafiki?
Dr Slaa hanunuliki. Hans tamaa ya pesa. Walionunuliwa tunawajuwa. Dr Slaa no kiongozi mwenye musimamo. Chadema ni chama wazungu wanataka kishike madaraka kwa manufaa yawo na sio ya watanzania. Africa kazika iwe masikini kutumia njia yeyote ile.
Dr W. Slaa alikisaliti Chama na kuanza Propaganda za Chama Tawala. Kama anataka kurudi Chadema awe Mwanachama wa Kawaida. Hawezi aminika kupewa uongozi wa juu wa Chama.
Dr slaaa kiukweli hana hata aibu inakuaje? hawez fikia km kpnd kile ashapoteza popularity kwa kweli hata ubunge kwao hawezshindaaaa.....asamehewe awe raia wa kawaida tu asipeweuongoz wowote
Hakuna kinachonishangaza kama tabia ya huyu Slaa kusema vijana wangu, watu wangu, anashindwa kujua alikuwa anaongoza taasisi alipaswa kusema vijana wetu, watu wetu. Ajisahihishe
Mimi nakubaliana na wewe kabisa wala sikuwahi kufikiria mara mbili kwamba Slaa anayeongea siyo yule wa chadema, wala sina haja naye, hivi ni ccm gani wanaojua wapinzani wanatekana halafu waachwe huru.kwa upendo upi?
Nadhani Chadema sio malaika sana. Kuna elements za ugaidi zinawafuatilia na Dr. Slaa amelisema hili(kutekana etc) SWALI: KWANINI DR. SLAA AKIMBIE NCHI BAADA YA KUAMUA KUTOUNGANA NAO 2015??? Mtu wa caliber yake akimbie na huku ameungana na ccm sio jambo la dogo. Dr. Slaa ndio mkimbizi wa kwanza wa kisiasa kabla ya hawa wengine walio make it a political agenda ya kuichafua nchi.
Acha uongo wewe unayoyaongea una ushahidi, usitudanganye. Dr. Slaa alikuwa katibu mkuu anafahamu anachokisema. Kuna John Marwa ambaye leo ni mtangazaji wa Dar Mpya, aliwahikutuambia alipigwa na vijana wa redbrigedi waliotumwa na mbowe kwa sababu John Marwa alikuwa anamkampeignia Zitto kuwa mwenyekiti alipokuwa chadema enzi hizo.
Asante kwa ufafanuzi huyu mzee nimoja wawatu wasiopaswa kusikilizwa hata na mtoto wa lakwanza...kama agenda ilikua nikuitoa ccm madarakani kilchomfanya ajiengue 2015 ninini??? Siangevumilia tu huo urais angekuja kuupata?? Kwani lowasa angeongoza milele??? Hapa mtu mwenye mageuzi yakweli asiekubali kuuza wananchi ni lissu na mbowe tuu ndio viongozi wakuu wakusikilizwa
Kweli hata ukiwa PhD kama umezaliwa mjinga ni mjinga tu. Kwanini hamtaki huyo kijana aliye mpa taarifa? Je kama chadema wanatekana jesh la police kwa nini halijafanya uchaguzi na kuwakamata hao wanao tekana.
Dr Slaa yuko sahihi kwenye hoja zake. Mtu akisema hana comment, wewe kwa nini umlishe maneno. Ametolea mfano tukio lingine. Na huo ni mfano tu. Ko mchambuzi pia unatuchanganya, mtu kasema no comment ww unaendelea kuhoji. Ni uzumbukuku
Kama yupo sahihi, basi amekuwa anatumikia usalama wa taifa akiwa Chadema. Otherwise, haya angeyasema siku ya pili akiwa katibu mkuu, na kama angekuwa hakubaliani nayo angejiuzulu. Tungemuunga mkono. Au hujui maana ya kuwa mtendaji mkuu? Lolote linalotokea, ndiye anawajibika. Na kama lilitokea na halihusu TISS, hiyo kesi iko wapi? Iliishia wapi? Kesi ya dola dhidi ya upinzani inaweza kufifishwa kimya kimya bila hata vyombo vya habari? CCM hii ambayo imekuwa inatafuta mwanya wa kuua upinzani, ipate upenyo kama huu halafu yenyewe ifunike kombe? Akili yako inakuruhusu kuona hili? Uzumbukuku ni kutoona propaganda chafu anazofanya Dk Slaa. TUMBO!
