@@hassanovajunior6972 kwani mmakonde anajitegemea au ana watu anafanya nao kazi sema ndyo hivyo watu wake local maana hii ya yanga kaiomba ajaombwa alafu atasema kalipwa mmakonde nae kwa kujimwambafai ajambo
Kujielewa kunaraha yake 👌👌ongera sana hamo kwakujitambua nakujitegemea yani vitu kam ivyo ungeendelea kuvisikia kwa wenzio so nakutakia kila lakher kond boy🙏🙏🙏
@@zou7470 hata mimi nimeona bampa to bampa hatuogopi mtu macho kwa macho mwaka huu unanifurahisha sana kwa matukio yanayoendelea. konde boy pressure ya upande wa pili SINDANOOO mpka dawa iingiee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Imeongeza chachu ya mpila na muzik kwa ujumla yani tanzania ya mapinduzi yakimpila na mziki,,, safi nimependa iyo nilikuwaga naidia hii rong tu🏁✈️✈️ me
Nakupenda konde boy but mm all the way frm mombasa kenya ni Simba damuuu..toka tukiwa wadogo pale kariakoo mtaa wa lindi kwa muchachu...tukishangilia simbaa😍...hongera harmo
Ukiwa m Tz na unaipenda nchi yako na unaelewa vzr wmbo wa Taifa na maana ake uta enjoy anyhow Team kabmb(team music) #AzamKiba#SimbaChibu #YangaKonde#Kagera Saida!!!!!!!!!!?&??
Wemwenyewe mutangazaji hawumupende daimond lakini unatupa muda munajiumiza roho daimond ni levo zakimataifa mimi ni rayiya wa burundi daimond kweli nsungekuwa murundi tungekupa kiti cako ca babalao wa tanzania hawajuwi gisi tunakupenda
@@officialmrtop1018 ukitaka ule poa ungoje wenye dili wakufwate c we uwafwate eti ndio uonhelewe hapo hela hata ukipewa itakuwa kidogo Sana wengine tumepewa hela kama simba alilipwa na simba mkwanja mrefu c dili LA kitoto ama LA bure kiba kapewa lakini c kumzidi simba nae mmakonde kaende hili kulipisha
Hahaha tulijuwa tu lazima akajipendekeze ilikusudi nae aonekane eti kapata timu kkkk Diamond ndo kila kitu Leo kawafunguwa Macho baada ya kuwafungulia SOKO kwenye soka
Kwani harmonize alipokuja wasafi alikuwa na nyumba au gari kuna mijitu aijitambua Bila daimond tusingeona mafanikio ya harmonize ata bado Yuko juu Sana kimuziki kimaisha ata kwenye biashara uyu harmonize Ndiyo katoka usafini kaenda kujitegemea Kwa iyo kama atasikiliza maneno ya watu ashindane na daimond itakuwa KAZI bure daimond ni dangerous mafanikio aliyopata Ndiyo Ndiyo Kwanza anaona bado miaka 10 kwenye game kutrend namba1 sio kitu poa ndomana daimond uwa akifanya Jambo kubwa Africa ujue kuna watoto wadogo lazima waige daimond lever nyengine international ashavunja rekodi kibao kuliko msanii wwt East Africa
kwanza wanaiga utopolo hebu muache kutuiga simba..... mtasikia na wenyewe wataanza kuwapima wachezaji kwa kutumia kipima joto kisa tu wamesikia simba wanaanza kutumia GPS program hahaaaaaaa
Mmakonde kaiomba shoo ya bure hii maana kabla hawajamuita kajipedekeza ndiyo maana Mimi uwa naamini kuwa kiba ndyo mwanamuziki maana kasema yeye ni shabiki wa yanga lakini pia mziki wake ni biashara
haaaa baba kamaliza mutoto kainuka hatari kweli Ray na Mboss wako wapi?apo sasa wataelewa sasa kond boy ni kotofo ca Diamaond tutakubalitu kwakila hali yote mupizani wa konde bado ajazaliwa .
