Kiukweli kwa upande wangu nikiwa kwenye maumivu ya mapenzi, siwezi kusikiliza nyimbo za Barnaba, uwa nasikiliza nikiwa na furaha, nikisikiliza wakati wa Maumivu ndio kama yanazidi, l love Men 😘
Hii ngoma nimekubari demu pamoja na beat aisee..demu nimefikilia Mimi ndo ningekuwa barnaba duh katoto kana sura ya mvuto😅😅😅.. Gonga like Kama umeikubari hii ngoma..👊🏾
This guy why is he always underrated...ju this guy is a lyrical and vocal killer and best songwriter...no1 fan bro...ipo cku naja kuita my private show uimbe tu
Barnaba nikwambie vipi kuwa wewe you are one in a million musician...unaweza zaidi ya kuweza...yaani haina haja uende international bakia local uwe wetu tu...
Hiii nyimbo inanikumbusba mbal sana jmn 2019 kuna dada nlimpenda mm a tulipendana sana tukisikiliza hi nyimbo pamoj tulikua strong feeling moja hatar sanaaaaa da, but ndo hvyo siku zkaendaaa 🙌
Kiswahili is a beautiful language don't know why people especially tanzanians thinks knowledge in queen's language is a measure of intelligence....Beautiful songggggg
Hey barnabas here in 254…you are such a vibe ❤️🔥❤️🔥anytime you ever doubt dont ever give up on giving us this masterpieces just remember some of us always waiting on you to release so we listen 10million times repeating God give you grace million folds
Hivi hii tabia yakusoma comments za wadau itaisha lini😂. Mafans wa Barnaba kujeni hapa
Njo utamu ote uyuuu
Nipooooooo
Munira pia uku uko🤣🤣
Minura tushakukariri na comment zako
Munira Ahmed napenda san
254 gonga like kama wampenda barnaba tuende Sawa yaani wewe barnaba hukoseangi
🇰🇪kiambu massive
Am a proud Kenyan wapi likes za Barnabs ameweza mtoto ,you're one in a million
nani anasema mkenya hawezipata likes za tz
Yaani ninavyo mpenda Barnaba anaeweza kuelewa ni Mungu tu!
Fundi namba1 hakuna kiba mondi wala nani ichi chuma noma sana
Namm naomba like 5 tu za barnaba
Stay home kwakuburudika toka kwa barnaba gonga like kama umehikubali ngoma 💪 sana.
😘😘😘😘1 in a million...I didn't know this hit until someone dedicated it to me...hako kafeeling
Kiukweli kwa upande wangu nikiwa kwenye maumivu ya mapenzi, siwezi kusikiliza nyimbo za Barnaba, uwa nasikiliza nikiwa na furaha, nikisikiliza wakati wa Maumivu ndio kama yanazidi, l love Men 😘
Vitu vikali kila siku,kubali sana Barnaba boy classic
Hii ngoma nimekubari demu pamoja na beat aisee..demu nimefikilia Mimi ndo ningekuwa barnaba duh katoto kana sura ya mvuto😅😅😅.. Gonga like Kama umeikubari hii ngoma..👊🏾
Mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyimbo kali Tz... Nasema hivi HII NI YENYEWE KBS 👐
Kwel nimeeamin anaejua ajulikani like kaka twendepamoja ziwe nyingi kma tunamkubali mzee wetu wa WASHA
Usitafute mngana kwa maradhi ulo bebe zidisha mahaba tu nyimbo tamu naipenda sana from kenya 🇰🇪🇰🇪...........
This guy why is he always underrated...ju this guy is a lyrical and vocal killer and best songwriter...no1 fan bro...ipo cku naja kuita my private show uimbe tu
Anthony dicosta kweli kabisa
Yaa t will be good
Very underrated. Barnaba should be number moja!
kweli kabisa man
Artist always on top barnaba classic nipe like yake weweee
Ngoma bomba
Jaman like zote kwa barnaba achen mambo yakuomba like
Kama hauna Subufa utamuu wa hii ngoma huwezi elewa,, zingatieni hilo,,B-boy kazi nzito
Am bass addicted too bruh
Like kwake barnabaaaaaaaaa 👌👌😘😘
Huyu ndo mwalimu wa muziki hapa bongo wengine wababishaji
Kweli brother Classic BrB wewe ni fundi mkalisana najiskia raha kuskia mziki mzuri tulouzoea maishani tumeumiss mziki nzuri tumechoshwa na matusi yawapumbavu Barnaba 👑🥰👁🎶😻👑❤️❤️❤️🇺🇸🇺🇸Judge USA hapa umetuma naikumbuka SMS pia brazaangu
Wakwanza leo jaman wap like zangu barinaba clasc number one ....
Unajua nini barnaba m nakpenda sana coz kaz yako aina mitusi Kama kna flaniiiiii
Nakukubali mno kaka kitu ni fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Barnaba nikwambie vipi kuwa wewe you are one in a million musician...unaweza zaidi ya kuweza...yaani haina haja uende international bakia local uwe wetu tu...