Nenda zako huko. Dr Slaa yuko sawa.He is aman of integrity, na habaishwi na uwongo. Ni musema kweli wenye chuki naye wajonyonge. Hiki sio kituko, kituko ni Tundu Lissu mernye kusema shutuma bila ushaidi.
Ukweli wa jambo hili utabainika iwapo kama Serikali itafuatilia hoja ya Dr. Slaa kuanzia huyo aliyetekwa, na ushahidi mwingi wataupata kwake kwani wahusika wote anawajuwa kwani hiyo ni Jinai si ya kupuuzwa. Kama chama cha Siasa kina haki ya kufanya hayo alafu kikaachiwa hivi hivi basi Raia tupo hatarini ktk mikono ya vyama vya Siasa.
Muulize Yusuf Makamba, Kikwete na polisi wao. Chadema wamewahi kumiliki TISS au polisi? Jiongeze usiwe unalishwa propaganda za kitoto. Au hujui dola inavyo-operate? Propaganda hiyo imewagomea kwa zaidi ya miaka 10. Hamjifunzi? Hata kama una ubongo mdogo kiasi gani, ni rahisi kujua nani amekuwa anacheza mchezo huu...
I wish ungesoma kitabu chake Cha NYUMA YA PAZIA WEKA CHUKI PEMBENI. AT LEAST I KNOW U TO BE A CHRISTIAN TENA A CATHOLIC LAKINI UR WAYS OF THINKING ARE PERVERTED.
Laiti ungejua ninachokijua juu yake, na nyuma ya pazia ya kitabu chenyewe. Muwe mnajiongeza. Kwani ukatoliki wa Slaa una uzito kuliko wa nani? Unaenzi ukatoliki unaomeza na kutema propaganda? Hayo anayosema hata mtoto wa darasa la 7 anaweza kutambua kuwa ni uwongo. Mantiki ya mtoto mdogo tu inatosha
Kweli wewe hujui hata kusoma nyakat kaka au !!!!!! How unaanza kusupport katk direction ambayo Sio muda wake !? Mzeeee zama za giza zishaisha saiv nuru you kubali tuendeleeee mbele
Ndiyo maana ikaitwa sili hili neno sili ni baya sana pamoja na pesa unaweza ukapata matatizo na mtu usiyemtegea na ikwa kimya na mtu usiye mtegemeya vile vile na ikawa kimya
@@josephmakutano7067 Sio laana bali huwo ndiyo ukweli sio lamli bali wewe ni mtu wakufiliya pumba hauoni mbali ndiyo wale watu wa 2+2 =5 baadaye ndiyo unajilaumu wala haujuwi kama huo ni mkenge baadaye ndiyo utajuwa kama mkenge
🤔Kwa usemi wake anawajua baadhi ya watu waliohusika na hujma au vitendo vya uvunjaji wa sheria. Kama ni hivyo, kwanini alishindwa kuripoti, au kwanini yeye mwenyewe yuko huru?🤔
ni propaganda tu hizo kama kweli yeye anasimamia haki kwanini akumuitia huyo kijana wangu ofisa wa redbrigade polisi waje wamkamate kwa kuteka..!!? kuteka mtu ni crime iwe imefanywa na mwanachadema au asiye mwanachadema..
JOSEPH YONA ANAHAKI YAKUMFUNGULIA MBOE MASHITAKA KAULI HII NI SAHIHI CHADEMA KUNAUTEKAJI
Mimi naamini Chadema kuna ujanja ujanja mwingi sana.Dr Slaa ni mkweli Sana.
Kwa kuwa amefanya propaganda unazozipenda? Je, huoni hata anachokisema anajikanganya? Kama huna uwezo wa kuchambuia mkanganyiko wake, basi huwezi kuelewa hata anachosema. Huyu anafanya kazi ya waliompa mkate. Yupo kazini. Ila anapoteza muda.
