TATIZO LA MAJI CHUNYA MBIONI KUMALIZIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2024
  • Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njelu Kasaka amesema Tatizo la maji Chunya litamalizwa na Mradi wa Maji ambao hivi karibuni utaanza kutekelezwa ambapo maji yatachukuliwa kutoka Mbeya vijijini kusafiri zaidi ya Kilometa 32 mpaka kufika Chunya Mjini
    Juhudi za Haraka pia zinaendelea kuchukuliwa na Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewataka wananchi wa Chunya waendelee kuwa na Subira
    Aidha Mhe Masache ametaja maeneo mbalimbali ya wilaya ya Chunya ambapo miradi mbalimbali ya maji imeendelea kutekelezwa na maeneo mengine miradi inaendelea kutekelezwa

Комментарии •