Fahamu vipengele vyenye ukakasi Sheria ya Usalama wa Taifa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #ijuesheria #bungeni
    Wakili Livino Ngalimitumba akichambua muswada wa marekebisho wa sheria ya idara ya usalama wa taifa kwenye studio za Wakili TV ambao serikali iko mbioni kuwasilisha bungeni.

Комментарии • 17

  • @Mizblu07
    @Mizblu07 Месяц назад +1

    Vzr DG awasiliane Moja Kwa Moja na rais

  • @IsaacElias-ww4vv
    @IsaacElias-ww4vv 4 месяца назад +1

    Safi mkuu kwa maelezo mazuri.nina kesi niko Shinyanga mjini mawasiliano yako yanapatikana wapi

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel Год назад +1

    Salute

  • @danielpatrickrobert125
    @danielpatrickrobert125 6 месяцев назад +1

    uko sahihi ,maana huyo huyo polisi anaweza kuwa ni afisa usalama ,kwahiyo akienda usalama direct kulinda sio shida

  • @nicelaizer9854
    @nicelaizer9854 11 месяцев назад +1

    Hivi cag Ludovic ottu kwa sasa kwa nafasi aliyonayo kwa sasa si kutumia umma kama ni mkuu wa chuo au mjumbe wa bodi?

  • @tegemeantenga102
    @tegemeantenga102 3 месяца назад +1

    Hongera ndugu Livino Haule ,, product of Malangali high school

    • @livinohaule8442
      @livinohaule8442 2 месяца назад +1

      Ahsante Boss. Yes hii ni Malangali Sekondari 😅

  • @zakayocharles2328
    @zakayocharles2328 3 месяца назад +1

    19:50 ❤❤❤❤❤

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala8650 Год назад +2

    Baba Ahsante sana Kwa elimu hiyo

  • @nicelaizer9854
    @nicelaizer9854 11 месяцев назад +1

    Livano ngalimtumba jibu swali hili

  • @thomasjoseph9540
    @thomasjoseph9540 Месяц назад

    Safi kabisa. Tupeni maarifa!

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Год назад +3

    MWalimu wangu wa sheria .

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala8650 Год назад +2

    Kaka but i kaka

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад +1

      tunachoitaji zaidi ni mipaka kati ya police na siasa utakuta police ana elemia kwenye cha kimoja kama ccm