NINAKUABUDU MUNGU WANGU (Adoro Te Devote) - St.Thomas Aquinas Mwimbaji Despina E. Mdende HD-Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • Karibu kutazama Wimbo Maalumu wa Kuabudu hasa katika kipindi hiki cha Kuomba Huruma ya MUNGU ukiwa Umeimbwa na Mwimbaji Despina Elias Mdende kutoka Parokia ya Roho Mtakatifu Segerea kwaya ya Malaika Mkuu Gabriel - Dar Es Salaam,Tanzania
    WIMBO : NINAKUABUDU MUNGU WANGU ( ADORO TE DEVOTE)
    MTUNZI : ST. THOMAS AQUINAS
    MWIMBAJI : DESPINA E. MDENDE
    ORGANIST : MAXMILLIAN K. MASHAMBA
    AUDIO : THE GALAXY PRO
    VIDEO : THE GALAXY PRO

Комментарии • 140

  • @letscompile
    @letscompile Год назад +7

    1. Ninakuabudu Mungu wangu, Unayejificha altareni
    Ninakutolea, moyo wangu, usiofahamu siri yako.
    2. Mafahamu yangu yadanganya, Yanapokuona na kugusa
    Namsadiki Yesu, hadanganyi, Yeye Mungu Mwana na ukweli
    3. Waficha Umungu msalabani, Na ubinadamu altareni
    Nami na ungama, yote mbili, Kama mwivi yule mwenye toba.
    4. Thomaso aligusa majeraha, Nami nasadiki bila shaka
    Ewe Yesu nipe, pendo lako, Tumani kwako na imani
    5. Umeteswa nini Bwana mwema, Kwa kunipa mkate wa uzima
    Yesu unifiche, ndani yako, Ili nilionje pendo lako
    6. Yesu Pellicane nitazame, Na kwa damu yako nitakase
    Tone moja ndilo, linatosha, na dunia yote yaokoka
    7. Ndani ya mafumbo Yesu yumo, Utafunguliwa kwangu lini?
    Nikuone Yesu, uso wako, Nishiriki nawe heri yako. Amina

  • @DEUSMICHAEL-ci5lw
    @DEUSMICHAEL-ci5lw 9 месяцев назад +1

    Dada angu mm nakupend sanaaaaa kwa kipaji hicho ulicho nacho cha kuimbaa!!! Mungu akulinde sana uzidi kukuza kipaji chako

  • @mosesngomaitanga3215
    @mosesngomaitanga3215 2 года назад +2

    Hongereni sana nawapata kutoka mkoa wa mara

  • @catherinechokola5133
    @catherinechokola5133 2 года назад +2

    Hongera sana umenikusa moyo wangu

  • @erickawassa5024
    @erickawassa5024 Год назад +1

    Amina tutafika mbinguni wote unaimba vzur cna

  • @lovinevallary1335
    @lovinevallary1335 Год назад

    Asante Kwa wimbo huu,umenigusa sana Mungu azidi kukutia nguvu kumtumikia

  • @emmanueladriano2034
    @emmanueladriano2034 Год назад +1

    Nabarikiwa kupitia imani yangu..Mungu tubariki

  • @irenekanyerere8549
    @irenekanyerere8549 2 года назад +5

    Waficha Umungu msalabani na ubinadamu altareni

  • @johnsonpeter5879
    @johnsonpeter5879 3 года назад +3

    Hongera sana

  • @saramsakwa6705
    @saramsakwa6705 2 года назад +4

    Mungu akubariki na kukuinua Despine..kaz yako inabariki kwakweli

  • @gaudensialusato2799
    @gaudensialusato2799 2 года назад +2

    huu wimbo unanibariki sana MUNGU azidi kukuinua Despina

  • @lukoolukoo403
    @lukoolukoo403 2 года назад +3

    Nakupenda Sana dada despine hakika 🙏✨ MUNGU kakukpa kipaji na wakitendea haki

  • @michelwakilongo5875
    @michelwakilongo5875 2 года назад +2

    Despina mdende, Mungu akufanye Baraka Siku zote za maisha Yoko,na azidishe kipaji chako.

