POLISI WAINGILIA MSAFARA WA CHADEMA NJOMBE, SUGU ACHARUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • POLISI WAINGILIA MSAFARA WA CHADEMA NJOMBE, SUGU ACHARUKA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 92

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 2 года назад +3

    Politz wanaleta hasira sana wakati fulani,tatizo uelewa au intrest.Haya mambo yana mwisho

  • @pancrasshirima
    @pancrasshirima 2 года назад +5

    Sasa bendera zinasumbua nini

  • @michaelkivuyo5365
    @michaelkivuyo5365 Год назад +1

    Tanzanian huwa wakati wa uchaguzi huwa wako na utoto sass mnasuia gari yanini sasa??????.

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 2 года назад +5

    Safi sana CHADEMA

  • @medicalamon908
    @medicalamon908 2 года назад +9

    Polisi acheni kuingilia shughuli za vyama.Mbona kuna shughuli nyingi mtaani zinawahitaji ninyi! Vibaka,wezi wanasumbua sana mitaani,Swali: Chadema wamekosea wapi? Polisi mnawajibu wa kuhakikisha vyama vinafanya shughuli zao bila kubugudhiwa na kusimamia Sheria na Amani sasa ninyi tena mnaleta vurugu.How comes?

    • @michaelkivuyo5365
      @michaelkivuyo5365 Год назад

      True borthe

    • @rosekajuki1787
      @rosekajuki1787 Год назад

      Yaani Kuna wezi wamekamatwa na vidhibiti badala ya kuwapeleka mahakamani wanawaachia wanazidi kutuletea taifa la vibaka waachemi chadema wachangamshe nchi

    • @janemwaipopo
      @janemwaipopo Год назад

      CDM ni.serikali Ijayo

  • @chidymaster8852
    @chidymaster8852 2 года назад +6

    Hawajitambui hao polis

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 года назад +2

    yaani hicho tu wananichosha kusema awamu iliyopita ilihalibika mmh hapo tu hunigusa jpm

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 года назад +7

    Ipo siku tutafika tu japo mbali Mungu tupe uzima tuyaone

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад +1

    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
    DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI.....*#*# ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Месяц назад

    MUNGU bariki HAWA viongoz.Mungu tetanao waoteta na HAWA viongozi.

  • @imakitori399
    @imakitori399 2 года назад +2

    Police CCM

  • @switibatirweyemamfredricks4225
    @switibatirweyemamfredricks4225 2 года назад +2

    Ccm aifai kaka

  • @kenedynedy2615
    @kenedynedy2615 Год назад

    Andaaa mkutanoo usijenagali ujee kwanguu wakukamatee nwafulahishee

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 2 года назад +1

    Hili lijamaa ni Mwiba wa Ccm .Hapa watajipanga kumjibu

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 2 года назад +3

    wanasumbua na vyeo vyao vya hovyo

  • @mgangazephaniah230
    @mgangazephaniah230 2 года назад +1

    Hivi wataelimika lini?

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 2 года назад +3

    Safiiii

  • @cafejohn3582
    @cafejohn3582 Год назад

    Chadema oyeee tupo pamoja sana

  • @magellasaid3693
    @magellasaid3693 2 года назад +1

    Umeongea vzr sana ni kweli kbs lkn ttz cdm wkt mwingine huwa mnakua na jazba pmj na mihemko kupita kiasi hebu liangalieni hilo tuone hao polisi wa ccm watakua na sababu mbadala?

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 2 года назад +1

      POLICE WA MAKAMBAKO NI WAJINGA IKIWA HAWAWEZI KUZUIA MAOVU BALI WANAZUIA CHADEMA ILHALI NI CHAMA CHA SIASA KINACHOPASWA KUTEMBELEA NA KUSEMA NA WANACHAMA WAKE. ILA KAMA CHADEMA NI WAOVU WAVUNJA KATIBA WATANZANIA TUAMBIWE NI WAPI WANAPOKOSEA. AU TUAMINI NI NINYI HAMTUMII UFAHAMU VIZURI.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +3

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️.

  • @chalresmyamba1071
    @chalresmyamba1071 2 года назад

    Sugu umeongea point tupu an

  • @paulleiyo7351
    @paulleiyo7351 Год назад

    tupambane mung u akona xx

  • @tariqbutt9516
    @tariqbutt9516 2 года назад +1

    Tatizo polisi watanzania wote ni makada Wa ccm hilo nalo nitatizo kwamaana hiyo Sio rahisi chadema kupata utulivu

    • @lemausontz3513
      @lemausontz3513 Год назад

      Ccm sndo Boss wao lazma wafanye anayetaka Boss

  • @faroukrashid5507
    @faroukrashid5507 2 года назад +2

    Maliziano yaliwekwa wazi? Yawezekana hawajatangaziwa, lakini pamoja na malidhiano Sheria ziko palepale.

