Harmonize atua rasmi Yanga, akutana na uongozi wa GSM, Hersi Said afunguka, mambo ni August 30

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 252

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir5299 4 года назад

    Number one jeshii umetisha sana king of Africa harmonize hogera sana sana

  • @lupolamkomwa8478
    @lupolamkomwa8478 4 года назад +15

    Hakika wazalendo wa kweli utawajua tu. Hongera sana Harmonies hakika wewe ni mwananchi mzalendo wa kweli.

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 4 года назад +15

    Daah Rayvanny anakosa madili heavy heavy kama haya kweliiii ushindani una raha wenye kutengeneza pesa

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 4 года назад

      Hajiamini yule mnyakusa😂😂

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      Acha ufala wew mbona ana BET na Diamond hajaipata huyo Harmo anaipi?

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 4 года назад +2

      @@officialmrtop1018 BET kitu gani wewe atoke Wcb ajitegemee kama KONDE BOY Kudadadeki😂😂

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 4 года назад

      @@hassanovajunior6972 kwani mmakonde anajitegemea au ana watu anafanya nao kazi sema ndyo hivyo watu wake local maana hii ya yanga kaiomba ajaombwa alafu atasema kalipwa mmakonde nae kwa kujimwambafai ajambo

    • @hassan0256
      @hassan0256 4 года назад

      @@hassanovajunior6972 sasa hio show na bet kipi kinakuza CV ya msanii international ??

  • @AbuArafat001
    @AbuArafat001 4 года назад +9

    This is how business is working perfect 👌

  • @ragytv2546
    @ragytv2546 4 года назад +9

    Tusubir bonge la ngoma mamae KONDE GANG 🌏 🔥

  • @zou7470
    @zou7470 4 года назад +8

    Kujielewa kunaraha yake 👌👌ongera sana hamo kwakujitambua nakujitegemea yani vitu kam ivyo ungeendelea kuvisikia kwa wenzio so nakutakia kila lakher kond boy🙏🙏🙏

  • @MyLife-tg3op
    @MyLife-tg3op 4 года назад +29

    Saf konde boy kaba mpka penalty... Hatuachi kitu hii inaitwa hatua kwa hatua 🤣🤣🤣🤣

    • @zou7470
      @zou7470 4 года назад +1

      Umeona 💃💃💃

    • @salamajuma5481
      @salamajuma5481 4 года назад +3

      @@zou7470 hata mimi nimeona bampa to bampa hatuogopi mtu macho kwa macho mwaka huu unanifurahisha sana kwa matukio yanayoendelea. konde boy pressure ya upande wa pili SINDANOOO mpka dawa iingiee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 4 года назад +1

    Huu ndo ushindani tunaotaka big up kwa team zote ila simba baba lao

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 4 года назад +5

    Mie yanga daima 💚💛💚💛💚

  • @kherysamiry6716
    @kherysamiry6716 4 года назад +13

    Mm azam lakin nimependa san hamo kuwa yanga yanga munatakiwa musiwe washamba

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 года назад +8

    Dawa ya moto ni moto...kama angebaki WCB hayo madili angepata.

  • @marymonjemghalu9362
    @marymonjemghalu9362 4 года назад +1

    Jeshiiiiiiii kama jeshiii wanakuita jeshii💪💪💪💪💪💪

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +1

    Sealed 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 года назад +2

    😃😃😃😃😃😃😃woyooooooooo piga kelele kwa Konde ake weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapo ni Vita nani mshindi tutajua mbele😄😃😃😃

  • @jamilaathumani9004
    @jamilaathumani9004 4 года назад +1

    Imeongeza chachu ya mpila na muzik kwa ujumla yani tanzania ya mapinduzi yakimpila na mziki,,, safi nimependa iyo nilikuwaga naidia hii rong tu🏁✈️✈️ me