  • @winifridarespice6222
    @winifridarespice6222 3 года назад +3

    Despina, waweza kuimba wimbo huu kwa ile tune nyingine

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 Год назад +1

    Ukiwa na Yesu hakuna mashaka kabisa

  • @edvesterdamas3061
    @edvesterdamas3061 3 года назад +3

    Saluti dada yangu. Huu wimbo umenigusa Sana, Mungu akubariki Sana Dada

  • @emmanuelykutyala3893
    @emmanuelykutyala3893 3 года назад +4

    Utulivu wa nyimbo unazoziimba kwa kuwa zina roho mwezaji hutashindwa ,,,Unatuburudisha wengi ,,,Endelea...

  • @benjaminpatrick6364
    @benjaminpatrick6364 3 года назад +3

    Barikiwaaa mnoooo

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 2 года назад +3

    Amina.🙏🙏🙏🙏

  • @susannyaguthii4713
    @susannyaguthii4713 3 года назад +3

    Hongera

  • @wilihadiarobogasti8477
    @wilihadiarobogasti8477 3 года назад +3

    Barikiwa sana dada

  • @francisomondi840
    @francisomondi840 4 года назад +5

    Despina, kwa uimbaji wako, nimejipata nikitafakari na nikatamani sana kuuabudu Ekaristia takatifu.

  • @valeriasimon3724
    @valeriasimon3724 3 года назад +3

    Mungu azidi kutukuzwa kupitia karama yako ya uimbaji. Hakika umebarikiwa sauti, na unaitendea haki. ASANTE.

  • @jacksoninnocent717
    @jacksoninnocent717 3 года назад +3

    Kwaya nzur sana mungu awabariki

  • @joellenzigire451
    @joellenzigire451 Год назад +1

    Yesu Muzima ndani ya Hostia atawale maisha yangu

  • @filbertdominiki7965
    @filbertdominiki7965 3 года назад +3

    Barikiwa sana kwa karama yako hiyo ukawe mwenye moyo wa kumtukuza Mungu...

  • @mwlnoelbm24
    @mwlnoelbm24 3 года назад +3

    Asante Despina kwa kazi nzuri, Sauti nzuri, Wimbo mzuri,
    Mungu Azidi kukuinua.

  • @josephlyakurwa9933
    @josephlyakurwa9933 4 года назад +4

    Shukrani Sana dada , MUNGU akubariki sana,wimbo umenibariki Sana, shukrani kwa mtunzi

  • @alistidiasimon8971
    @alistidiasimon8971 4 месяца назад

    Hongera sana Despina Mungu akuinue zaidi

  • @lilianaluwawilo114
    @lilianaluwawilo114 2 года назад +3

    Despina nyimbo zako nazipenda sana ubarikiwe

  • @consolataantony7365
    @consolataantony7365 3 года назад +3

    Naomba huu wimbo umeimba vizur sana

  • @jamesmwangangi7652
    @jamesmwangangi7652 3 года назад +3

    Kipaji cha kipekee, Mungu na azidi kikumiminia baraka unapo zidi kumwimbia 🙏🙏

  • @msokasgallery8323
    @msokasgallery8323 4 года назад +4

    Safi sana Despina .......una kipaji sana dada wewe.Mungu azidi kukubariki

  • @emilshayo4403
    @emilshayo4403 4 года назад +8

    Despina wewe ni level nyingine.......I just love your voice na Mungu akubariki

  • @privatarimo4811
    @privatarimo4811 3 года назад +3

    SICHOKI KUISIKILIZA KWAYA HII MBARIKIWE WOTE MLIO ANDAA HII NII NI CHAKULA CHA ROHO

  • @makungungolengoshamasanja8697
    @makungungolengoshamasanja8697 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana!

