Waswahili tunaita chumba cha bahati nasibu yaani kufa au kupona ukiingizwa kile chumba ni Mungu Tu ufe au upone ndo maana ni chumba maarumu cha mwisho cha mgonjwa aliye mahututi na wengi hufia umo kama hujui hicho cha chumba cha bahati nasibu mapazia ya kijani sekunde tu
Pole saana yaani huyo mganga ndo aliyekutoa kwenye maombi yako ndo akapata nafasi. Jamani tusimameni kwenye neno na tumtumaini Mungu shetani mbaya saana I
mara kanisabi mara kwa mganga.Mungu hachanganywi.hukuwa na imani ndomaana ulichanganya Mungu na waganga.alafu unadharau eti kichungaji kinaitwa sijui nani.
Fungeni huo mkanisa ,& matawi yake,km kweli yanatumia Mungu,mbona hilo kanisa limeshindwa kujua kwamba kanisani yupo mzee wa kanisa ambaye ni mkuuu huko Gamboshi? Yanatumia nguvu za Giza,Mungu nisamehe nilienda kusali kwa hao mapepo.
Niwaambie kitu ndugu zangu wote tunaofuatilia hiki kipindi cha mikasa? Wachawi wapo! Wachawi sio wakuchekea! Yani we kama huwezi kuomba Mungu! We tafuta mganga matata na ikikubidi nenda hata nchi jirani ukatafute waganga matata! Na ukibahatika kumpata mchawi anae kuroga au kukorogea watoto! We muue tu! Usimwache mchawi akaishi!
Chezea na wachawi wewe. Maombi ya kurudisha mtu ambaye ananaswa na wachawi, ni maombi ya ajabu. Na wewe upuuzi ya leo mganga leo kanisani. Duh! Mungu hatumike ivo.
Akuna aliye kama mama jamani.👏🏼
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
mr everything 👍👍👍😘
Yaniii mikasa yotee huu nii mzito sana yaniii na unaumaa mungu anasaidie mama
Hawa wamamamkwe wengine sijui kwann kwann wanapenda kutoa wajukuu wao misukulee😥😥😥😥unaekula nao ndo mubaya wako ..
Angesimama na Yesu,binti asi ngekufa
KABISA
Mpe Pole sana
Daah kumbe chumba Cha ICU ni chumba Cha Bahati Nasibu 😂😂😂😂 Davister unatuletea fantastic story....
Ulikuwa ujuwi ndugu ikiingia uko unatia mkono kizani
Ulikuwa hujui?
Waswahili tunaita chumba cha bahati nasibu yaani kufa au kupona ukiingizwa kile chumba ni Mungu Tu ufe au upone ndo maana ni chumba maarumu cha mwisho cha mgonjwa aliye mahututi na wengi hufia umo kama hujui hicho cha chumba cha bahati nasibu mapazia ya kijani sekunde tu
Pole sana dada wachawi huwa wanaanza wasimamizi arafu ndio wanafanya yao
Namba moja kimkakati kabisa like zangu kwenu wadau
Hongera😍😍😍😍
@@pilimusa7770 😘
@@jongoathumani3690 .a
Locked 🔐..... Big up bro!!!tuko ndani tumenata hatubanduki .kazi kuntu 👍
Hongera
@@aishaally8811 thanks 🙏
Mr facts kazi safi
Huyu mama sio msukuma lafudhi yake Kama muhaya vile,,Pole sana mama wachawi sio watu wazuri mi nawachukia sana .
Waganga jee?
Rafudhi ya kikurya
@@seasonepisode3328 hata wao wachawi
Eeeh hii simlizi ni more🔥🔥
Pole saana yaani huyo mganga ndo aliyekutoa kwenye maombi yako ndo akapata nafasi. Jamani tusimameni kwenye neno na tumtumaini Mungu shetani mbaya saana I
Pole sana mama wa watu! inatia huruma.