Hivi ingekua kweli chadema ndo waliohusika na tukio la kumpiga risasi Lissu, kwanini serikali mpaka ss hawajawakamata waliohusika na tukio hilo? 🤔 Kwani serikali ilisema Lissu alishambuliwa na wasiojulikana? 🤔 Ujinga ni ufukara mkubwa. Kabla ya kuongea kitu fikiria kwanza bro.
Huyu Slaa hana hisia hata kidogo.kumbuka hata kesi ya uongo ya Mbowe alisema anashangaa wanaosema Mbowe sio gaidi.
🙄🙄🙄🙄
Dr anachuki tuu na tamaa yake ya madaraka....alikuwa wap wakati woote ..
Kama kijana wa red brigade alimwambia,kweli hiyo inatosha kusema kuwa huo ndo ukweli? Huyu ndo anasisitiza kuhusu kiongozi kusema ukweli???
Mzee msomi unaposha taifa kwa faida zako za siasa chafu.
Mbona mnamshambulia kwa maneno Dr Slaa badala ya kufanya uchunguzi kwa aliloongea!! Kwan yaweza kuwa kweli, kwani hao CDM hawawezi kufanya hivyo? Nakumbuka cku mbili kabla ya tukio Lema alisema bungeni kuwa hao jamaa wanao ua Kisini kuna siku watakuja Dodoma!! Je alijuaje!?
Akili timamu zinatosha kujua nani aliamuru tukio lifanyike. Hiyo si ndiyo ingekuwa tiketi ya JPM kuua Chadema? Fikirini!
Unaelewa sababu ya kuondoa ulinzi wote katika makazi ya viongozi alipoishi Lissu na jirani zake, akiwemo Tulia Ackson? Unafahamu sababu ya JPM kuagiza uchunguzi wa kamati ya Bunge ya Adadi Rajab usisomwe bungeni? Unafahamu sababu ya JPM kuzuia malipo ya matibabu ya Lissu? Unafahamu sababu ya Polisi kuchukua na kuficha CCTV Camera? Unafahamu sababu ya waziri wa mambo ya ndani baadaye kudai kuwa CCTV Camera haipo? Unafahamu sababu ya JPM kuagiza Lissu avuliwe ubunge wakidai hawajui aliko? Unafahamu sababu ya Jeshi la Polisi kugoma kufanya uchunguzi wa tukio hili hadi leo?
Yote haya na mengine, bado hayastui akili yako hata kabla ya uchunguzi wowote? THINK!
Silaa kazeeka anashindwa kuwa na macho akilini
Nafikiri huyu bwana ni mgonjwa mbona anachanganya mambo? Anatuchanganya si mtu wa kumwamini.
Huyu mzee,hana hakika kama maelezo aliyopewa na mtumishi wake ni ya kweli bila mashaka.Nadhani haya ni ya kuficha ukweli uliokuwepo.
Dkt. Slaa je , ni msema kweli?? Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA anaichafua chama kisasi hiki...! Dkt. Slaa ni Padre wa Katoliki kws kiapo Altereni mwaka 1977 Agosti. Ameacha Upadre huo na kuingia Siasa. Huyo ni wa kuaminika kweli? Sasa anaifagilia CCM/Maguguli anliyempa cheo cha Ubalozi Sweden, nk. Dkt. Slaa ni wa kuogopwa kama Ukoma...
Huyu alikuwa mpumbav na atazidi kuwa mpumbavu haswaaa
Smg chadema wametoa wapi? Tuanzie hapo.
UNAMTUKAN SASA KWAKUWA KAFICHUA UKWELI KATOA SIRI ZA CHAMA MBOE NIGAIDI ASIKOFU ALIMUOMBEA KWA RAIS AFUTIWE SHITAKA LA UGAIDI
Dr. Slaa Atakiwa apelekwe Milembe akapimwe kisha atibiwe, Dr. Hafai hata kukaa nae jirani, Dr. Anaweza kukupa mkojo wajati ukiwa na kiu kali. Dr. Slaa is a pathological liar he is sick 😫 Dr. Slaa is sick, and he needs medical attention ASAP.
