PART 02 - SURA YA MTU, ROHO YA SHETANI - [ MWISHO ]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 дек 2024

Комментарии • 176

  • @ankojay_
    @ankojay_  Год назад +41

    Hii iko vizuri tayari NIMEREKEBISHA yale makosa yaliyojitokeza kwenye ile simulizi ya kwanza, 🙏 Im Sorry

    • @Syviahalex
      @Syviahalex Год назад +1

      Thanks for the consern, much love

    • @Nuru8700
      @Nuru8700 Год назад +1

      Usijal my brother kawaida

    • @aminasultan7287
      @aminasultan7287 Год назад

      Ok mana nilikuwa nimevutiwa mana nilikuwa nasikiliza maraghafla ikapotea asante kwa malekenisho

    • @aminah9557
      @aminah9557 Год назад

      Asante sana Anko J Mungu akuzidishie baraka kwenye utaftaji wako ❤❤❤

    • @rachypsalms2869
      @rachypsalms2869 Год назад +1

      Thank you❤

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Год назад +13

    Leo wa 1 jameni naomba like Zen ♥️ wangu nimewai kabisa Ankojay ahsante acha ni 🪑🎧

  • @TimaSiri-f7s
    @TimaSiri-f7s Год назад +6

    Huyu Yasina si rafiki mzuri kabisa

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Год назад +7

    Asante anko jay nimejifunza wivu na roho mbaya ni uchawi mkubwa sana

  • @merrymazuri2713
    @merrymazuri2713 Год назад +5

    Nime kuwa wa24 like at tano tu 🌺🌺🌺 vile nawapenda nyie mtakao like hii comment 🎉

  • @nasramgula8870
    @nasramgula8870 Год назад +4

    Anko Jay unanikosha mie ❤️ nakupenda sanaaaaaa ❤️❤️😘

  • @JoyceMagembe-c2g
    @JoyceMagembe-c2g 2 месяца назад +1

    Una roho mbaya Sanaa mpk unatisha jaman ubaya gan huo hata huruma huna Kwa mema unayofanyiwa

  • @MargertMumbi
    @MargertMumbi Год назад +7

    NUMBER 1

  • @LizzybethMellejacky
    @LizzybethMellejacky 4 месяца назад +2

    Ukimpa xhetani nafasi kweli anayavuruga haswa. Jamani tujifunze kumcha mungu xnte ankojy kwakutuelimixha ubarikiwe xna,

  • @BNSF2012
    @BNSF2012 4 месяца назад +1

    Imenifunza sana hii ..

  • @Sumaiya-h7m1p
    @Sumaiya-h7m1p 5 месяцев назад +3

    Hasina mchawi tena gwiji subhanallah kikulacho ki nguoni mwako😢😢

  • @olyoly9992
    @olyoly9992 Год назад +3

    Daah kweli mwisho wa umbaya ni aibu asante anko jay one ❤❤❤

  • @JeremiaDavie
    @JeremiaDavie Год назад +1

    Big up sana 😊😊

  • @khadijaali9861
    @khadijaali9861 Год назад +2

    Ahsante kw kuchubuurudisha

  • @Precious-vi8fj
    @Precious-vi8fj Год назад +1

    Jamn anko j nakupenda kupita maelezo unasauti nzur Sana

  • @LatifaJabiriAmmar28
    @LatifaJabiriAmmar28 10 месяцев назад +2

    Asante kaka simulizi inamafunzo

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +7

    ALLY MBETU apewe maua yakee🌹🌹kwa kweli hizi simulizi zinatufunza mengi kwa kweli🥰🥰

  • @Alhadady
    @Alhadady Год назад +1

    Mmmhhh alhamdulilahi tumshukur Allah jmn

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 10 месяцев назад +1

    Anko uko poa sana kwa simulizi tunashudia❤❤❤❤❤

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Год назад +3

    Nia mbaya haifani palipo na nia nzur mungu tulinde waja wako

  • @susansamira8137
    @susansamira8137 Год назад +2

    Usijali Ankojay bila samahani❤❤

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +1

    Pole Sana Dada shatani ndiyo Hapendi watu watu rafiki yako yeye halikuwa hanakuhuwa hanakupoteasa. Hilihusione mungu twashukuru mungu wa ibrahim na isaka na yakobo wa huruma

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +8

    Anko bado tunasubiri jini mahaba hatuja sahau😂 maupendo kwako❤❤❤

  • @hassanhawa9954
    @hassanhawa9954 6 месяцев назад +2

    Asanti sana Ankoje,tangu nianze kusikiriza video zangu.sija wahi sikiza awo kutazama.film yoyote. Thaks a lot❤❤❤❤ankoje.