Pole mama lakini shida huku mwamini mwanao
Ila davista asante kwa kupumzika mkono na mike
New page iam the first person to view and like this
Siku zote simama mwenyewe kwa Imani saliii....usitegemee watu maana saiv manabii wa uwongo wengi sana
Msaada jamn chumba cha bahati nasibu ni chumba gan hcho🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
icu
Unacheka kabisaa kwel..... 😓😓😓
Hivi kumbe wengi hamjui kama ICU kinafahamika Zaid kama chumba cha bahati nasibu
@@mosesjohnswilla9926 Asanteni hata mm sikujua Kama ICU Kama nichumba Cha bahati nasibu.🤦🤦
Pole dada, kwa mikasa uliopitia,
Waganga na wachawi ni marafiki. Husharikiana kwa mabaya.
Safi Sana broo
Nimejifunza mengi inapaswa wachungaji mnapaswa kufunza watu jinsi ya kuomba tukio la Huyu mama alikua ana mulaumu Mungu sana
Story nzuri sana ✨
Pole sana mama
Chumba cha BIKO 🤔🤔😄😁😄😔
😂😂😂😂😂😂
Pole mama Mungu akutie nguvu
Wa kwanzaaa 🤣🤣💃💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Ongera yako sana
@@fatmaalrshdii7615 Asante wngu😘😘😘😘😘
@@fatmaalrshdii7615 vp hali yako😘😘😘😘😘❤❤
@@FFL-X1D nashukuru mwenyenzi mungu Mimi mzima WA afya njema kipenzi changu
@@fatmaalrshdii7615 Nmefurai kuxkia hivo kipenzi changu❤❤❤❤
Mchawi na waganga ni kitu kimoja
Jamani utaazishwajee doz ya saratani nahaijaonekana😥😥😥 shetani alikuwa akitawalaa kweli kumbe unauguzaa kivuli
mama pole Mungu ni mueza shetani hana chake
mara kanisabi mara kwa mganga.Mungu hachanganywi.hukuwa na imani ndomaana ulichanganya Mungu na waganga.alafu unadharau eti kichungaji kinaitwa sijui nani.
Dah!!!!
Ulipo nipo dm🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
YESU NI MUNGU WA KWELI NA WA PEKEE, LICHA YA MADHAIF YETU, MAKOSA NA DHAMBI ZETU, BADO ANATUPENDA. Nevertheless He is consuming fire 🔥 🔥🔥🔥
Fungeni huo mkanisa ,& matawi yake,km kweli yanatumia Mungu,mbona hilo kanisa limeshindwa kujua kwamba kanisani yupo mzee wa kanisa ambaye ni mkuuu huko Gamboshi? Yanatumia nguvu za Giza,Mungu nisamehe nilienda kusali kwa hao mapepo.
Pole mama
🇧🇮👌🏽
ICU = chumba cha bahati nasibu😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka mpaka kidogo nivunjike mbavu😂😂😂🤣
Niwaambie kitu ndugu zangu wote tunaofuatilia hiki kipindi cha mikasa? Wachawi wapo! Wachawi sio wakuchekea! Yani we kama huwezi kuomba Mungu! We tafuta mganga matata na ikikubidi nenda hata nchi jirani ukatafute waganga matata! Na ukibahatika kumpata mchawi anae kuroga au kukorogea watoto! We muue tu! Usimwache mchawi akaishi!
Hata maandiko yamesema usimwache. Mwanamke mchawi aishi
😓😓😓😓
Nakuunga mkono
Jaman inaskitisha xna
Mmmmmhhhhhhh unajua watu wanachukulia kama utani but kuomba saa tisa mhhh ..waombaji tu ndo tunajua mziki wake
Mmmmm
Hao mapasta pia wanga pamoja na waganga lao mmoja ila sio wote
Leoooo malisa
Eehh mungu wangu yani inauma
Hao hawakuwa ni mapstor kamiliki walikuwa wamefungwaa wao pia walikuwa mybe kwagizaa
Chumba cha bahati na sibu 🤔
😂😂😂😂
Pole Mama Aisee Inasikitisha Sana !!😭😭😭
Uyo malisa si ndio Dan alisema ni mchawi au malisa yupi😂
🤣🤣
Huyo mtu ni dani mchungaji halafu ile stor yake patt 2 mbona uliikatishia njiani
Hi
Tunakula jmn🤣🤣🤣🤣
Sindio dear hata number mmoja hatuwai 😂😂😂
Analinini linakuja lianongea kolokolkolk
Pepo hilo linaitwa Kifalo,ndipo linalo let's sauti ya mchawi
Gambosi missing zabron
😳😳😳😳
Hivi mnyeshani alifikisha kibegi cha tano,walimlipa ela zake,walimuacha arudi tanga,ni kweli wale marafiki zake waliondoka?