Hueezi kumuelewa. Ni wewe ndiyo inatakiwa kupelekea milembe
Huyu mzee ni bwege kbs hafai kuwa kiongozi ana njaa kali ya madaraka NB ajitambue
Kwahiyo baadaye ulichukua hatua zipi kama kiongozi mtendaji mkuu kipindi hichohicho
ukishachukuliwa na ccm akili yako inageuka inakuwa ya shetani..kama ndani ya chadema kuna ubaya wowote serikali na ccm ingekuwa ya kwanza kuiumbua..we are not fools and stupid so unataka kusema ni chadema wamempiga risasi Lissu ndani ya majengo ya serikali halafu serikali tena ya Magufuli inyamaze??ndo maana nchi hii imeoza msomi kama yeye anazungumza uchafuuu tena kwenye media
Yan mimi hiki kizee sikipendi kwanza alisema kwamba siasa aliacha
Humpendi kwa sababu hujielewi kiufupi unapenda siasa za majitaka kwanza slaa sio mnafiki
🤔🤣
KWANN UNAMLAZIMISHA DR SLAA AFIKIRI KIDOGO KAMA WEWE? WEWE UNA CHUKI NA MAGUFULI FULL STOP. SASA UNA HASIRA DR SLAA NA WIVU TUU!
Dr slaa alifukuzwa updre kwasababu ya upumbavu
ata wewe mchambuzi ni pathetic na wewe n mwenye propaganda TU, CCM chadema and whatever if it's politics I warn you don't mess yourself in that fucking trap
Huyu dr simwelewi, hivi ni CDM au Serikali walio na vyombo vya uchungizi? Kwa hiyo Tundu Lissu au kijana wake wafanyiwe haya na upinzani halafu wanyamaziwe? Ngurumo umemaliza kila kitu hapa
Hajakimbilia kwa magufuli kupewa ubalozi yeye alikuwa mkimbizi wa kisiasa kutoka Chadema kwa vile Wenzie walimuingiza Lowasa awe Rais wakati alikuwa na makosa ya richimond hadi kujiudhuru Uwaziri Mkuu Dr slaa alipendwa tu na Magufuli kwa ajili ya ukosoaji wake kama vile Bashiru aliyemtoa Cuf
Huyu mzee anayeitwa Dr. Slaa hafai tena kua ndani ya Chadema..ni mole..ni msaliti..ni opportunist..ni mnafiki hakika...abaki huko alipo na hatumuitaji asilani..hana cha kutuongeza..Chadema ni kubwa na ina watu sahihi na mujarabu..let's forget about him completely
Huyu ndio mwanasiasa wa kweli🤔🙏🏿
Mnafiki huyo
@@ahz6907 Dr slaaa sio mnafiki Kuna siku Dr slaaa aliongea mambo mengi Sana ikiwemo utata juu ya kifo Cha Chacha wangwe unavyousianishwa ndani ya chadema na hilo chadema Hadi leo hawajalipinga unasemaje Dr slaaa mnafiki?
Kwanin zito kabwe alitoka chadema nae ni mnafiki?
Huyu slaa alinunuliwa na magufuli, ipo siku atakiri Mungu yupo
Dr Slaa hanunuliki. Hans tamaa ya pesa. Walionunuliwa tunawajuwa. Dr Slaa no kiongozi mwenye musimamo. Chadema ni chama wazungu wanataka kishike madaraka kwa manufaa yawo na sio ya watanzania. Africa kazika iwe masikini kutumia njia yeyote ile.
Unamlazimisha aseme kitu ambacho hana taarifa nayo ? Huna hoja maana yanayotokea hata wewe unajua sasa dk slaa afanyeje au wewe umetumwa?
Kwa Umri wake anatakiwa slaa asamehewe' mahana hajui atendalo, baya wala zuri.
Sasa kwahiyo Chadema wanauwezo wakuondoa Cctv Cameras za pale maeneo ya Bunge???!Huyu Doctor Silaa niwamchongo.