@@langxboy9804 kakwambia nani?? Nipe mfano wa mwanafunzi anaejulikana na ma millions ya watu kwamba alikuja kuwa tishio zaidi ya mwalimu wake! Yaani ukiona hivo lazima akutane na walimu tofauti tofauti tena wakubwa zaidi sio kwa elimu alioipata kwa mwalimu wake na akatulia eti atakuja kumpita weeee usipime
Number one jeshii umetisha sana king of Africa harmonize hogera sana sana
Hakika wazalendo wa kweli utawajua tu. Hongera sana Harmonies hakika wewe ni mwananchi mzalendo wa kweli.
Daah Rayvanny anakosa madili heavy heavy kama haya kweliiii ushindani una raha wenye kutengeneza pesa
Hajiamini yule mnyakusa😂😂
Acha ufala wew mbona ana BET na Diamond hajaipata huyo Harmo anaipi?
@@officialmrtop1018 BET kitu gani wewe atoke Wcb ajitegemee kama KONDE BOY Kudadadeki😂😂
@@hassanovajunior6972 kwani mmakonde anajitegemea au ana watu anafanya nao kazi sema ndyo hivyo watu wake local maana hii ya yanga kaiomba ajaombwa alafu atasema kalipwa mmakonde nae kwa kujimwambafai ajambo
@@hassanovajunior6972 sasa hio show na bet kipi kinakuza CV ya msanii international ??
This is how business is working perfect 👌
Tusubir bonge la ngoma mamae KONDE GANG 🌏 🔥
Kujielewa kunaraha yake 👌👌ongera sana hamo kwakujitambua nakujitegemea yani vitu kam ivyo ungeendelea kuvisikia kwa wenzio so nakutakia kila lakher kond boy🙏🙏🙏
🙏🙏🙏💪💪💪💪
Huyo kajipeleka Hamna deal hapo
Saf konde boy kaba mpka penalty... Hatuachi kitu hii inaitwa hatua kwa hatua 🤣🤣🤣🤣
Umeona 💃💃💃
@@zou7470 hata mimi nimeona bampa to bampa hatuogopi mtu macho kwa macho mwaka huu unanifurahisha sana kwa matukio yanayoendelea. konde boy pressure ya upande wa pili SINDANOOO mpka dawa iingiee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huu ndo ushindani tunaotaka big up kwa team zote ila simba baba lao
Mie yanga daima 💚💛💚💛💚
Mm azam lakin nimependa san hamo kuwa yanga yanga munatakiwa musiwe washamba
Dawa ya moto ni moto...kama angebaki WCB hayo madili angepata.
Jeshiiiiiiii kama jeshiii wanakuita jeshii💪💪💪💪💪💪
Sealed 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
😃😃😃😃😃😃😃woyooooooooo piga kelele kwa Konde ake weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapo ni Vita nani mshindi tutajua mbele😄😃😃😃
Imeongeza chachu ya mpila na muzik kwa ujumla yani tanzania ya mapinduzi yakimpila na mziki,,, safi nimependa iyo nilikuwaga naidia hii rong tu🏁✈️✈️ me
Wow mashaallah
Let's him earn we earn more n we gain more power rangers legacy
Wanakwenda nyie hanalolote kaz yenu bendera fuata upepo
Mnajua kumkomoa diamond kweli.atakoma mwaka huu
Mtakoma nyie waigaji mond hakomeshi na watoto jiangalieni nyie
Kwel.
