MZEE ALIEJITENGENEZEA UMEME NJOMBE, KASAMBAZA KWA MAJIRANI, ELFU 5 KWA MWEZI, KAISHIA LA 7

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 214

  • @shadowmedia7644
    @shadowmedia7644 4 года назад +22

    Kama unakubali kuwa elimu ya darasa la 7 ya mwaka 1976 ni sawa na masters ya sasa gonga like millard ayo bro big up msalimie vido vidox mwambie shadow anakusalimu

  • @rachelkibaya8537
    @rachelkibaya8537 4 года назад +63

    MZEE WEWE GENIUS KAMA RAIS WETU DR. MAGUFULI.....BIG UP💪

  • @denisjonathan4919
    @denisjonathan4919 4 года назад +25

    Tanzania ya viwanda hiyoooo drs la 7 hoyeeeeeeee

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 4 года назад +17

    Mzee naiona Master's kichwani mwako unaakili kuliko vyeti big up....vyeti vimefungia hazina kubwa.... Wasomi mjitahidi kuiga wenzetu wajerumani walitumia ujuzi wao kumuinua sisi tunafeli wapi?

  • @nahodahassan6938
    @nahodahassan6938 4 года назад +14

    Millard Ayo...upo vizuri sana

  • @user-vy6st5ki2v
    @user-vy6st5ki2v 6 месяцев назад +1

    Wanaoungana na mimi kumukubsli huyu mzee mnipe mnipe.like zangu

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 4 года назад +107

    kama unaamini watu wazamani walikuwa na akili sana #Gonga like hapa...😀😀

    • @fahadfaraj1263
      @fahadfaraj1263 4 года назад +1

      Hata wasasahivi aisee ndo mana wao hawagungua smartphone au vitu vyenye technology ya kisasa

    • @fahadfaraj1263
      @fahadfaraj1263 4 года назад +1

      Hata wasasahivi aisee ndo mana wao hawagungua smartphone au vitu vyenye technology ya kisasa

    • @salimharrasy7047
      @salimharrasy7047 4 года назад +2

      Heko mzee wetu.
      Mungu akusimamie katika zako.

    • @salummwanjali3207
      @salummwanjali3207 4 года назад +1

      Darasa la saba hao wakati wengine wanawaona hamna kitu mungu ndiyo mjuzi

  • @mechanicaldesignbrain
    @mechanicaldesignbrain 4 года назад +16

    Mtafutaji hachoki Big Up Ayo you re fighting to reach you're destiny 👏👏👏

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 4 года назад +48

    Wanjombe tujuane hapa😍

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 4 года назад +8

    This great, I really like this idea, how I wish Tz Gvt should engage him and start a Technical institute in this compound.

  • @Emmanuel_Singu
    @Emmanuel_Singu 4 года назад +4

    Hongera sana mzee wangu, naomba serikali ikuwezeshe zaidi

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 4 года назад +9

    Millard Ayo kazi zako mzuri sana

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 года назад +5

    Hongra sana Baba uko vzr Mungu akutunze na akulinde na vijana wakuige

  • @annambezi6226
    @annambezi6226 2 года назад +1

    Ahsante mnoo ayo Tv

  • @denisjonathan4919
    @denisjonathan4919 4 года назад +2

    Huyu mzee anastahili tuzo kubwa sana hapa nchini na zaidi ya hapo support inahitajika sana

  • @jaypili7837
    @jaypili7837 4 года назад +13

    ingekuwa inchi zilizo endelea huyu mzee angekua millionaire mkubwa sana lkn Africa

  • @lovenessrichard1473
    @lovenessrichard1473 4 года назад +49

    Tunaoelewa maana ya nyengo gonga like 😂😂

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 4 года назад +79

    WALIO ENDA CHUO SASA ATA KUPIKA CHAPATI YA MAJI HAWAJUI
    HAHAHAHAHAHAHA

  • @kalebumkandi6439
    @kalebumkandi6439 4 года назад +30

    Kama unaamini Tanzania inaongoza kwa vipaji gonga like

    • @akwanzamtenga2174
      @akwanzamtenga2174 4 года назад

      Kipaji kama vile Mwalimu alifananisha na urefu au ufupi wa mtu vitaezabiwa?😚😚😚

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l 4 года назад +8

    "hakika Rais huyu atutufikisha pazuri"
    Ni kweli kabisa

  • @geofreyexaut5862
    @geofreyexaut5862 4 года назад +9

    Kweli pwagu sio shida pwaguzi ndo anazinguaga siku zote

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 3 года назад +2

    Huyo mzee uongeaji wake tu kwa kweli ni mtu mwenye AKILI za kutosha sana sana

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 4 года назад

    Hongera sana Baba!!!
    Elimu siyo njia pekee ya Mafanikio.