  • @dawsonshenshelwa5859
    @dawsonshenshelwa5859 2 года назад +1

    Hongeren sana chadema mnakubalika sana na mungu awabaliki viongozi wote na wanachama

  • @Evarlex_Officiel
    @Evarlex_Officiel 2 года назад

    😂😂😂diamond platnumz la changaa sana baada yaku fika huko ebu jionee yalio mkuta simba 😂😂👇🙆👇😂👇
    ruclips.net/video/kBdkjbF2K_4/видео.html

  • @herbertbathlomeo4650
    @herbertbathlomeo4650 Год назад

    Pambaneni

  • @adolphdavid2572
    @adolphdavid2572 2 года назад +3

    True Mr Sugu

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 Год назад

    Chadema bado tunasonga, chadema ni nguvu moja 💪

  • @barakastive2447
    @barakastive2447 2 года назад +1

    yajayo yatafuraixa

  • @mtondojackob5497
    @mtondojackob5497 2 года назад

    Police acheni kushambulia vyama pinzani Tz hatuna huo ujinga wa Uganda

  • @mangolehs2419
    @mangolehs2419 2 года назад +1

    Labda hamkutoa taarifa kama mtkuwa na msafara,mkutano wenu ulikuwa halali mlitoa taarifa,muda mwingine msifanye kitu mksema mmeonewa,je taarifa ya kuwa na msafara ilipelekwa kwa wahusika,,ingetokea mgongano wa magari,,mngekimbilia kulaumu jeshi la polisi,hawakuweka usalama barabarani

    • @faroukrashid5507
      @faroukrashid5507 2 года назад

      wakati mwingine ni makusudi wanakiuka Sheria ili hatua zichukuliwe waseme wameonewa , wajipatie huruma ya jamii , namwisho itazaa faida.
      Kwenye huu mchezo wa Makambako , jeshi la Polisi limeibuka mshindi.

  • @kelvinjeremia8763
    @kelvinjeremia8763 Год назад

    Tutafika TU mpigania haki Huwa hakati tamaa mungu yupo

  • @eliyanorobeth8567
    @eliyanorobeth8567 2 года назад

    Sugu chukua fom ya kugombea urais 2025

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 года назад +3

    hivi tanzania tunatawaliwa kikoloni?

  • @sikienikigodi9946
    @sikienikigodi9946 2 года назад +1

    Safiiiiii

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 года назад +2

    Siingilii mambo ya watu wanaotafuta mkate wa watoto wao kwa kutumia siasa, na mimi natafuta mkate wa watoto wangu kwa njia yangu mwenyewe.

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 2 года назад

    Mama si ulisema anaupiga mwingi mamae utajuta mbwa wee

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 года назад +4

    Tanzania inaendeshwa kikoloni sana polisi hawajitambui

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 2 года назад

    Siasa cyo uadui

  • @michaelkivuyo5365
    @michaelkivuyo5365 Год назад

    ✌ chadema damu

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 2 года назад

    wahuni

  • @abdullahyanga9552
    @abdullahyanga9552 2 года назад

    Nikipata nauli

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 2 года назад

    Huyo Askofu anahusikaje na siasa jamani

  • @opynassary2469
    @opynassary2469 2 года назад +1

    ✌️

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 2 года назад

    Ongea Sera ya chama acha mambo ya police

    • @benswai8099
      @benswai8099 2 года назад

      Sera gani unataka kusikia we fala?

    • @simongwandu7392
      @simongwandu7392 2 года назад

      @@benswai8099 CHADEMA NI MATUSI TU SIJUI NI LINI MTAKOMAA KIAKILI

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 Год назад

      @@simongwandu7392 Kuna tusi gani ametukana

  • @jamessimba749
    @jamessimba749 2 года назад

    ETI MAMA , JITU ZIMA ETI MAMA

  • @yeunhiasrwetze8377
    @yeunhiasrwetze8377 2 года назад +3

    Acha wawatie adabu kwa #Jpm mlisema #maguful Ndo anawaagza je? Kwa Sasa Nan? Anawaagza? Au nae n #jpm?

    • @joezeno8
      @joezeno8 2 года назад +1

      🔥🔥🔥🔥

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 2 года назад +1

      Mfumo ulishawekwa kwaio polisi wanatimiza tu maana ccm walishachoka muda mrefu wamekabizi kazi kwa polisi wamejikausha kama vile awajuni nn kinaendelea

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 года назад

    Usalama hauhusian na siasa ,,acha wafanye kaz zao,,polc fanyen kaz

  • @mwandukaranga7524
    @mwandukaranga7524 2 года назад +2

    Mzee Baba ndiyo maana alikataa mambo haya.. Ukiwaruhusu hawa wataharibu sana.

    • @pancrasshirima
      @pancrasshirima 2 года назад

      Nakuonea tu huruma hujui unachokisema.. nini maana ya mfumo wa vyama vingi?

    • @mwandukaranga7524
      @mwandukaranga7524 2 года назад +1

      @@pancrasshirima utanionea huruma mimi unanijuwa .waonee huruma Wa kwenu

    • @pancrasshirima
      @pancrasshirima 2 года назад

      @@mwandukaranga7524 wa kwangu hawako na hii shida yenye unayo

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 2 года назад

      Huwez kuzuia watu wasiseme ndg acha waseme

    • @muhsinikoki4060
      @muhsinikoki4060 2 года назад

      Falawe hujielewitu

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 года назад

    Eh staki hata kuskia haya mambo

  • @yohanamaduhu8884
    @yohanamaduhu8884 2 года назад

    0

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 года назад

    Boya wewe mama matako yako