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani5562 4 года назад +8

    Wow mashaallah

  • @AbuArafat001
    @AbuArafat001 4 года назад +4

    Let's him earn we earn more n we gain more power rangers legacy

    • @gracemtera6620
      @gracemtera6620 4 года назад

      Wanakwenda nyie hanalolote kaz yenu bendera fuata upepo

  • @everrineanyango7410
    @everrineanyango7410 4 года назад +17

    Mnajua kumkomoa diamond kweli.atakoma mwaka huu

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 4 года назад

    Nakupenda konde boy but mm all the way frm mombasa kenya ni Simba damuuu..toka tukiwa wadogo pale kariakoo mtaa wa lindi kwa muchachu...tukishangilia simbaa😍...hongera harmo

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 года назад

      Sio Kenya nzima sema wwe ni simba

  • @orestehavyarimana5806
    @orestehavyarimana5806 4 года назад +24

    Jeshiiiiiiii huyu mwaka watatukoma🤪

    • @alimairakoze3784
      @alimairakoze3784 4 года назад +1

      🤣🤣usijinyonge bhana 😂

    • @hassanmapenzi6188
      @hassanmapenzi6188 4 года назад

      Huyo kajipeleka hamna pesa ya kulipwa

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      Hahaha eti watamkoma kwa lipi? Kkk Diamond ndo kila kitu Bongo hivi mnaona sasa Yaani ndo kafunguwa soko msijifanye hamuoni

  • @godfreykipanga9468
    @godfreykipanga9468 4 года назад +1

    Wanatakiwa kufanya ivo na kwenye vyama vya siasa. Ccm Chadema act. Cafu. Sio kila mwanamuziki ccm

  • @alimairakoze3784
    @alimairakoze3784 4 года назад +7

    Mjeshi

  • @queenseptember4640
    @queenseptember4640 4 года назад +25

    Bora ulivyotoka kule maana rizki hizo ungeziona kwenye tv zikipita tu.

    • @alimairakoze3784
      @alimairakoze3784 4 года назад

      😁🤸‍♀️

    • @danielkiroka6331
      @danielkiroka6331 4 года назад

      🤣🤣🤣🤸🏾‍♀️🤸🏾‍♀️🤸🏾‍♀️🤸🏾‍♀️

    • @boytz1870
      @boytz1870 4 года назад +1

      Watu Bwana wakati anaenda WCB hakua na kitu kawezeshwa saiv nikiwa wcb napoteza

    • @babyhamisi5331
      @babyhamisi5331 4 года назад +3

      Wallai Tena kung'ang'ania mahala pamoja uwa mtu anajifungia Sana rizki zake

    • @mwanaidyibrahimu8861
      @mwanaidyibrahimu8861 4 года назад +1

      @@boytz1870 umeona eee watu wanafki sana

  • @justinjoshua1059
    @justinjoshua1059 4 года назад +1

    Sisi tuna enjoy tu kwaraha zetu😍😍😍🤗

  • @robbyhushpuppy991
    @robbyhushpuppy991 4 года назад +1

    TEMBO HUA ANAFANYA VISIVYO FANYIKAA..... HUYUU CHALII HUA ANAMKOSOA DIAMOND

  • @mkaliswahiba9722
    @mkaliswahiba9722 4 года назад +12

    Tembo 💥💥💥💥💥💥💪💪💪💪💪

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 4 года назад +6

    Oyooooo timu langu ilooo chezea yangaaa ww

  • @raulianraphael6853
    @raulianraphael6853 4 года назад +4

    Ukiwa m Tz na unaipenda nchi yako na unaelewa vzr wmbo wa Taifa na maana ake uta enjoy anyhow
    Team kabmb(team music)
    #AzamKiba#SimbaChibu
    #YangaKonde#Kagera Saida!!!!!!!!!!?&??