  • @annestamwinuka
    @annestamwinuka 2 года назад +1

    This is the gift from God

  • @Afritextvkviewshoursago
    @Afritextvkviewshoursago 3 года назад +1

    Mzee ongela saana ukukwetu rwanda hatunawaze kamawewe ongerasaana

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 4 года назад +12

    Na huu ndo uanaume lazima ukaze moyo utafika sehem nzuri

  • @salumusalumu8165
    @salumusalumu8165 3 года назад

    Mzeeee upo vizuriii. Wangapi wana
    Mkubali mzeee uyu

  • @kingandreemmanuel7908
    @kingandreemmanuel7908 4 года назад +2

    Very imresive niliatka pia ckufiaa malengoo natamn tenaa......

    • @wilsonmoses2761
      @wilsonmoses2761 4 года назад

      Wewe jamaa uko wapi siku hz
      Masumbwe au wapi

  • @hamisimgugu6397
    @hamisimgugu6397 3 года назад

    Nakazia. Hakuna ulazima wa tanesco kutumia gharama kubwa sana kusambaza umeme kila sehem, wakati kuna maeneo ambayo kuna vyanzo vya nishati. Kwa iyo kila rasilimali nishati zilizopo ktk maeneo tofauti tofaut zitumike ili kupunguza gharama za kusafirisha umeme kutoka kwenye vyanzo vichache vilivyopo Tanzania. Big up mzee wewe ni engineer

  • @nicholausnchimbi1599
    @nicholausnchimbi1599 4 года назад +8

    HONGERA SANA AYO KWA KUWAFUATA WABUNIFU NA WATU WENYEJUHUDI MBALIMBALI WALIPO NJOMBE INA WENGI SANA AINA YA PWAGU WATAFUTE PIA,NI IMANI YANGU MNAMSAIDIA SANA RAIS KUPATAWATU WATAKAO IFIKISHA PAZURI SERIKALI YA VIWANDA,NARUDIA KUKUPONGEZA AYO NA TVYAKO

  • @goodluckmasige5276
    @goodluckmasige5276 4 года назад +13

    changamoto hiyo kwa wasomi na wataalam wetu walolalia taaluma zao.

  • @onegivetoboy4576
    @onegivetoboy4576 2 года назад

    Nice

  • @MachembaMedia
    @MachembaMedia 4 года назад +8

    @millard ayo
    Tafadhari unaweza nipatia mawasiliano ya huyo mzee.

  • @dluena
    @dluena 4 года назад +2

    Very inspiring

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 4 года назад +3

    Hongera cn mzee wetu

  • @josephjoseph8982
    @josephjoseph8982 2 года назад

    Daa mzee kiboko

  • @manumaelectricalworks1850
    @manumaelectricalworks1850 4 года назад

    Hao ni darasa la saba la zamani,hongera sana mzee wetu.

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Месяц назад

    Baba yangu amesoma darasa la zamani linaloishia la nne lakini humwambii kitu hasa kuhusu ujenzi sijui rangi malumalu na vingine vingi wee acha tu

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ 4 года назад +23

    Wasomi wa siku hzi mnachoweza ni kuomba LiKe tu.....😀😀

  • @konde24ful
    @konde24ful 4 года назад +2

    Wasomi wadogo wadogo warikuwa faida kwajamii kama sku zote kwani wao wanatambua uwepo wa mungu katika kazi zao. lakini wa vyuo leo niwakuzarisha shida na usumbufu kwa jamii, nakusababisha magonjwa ya kisaikorojia (psychology) kuongezeka. Hawana rorote wana tafuta maisha kiurahisi rahisi ndomana wawo nikupigania viwanja vya politic na uongozi. watu kama hao niwale akishika ungozi frani au madaraka kirakitu uwe na kibari frani iri uunde au ufanye, hawa mara nyingi hugeuka majambazi wa siri. nakuuza wana nchi kwa vikundi vya majambazi, kinacho fuata unapotowa ripoti ya wezi frani sku ifuatayo umesha safirishwa na kuitwa malehemu. Ee Mungu bariki kazi ya mikono ya watu wako na viongozi waelewa.