Kwakipi?utopolo?😂😂😂😏
Kopi
Pumbavu msimfananishe mond na uyo nandy
Nakupenda konde boy but mm all the way frm mombasa kenya ni Simba damuuu..toka tukiwa wadogo pale kariakoo mtaa wa lindi kwa muchachu...tukishangilia simbaa😍...hongera harmo
Sio Kenya nzima sema wwe ni simba
Jeshiiiiiiii huyu mwaka watatukoma🤪
🤣🤣usijinyonge bhana 😂
Huyo kajipeleka hamna pesa ya kulipwa
Hahaha eti watamkoma kwa lipi? Kkk Diamond ndo kila kitu Bongo hivi mnaona sasa Yaani ndo kafunguwa soko msijifanye hamuoni
Wanatakiwa kufanya ivo na kwenye vyama vya siasa. Ccm Chadema act. Cafu. Sio kila mwanamuziki ccm
Mjeshi
Bora ulivyotoka kule maana rizki hizo ungeziona kwenye tv zikipita tu.
😁🤸♀️
🤣🤣🤣🤸🏾♀️🤸🏾♀️🤸🏾♀️🤸🏾♀️
Watu Bwana wakati anaenda WCB hakua na kitu kawezeshwa saiv nikiwa wcb napoteza
Wallai Tena kung'ang'ania mahala pamoja uwa mtu anajifungia Sana rizki zake
@@boytz1870 umeona eee watu wanafki sana
Sisi tuna enjoy tu kwaraha zetu😍😍😍🤗
TEMBO HUA ANAFANYA VISIVYO FANYIKAA..... HUYUU CHALII HUA ANAMKOSOA DIAMOND
Tembo 💥💥💥💥💥💥💪💪💪💪💪
Oyooooo timu langu ilooo chezea yangaaa ww
Ukiwa m Tz na unaipenda nchi yako na unaelewa vzr wmbo wa Taifa na maana ake uta enjoy anyhow
Team kabmb(team music)
#AzamKiba#SimbaChibu
#YangaKonde#Kagera Saida!!!!!!!!!!?&??
Wemwenyewe mutangazaji hawumupende daimond lakini unatupa muda munajiumiza roho daimond ni levo zakimataifa mimi ni rayiya wa burundi daimond kweli nsungekuwa murundi tungekupa kiti cako ca babalao wa tanzania hawajuwi gisi tunakupenda
Wacha ufala, kwaivyo ulitaka diamond atajwe kwenye issue ya harmonize
@@hkmeme5437 nabado mutawumiya harmonize mwenyewe kutoka wasafi yeye anajua kama daimond babalao levo zakimataifa roho zenu zitawumwa from burundi
Waoooo nimependa
Tembooo gang all eyes 👀 on you now
#Diamond
#Alikiba
#Harmonize
Bwana sikuhizi uko side ya harmize sky
That nice inaonyesha tunapongezana sana sio tuwapelekee waningeria
Wezeee wakujipendekeza kwenye makampuni ya watu ata akipewa elfu 50 nyie hamjali ili mladi muonekane kwenye jamii kua mmepata dili😂😂🦁🦁baba lao
Ni wivu tu na ww mbona hujapata hiyo 50?
Nashindwa kuelewa Mikia team sio yenu mnaumia nini 😂 Harmo kwenda Kwa mabingwa kihistoria
Wasenge hao
Huyo alijipeleka hamna deal ya hela hapo
@@hassanmapenzi6188 ila c team yke
@@hassanmapenzi6188 hahaha kabisa yani
@@officialmrtop1018 ukitaka ule poa ungoje wenye dili wakufwate c we uwafwate eti ndio uonhelewe hapo hela hata ukipewa itakuwa kidogo Sana wengine tumepewa hela kama simba alilipwa na simba mkwanja mrefu c dili LA kitoto ama LA bure kiba kapewa lakini c kumzidi simba nae mmakonde kaende hili kulipisha
Nakukubali kinoma konde boy tuwakilishe
Konde boy🔥🔥🔥
Noma sana konde body
Jeshi 🔥🔥🔥
Mbwaaa uyoo
Oyooooo piga kelele kwa harmonize akeee
KONDE BOY FOR EVERYBODY 🐘🐘🐘🐘💪💪💪
Ukisema chabo bc YANGA ndio ilianza kuzaliwa na wengine kufuatia.YANGA MBEEEEEEEEEEEEEEEE
Temboooooooooo
Hahaha tulijuwa tu lazima akajipendekeze ilikusudi nae aonekane eti kapata timu kkkk Diamond ndo kila kitu Leo kawafunguwa Macho baada ya kuwafungulia SOKO kwenye soka
Kwel kabisa
Ushindani ni mzuri ila inahitajika umakini sio kufanya kwa kuwaridhisha wengine. Make more profit while making people happy.