Sema la kwako,sasa tusikosoane hatutafika kwa staili yako hiyo . Adui yetu ni ccm. Mbona wewe uko mbali njoo
Dr W. Slaa alikisaliti Chama na kuanza Propaganda za Chama Tawala. Kama anataka kurudi Chadema awe Mwanachama wa Kawaida. Hawezi aminika kupewa uongozi wa juu wa Chama.
Ila huyu Slaa kweli mpumbavu na hawezi rekebishika
Pumbavu ivi ww mzee unafikili tunasahau ulivyo lamba asali nakutusaliti olewako tukuone majukwaani
Mpumbavu no wewe usiye jielewa
Mwamini unayemwani ila slaa Huna hata namna ya kumjadili waandishi hawa bwana bc
Uliripoti wapi tukio Hilo kama katibu mkuu
Swali muhimu sana hili
Dr slaaa kiukweli hana hata aibu inakuaje? hawez fikia km kpnd kile ashapoteza popularity kwa kweli hata ubunge kwao hawezshindaaaa.....asamehewe awe raia wa kawaida tu asipeweuongoz wowote
Huyu Dr slaa hajawahi kuaminika . Ni ujinga na upumbavu kupoteza muda kumjadili . He is a spent force.
Hakuna kinachonishangaza kama tabia ya huyu Slaa kusema vijana wangu, watu wangu, anashindwa kujua alikuwa anaongoza taasisi alipaswa kusema vijana wetu, watu wetu. Ajisahihishe
Sure Sulle
Huyo Dr slaa ni chawa wa watawala.
Kumbe ameshanyanganywa ubalozi?Ha ha ha
Amina Kaka Ngurumo
Dr Slaa ni mnafki asiye na haya.
Huyu Slaa ana kalaana kanakomnyemelea. Vinginevyo he is very stupid
Huyu mzee sio mzima ni mgonjwa
Kwani humo Chadema hamna Mamluki
Mimi nakubaliana na wewe kabisa wala sikuwahi kufikiria mara mbili kwamba Slaa anayeongea siyo yule wa chadema, wala sina haja naye, hivi ni ccm gani wanaojua wapinzani wanatekana halafu waachwe huru.kwa upendo upi?
Eti kamanda, huyu mzee ni shida,
Hakuaminika kanisani ataaminika kwenye siasa?
Kanisani vipi!!!!
Upadre ulimshinda
Nakubaliana na wewe %100
Mzee acha kutumika unazingua
Dokta slaa nimuongo
Mzee wangu umechemcha, Madaraka yamekulewesha
Nadhani Chadema sio malaika sana. Kuna elements za ugaidi zinawafuatilia na Dr. Slaa amelisema hili(kutekana etc)
SWALI: KWANINI DR. SLAA AKIMBIE NCHI BAADA YA KUAMUA KUTOUNGANA NAO 2015??? Mtu wa caliber yake akimbie na huku ameungana na ccm sio jambo la dogo.
Dr. Slaa ndio mkimbizi wa kwanza wa kisiasa kabla ya hawa wengine walio make it a political agenda ya kuichafua nchi.
Kizee hiki kimezeka vibya
Akuna mtu mpuuzi maka mbowe,lipumba, lisu.
Dr Slaa yupo sahii
Siku zote cjaacha kukukubari mzee wa maswari magumu
Acha uongo wewe unayoyaongea una ushahidi, usitudanganye. Dr. Slaa alikuwa katibu mkuu anafahamu anachokisema. Kuna John Marwa ambaye leo ni mtangazaji wa Dar Mpya, aliwahikutuambia alipigwa na vijana wa redbrigedi waliotumwa na mbowe kwa sababu John Marwa alikuwa anamkampeignia Zitto kuwa mwenyekiti alipokuwa chadema enzi hizo.
Unabaki kwenye chama hatari baada ys kuripotiwa utekaji ndani ya chama kuna utekaji??unafummbia macho utekaji?