  • @lucaswalogwa3821
    @lucaswalogwa3821 4 года назад +2

    Mzee unaongea KWA upendo na busara nyingi sana hongera sana

  • @edenihighness8691
    @edenihighness8691 3 года назад

    Asanteni nimeipenda hii

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 3 года назад

    Safi sana Mzee
    Ni kweli Magufuli alikuwa kiongozi wa kuigwa

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 3 года назад

    Hongera zake baba

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад

    Hongera baba yangu umejitahdi sn

  • @lukasanga9483
    @lukasanga9483 4 года назад +1

    hyo ni kubwa sana aisee...asant bro millardayo kwa habar za nguvu

  • @alfredtesha3063
    @alfredtesha3063 3 года назад

    Noma

  • @barick
    @barick 4 года назад +9

    Huyo anaitwa pwagu ni fundi miaka mingi sana

    • @barick
      @barick 4 года назад

      @@hairesellasie1667 kweli

  • @user-zb9sq2ov5z
    @user-zb9sq2ov5z 11 месяцев назад

    Safi mzee😅

  • @bwirechrispus3092
    @bwirechrispus3092 4 года назад

    Good brain

  • @eliasmwambeta6453
    @eliasmwambeta6453 4 года назад +3

    Mzee ww unadhihirisha kipaji chako na wale wenye elimu ya umeme ya juu waje kwako wajifunze zaidi maana kila siku wanasema kuongeza elimu si bora wangekuja kwako wapate ujuz zaidi

  • @athumankamote6148
    @athumankamote6148 4 года назад

    Technology inahtajika sana katika maisha yetu ilituweze kufanya comption na mataifa kiuchumi by Athumani Kamote moshi njoro

  • @ramsixymwenga2352
    @ramsixymwenga2352 4 года назад

    noma San mzee genius

  • @winfridamwamban1078
    @winfridamwamban1078 3 года назад

    Hongera

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 2 года назад

    Gifted father

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 года назад +1

    Ukikaa vibaya Tanesco watakutumia malimbikizo ya bili ya umeme😂😂😂

  • @joveticndekyo8374
    @joveticndekyo8374 3 года назад

    2po pamoja sana

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468 4 года назад +4

    Huyo jamaa anamzidi yule mwenye degree 4.

  • @Kionambali7
    @Kionambali7 4 года назад +2

    Hii inaonyesha ni namna gani mfumo wa elimu wa Tanzania umefeli kabisa kutukomboa.......haumuwezeshi mtu kujitegemea zaidi ya kuwaza kuajiriwa wakati wenye elimu kidogo ndiyo wanaofanya mambo zaidi ya mategemeo, mfumo una urasimu mwingi sana. KUJUA KUSOMA na KUANDIKA TU VYATOSHA vingine ni mbwembwe na kupoteza muda!!!

  • @kimitochacha4426
    @kimitochacha4426 4 года назад

    Hawa wajerumani mungu awabariki sana hawalipwi akini fraha yao kuona mtu akifanikiwa sasa tanzania Hahaha hata kama madarakani hawataki kutoka wanawezaje kuthamini wengine mhhh

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 года назад

    Honger

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 3 года назад

    Tanzania tunavipaji vikubwa sana lakini taifa limeshindwa kuwatumia....utasikia oooh wee umesoma chuo gani.Tuna maporopesa hawajui kitu wapo tu ukiwambia wamefanya nini hakuna hata kitu chakukumbukwa kwa taifa

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 года назад +6

    Vijana hawataki kutuliza vichwa vyao na kuona au kudadavua ndoto zao muda wote wanachati

  • @PavicMindPro
    @PavicMindPro 3 года назад

    Well

  • @celebratingunited4064
    @celebratingunited4064 4 года назад +3

    jaman

  • @captenndunga6199
    @captenndunga6199 4 года назад +2

    Wanasema njia nyepesi ya kumuua muafrica KIFIKRA weka historia kwenye vitabu waafrica hatupendi kujisomea vitabu. Na kwa hilo makaburu wamefaulu ndo mana wanaichafua BANGI huku mataifa yao wanahalalisha ila ukweli wa bangi uko kwenye VITABU. Hatuzungumzii kwa kuvuta mana ukiizungumzia GANJA watu wanakuona umepotea lakini kumbe tumefungwa mawazo na watu wa dunia ya kwanza.

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 4 года назад +6

    mzee una akila mali yani inatakiwa kuwalinda sana watu kama hawa.