  • @simonmbawala247
    @simonmbawala247 3 года назад +3

    Daaaa roho wa mungu kanishukia

  • @mcmellostyles4335
    @mcmellostyles4335 4 года назад +4

    Amini galax pro producers are geneous mmetisha mwanzo mzuri,Despina ametisha

  • @lawrencesilas3050
    @lawrencesilas3050 3 года назад +3

    Hongera sana despina napenda sana kipaji chako nitafanya nawe kolabo ya wimbo mmoja karibu arusha...Lawrence kameja hapa nitakutafuta umenibarik sana na wimbo huu

  • @kamera1989
    @kamera1989 4 года назад +3

    🇸 🇦 🇺 🇹 🇮  🇾 🇦  🇰 🇮 🇲 🇦 🇱 🇦 🇮 🇰 🇦 . 🇭 🇴 🇳 🇬 🇪 🇷 🇦  🇸 🇦 🇳 🇦  🇰 🇼 🇦  🇰 🇦 🇿 🇮 🇳 🇿 🇺 🇷 🇮 .

  • @happycosmas6871
    @happycosmas6871 3 года назад +3

    Hongera Sana mdogo wangu

  • @anophrinedesdeus6139
    @anophrinedesdeus6139 4 года назад +5

    Tukiacha uimbaji (suala ambalo ni wazi kuwa limefanyika kwa ustadi mkubwa), huwa ninamtafakari sana Thomas Aquinas, kwa namna alivyoiweka tafakari nzito katika maneno haya, ninamfananisha na Luther pamoja na waandishi wengi wa kale (era ya 1800s) kwa jinsi walivyo andika maneno mazito kumhusu Mungu wakati wa tafakari.
    Mungu awabariki nyote.
    Tuimbe, hadi hapo ambapo hakutakuwa na kingine cha kuimba tena.

    • @felisterligwa
      @felisterligwa 4 года назад

      Saint Thomas and Luther,kwangu mimi ni watu walio mbali mbali sana

    • @eltorito1881
      @eltorito1881 3 года назад

      Huwezi kumuweka Luther kwenye kundi la Mtakatifu Thomas Aquinas, muasi hawezi kulingana na Doctor of the Church

    • @anophrinedesdeus6139
      @anophrinedesdeus6139 3 года назад

      @@felisterligwa mimi sizungumzi kwa perspective unayoiongelea..

    • @anophrinedesdeus6139
      @anophrinedesdeus6139 3 года назад

      @@eltorito1881 tatizo lenu mnachokizungumzia sicho nilichokieleza.. mimi nimeongelea kuhusu composition.. sikuwa nazungumza kuhusu uasi na masuala ya Doctor wa kanisa..
      nadhan hamkuelewa point yangu

    • @anophrinedesdeus6139
      @anophrinedesdeus6139 3 года назад

      @@felisterligwa Unafahamu tungo za Luther hata moja?
      au umejibu tu comment yangu kishabiki?

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 2 года назад +2

    Yes very song

  • @FATUMAMIDALA-vd4rs
    @FATUMAMIDALA-vd4rs 3 месяца назад

    Wimbo mziri sana huu

  • @jacksonmabiba6614
    @jacksonmabiba6614 4 года назад +4

    Despina hakika karama ya uimbaji umepewa! Hongera sana

  • @FATUMAMIDALA-vd4rs
    @FATUMAMIDALA-vd4rs 3 месяца назад

    Mungu akubariki dada yangu

  • @felisterligwa
    @felisterligwa 4 года назад +4

    Hongera sana dada

  • @benegnechesang7333
    @benegnechesang7333 Год назад +1

    I just find myself crying with this song😰it really touching my heart

  • @emmanuelnkonyoka952
    @emmanuelnkonyoka952 4 года назад +4

    Wimbo mzuri sana, Mungu ambariki huyu muimbaji ana kipaji cha ajabu....tunasubiri album yake

  • @adammasunga4860
    @adammasunga4860 3 года назад +3

    Amana,Amina mungu akupe uwezo wa kuifanya kazi yake mtumishi

  • @gervasshepi6351
    @gervasshepi6351 3 года назад +3

    Kazi nzuri, Mungu azidi kukubariki

  • @danielmatemu9698
    @danielmatemu9698 3 года назад +6

    Amazing!!!!!
    Sikujua kama Mtakatifu Thomas wa Akwino alikua mtunzi mzuri hivi. Asante Mungu kwa watu kama hawa.