  • @gatoreregis7947
    @gatoreregis7947 4 года назад +1

    Wemwenyewe mutangazaji hawumupende daimond lakini unatupa muda munajiumiza roho daimond ni levo zakimataifa mimi ni rayiya wa burundi daimond kweli nsungekuwa murundi tungekupa kiti cako ca babalao wa tanzania hawajuwi gisi tunakupenda

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 года назад

      Wacha ufala, kwaivyo ulitaka diamond atajwe kwenye issue ya harmonize

    • @gatoreregis7947
      @gatoreregis7947 4 года назад +1

      @@hkmeme5437 nabado mutawumiya harmonize mwenyewe kutoka wasafi yeye anajua kama daimond babalao levo zakimataifa roho zenu zitawumwa from burundi

  • @abdallahmsuko1835
    @abdallahmsuko1835 4 года назад +1

    Waoooo nimependa

  • @AbuArafat001
    @AbuArafat001 4 года назад +3

    Tembooo gang all eyes 👀 on you now

  • @swaggerizedninjagoseprocom8523
    @swaggerizedninjagoseprocom8523 4 года назад +1

    #Diamond
    #Alikiba
    #Harmonize

  • @mohamedcabdi4195
    @mohamedcabdi4195 4 года назад

    Bwana sikuhizi uko side ya harmize sky

  • @manstiko5890
    @manstiko5890 4 года назад

    That nice inaonyesha tunapongezana sana sio tuwapelekee waningeria

  • @sambesk2719
    @sambesk2719 4 года назад +1

    Wezeee wakujipendekeza kwenye makampuni ya watu ata akipewa elfu 50 nyie hamjali ili mladi muonekane kwenye jamii kua mmepata dili😂😂🦁🦁baba lao

  • @guccij3549
    @guccij3549 4 года назад +6

    Nashindwa kuelewa Mikia team sio yenu mnaumia nini 😂 Harmo kwenda Kwa mabingwa kihistoria

    • @jumamagaya945
      @jumamagaya945 4 года назад

      Wasenge hao

    • @hassanmapenzi6188
      @hassanmapenzi6188 4 года назад +1

      Huyo alijipeleka hamna deal ya hela hapo

    • @guccij3549
      @guccij3549 4 года назад

      @@hassanmapenzi6188 ila c team yke

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      @@hassanmapenzi6188 hahaha kabisa yani

    • @hassanmapenzi6188
      @hassanmapenzi6188 4 года назад

      @@officialmrtop1018 ukitaka ule poa ungoje wenye dili wakufwate c we uwafwate eti ndio uonhelewe hapo hela hata ukipewa itakuwa kidogo Sana wengine tumepewa hela kama simba alilipwa na simba mkwanja mrefu c dili LA kitoto ama LA bure kiba kapewa lakini c kumzidi simba nae mmakonde kaende hili kulipisha

  • @shootershilcon8307
    @shootershilcon8307 4 года назад +2

    Nakukubali kinoma konde boy tuwakilishe

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 4 года назад +2

    Konde boy🔥🔥🔥

  • @amanistarz1234
    @amanistarz1234 4 года назад +2

    Noma sana konde body

  • @abassimussa7473
    @abassimussa7473 4 года назад +1

    Jeshi 🔥🔥🔥

  • @zuwenahamoud7792
    @zuwenahamoud7792 4 года назад

    Mbwaaa uyoo

  • @asiajuma8342
    @asiajuma8342 4 года назад +1

    Oyooooo piga kelele kwa harmonize akeee

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +1

    KONDE BOY FOR EVERYBODY 🐘🐘🐘🐘💪💪💪

  • @fatmamkapila2402
    @fatmamkapila2402 4 года назад +1

    Ukisema chabo bc YANGA ndio ilianza kuzaliwa na wengine kufuatia.YANGA MBEEEEEEEEEEEEEEEE

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +1

    Temboooooooooo

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 4 года назад +1

    Hahaha tulijuwa tu lazima akajipendekeze ilikusudi nae aonekane eti kapata timu kkkk Diamond ndo kila kitu Leo kawafunguwa Macho baada ya kuwafungulia SOKO kwenye soka

  • @tawfiqmbagwa9407
    @tawfiqmbagwa9407 4 года назад +1

    Ushindani ni mzuri ila inahitajika umakini sio kufanya kwa kuwaridhisha wengine. Make more profit while making people happy.

