Part 1_USHUHUDA WA ALIYEKUWA NA PhD YA UCHAWI KUTOKA CHUO CHA GAMBOSHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 63

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 3 года назад +7

    Barikiwa Sana Jactan kupiitia shuhuda hizi zimenibadilisha Sana 🙏 YESU ndyo kimbilio la maisha yetu amina

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад +1

    Mtumish Jaktani Mungu akubarik sana Hizi shuhuda zinatuimarisha sana kiroho unajua walokole huwa tunajiona wakawaida sana kumbe tunatisha kwenye ulimwengu Wa Roho

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад +2

    Aminaa, bwana Mungu atukuzwe Sanaa.

  • @elishashijashija8472
    @elishashijashija8472 2 месяца назад +1

    Mtumishi Mungu akulinde

  • @henryosoro7696
    @henryosoro7696 3 года назад +7

    Anaonekana mtumishi kweli, mambo ya uganga alikuwa huko akuje kutoa ushuhuda watu wamwamini mungu.

  • @samsonpeter5407
    @samsonpeter5407 3 года назад +1

    Dunia njia aisee MUNGU anazidi kuonyesha ukuu wake
    .amina

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 4 месяца назад +1

    Kuna kitu kinanipa tabu sana, shetana Ana namna anakufanya wewe ujiona ndio mkuu, shuhud nyang wanasem mm nilikua wa kwanza, au wa pil au wa tatu kwa io shetan anakufany ujione your the best😊

  • @wilsonmatunda4937
    @wilsonmatunda4937 3 года назад +2

    Ushuhuda mzuri sana.
    Mbarikiwe wote. Bwana ni mwema.

  • @oscanyakunga9674
    @oscanyakunga9674 3 года назад +4

    Mungu nimwemaaa kwetuu uchawi uckie tu tunamwitaji Yesu

  • @bonfacemwakapenda8857
    @bonfacemwakapenda8857 3 года назад +2

    Mungu akubariki mtumishi jacktan kwa kazi nzuri unayo yifanya hakika mimi siko the same ila kawimbo ka back ground hako kaendeleye kwenye shuhuda zote maana kanachangia kusisimua

  • @davidmatthew1715
    @davidmatthew1715 3 года назад +1

    Very powerful testimony...Mwanzo 22:17

  • @biblianenolaukweli5616
    @biblianenolaukweli5616 3 года назад +2

    Mungu nimkubwa kwakweli

  • @floranceh5333
    @floranceh5333 3 года назад +1

    Thank you Jesus kw neema yako

  • @fei3668
    @fei3668 3 года назад +2

    asante Mungu wetu utupiganiae

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 3 года назад +1

    Hallelujah Yesu upewe sifa uinuliwe Baba hakuna kama wewe

  • @highzacknnko4002
    @highzacknnko4002 3 года назад +2

    Ubarikiwe broooih

  • @juniorkalinge5861
    @juniorkalinge5861 9 месяцев назад +1

    Amen&Amen, YESU KRISTO NDIYE NGAO YETU MILELE NA MILELE, AMINA

  • @henryosoro7696
    @henryosoro7696 3 года назад +6

    Siku moja uende mpaka gamboshi tuone hiyo sehemu.. Naisikia Sana.

    • @myself4128
      @myself4128 3 года назад

      Hiyo sehemu ipo na ni mji mzuri mchana pametulia tu wala huwezi jua ila usiku wenyeji wengi wachawi..ni kweli

  • @johnsahani8158
    @johnsahani8158 3 года назад +2

    Mwendelezo jacktan tuko nyuma yako mtumishi

  • @florakagali6145
    @florakagali6145 3 года назад +1

    Asante San mungu akubarik

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 3 года назад +3

    Glory to Jesus Christ alikirimiwa jina lipitalo majina yote amen

  • @lugendodaniel5266
    @lugendodaniel5266 2 года назад +2

    Kuokoka Ni nguvu ya MUNGU

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 2 года назад

    Mmh kumbe nilikuwa nachelewa kuokoka asante yesu kwa kuniokoa.