👂👂👂🔥🔥1
santa dav Mr kila kitu
Aisee dunia hii
Mtihan kwakweli inauma sana pole bidada binadam wabaya sana
Sana
Mama mzima wajisaidia kando yachoo kama simwangaa nn..halafu kinganganizi kulalahspital namgonjwaa ilimumutese mtoto
Dah ICU ndio Chumba cha bahatinasibu😂
😂😂😂😂😂ndio sisi watu wa mwanza tunavyoita hivyo
Mchawi na mganga huongea lugha moja
Safi
Jamani viewers twendeni kwa Davister mdogo tumuone George anae ishi na utumbo wakutoboka
Now I understand. The beleif system gives access to the lawless one.
.
So sad
Pat4
Mwanamke shujaa wa kitanzania
UKULE
🇪🇹 niko ndani
Ndani Wapi huko 😂😂😂
mimi mwenyewe nimewahi kutibiwa ICU .
Maziwwa si anawezs hizi kaz
Nimeanza kivingine guys kuanzia leo ndo namba moja wenu
😅😅😅😅Hongea
Hongera
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@pilimusa7770 🤣
@@fatmamucha4419 asante sana
Mi kusema ukweli namsubiri mzee wa sudani boda kwa boda
Nasubiri sana hy story
Pole kwa yote yaliyokupata
Davister mambo
Chezea na wachawi wewe. Maombi ya kurudisha mtu ambaye ananaswa na wachawi, ni maombi ya ajabu. Na wewe upuuzi ya leo mganga leo kanisani. Duh! Mungu hatumike ivo.
Kifaru hilo analo lisema.
kwenye kesi za kishirikina waganga wanafatwa na kukomeshwa na kutiwa adabu ndio utaona anakupiga chenga .
Jaribu kwa gwajima
Nimewakumbuka humu aisha na pili hamjambo
Nipo jmn
muunganishe na mtumishi musa chesa
Ulipo tupo
Bro habari tulete ya 4
Tupee party two ya hii
🤝🤝🤝
🤝🤝🤝❤❤❤❤
🤸🤸🤸
@@gmdecoration6044 nini mbaya darling
@@somoeawadh7774 Amna mbaya nacheza cheza tu hapa nnje kwenu😅😅😅
@@gmdecoration6044 Sawa darling
YAANI JAMANI HII STORY IMENILIZA SANA
Asalam Alaikum warahmatullah wabarakatul
Walekum msaalam
Walleko msalam
Waaleykum msalam
@@somoeawadh7774 wazma wote❤❤❤❤
@@FFL-X1D alhamdulillah twashukuru
mmh sielewi
🙄🙄🙄🇰🇪
MTU makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli ulipo nipo
Pamoja wngu😘😘😘😘
Mm a
Bakora za kimkakati yupoo?
Ni ramadhan hii Hatutaki bakora 😂😂😂
Mwisho wa ubaya aibu
Huyu mama ni Yule Pastor Dan akamtaja sio...wakenya njoooni hapa
Unakumbuka kweli kabisa ndiye
Ni yy dear
@@somoeawadh7774 safi sana
@@fatmaalrshdii7615 safi sana wacha tumsikize ubaya pia story yake haitaisha
Ni huyu
Waliouskia upepo kluuuuuuuuu tujuane
😂😂😂
Nawakumbusha jaman daku mpike jaman 😃
Hilo daku lenyewe lasemaje 😂😂😂
@@sweetie6934 mchokozi jirani 😂😂😂
@@sweetie6934 aaaaah tatzo sasa linaanzia hapo tunataka mlivyopika
@@somoeawadh7774 tuanzie hapo
@@hamadwaziri121 wapi 😅😅😅