TANGAZO MUHIMU KWA WANACHUNYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июн 2024
  • Mwezi wa saba ni mwanzo mwa mwaka wa Serikali, Hivyo mambo mengi huwa yanakuwa na Mabadiriko. Mwananchi wa wilaya ya Chunya Tangazo hili ni muhimu ukaliona wewe na ukamjulisha na mwingine ili tuijenge Chunya pamoja
    Ukipata Changamoto yoyote kuhusu kulielewa Tangazo hili tafadhari wasilianan na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji au fika ofisini upate ufafanuzi

Комментарии •