Kisa diamond simba, yeye kaenda yanga
Hahahah hana jinsi
Ajaenda yanqa isipokuwa kakodiwa afanye shooo kama alivyo fanya daimondi
🐘🐘🐘🐘🐘🔥🔥
Kila kitu kuiga du!!
Iga iga Co ltd
kinde boyyy jeshiiiii
😁 Hii kitu Mikia inawauma sanaa
Saf sana Eng
Mnawaiga wanyama nyinyi,
Kizaziiiii
🐘🐘🐘!!!
Rahaaaa ushindani
Niviziri kabisa kwa watu kuungana
Ss hapo ndomtajuwa tafauti yaa kuwa chini ya label na kuwa pekeyako, wacha wasindikize matajiri wake na rayvanny na lava na mboso ,😂😂
Jeshii kama jeshiiii
wananchi tuta waonyesha
Sasa na humo mkaropoke Magufuli mara ccm kama Mo Dewji. Msilete ukenge huko
Guyz lyk your newz ni safi sana 254
Rayvanny nyiee endeleeni kubak mkipelekeshw uko mmakonde yy akafikiria mbali japo ningumu
🐘🐘🐘
Kuna watu awajazi majibu mbaka wapige chabo kwa walio jaza noma sana….
Afu shida inakuja akishajaza anajifanya anamshtua aliempigia chabo amtajie jibu ili ajaze dizain yeye ndo anajua daaaah bongo nyoso
Sio huenda ikaja shughuli Bro.
Siku ya Wananchi ipo tangu mwaka jana..
Na Mwaka huu pia ipo..
Fatilia vzuri
Ray van aige mfano atoke nae angepata ata namungo
Very true
Mmh Bb kupotea ndo wanacho ogpaa so wote wanajeshii wengne komesha Bg up Tembooo💪💪
Muimba Majungu naona nae kaenda utopolo
Asiye kubali kushindwa ?????.........mtamalizia wenyewe mi naenda zangu.....🏃🏃
Safar njema
@@jacklinemwanga1691 na asisahau mizigo yake ajifanye anairudia kumbe anataka kukwamia konde gang! otherwise tunawakaribisha wananchi wote
Simba baba lao 😂😂 wengine wote waiga kwa Simba
Hahhaha mondi mwaka huu wako deal moja
Jeshiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!
Kwani harmonize alipokuja wasafi alikuwa na nyumba au gari kuna mijitu aijitambua Bila daimond tusingeona mafanikio ya harmonize ata bado Yuko juu Sana kimuziki kimaisha ata kwenye biashara uyu harmonize Ndiyo katoka usafini kaenda kujitegemea Kwa iyo kama atasikiliza maneno ya watu ashindane na daimond itakuwa KAZI bure daimond ni dangerous mafanikio aliyopata Ndiyo Ndiyo Kwanza anaona bado miaka 10 kwenye game kutrend namba1 sio kitu poa ndomana daimond uwa akifanya Jambo kubwa Africa ujue kuna watoto wadogo lazima waige daimond lever nyengine international ashavunja rekodi kibao kuliko msanii wwt East Africa
Mm mjinga ww ,Hilo twalitambuwa Ila konde kujiongeza ni akili yake , na jitahada zake, konde boy , kujitowa Chino ya lebel hii ndiyo manufaa take,
Kwa hiyo unataka diamond asipate mshindan sio .au kwa maana iyo kwa vile baba na mama ako anekuleta dunia ukae nao milele usijitaftie sio .
