Kijana wa Kitanzania anavyompatia Sheikh Hassan Saleh
HTML-код
- Опубликовано: 18 мар 2021
- Imamu wa Kituo cha Mafunzo ya Uislamu cha North Houdson nchini Marekani, Sheikh Hassan Saleh, yuko nchini Tanzania hivi sasa kwa ziara inayohusiana na kazi zake. Huko amestaajabishwa sana na kijana huyu kwa jinsi anavyompatia sana yeye Sheikh Hassan kwenye usomaji wake wa Qur'an. Kwenye mtandao wa Facebook, Imamu huyo mwenye wafuasi zaidi ya milioni mbili ameandika kuwa kijana huyu anasoma vizuri zaidi kuliko yeye mwenyewe.
- Развлечения
Mashallah hivi ndo vigezo vyema wanavyotakiwa watoto wetu kuvifuata sio kufuata wasanii wa bongo flavour
Nikweli allah aviongoze jwenye kheri
🙌🙌🙌🙌
Swadacta
B Qassim Idarous hakika umesema kweli maana asilimia kubwa ya vijana wote wa kiislam ambao ni maarafu na wenye majina makubwa hapa Tanzania wanaosikika na kuwika kwenye miziki ya bongo fleva ndani na nje ya Tanzania wametokea kwenye madrasa na walikuwa wasomaji wazuri wa Qur'an. vishawishi vya pesa na maisha mazuri ndivyo vilivyowapelekea kuasi na kuamua kukengeuka. Allah awahifadhi vijana hawa wasibadilike kwa neema za suti zao wakawa kama hawa tunaowaona kwenye bongo fleva.
🤝🤝🤝
Maa shaa Allah allah amhifadh shekh Hassan na pia amhifadh hyo kijana na awafanyia sahli wote duniani na akhera...
Ma sha allah umeweza sana al akh hassan, ALLAH akuhifadhi
Mashallah Allah azidi kuwangoza vizazi vyetu viwe Vinye kugeza vitu vinavyo takiwa kwenye dini yetu Allah azidi kuwaeka katika njia sahihi
Mashallh Allah amzidishie kipaji chake na huu ni mfano mwema kwetu
Hakika hodari sana, Ya ALLAH muongoze zaidi
Ma shaa Allah.Kijana unasababisha machozi kushuka...Ewee mwenyeziMungu tuepushie moto
Ma sha allah
Allah ibariki fiikum
Hivi ndiyo inavyotakiwa
Siyo kuhifadhi. Miziki
Miziki ni haramu
Allah atujaalie wtt wetu wawe wenye kuhifadhi qur aan
masha allah hivi ndio vigezo vyema
MashaAllah...Allah awaongoze watoto wetu kwenye hii dini yetu ya haqq
Amin na Allah atupe hatma njema
Mashaallahh.....Mungu azidi kumuongoza
Mashaa Allah mashaa Allah
Minsharrihassidinn idhaa hassad
ماشاءالله وجزاك الله خيرا
Allaah akikupenda hukupa Hidaya yake. Baraka Allaahu Akhy kareem Mashaa Allaah
Mashallah
MaashaAllah, JazaakaAllahu kheir
mashaAllah mashaAllah Allah ibarik
MashaAllah Allah akuzidishie
Mashallah allah akuzidishiye
Mashaaallah tabarak 😘...
Maa shaa Allah... Maa shaa Allah
mashaAllah tabaraka Allah habib
MashaALLAH!!
Mashalla ndo vigezo vya kuigwa
MashaAllah tabaraka RRAHMAN. Allah akuhifadhi na akuzidishie ilmu in sha Allah na sote waislam
Maa shaa Allah, sure umeukonka moyo wangu
Mashaallah, very beutifully, sounds heaven bro.
Maa shaa Allah
MashaaAllah yupo vizuri kijanawetu
MaashaAllah Tabaarakallah
Mashaallah
MaashaAllah!
Pumzi tatizo kidogo!
Anasoma vizuri Qari wetu
Wivu tu kasome we we...