  • @PauloKatelanya
    @PauloKatelanya Год назад

    Mungu ni mwema

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 года назад

    Tunaishi kwa neema yako Bwana turemu

  • @lugendodaniel5266
    @lugendodaniel5266 2 года назад +1

    Okoka leo

  • @neemamsigwa1333
    @neemamsigwa1333 3 года назад +3

    Huyu jamaa uliomponza ni utafiti wa wachawi

  • @pauloabtwah4215
    @pauloabtwah4215 3 года назад +2

    Namimi nina ushuhuda,mimi ni mch ila nilikuwa mchawi nafamilia yangu yote.ukinihitaji nikupe ushuhuda nitafute

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад +4

      Nakutaftaje ndugu bila mawasiliano.Kama una Ushuhuda tutafte kwa namba 0784074462

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 3 года назад +2

    Amen jina la Yesu liinuliwe

  • @semwandambaza2184
    @semwandambaza2184 3 года назад +3

    Shuhuda zinanijenga kiroho

  • @samuelmussa4809
    @samuelmussa4809 3 года назад

    Kamtaja magakale alikuwa hatari sana naye anamuhubiri YESU.

  • @bhokemasyaga4654
    @bhokemasyaga4654 3 года назад +1

    Kisa kizuri mno na chenye mafunzo ndani yake...

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 года назад +2

    Dunia inamambo sana

  • @lolguy-x9n
    @lolguy-x9n 2 года назад

    Anasema uchawi wote wa nigeria ulitoka gambushi.

  • @humphreykiveu9428
    @humphreykiveu9428 3 года назад +2

    Part 2

  • @lugendodaniel5266
    @lugendodaniel5266 2 года назад +1

    Kuokoka Ni lazima

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 3 года назад +2

    Jaamani mwendelezooooooooo🙏🙏🙏

  • @IANA2030
    @IANA2030 3 года назад +1

    Jesus

  • @doreemeza4561
    @doreemeza4561 3 года назад +8

    nakumbuka hiyo siku mt george umekuja kutoa ushuhuda kanisani FRIENDS OF GOD mkolani MWANZA!
    nakumbuka ulisema ulienda kuwanga kwa mkristo mmoja ukiwa unataka kuingia kwa kutumia makalio ulipigwa kibao na Yesu mpk ukajisaidia na ukasema ukikuta kinyesi nyumbani kwako elewa hao wachawi wamekiacha kwa sababu ya kipigo kikali

    • @myself4128
      @myself4128 3 года назад +1

      😅😅😅😅

    • @louisejean5846
      @louisejean5846 3 года назад +1

      😄😄😄😄😄🙏🙏

    • @boazkamugisha3966
      @boazkamugisha3966 3 года назад

      Jacktan naomba namba ya mtumish huyo

    • @herbertmdoe8561
      @herbertmdoe8561 3 года назад

      Mungu ni mkuu sana,ana nguvu kupita nguvu zote ni muweza juu ya yote,watu wa Mungu tunalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya Imani, Mungu anatupenda sana,Asante Yesu kwa damu yako! Mungu akubariki kwa ushuhuda unaotuhahakikishia kiwango cha ulinzi wake juu ya watoto wake wasiweze kuguswa na wachawi

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 3 года назад +1

      Duh inamaana kumbe iko hivi Mimi nilikuwa kwenye maombi ndani ya nyumba yangu na baada ya maombi nilitoka nje nikaona kinyesi mlangoni Ila sikujua maana yake Uinuliwe Yesu

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад

    Wewe ndo ulikuwa huelewi bibilua. UGONJWA WOWOTE UNAOPONYWA NA WATU WA MUNGU, NI ULE AMBAO UMEUPATA KWA NJIA YA SHETANI NA MIJUMBE YAKE. NA MAMBO MENGINE YOOTE YANAYO TENGENEZWA KUPITIA NGUVU YA SHETANI.

  • @lugendodaniel5266
    @lugendodaniel5266 2 года назад +1

    Kubwa Ni kuokoka tu

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад

    Ingekuwa TB JOSHUA UNGEITAPIKA HARAKA SANA.

  • @peninahmwendwa2519
    @peninahmwendwa2519 2 года назад

    Ningependa kujua ungo ndio nini?

  • @peninahmwendwa2519
    @peninahmwendwa2519 2 года назад

    Ungo ndio nini??pastor

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 3 года назад +1

    Natafuta part 2na 3

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад

      ALIYEKUWA NA PhD YA UCHAWI KUTOKA GAMBOSHI: ruclips.net/p/PLXTmPgeqbJ0kRc-ve-UzaWcdsSsUucOXt

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 3 года назад

      . good