  • @MaryamKhamis-w9s
    @MaryamKhamis-w9s Год назад +1

    Pole sana suwea

  • @MariamJuma-o9z
    @MariamJuma-o9z Год назад +1

    Kweli kabisa Anko Malaya yana mwicho wake Asante sana kwa simulizi mzuri Ina mafunzo much ❤❤❤❤ kwa pamoja sana

  • @elizabethkatoko8867
    @elizabethkatoko8867 6 месяцев назад +2

    Mimi naskiza hizi za kitambo❤❤❤

  • @jacklinekwamboka6245
    @jacklinekwamboka6245 Год назад +1

    Pole sasa dada na Asant kaka na wivi kwa kusamee mbarikiwe
    Mengi nimejifusa apa❤❤

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 Год назад +1

    Dr Mbetu asante sana ❤❤❤

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Год назад +1

    Hongera ALLY MBETU Storr ni 🔥

  • @Yusra728
    @Yusra728 4 месяца назад +5

    Urafiki mwingine ni kama mti wa mpapai, haufai kwa kuni wala mbao

  • @NawMi121-lj8cf
    @NawMi121-lj8cf Год назад +2

    Twashukru sana we❤❤❤ you Ankoj God bless you

  • @ZinaTanzani
    @ZinaTanzani Год назад +1

    Jamani mwisho wa ubaya aibu anko Jay tabarak Allah

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan887 Год назад +3

    jamani wivu ni uchawi tosha khaa mungu niepushie mbali iyo loho

  • @racheluwda6552
    @racheluwda6552 8 месяцев назад +2

    Duuh yasina si mtu mzuri kabisa 😢😢😢

  • @speciozamikole2194
    @speciozamikole2194 Год назад +2

    Anko na mwala, Anko na mbetu hiyo timu hatari Sana simulizi zao ni moto sana

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 Год назад +2

    Pole sana mamy ila uliataka mwenyewe uliachwa na mumeo unakuja kumfanyia wivu wifi yako huna hata haya mpaka unamtoa mimba kweli si watoto wanaozaliwa na kaka yako ni ndugu zako .......asante anko Jay kwa simulizi tamu yenye mafunzo

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Год назад +4

    Ooh! Imerudi!

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +1

      Yeah nimeifanyia marekebisho.. sahizi iko poa

    • @fallymetoo191
      @fallymetoo191 Год назад

      @@ankojay_ safi sn

  • @BasheeromarBasheeromar
    @BasheeromarBasheeromar 5 месяцев назад +3

    😂😂😂 Asina ana mjaza mwnzake mshike lile paraa lake

  • @kaneza932
    @kaneza932 Год назад +1

    Dawa yanwoto nimwoto❤❤❤❤

  • @ffed1876
    @ffed1876 Год назад

    Aamina Yarabbi pole sana dada kwa mikasa Subhana-Llah Mola atunusuru kwa yote.

  • @JanethErnest-f8g
    @JanethErnest-f8g Год назад +1

    Mmmh🔥🔥🔥

  • @FadhilMohamed-d5i
    @FadhilMohamed-d5i Год назад +1

    Jamani Ali na Anko suweya Atadoooo🤔🤔🤔yaani naenjoyhapa🇰🇪

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn Год назад +1

    Asante my uncle jy

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤ daaah

  • @kaneza932
    @kaneza932 Год назад +2

    Mwishowa ubaya ni ayibu

  • @juniorsvlogs7578
    @juniorsvlogs7578 Год назад +4

    Awa ma binti awachoki? Nendeni kutafuta hela sio kuroga 🖤🖤🖤

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Год назад +1

    Anko kama anko J shukran❤❤❤

  • @dianadeogratius4036
    @dianadeogratius4036 Год назад +2

    Nimewai kidogo Leo jamn maana Ankojay asante sana jmn

  • @mumbikibathi7036
    @mumbikibathi7036 6 месяцев назад +3

    Mumbi Wa Naivasha Ndani Ndani likes watu wangu

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo3072 Год назад

    Huyu Binti mshenzi ningelikuwepo kuweka vibao bila kukoma alaaaaa, Mbetu Thank you Anko nashukuru pia❤❤