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 года назад +2

    Kisa diamond simba, yeye kaenda yanga

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 4 года назад +1

    🐘🐘🐘🐘🐘🔥🔥

  • @christianrukurugu4341
    @christianrukurugu4341 4 года назад +1

    Kila kitu kuiga du!!

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 года назад +1

    Iga iga Co ltd

  • @halimams2127
    @halimams2127 4 года назад +1

    kinde boyyy jeshiiiii

  • @guccij3549
    @guccij3549 4 года назад +1

    😁 Hii kitu Mikia inawauma sanaa

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 4 года назад

    Saf sana Eng

  • @sumayahfathi9413
    @sumayahfathi9413 4 года назад +1

    Mnawaiga wanyama nyinyi,

  • @yaibukarimu8252
    @yaibukarimu8252 4 года назад +1

    Kizaziiiii

  • @ashafatuma3167
    @ashafatuma3167 4 года назад +6

    🐘🐘🐘!!!

  • @madiyaahmad7453
    @madiyaahmad7453 4 года назад

    Rahaaaa ushindani

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir5299 4 года назад

    Niviziri kabisa kwa watu kuungana

  • @getmad9908
    @getmad9908 4 года назад +1

    Ss hapo ndomtajuwa tafauti yaa kuwa chini ya label na kuwa pekeyako, wacha wasindikize matajiri wake na rayvanny na lava na mboso ,😂😂

  • @jamilahassan6432
    @jamilahassan6432 4 года назад

    Jeshii kama jeshiiii

  • @sisawajohari7252
    @sisawajohari7252 4 года назад

    wananchi tuta waonyesha

  • @thetycoon8799
    @thetycoon8799 4 года назад

    Sasa na humo mkaropoke Magufuli mara ccm kama Mo Dewji. Msilete ukenge huko

  • @tinaturner4514
    @tinaturner4514 4 года назад

    Guyz lyk your newz ni safi sana 254

  • @guycalifat4426
    @guycalifat4426 4 года назад

    Rayvanny nyiee endeleeni kubak mkipelekeshw uko mmakonde yy akafikiria mbali japo ningumu

  • @abbykruger1625
    @abbykruger1625 4 года назад +6

    🐘🐘🐘

  • @chazgunda5823
    @chazgunda5823 4 года назад

    Kuna watu awajazi majibu mbaka wapige chabo kwa walio jaza noma sana….
    Afu shida inakuja akishajaza anajifanya anamshtua aliempigia chabo amtajie jibu ili ajaze dizain yeye ndo anajua daaaah bongo nyoso

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 4 года назад

    Sio huenda ikaja shughuli Bro.
    Siku ya Wananchi ipo tangu mwaka jana..
    Na Mwaka huu pia ipo..
    Fatilia vzuri

  • @fadhilbarua6949
    @fadhilbarua6949 4 года назад +2

    Ray van aige mfano atoke nae angepata ata namungo

    • @salamajuma5481
      @salamajuma5481 4 года назад

      Very true

    • @langxboy9804
      @langxboy9804 4 года назад +1

      Mmh Bb kupotea ndo wanacho ogpaa so wote wanajeshii wengne komesha Bg up Tembooo💪💪

  • @adamnasib7928
    @adamnasib7928 4 года назад +1

    Muimba Majungu naona nae kaenda utopolo

  • @fikirijames5765
    @fikirijames5765 4 года назад +4

    Asiye kubali kushindwa ?????.........mtamalizia wenyewe mi naenda zangu.....🏃🏃

    • @jacklinemwanga1691
      @jacklinemwanga1691 4 года назад

      Safar njema

    • @salamajuma5481
      @salamajuma5481 4 года назад

      @@jacklinemwanga1691 na asisahau mizigo yake ajifanye anairudia kumbe anataka kukwamia konde gang! otherwise tunawakaribisha wananchi wote

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 4 года назад +1

    Simba baba lao 😂😂 wengine wote waiga kwa Simba

  • @alidancer23
    @alidancer23 4 года назад

    Hahhaha mondi mwaka huu wako deal moja

  • @adrianimassawe8577
    @adrianimassawe8577 4 года назад

    Jeshiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!