  • @bobleeswagger8166
    @bobleeswagger8166 4 года назад

    Tulishafika hapo kwa huyo mzee mwaka 2011 tukiwa kidato cha sita NJOMBE BOYS SECONDARY SCHOOL kufanya project. tuli enjoy sana kwa huyo mzee na alitupitisha kwenye kila sehemu yake aliyopitishia mitambo yake. Alituambia pia huwa analipia hayo maji kwa maji japokuwa ni natural resources

  • @patricksaanane7333
    @patricksaanane7333 4 года назад

    Safi sana mzee

  • @Josung08
    @Josung08 11 месяцев назад

    kashapumzka kwa aman sas mzee wetu

  • @annambezi6226
    @annambezi6226 2 года назад

    Jamani huyu engineer wa muhimu sana happa tz. Apanue miundombinu yake zaidi. Serikali iliangalie hili kwa jicho pana zaidi

  • @harounali9057
    @harounali9057 4 года назад +3

    Nime ipenda

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 4 года назад +1

    kwa kua uzalishaji wa umeme unapofikia KW 100 ndipo utafuatwa na TANESCO lakufanya ni kuzalisha KW 98 ili usibabaishwe na TANESCO kisha upate SAFETY CERTIFICATE uendelee kusambazia vijiji na wananchi wa karibu na kwako kwa urahisi kabisa.

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 3 года назад

    🔥🔥🔥🤝

  • @awadhirashidi3531
    @awadhirashidi3531 2 года назад

    Tunaomba mwendelezo wa huyu Mzee tangu kumalizika kwa mahojiano haya

  • @zimboj5278
    @zimboj5278 4 года назад +7

    Siku nikienda njombe lazima nifike

  • @deograsiasngailo4871
    @deograsiasngailo4871 4 года назад

    Ayo hua nakuelewa sana! Huyo mzee ni dhahabu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 года назад

    👍

  • @obedmlule5863
    @obedmlule5863 4 года назад +2

    Nilifika kwa huyo mzee Njombe mji mwema

  • @leoniamguma973
    @leoniamguma973 4 года назад

    Mzee nimekupenda bure

  • @fredrickbochela6509
    @fredrickbochela6509 4 года назад +1

    Nimeikubal hiyo hongera sn mzee

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim5258 3 года назад

    Wazee kama hawa serikali ingekua inawapa jimbo zima lisambaze umeme wao,nina uhakika tungekua na umeme tunakaa hata miaka mia bila umeme kukatika kisha tanesco wao wangepewa nafasi umeme wao wausambaze viwandani tu

  • @omaribakari5368
    @omaribakari5368 4 года назад

    Nakubaliii

  • @bakariabdallah4883
    @bakariabdallah4883 4 года назад

    ongela mzee

  • @hassamfariis5151
    @hassamfariis5151 4 года назад +1

    Watu wanakuja nawasaidia sana wananowa mapanga yao..mkoani njombe

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 4 года назад

    Safi sana mirad

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 года назад +4

    Kujituma ni mtaji.

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 4 года назад +4

    Ayo waambie hao wadhamin wako Azania waambie unga wa ngano PPF huku zanzibar watuleee umehadimika sana

  • @sidetiamoszillieno808
    @sidetiamoszillieno808 3 года назад

    Sawasawa

  • @eliakipampu8235
    @eliakipampu8235 4 года назад

    Kweli

  • @smartismine1127
    @smartismine1127 3 года назад

    Pwagu nakufahamu tangu ujana wako unapamba kuhusu umeme mm nilikuwa bafu bite hangafilo hongera

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 Год назад

    Awekewe ulinzi huyu mzee,.

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 2 года назад

    Aisee Mzee huyu ni zaidi ya maprofesa wetu wenye vyeti! Angekua USA huyu angepewa heshima yake anayostahili. Sio hawa wasomi wa TZ wakuzalisha shida badala ya kutatua mattzo kwa jamii.

  • @bavonnyaulingo2188
    @bavonnyaulingo2188 4 года назад +2

    Bora kuzaliwa Ulaya sio Africa gonga like kama umenisoma

  • @kimitochacha4426
    @kimitochacha4426 4 года назад +1

    Serikali baada ya kuwapa mazingira mazuri watu kama hawa wanajua kuiba kura swala sio kuwaita ikulu inatakiwa kuwanadlia mazingira mazuri hata kumwanadalia shule afundishe wengi kama kila mwaka atatoa wahitimia mia ndani ya miaka 30 tanzania hatutakuwa na shida ya umeme

  • @juliusmpasa634
    @juliusmpasa634 4 года назад

    Gd

  • @jakobosundew363
    @jakobosundew363 4 года назад +2

    Duuu, nimemkubari huyu Mzee, mzee huyu ni genus!

  • @josephlukata2616
    @josephlukata2616 4 года назад +1

    Naweza kupata connection nahuyo mzee plz

  • @richardmusa1434
    @richardmusa1434 3 года назад

    Bongo mvi

  • @MOtownTV.
    @MOtownTV. 4 года назад +2

    MILLARD AFRAEL AYO NAJIFUNZA VINGI SANA KUTOKA KWAKO BOSS MW.MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU KAKA ANGU NAPATA NGUVU SANA YAKUINUKA KILA NINAPO ANGUKA NIKIKUTAZAMA