Hiii nyimbo inanikumbusba mbal sana jmn 2019 kuna dada nlimpenda mm a tulipendana sana tukisikiliza hi nyimbo pamoj tulikua strong feeling moja hatar sanaaaaa da, but ndo hvyo siku zkaendaaa 🙌
Tnakutambuaga Sana kwetu 254. Like apa Kama basi wamtambua pia
From Kenya, showing love 😍
Barnaba nilikupenda bureeeeee💓my dream n kuvideo fix gomma yako,so nice music,the rhythm 💝💞nice and sweet+254
Ngomaaa kalii Sana Mafilanga Kibaoooooo🔥🔥🔥👑👑👑
Wewe Wewe tu!! 💘💕💘💕💘💕💘💯
Kaka Barnaba naomba beat nifanye cover ya HIP HOP moja kaliiiiii
KALIIII SANAA HII NGOMA
dah nlingoja sana hii video big up brother barnaba
Ngoma kali saana hiii..
Wani bamba mbaya barnaba,ngoma classic sana.
Can't get enough of this song....the melody ....vocality ...🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️💞💞 Salute kwako kaka....
Wewe Wewe tu!! 💖💯💖
Fundiiiiiiiiiiiiiiiii🙌🙌nakukubali sana broo
🇨🇩🇨🇬 toza awa 🎶🔥
Iiiiii wow nyimbo tu inaanza I am already in love 😍 if you love this amazing man and his songs make this blue plzzzzzzzz
👇🏾👇🏾
What a song,, so nice feeling go ahead BARNABA
Broo piga kazi nakupata
Nakukubali saana Barnaba hakika ww ndo unaenipa burudani.
Daah ngoma iko pow san aisee big up B,boy
Classic sound .... we jamaa unajua sana unaimba sana utasifiwa ukishakufa utapata heshima yako👊👊
Daaah hatar motomoto
Huwa nasema barnaba ni legendary afu ni genious
Kama mziki mzur sio team hapa wange IGA... Salute
Very tarented barnaba Mungu akupe umri bro ktk muziki wako
noma sana....sikomi kiurudia
mazeeh munadjuwa luwa huyuwimbo nimtamu hata kwaki farasa!dooouh
Moto saaana
Dady 💥💥💥💥
JAMAA UNAJUA SANA WEWE..PLUS HUNA MAKUU WEWE
Barnaba hapo sawa
Daaaa sina la kusema mm uyu kaka napenda sana nyimbo zake yan
Nakubr broo
One in a million
Bonge la ngoma 👌
Barnaba ....ndio msanii wangu mpaka anaacha kuimba muziki .... Tanzania ...... Mkali sana
I'm just hear to see what hubby has just dedicated to me....sijuti.beauriful
Eeeh love❤️thizz👆👆.....🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
one nice ni wee tu
Ila haka kajamaa yamani I love you barnaba
Always classic boy
Kwann haijapata view weng aisee ngoma kali ivo
Napenda sana ngoma zaahuyu jamaa
Pamoja Sana Barnabas boy classic
jamaa,anaweza
Goma kali sanaaa
Kiswahili is a beautiful language don't know why people especially tanzanians thinks knowledge in queen's language is a measure of intelligence....Beautiful songggggg
Za
Wwoowww mamilion 😍
Ongera sana kaka
Tamu sana kaka, hii lockdown🇰🇪🇺🇬
Kama unakubali hii kazi basi like twende mbele
Asali wa moyo ni wewe tu😍
duuh apo ndo penyewe, tujuane apa kama unamkubali barnaba
Hey barnabas here in 254…you are such a vibe ❤️🔥❤️🔥anytime you ever doubt dont ever give up on giving us this masterpieces just remember some of us always waiting on you to release so we listen 10million times repeating God give you grace million folds
Broo barnaba cjawi pinga kazi zako ata cku moja
Much love from Kenya.
Hii song unibamba mbaya sana ❤
Na kupenda mpaka kiama!!💖💯💖👄👄👄
Korona imeisha ngoma kali
Good boy
Nakupenda sana barnaba
Huyu jamaa ni msanii mkubwa nashauri atoe ngoma na Alikiba
Mopao...on top
Syde boy star
vocals on point.🇰🇪
#SIO UTAn 💣🎬
Nataka like za hii ngoma zifike 100
Barnaba 🔥🔥🔥🔥🔥❤!!!!!!
Noma sana 💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥📌👌💪📌
This is for my one and only love!!! 💖💕💖💕💖💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Salute Barnaba boy you are so good I like it 💕
My one and only dedicated this song to me today and i just loved it barnaba you have just gained one more fan 254❤🤦♀️
This time in bongo flavour kept us sane.. they no longer make such songs..
My favourite mistake....I love you bubu ..🥰😘❤️ favourite song
Barnaba n fundi hatari
Unajua mzee🙌🏻
You are my favorite mistake..hiyo intro imenigusa roho😍😍
Am from +254
me nakuelewagaaaa
@@angelanthony1384 thank u
Nakuzimia barnaba boy😘