    • @josephcharles7589
      @josephcharles7589 Год назад

      St Thomas Aquinas is simply one of the best minds to ever exist on earth, aliyewahi kusoma maamdiko yake juu ya Imani anaweza kuthibitisha

    • @efethamtavangu4290
      @efethamtavangu4290 Год назад +1

      Alizutunga nyimbo za kuabudu Ekaristi vilivyo.

  • @rebecaponsian1959
    @rebecaponsian1959 4 года назад +4

    Hongera sana bby sis Mungu abariki kipaji chako kizidi kuwa imara daima

  • @teresinaemelam9043
    @teresinaemelam9043 4 года назад +5

    Mungu aibariki kazi ya mikono yako, nabarikiwa na uimbaji wako, Mungu akuinue uwe katika viwango vya juu

  • @platkidddelchapo3595
    @platkidddelchapo3595 2 года назад +3

    Hii nyimbo inanibariki sana🙏❤

  • @obitifineartacademy4999
    @obitifineartacademy4999 2 года назад +2

    A great devotional song ...inanipa Imani dhabiti

  • @njunjiedwin7343
    @njunjiedwin7343 2 года назад +3

    exemplary! exemplary! exemplary!

  • @edwinrichard8940
    @edwinrichard8940 4 года назад +4

    Ubarikiwe sana mpendwa

  • @veronicapaul2835
    @veronicapaul2835 3 года назад +4

    Lord Jesus Christ thanks more for this woman Despina I like the way of singing help her to make good more and more❤️❤️❤️🌹🌹💘💘

  • @cecylianhumbi2672
    @cecylianhumbi2672 3 года назад +3

    Wimbo mzuri na unatafakarisha sana

  • @abuyekaanuna6038
    @abuyekaanuna6038 11 месяцев назад +1

    All Glory to Christ Jesus. Very inspiring and spiritually uplifting. Kenya watches.

  • @luciamutongore799
    @luciamutongore799 4 года назад +5

    Nakuona mdogo wangu!! Hongera mnoooo!!

  • @octavinamgulunde5183
    @octavinamgulunde5183 3 года назад +3

    Amina dada

  • @susanwanjeri5831
    @susanwanjeri5831 6 месяцев назад

    Beautiful voice,may God bless you

  • @shijadeogratias317
    @shijadeogratias317 3 года назад +2

    Voice

  • @nestersanga7466
    @nestersanga7466 4 года назад +4

    Love u despine

  • @mercyatieno6475
    @mercyatieno6475 2 года назад +2

    Am blessed 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @evansjuma9891
    @evansjuma9891 4 года назад +4

    Sauti tamu. Hongera Despina

  • @newtonbarasa5210
    @newtonbarasa5210 2 месяца назад

    My best song ever 💖

  • @kevinmushi6054
    @kevinmushi6054 3 года назад +2

    Anajua jmn uyu dada safi sana good idea .... Pray 4 us my sister

    • @henrykyissima178
      @henrykyissima178 3 года назад +2

      Atukuzwe Mungu milele . Mwenyezi Mungu akubariki na kukuzidishia kipaji ulicho nacho.

