MAZITO YAIBUKA BARABARA INAYOJENGWA KWA ZEGE NJOMBE, WABUNGE WAFIKA, WAKUTA HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MAZITO YAIBUKA BARABARA INAYOJENGWA KWA ZEGE NJOMBE, WABUNGE WAFIKA, WAKUTA HAYA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 13

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 2 года назад

    Inshallah mwenyezi mungu awafanyie wepesi kazi iwe nzuri na bora zaidi 💪🇹🇿🇦🇪

  • @gasparkamiliusbutama6487
    @gasparkamiliusbutama6487 2 года назад +1

    Tuna vyanzo vingi Sana Sana vya fedha, tatizo waliopewa mamlaka ni kukimbizana na bakuli tu nchi za wenzetu wakidhani ndio njia pekee ya kuinufaisha nchi

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 2 года назад

    Kazi nzuri👍👍👍

  • @DavidMMKing
    @DavidMMKing 2 года назад

    Zambia hawajafanikiwa lolote copper yote inaibwa kujenga Marekani, Canada na ulaya. Zambia ni mashimo tu na makanisa mengi. Bora huo mlima unafanya vizuri ili iwe vigumu kuiba madini yetu mpaka tutakapopata serikali ya watu sio mafisadi. Vinginevyo kama siyo huo mlima mikataba ile ya wizi ingekuwa ishafika na kuanza kuiba. Hatutaki mikata ya wizi inayoacha mashimo tu

  • @johnmalambo9571
    @johnmalambo9571 2 года назад +1

    Nikopa aina gani unayolinganisha na ya zambia

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 года назад

    Niambie kama ikijwngwa hivyo ndo itakuwa ama wanachezea zege tu😳😳

  • @atuwenehaule4540
    @atuwenehaule4540 2 года назад

    Kamonga jitahidi kakangu

  • @mustafachihepo5343
    @mustafachihepo5343 2 года назад

    Mbona tupo kimya hatumpongezi mama!!au mnasubili kulaumu tu?

    • @bajagihaji8923
      @bajagihaji8923 2 года назад

      Brother sema ukweli iipo siku watampongeza mama anafanya vizuri sana hongera kwa kuliona hilo

  • @martinlouis9618
    @martinlouis9618 2 года назад

    Amkaa ya mawe Tani shiringi ngapi

  • @theohermana5220
    @theohermana5220 2 года назад

    Toboeni

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 2 года назад

    Halafu waziri wa fedha anakimbizana na miamala. Hivi Biteko yupo?