@@tabithawairimo6860 ...ninao kweli wivu wa Mimi kutaka huko kusoma,lakini hata robo kumfikia huyo kijana siwezi
Masha Allah
Mashallah unaweza yani naamin akikuskia atafrai allah akuhifadh
بارك الله فيك
Ma Sha Allah TabarakaLlah. Mungu Awahifadhi. YASALAAAAAAM.
Haya ndomambo yakuinga
تقليد جميل ما شاء الله الله يوفقك
. ماشاء الله
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH
Mash Allah
Mashallah.....Allah akuhifadhi.......tafuta tu pumzi ndefu
Mashallah.
Mâcha allah tuli furahi sana kuku wona cheihk wetu hassan Saleh siku amba alikuwa msikiti WA mtoro hapa kariakoo darisalam
Mashallah huu ni upendo kabisa jazak allah
Mashallah 👏
Mashaallah Allah amhifadhi na jicho la hasad
Aaamin
Mashaallah Allah akuhifadhi
MashaAllah Tabarakallah Tanzania Allah avikuze vipawa vyenu kwa mambo ya dini.
Mashallah Mashallah sheh Imran Burhan
ما شاء الله تبارك الله احسنت ياأخي الله يبارك فيك ويجزاك خير
Mashaa Allah great brother. Just like sheikh Hassan Saleh
Maasha Allah Maasha Allah
Mashallah ❤️
Bismillahi MashaALLAH
Mashaa Allah
MashaAllah hawa ndiyo wa kuwaiga
Masha Allah mungu akuzidishie kipaji chako Ameen
mashallah.
Mashallah, as same as Hassan saleh 👍
mashallah bro.exactly kama yeye mashallah jibro
Mashallah mashallah Ismail Allah azidi kukufungulia milango ya kheri duniani na kesho akhera
Mashaallah mashaallah mashaallah
MashaAllah tabaraka Allah
ushauwa hapo mashallah
Masha Allah ❤❤❤
mashaallah
Badooo sana
MaashaAllaah Allah akuhifadh
Maaashaallah maaashaallah
Allah Allah
Mashallah
Mashaa'Allah Tabaaraka'Rahman
Qur ani ni nyepes kufahamika na ndivyo alivyosema Allah kwnn hutuijuw Ila Kijana Maa shaa Allah Allah akuhifadh
Mash’s Allah
Qari Hassan saly ki tarha awaz hay
Surrya abbasi
Karachi pakistan
2-2-22
Maashaallah kijana sio kuimba bongo fleva
Maashaallah
Ma shAllah
Mashaallaha mashaalalah🙌
MASHALLAH ALLAHUMMA BARIK
Ma shaallah go up my kk allah akupe kila hitajio lako ktk dini yako quruani iwe km maji kichwani kwako 🌹
Mashallah, sheikh hassan mwenyewe kamkibali dogo, anamuhisi anatamani aendelee tu, kwa anavopata utulivu wa moyo.
Mashable Allah.
MashaAllah MashaAllah
Masha Allah Mungu Abariki Sana.
تبارك الله ماشاء الله ربي يحفظك ويكتبلك الخير تلاوة صحيحة نطق سليم الله اكبر
Mashallah Allah barik fik
Mashallah Allah akuongoze zaid
Maşaallah Harika müthiş Rabbim razı olsun inşaallah
Mashallahu mashallahu mashallahu M Mungu akakukutanishe na kipenz chauma Mtume Muhamed rassulullah lailahailallah ww nass pamoja ishalla
Tunaambiwa tuige mambo mazuri
Tabaarakallaah
MashaaAllah tabaraka Rahmaan
Hadi raha katika nafsi. Mambo haya yanaleta utulivu
Mashallah very nicely recitation
Maashaalah m.mungu akulinde na hasadi na mahasadi
Ametakasika Allah s.w
Maşaallah Subhanallah ☝️
Kweli unaelekeza kufuatisha sauti yake
Masha Allah😘😘
Proud of you bra from kenya
Mashaallah bado mansuli al salimi