  • @mwinyimvua2490
    @mwinyimvua2490 4 года назад

    Kwani harmonize alipokuja wasafi alikuwa na nyumba au gari kuna mijitu aijitambua Bila daimond tusingeona mafanikio ya harmonize ata bado Yuko juu Sana kimuziki kimaisha ata kwenye biashara uyu harmonize Ndiyo katoka usafini kaenda kujitegemea Kwa iyo kama atasikiliza maneno ya watu ashindane na daimond itakuwa KAZI bure daimond ni dangerous mafanikio aliyopata Ndiyo Ndiyo Kwanza anaona bado miaka 10 kwenye game kutrend namba1 sio kitu poa ndomana daimond uwa akifanya Jambo kubwa Africa ujue kuna watoto wadogo lazima waige daimond lever nyengine international ashavunja rekodi kibao kuliko msanii wwt East Africa

    • @getmad9908
      @getmad9908 4 года назад

      Mm mjinga ww ,Hilo twalitambuwa Ila konde kujiongeza ni akili yake , na jitahada zake, konde boy , kujitowa Chino ya lebel hii ndiyo manufaa take,

    • @scientist_munisi
      @scientist_munisi 4 года назад

      Kwa hiyo unataka diamond asipate mshindan sio .au kwa maana iyo kwa vile baba na mama ako anekuleta dunia ukae nao milele usijitaftie sio .

  • @paulomolel1246
    @paulomolel1246 4 года назад

    Yan patashika nguo kuchanika jeshiyyyyyy

  • @sisawajohari7252
    @sisawajohari7252 4 года назад

    lakini walishindwa kujaza uwanja

  • @jeanpierrekwizera6400
    @jeanpierrekwizera6400 4 года назад

    Mbona kila kitu ana copy lakini 🤔

  • @emmanuelkufakunoga5929
    @emmanuelkufakunoga5929 4 года назад +1

    Tubadilike watanzania yani Huwezi kufanya kitu mpaka mwingine afanye ndio nawewe ufanye lack of creativity

  • @emmythebosslady2142
    @emmythebosslady2142 4 года назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 4 года назад

    Simba baba lao kila kitu wanacopy wapinzani Utopolo hoi hawana jipya

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 4 года назад

    🔥🔥🔥🔥

  • @atladiehardfan4210
    @atladiehardfan4210 4 года назад +8

    Tatz utopolo wanafans wakutaftza km konde anavoitafta 3M in a month👌😂😂😂😏
    🐸 bana

    • @pettycosta8306
      @pettycosta8306 4 года назад +1

      kwanza wanaiga utopolo hebu muache kutuiga simba..... mtasikia na wenyewe wataanza kuwapima wachezaji kwa kutumia kipima joto kisa tu wamesikia simba wanaanza kutumia GPS program hahaaaaaaa

    • @ROSEROBERTROBART
      @ROSEROBERTROBART 4 года назад

      Punguzeni povu na presha 🤣🤣🤣 tukutane date 30 period wote ni wananchi

    • @majabumbaga2349
      @majabumbaga2349 4 года назад +1

      Kuiga iga tu..

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      @@ROSEROBERTROBART tukutane wapi? Bora nibaki home nakunywa uji wangu

    • @ROSEROBERTROBART
      @ROSEROBERTROBART 4 года назад

      @@officialmrtop1018 🤣🤣🤣 sawa boss baki ukinywa porege

  • @sabrasalum8898
    @sabrasalum8898 4 года назад +1

    mechi kali baina ya hamoniz na mondi

  • @rmags8654
    @rmags8654 4 года назад

    Diamond baba Lao!! Wengi wote wanafanya copy and paste!!