Asante kwa ufafanuzi huyu mzee nimoja wawatu wasiopaswa kusikilizwa hata na mtoto wa lakwanza...kama agenda ilikua nikuitoa ccm madarakani kilchomfanya ajiengue 2015 ninini??? Siangevumilia tu huo urais angekuja kuupata?? Kwani lowasa angeongoza milele??? Hapa mtu mwenye mageuzi yakweli asiekubali kuuza wananchi ni lissu na mbowe tuu ndio viongozi wakuu wakusikilizwa
Tunamusiliza sisi wenye akiri timamu. Wajonga kama wewe kaa prmbrni xiba masikio.
Kaka uko sahihi
muda wa tukio
HUYU DR SLAA ANAZEEKA VIBAYA NINAMTAZAMO NA FIKRA ZA HIVYO.
Huyu bwana ni mwongo na mzandiki simpendi kabisa anazunguka zunguka.
Anatapa tapa,lakini amechelewa nani anamwamini sasa? CHADEMA wanakujua na hawana time na wewe kadandie CCM mkashindane ufisadi.
Chukua Wasomali wahamiaji haramu wenye jaa,weka kwenye viroba ,tupa barini,singizia serikali!Does it make any sense to you?Mjitafakari sana
Nice analysis Mr. Man, I like u
Kweli hata ukiwa PhD kama umezaliwa mjinga ni mjinga tu. Kwanini hamtaki huyo kijana aliye mpa taarifa? Je kama chadema wanatekana jesh la police kwa nini halijafanya uchaguzi na kuwakamata hao wanao tekana.
Dokter slaa anazeeka kiakili mwanzo kasema aliamina moja kwa moja kijana katekwa na usalama wa taifa
Kweli ni mjinga.
Ulichukua hatua gani kama kiongozi?
Hahaaaaaaa dokta slaa
Hoja nini,Ni maneno ya Dr slaa au tatizo la lissu wewe pia hujioni kwamba unalazimisha uongo wako uwe wa slaa
Memorandum of understanding???
Dr Slaa yuko sahihi kwenye hoja zake. Mtu akisema hana comment, wewe kwa nini umlishe maneno. Ametolea mfano tukio lingine. Na huo ni mfano tu. Ko mchambuzi pia unatuchanganya, mtu kasema no comment ww unaendelea kuhoji. Ni uzumbukuku
Kama yupo sahihi, basi amekuwa anatumikia usalama wa taifa akiwa Chadema. Otherwise, haya angeyasema siku ya pili akiwa katibu mkuu, na kama angekuwa hakubaliani nayo angejiuzulu. Tungemuunga mkono. Au hujui maana ya kuwa mtendaji mkuu? Lolote linalotokea, ndiye anawajibika. Na kama lilitokea na halihusu TISS, hiyo kesi iko wapi? Iliishia wapi? Kesi ya dola dhidi ya upinzani inaweza kufifishwa kimya kimya bila hata vyombo vya habari? CCM hii ambayo imekuwa inatafuta mwanya wa kuua upinzani, ipate upenyo kama huu halafu yenyewe ifunike kombe? Akili yako inakuruhusu kuona hili? Uzumbukuku ni kutoona propaganda chafu anazofanya Dk Slaa. TUMBO!
Dr slaaa mwehu ambe hatopona. Sjui huu ubarozi sjui mjinga gani alimpa
Hakuna wa kumwamini hapo, nikiini macho dkt
Mzee vipi mbona siku zote hukusema .zeeka vinzuri
Nenda zako huko. Dr Slaa yuko sawa.He is aman of integrity, na habaishwi na uwongo. Ni musema kweli wenye chuki naye wajonyonge. Hiki sio kituko, kituko ni Tundu Lissu mernye kusema shutuma bila ushaidi.
Grace tafuta mti ili ujinyonge ujue zama zimebadilika
Ukweli wa jambo hili utabainika iwapo kama Serikali itafuatilia hoja ya Dr. Slaa kuanzia huyo aliyetekwa, na ushahidi mwingi wataupata kwake kwani wahusika wote anawajuwa kwani hiyo ni Jinai si ya kupuuzwa.