  • @FatumaChande-ht5zw
    @FatumaChande-ht5zw День назад

    Nice 👍

  • @catherinedominic3603
    @catherinedominic3603 Год назад

    Anko j penda Sana ww simulizi Ni 🔥

  • @latifa7358
    @latifa7358 Год назад +1

    Shukran saana ankoj wakazi nzuri🙏

  • @rachypsalms2869
    @rachypsalms2869 Год назад +1

    Thank you AnkoJay simulizi tamu sana🥰🥰🥰🥰😍😍😍😍

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +1

    Nmeipenda Sana uchiz umempa na watt 😂😂😂2lza komwe ulee wanao Sasa.

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +1

    Wa 20😂😂😂 nimekua nimeingoja kwahamu hii asante mr anko jay mob love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Syviahalex
    @Syviahalex Год назад +9

    Leo ndio nimeamini watu wengi hawasikilizi simulizi mpaka mwisho wao ni kucomment tuu,

    • @popod177
      @popod177 Год назад

      Mm nimechanganyikiwa..mbona tena nikama nishaisikiliza..???.😂

    • @neemakarisa1496
      @neemakarisa1496 Год назад

      😂😂

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 Год назад +1

    Simulizi tamu ya kujifunza❤❤❤❤

  • @stellahrobert5
    @stellahrobert5 Год назад +1

    Tuko pamoja anko j ❤❤❤

  • @anjelinandambuki-fi4ip
    @anjelinandambuki-fi4ip Год назад +2

    Tupo❤❤❤❤

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +3

    Mama kiota kiboko😂😂😂😂 mlim bipu acha awapigie Sasa 😂😂

  • @متجرجهاد-ذ3ث
    @متجرجهاد-ذ3ث Год назад +2

    Mwisho Wa ubaya Ni aibu unamwonea wivu kakako wee dada wewe paka unapata watoto ukiwa kichaa pole lkn pia acha ubaya

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +1

    Thank youuuuuuu so much 💞❤❤🎉🎉we love you more than you anko Jay

  • @rebeccazagabe
    @rebeccazagabe 8 месяцев назад +1

    ankojay kwa kweli wewe ni kiboko aisée 😂😂 mwanaume umoja umebadilicha sauti utafikiri ni watu kumi 😂 weni noma 😂

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад

    Hawa waliotoa msamaha nawastaajabia sana, na ktk mbingu wanayo nafasi yao,hongera zao nyingi

  • @tabiasalum3381
    @tabiasalum3381 Год назад +1

    Kwa kwel

  • @sadikituji-rd5od
    @sadikituji-rd5od Год назад +1

    Akili za kushikiwa hizi zinachekesha Sana

  • @LindaRobson-qn1br
    @LindaRobson-qn1br Год назад +1

    Simuliz za ali mbet huwa zinatufunz San kuish na watu vzr tuache mabya pia Asant Anko j

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Год назад +1

    Asante sana ankojay ♥️♥️♥️♥️🤣

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Год назад

    Asante anko j na Ally mberu kwa simulizi nzuri yenye mafunzo

  • @issanuru9552
    @issanuru9552 Год назад +2

    Basi mm nilikuwa naangalia hii part 2 mara ghafla siioni nikashangaa imekuaje au cmu yngu ndio inazingua kumbe ni kwako ww anko jay😂😂😂😂 much love ❤❤❤

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Год назад +1

    Mmmmh...aki leo am the last one 😊twende nalo😊

  • @zulfahassani
    @zulfahassani Год назад +2

    Anko jay tunakupenda sana simulizi zako zinatufunza mengi

  • @Jeska-ec4jy
    @Jeska-ec4jy Год назад +1

    Asante sana 🎉

  • @kaneza932
    @kaneza932 Год назад +1

    Dawayamoto nm

  • @bukuratanchande4588
    @bukuratanchande4588 Год назад +1

    Dah

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Год назад +1

    Amiin anko jay

  • @ruwaidamohd9382
    @ruwaidamohd9382 Год назад +1

    Asnts anko jsna mkasa mzr na unafunza jamii

  • @EdinaAosa
    @EdinaAosa Год назад +1

    😢😢😢😢

  • @bodymsomali3321
    @bodymsomali3321 6 месяцев назад +1

    Duuuuuuu.......