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 года назад

      Copy na wwe

    • @rmags8654
      @rmags8654 4 года назад +1

      Sisi ni original hatucopy!! Diamond baba lao!! 👌👌

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      Diamond ndo BONGO FLEVA zaidi ya hapo ni uongo

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 года назад

      @@officialmrtop1018 afrobeat

  • @bunny_dailylife
    @bunny_dailylife 4 года назад +1

    Mtainga hadi kukunia 🚮🚮🚮simba babalao

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 4 года назад

    Mmakonde kaiomba shoo ya bure hii maana kabla hawajamuita kajipedekeza ndiyo maana Mimi uwa naamini kuwa kiba ndyo mwanamuziki maana kasema yeye ni shabiki wa yanga lakini pia mziki wake ni biashara

    • @bisadibisadi6862
      @bisadibisadi6862 4 года назад

      Weee hakuna cha bure labda salam tu..kwani unaumia? Chomoa basi

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 4 года назад

      @@bisadibisadi6862 mmakonde ni mzalendo wa kweli lupola mkomwa alishacoments kamaliza

  • @sadakhamis6684
    @sadakhamis6684 4 года назад

    Na pita tu🤣🤣🤣

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 4 года назад +1

    Hapa ndy naelewa kwann Bm 3amesema Simba ni chuo😀

  • @seifbagilo2516
    @seifbagilo2516 4 года назад

    Bongo siasa had kweny michezo

  • @elshaarawymuhabesh316
    @elshaarawymuhabesh316 4 года назад +1

    Harmonize for the first time

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад

    haaaa baba kamaliza mutoto kainuka hatari kweli Ray na Mboss wako wapi?apo sasa wataelewa sasa kond boy ni kotofo ca Diamaond tutakubalitu kwakila hali yote mupizani wa konde bado ajazaliwa .

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      Weee usilinganishe RAY na huyo Boya Mbosso mwenyewe hamuwezi huyo wew unazani hapo ndo katoboa?? Kkk tulia Ray international

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 4 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😜

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 4 года назад

    Lwiga lwiga lwa ulige

  • @abuuclassic5948
    @abuuclassic5948 4 года назад

    Harmo hapo umeyumba

  • @castorymwaipopo290
    @castorymwaipopo290 4 года назад +2

    🤣🤣🤣 nae uyu anafata nyayo simba baba lao

    • @anthonykamkolwe5766
      @anthonykamkolwe5766 4 года назад +1

      Ni mwalimu wake sioni tabu

    • @castorymwaipopo290
      @castorymwaipopo290 4 года назад

      Et eeh sawa

    • @langxboy9804
      @langxboy9804 4 года назад

      @@anthonykamkolwe5766 mwalmu umfundxha mwanfunz na mwanfunz uja kumzd cheo mwalmuu yote yapoo Bg Elephant 🐘💪💪

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      @@langxboy9804 kakwambia nani?? Nipe mfano wa mwanafunzi anaejulikana na ma millions ya watu kwamba alikuja kuwa tishio zaidi ya mwalimu wake! Yaani ukiona hivo lazima akutane na walimu tofauti tofauti tena wakubwa zaidi sio kwa elimu alioipata kwa mwalimu wake na akatulia eti atakuja kumpita weeee usipime

    • @langxboy9804
      @langxboy9804 4 года назад

      @@officialmrtop1018 ndo jeshii amekutana na walimu wengne wa ali ya juu😜😜 🤝💪

  • @isunga1964
    @isunga1964 4 года назад

    Uto kama uto je mumesha changa pesa ya kusajili wachezazi wenu 😆😆😆😆🐸🐸🐸🐸🐸

  • @magrethelisha2220
    @magrethelisha2220 4 года назад

    D

  • @itshaluastyle
    @itshaluastyle 4 года назад

    AFRICAN FASHION mishonoya vitenge MAHARUSI nk
    ruclips.net/video/l2NEqbWLrQw/видео.html

  • @TANZANIAFILMMAKINGTV
    @TANZANIAFILMMAKINGTV 4 года назад +5

    Kimenuka somebody has to loose subscribers for this either Mond” or Harmonise” time we ll tell