Kama chama cha Siasa kina haki ya kufanya hayo alafu kikaachiwa hivi hivi basi Raia tupo hatarini ktk mikono ya vyama vya Siasa.
sasa Mbona hukusema ulipokua chadema
Nyie CHADEMA hamjawahi kuaminika vipi kuhusu Chacha Wangwe? Na vipi kuhusu Lowassa mbona mlimsema fisadi bado mkampa kugombea Urais?
kutubu ni swala la kutoka kwa Mwenyezi Mungu
Muulize Yusuf Makamba, Kikwete na polisi wao. Chadema wamewahi kumiliki TISS au polisi? Jiongeze usiwe unalishwa propaganda za kitoto. Au hujui dola inavyo-operate?
Propaganda hiyo imewagomea kwa zaidi ya miaka 10. Hamjifunzi? Hata kama una ubongo mdogo kiasi gani, ni rahisi kujua nani amekuwa anacheza mchezo huu...
Mbona hamsemi alie mukubalia roasa kuingia Chadem kwajili ya kugombea urais wakati huo silaha mlimsaslit
Ni Slaa mwenyewe aliyemkaribisha. Mengine muulize mkewe. Sasa wote wapo huko alikokimbilia.
Huyo Silaa nichizi
Huyu zombi mpuuzi
Kwa kuwa ana akili nyingi kushinda wewe".
I wish ungesoma kitabu chake Cha NYUMA YA PAZIA WEKA CHUKI PEMBENI. AT LEAST I KNOW U TO BE A CHRISTIAN TENA A CATHOLIC LAKINI UR WAYS OF THINKING ARE PERVERTED.
Laiti ungejua ninachokijua juu yake, na nyuma ya pazia ya kitabu chenyewe. Muwe mnajiongeza. Kwani ukatoliki wa Slaa una uzito kuliko wa nani? Unaenzi ukatoliki unaomeza na kutema propaganda? Hayo anayosema hata mtoto wa darasa la 7 anaweza kutambua kuwa ni uwongo. Mantiki ya mtoto mdogo tu inatosha
Mambo ya siasa niii fumboo kuu
Ngurumo ni mtu mwenye uweled sana. Napenda Chambuz zake.
SK MEDIA acha propaganda. Watanzania sio wajinga. Dr Slaa anasema ilivyo. Acha propaganda zako.
Amekukamata? Au nawe unaogelea katika mawazo maovu ya kipropaganda? Unaona yana maana yoyote? Hebu msaidie kujibu hayo maswali niliyouliza.
Kweli wewe hujui hata kusoma nyakat kaka au !!!!!! How unaanza kusupport katk direction ambayo Sio muda wake !? Mzeeee zama za giza zishaisha saiv nuru you kubali tuendeleeee mbele
Nakuelewaga sana 😘
Ndiyo maana ikaitwa sili hili neno sili ni baya sana pamoja na pesa unaweza ukapata matatizo na mtu usiyemtegea na ikwa kimya na mtu usiye mtegemeya vile vile na ikawa kimya
Mzee Jimmy unalaana lakipekeekabisa , wewe hunahuruma nawatoto ndg najmaa pamoja namarafiki wako, ebufikilia mambohaya yaajabu yanayotekea TZ,
@@josephmakutano7067 Sio laana bali huwo ndiyo ukweli sio lamli bali wewe ni mtu wakufiliya pumba hauoni mbali ndiyo wale watu wa 2+2 =5 baadaye ndiyo unajilaumu wala haujuwi kama huo ni mkenge baadaye ndiyo utajuwa kama mkenge
Wee kicha naona
namkubal slaa
Ha ha!
unajambo lako ww
Mwenye akili atamuelewa Dr Slaa,lakini wale wenye akili fupi,watamshambulia Dr Slaa,ukweli utabaki kuwa ukweli.
🤔Kwa usemi wake anawajua baadhi ya watu waliohusika na hujma au vitendo vya uvunjaji wa sheria. Kama ni hivyo, kwanini alishindwa kuripoti, au kwanini yeye mwenyewe yuko huru?🤔
Tatizo nyie chadema mlisha Anza utekaji na kiongoz wako mwekiti kahusika
Tunawapa matahira air time
Propsganda zako ibaki nazo huko huko