    • @anithamushi7979
      @anithamushi7979 3 года назад +2

      I'm blessed....ubarikiwe dada Despina

  • @abdulymahelatv9347
    @abdulymahelatv9347 3 года назад +3

    Nimebalikiwa sana

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 4 года назад +6

    Namsadiki Yesu hadanganyi

  • @hillaryroderick5243
    @hillaryroderick5243 4 года назад +4

    Hongera sana. Following from Kenya

    • @beckyosamong8047
      @beckyosamong8047 4 года назад

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tuko hapa, this lady has an amazing voice.

  • @user-bf8vz8rx9x
    @user-bf8vz8rx9x 3 месяца назад

    I love This song so much

  • @bridgetmokeira2945
    @bridgetmokeira2945 2 года назад +3

    A heavenly voice thanks for this song such a blessing God continue blessing you

  • @wanjalaopwora4040
    @wanjalaopwora4040 2 года назад +1

    I listen to this song. Daily how beautiful. Thanks Despida and your associates. God bless.

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 2 месяца назад

    Amen ♥️ 🙏 ♥️

  • @amanijm746
    @amanijm746 4 года назад +4

    Asante.....
    Naomba pia same song ile sauti nyingine

  • @user-hz6hp8xj6e
    @user-hz6hp8xj6e 7 месяцев назад

    Very touching song 🙏🙏

  • @teresiamutonga3172
    @teresiamutonga3172 3 года назад +2

    Wonderful

  • @kaigamutongore8791
    @kaigamutongore8791 4 года назад +7

    perfect kabisa. kazi nzuri. big up THE GALAXY PRO

  • @wycliffebosire4114
    @wycliffebosire4114 2 года назад +2

    I love the Ms. Mdende's vocals

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 года назад +3

    beautiful song ,barikiwa sana..makes me cry..

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 4 года назад +4

    Mungu akubariki Despina.

  • @charlesmartine3467
    @charlesmartine3467 3 года назад +3

    So impressive

  • @patrickkariuki8494
    @patrickkariuki8494 2 года назад +1

    Thanks,very teaching,God bless,Patrick from kenya

  • @yohanashombe916
    @yohanashombe916 2 года назад +2

    🙏🙏🙏🙏

  • @djking3418
    @djking3418 2 года назад +3

    ♥️💖💝💕💓💛💙🙏🙏🙏

  • @bendiyamett3221
    @bendiyamett3221 3 года назад +8

    Jesus said: "You have written well of me, Thomas! What do you desire?" To which, Thomas replied "Non nisi te, Domine"(Nothing but you, LORD)

  • @joanobiri8144
    @joanobiri8144 2 года назад +2

    In love with this song 😍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rodgersrojjassoh7168
    @rodgersrojjassoh7168 2 года назад +2

    wonderful

  • @michaelnyingi1898
    @michaelnyingi1898 3 года назад +3

    This voice is heavenly, this is not a talent but a gift......the combination of Edwiga Upendo .....is awesome.....heko

  • @janem3806
    @janem3806 4 года назад +4

    Amina.

  • @billiepattie2437
    @billiepattie2437 3 года назад +2

    Thanks very much, an adorable adoration song of the decade

  • @franciscakinuthia3219
    @franciscakinuthia3219 Год назад

    Wonderful Despina, you are actually preaching Sacred Heart of Jesus to the whole world! 🙏

  • @Ellybeny
    @Ellybeny 2 года назад +3

    ✍️🙏

  • @edsonsambala601
    @edsonsambala601 3 года назад +3

    What a voice!!!!!

  • @vincentmuthama5334
    @vincentmuthama5334 3 года назад +7

    Through active liturgical participation, the people of God exercise the priestly office of Christ Himself conferred by baptism and thus share Christ merit. Well done sister.

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction4360 4 года назад +3

    Bro peter napenda sana video zako hazina mawingu sana kama wengine wanaweka sana blue mawingu inatawala mwanzo mwisho hongera sana

    • @jamesmdegy3938
      @jamesmdegy3938 3 года назад

      Hongera Sana dada kazi yako inaleta uponyaji

  • @charlesjkyallo5835
    @charlesjkyallo5835 4 года назад +3

    woow