Yan patashika nguo kuchanika jeshiyyyyyy
lakini walishindwa kujaza uwanja
Mbona kila kitu ana copy lakini 🤔
Tubadilike watanzania yani Huwezi kufanya kitu mpaka mwingine afanye ndio nawewe ufanye lack of creativity
❤️❤️❤️❤️❤️
Simba baba lao kila kitu wanacopy wapinzani Utopolo hoi hawana jipya
🔥🔥🔥🔥
Tatz utopolo wanafans wakutaftza km konde anavoitafta 3M in a month👌😂😂😂😏
🐸 bana
kwanza wanaiga utopolo hebu muache kutuiga simba..... mtasikia na wenyewe wataanza kuwapima wachezaji kwa kutumia kipima joto kisa tu wamesikia simba wanaanza kutumia GPS program hahaaaaaaa
Punguzeni povu na presha 🤣🤣🤣 tukutane date 30 period wote ni wananchi
Kuiga iga tu..
@@ROSEROBERTROBART tukutane wapi? Bora nibaki home nakunywa uji wangu
@@officialmrtop1018 🤣🤣🤣 sawa boss baki ukinywa porege
mechi kali baina ya hamoniz na mondi
Diamond baba Lao!! Wengi wote wanafanya copy and paste!!
Copy na wwe
Sisi ni original hatucopy!! Diamond baba lao!! 👌👌
Diamond ndo BONGO FLEVA zaidi ya hapo ni uongo
@@officialmrtop1018 afrobeat
Mtainga hadi kukunia 🚮🚮🚮simba babalao
Mmakonde kaiomba shoo ya bure hii maana kabla hawajamuita kajipedekeza ndiyo maana Mimi uwa naamini kuwa kiba ndyo mwanamuziki maana kasema yeye ni shabiki wa yanga lakini pia mziki wake ni biashara
Weee hakuna cha bure labda salam tu..kwani unaumia? Chomoa basi
@@bisadibisadi6862 mmakonde ni mzalendo wa kweli lupola mkomwa alishacoments kamaliza
Na pita tu🤣🤣🤣
Hapa ndy naelewa kwann Bm 3amesema Simba ni chuo😀
Bongo siasa had kweny michezo
Harmonize for the first time
haaaa baba kamaliza mutoto kainuka hatari kweli Ray na Mboss wako wapi?apo sasa wataelewa sasa kond boy ni kotofo ca Diamaond tutakubalitu kwakila hali yote mupizani wa konde bado ajazaliwa .
Weee usilinganishe RAY na huyo Boya Mbosso mwenyewe hamuwezi huyo wew unazani hapo ndo katoboa?? Kkk tulia Ray international
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😜
Lwiga lwiga lwa ulige
Harmo hapo umeyumba
🤣🤣🤣 nae uyu anafata nyayo simba baba lao
Ni mwalimu wake sioni tabu
Et eeh sawa
@@anthonykamkolwe5766 mwalmu umfundxha mwanfunz na mwanfunz uja kumzd cheo mwalmuu yote yapoo Bg Elephant 🐘💪💪
@@langxboy9804 kakwambia nani?? Nipe mfano wa mwanafunzi anaejulikana na ma millions ya watu kwamba alikuja kuwa tishio zaidi ya mwalimu wake! Yaani ukiona hivo lazima akutane na walimu tofauti tofauti tena wakubwa zaidi sio kwa elimu alioipata kwa mwalimu wake na akatulia eti atakuja kumpita weeee usipime
@@officialmrtop1018 ndo jeshii amekutana na walimu wengne wa ali ya juu😜😜 🤝💪
Uto kama uto je mumesha changa pesa ya kusajili wachezazi wenu 😆😆😆😆🐸🐸🐸🐸🐸
D
AFRICAN FASHION mishonoya vitenge MAHARUSI nk
ruclips.net/video/l2NEqbWLrQw/видео.html
Kimenuka somebody has to loose subscribers for this either Mond” or Harmonise” time we ll tell
Una akili san