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 10 месяцев назад +1

    Makubwa hao anko jay

  • @fatumamatano8216
    @fatumamatano8216 Год назад +1

    Gd work

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад

      Thank you so much ☺️

  • @MaSI-p5o
    @MaSI-p5o 4 месяца назад +1

    Kuna kusamehewa kungine sikwa kujiamini.kumbuka uliwafanyia waja wa mungu ,sasa basi ngoja hukum yako .aNakila mtu ataubeba mziho wake hapo ndi utajua hujui maana uliwmchezwa nikiunbe imara subirs haishindi khudra

  • @LispaKadzoKalu
    @LispaKadzoKalu Год назад +3

    Marafiki wabaya jamani haikuwa wewe kipenzi pole ila tunachunga sana maelekezo ya marafiki

  • @Sabinajosephndunguru-xq9lc
    @Sabinajosephndunguru-xq9lc Год назад

    Asante ank j

  • @MarryJames-n2f
    @MarryJames-n2f 5 месяцев назад +1

    Nihatari anko j hasina hatari jamn anauzunisha

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Год назад +1

    🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️

  • @hamidabaliyanga2584
    @hamidabaliyanga2584 11 месяцев назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Sss-b9w6f
    @Sss-b9w6f Год назад +1

    😂😂😢😢❤❤

  • @fatmasaleh1067
    @fatmasaleh1067 Год назад +2

    Ally mbetu unatupa stories zako kuwa na utulivu mkubwa big up🎉🎉, ila tunaomba utumalizie Ile story ya jini mahaba bado haujaimaliza tunaomba mwisho inakuwaje

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 Год назад +1

    shukran anko

  • @jokhajj
    @jokhajj Год назад +1

    Woow imerudi😂

  • @BEATRICESHUME-wp9zu
    @BEATRICESHUME-wp9zu Год назад +1

    Heee dunia inamambi

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +1

    🎉🎉❤❤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Год назад

    Huo ndomshahara waroho mbaya mm ningekuwa wfi yangu yani ningekusamehee naukae mbali na maisha yangu siwezi kaa na ibilisi mm hadi umezaa ukiwa chixi kalime huko sasa naule wanao funzo kwamawifi wale mnaoachika halafu mnaenda kusumbua kakazenu wivuu tuu bs simlale namakakazenu washezinyie 😂wenyetabia kama hixo.ila shukuru kaka yako alikuwa Mpole mm mwezio nilifukuzwaa mchana na mimba yamwezi bila sababu tena ma wifi kama hao hawakuwa na huruma na mm katika ndoa omba Mungu mamamkwe awe upande wako hapo huyo bn atapoa mm mwezenu nilipata mamamkwe ako upande wakijana mbona nilikoma na ndokipindi nimemzika mama mzazi yani omba hii iwe tuu nisimulizi lkn isiwe kweli mana mm nilipitia hayaa..wenye ndoa mkaze kamba kwahao mawifi ndo sumu kweli.mm mpaka mdaa huu Niko single najivunia kupewa zawadi zangu mm nalea tuu burudani maisha yanaendelea nikiwa nafuraha na wanangu.wenye ndoa kazi njema single pambaneni watoto wenu waweimara namaisha

  • @Syviahalex
    @Syviahalex Год назад

    Ok anko, lets see what will happen

  • @baireshehe1414
    @baireshehe1414 Год назад +1

    vipi be my love waiweka leo

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Год назад +3

    Amazing story ❤❤❤❤

  • @sabrinarahim1245
    @sabrinarahim1245 Год назад

    @anko j katika simulizi zote hìi imenisisimua na kunifunza