RAIS MWINYI AITANGAZIA NEEMA ZANZIBAR, ATAJA KILICHOMPELEKA NCHI ZA UARABUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Rais wa Zanzibar Na Mwenyekitibwa Baraza La mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi Tayari amekamilisha ziara yake ya Siku tatu Aliyofanya akiwa Nchi abu dhabi Rais wa Zanzibar amezungumza na wandishi wa Habari wakati akiwasili Nchini na Kuzungumza na wandishi wa habari.

Комментарии • 2

  • @amanilaizer8294
    @amanilaizer8294 2 года назад

    Kidumu chama cha Mapinduzi 🔰🔰.
    Ahsante Mhe. Rais na makamu mwenyeki, Dr Hussen Mwinyi

  • @mkumbosamson7981
    @mkumbosamson7981 2 года назад

    Piga kazi Mheshimiwa