POLISI WAINGILIA MSAFARA WA CHADEMA NJOMBE, SUGU ACHARUKA
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- POLISI WAINGILIA MSAFARA WA CHADEMA NJOMBE, SUGU ACHARUKA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Politz wanaleta hasira sana wakati fulani,tatizo uelewa au intrest.Haya mambo yana mwisho
Sasa bendera zinasumbua nini
Tanzanian huwa wakati wa uchaguzi huwa wako na utoto sass mnasuia gari yanini sasa??????.
Safi sana CHADEMA
Polisi acheni kuingilia shughuli za vyama.Mbona kuna shughuli nyingi mtaani zinawahitaji ninyi! Vibaka,wezi wanasumbua sana mitaani,Swali: Chadema wamekosea wapi? Polisi mnawajibu wa kuhakikisha vyama vinafanya shughuli zao bila kubugudhiwa na kusimamia Sheria na Amani sasa ninyi tena mnaleta vurugu.How comes?
True borthe
Yaani Kuna wezi wamekamatwa na vidhibiti badala ya kuwapeleka mahakamani wanawaachia wanazidi kutuletea taifa la vibaka waachemi chadema wachangamshe nchi
CDM ni.serikali Ijayo
Hawajitambui hao polis
yaani hicho tu wananichosha kusema awamu iliyopita ilihalibika mmh hapo tu hunigusa jpm
Asante Sana mama 🙏🏿🙋🥰
Ipo siku tutafika tu japo mbali Mungu tupe uzima tuyaone
ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI.....*#*# ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
MUNGU bariki HAWA viongoz.Mungu tetanao waoteta na HAWA viongozi.
Police CCM
Ccm aifai kaka
Andaaa mkutanoo usijenagali ujee kwanguu wakukamatee nwafulahishee
Hili lijamaa ni Mwiba wa Ccm .Hapa watajipanga kumjibu
wanasumbua na vyeo vyao vya hovyo
🖐️
Hivi wataelimika lini?
Safiiii
Chadema oyeee tupo pamoja sana
Umeongea vzr sana ni kweli kbs lkn ttz cdm wkt mwingine huwa mnakua na jazba pmj na mihemko kupita kiasi hebu liangalieni hilo tuone hao polisi wa ccm watakua na sababu mbadala?
POLICE WA MAKAMBAKO NI WAJINGA IKIWA HAWAWEZI KUZUIA MAOVU BALI WANAZUIA CHADEMA ILHALI NI CHAMA CHA SIASA KINACHOPASWA KUTEMBELEA NA KUSEMA NA WANACHAMA WAKE. ILA KAMA CHADEMA NI WAOVU WAVUNJA KATIBA WATANZANIA TUAMBIWE NI WAPI WANAPOKOSEA. AU TUAMINI NI NINYI HAMTUMII UFAHAMU VIZURI.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️.
Sugu umeongea point tupu an
tupambane mung u akona xx
Tatizo polisi watanzania wote ni makada Wa ccm hilo nalo nitatizo kwamaana hiyo Sio rahisi chadema kupata utulivu
Ccm sndo Boss wao lazma wafanye anayetaka Boss
Maliziano yaliwekwa wazi? Yawezekana hawajatangaziwa, lakini pamoja na malidhiano Sheria ziko palepale.
Hongeren sana chadema mnakubalika sana na mungu awabaliki viongozi wote na wanachama
😂😂😂diamond platnumz la changaa sana baada yaku fika huko ebu jionee yalio mkuta simba 😂😂👇🙆👇😂👇
ruclips.net/video/kBdkjbF2K_4/видео.html
Pambaneni
True Mr Sugu
Chadema bado tunasonga, chadema ni nguvu moja 💪
yajayo yatafuraixa
Police acheni kushambulia vyama pinzani Tz hatuna huo ujinga wa Uganda
Labda hamkutoa taarifa kama mtkuwa na msafara,mkutano wenu ulikuwa halali mlitoa taarifa,muda mwingine msifanye kitu mksema mmeonewa,je taarifa ya kuwa na msafara ilipelekwa kwa wahusika,,ingetokea mgongano wa magari,,mngekimbilia kulaumu jeshi la polisi,hawakuweka usalama barabarani
wakati mwingine ni makusudi wanakiuka Sheria ili hatua zichukuliwe waseme wameonewa , wajipatie huruma ya jamii , namwisho itazaa faida.
Kwenye huu mchezo wa Makambako , jeshi la Polisi limeibuka mshindi.
Tutafika TU mpigania haki Huwa hakati tamaa mungu yupo
Sugu chukua fom ya kugombea urais 2025
hivi tanzania tunatawaliwa kikoloni?
Labda wewe Peke ako 😁😁
@@jeremiahcharles6027 Hujitambui
Safiiiiii
Siingilii mambo ya watu wanaotafuta mkate wa watoto wao kwa kutumia siasa, na mimi natafuta mkate wa watoto wangu kwa njia yangu mwenyewe.
Mama si ulisema anaupiga mwingi mamae utajuta mbwa wee
Tanzania inaendeshwa kikoloni sana polisi hawajitambui
..
Siasa cyo uadui
✌ chadema damu
wahuni
Nikipata nauli
Huyo Askofu anahusikaje na siasa jamani
Kwani siyo mtanzania
✌️
Ongea Sera ya chama acha mambo ya police
Sera gani unataka kusikia we fala?
@@benswai8099 CHADEMA NI MATUSI TU SIJUI NI LINI MTAKOMAA KIAKILI
@@simongwandu7392 Kuna tusi gani ametukana
ETI MAMA , JITU ZIMA ETI MAMA
Kwani sio mama?
Unataka amwite shemeji!
Acha wawatie adabu kwa #Jpm mlisema #maguful Ndo anawaagza je? Kwa Sasa Nan? Anawaagza? Au nae n #jpm?
🔥🔥🔥🔥
Mfumo ulishawekwa kwaio polisi wanatimiza tu maana ccm walishachoka muda mrefu wamekabizi kazi kwa polisi wamejikausha kama vile awajuni nn kinaendelea
Usalama hauhusian na siasa ,,acha wafanye kaz zao,,polc fanyen kaz
Mzee Baba ndiyo maana alikataa mambo haya.. Ukiwaruhusu hawa wataharibu sana.
Nakuonea tu huruma hujui unachokisema.. nini maana ya mfumo wa vyama vingi?
@@pancrasshirima utanionea huruma mimi unanijuwa .waonee huruma Wa kwenu
@@mwandukaranga7524 wa kwangu hawako na hii shida yenye unayo
Huwez kuzuia watu wasiseme ndg acha waseme
Falawe hujielewitu
Eh staki hata kuskia haya mambo
0
shoga la ccm
Boya wewe mama matako yako
Mkundu wko