MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, KURASINI JIJI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июн 2021
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Kurasini, Temeke - Dar es Salaam.
    [25-Juni-2021]
    #KaziIendelee
    #SSH

Комментарии • 22

  • @Nyimbozamani
    @Nyimbozamani 3 года назад +2

    Hongereni sana wanafunzi wa uhasibu kwa kuimba vizuri ! Heko kwa Rais Wangu Mama yangu Samia Suluhu
    Watching from Washington DC-United States

  • @remijilasana3383
    @remijilasana3383 3 года назад +1

    Askofu Kilaini una story nyingi na nzuri, naomba hizo historia ziwe kwenye mfumo wa video na picha.

  • @chumizola1847
    @chumizola1847 3 года назад

    Uhemaji wa Mama sijaupenda🥺🥺 Nadhani anapaswa kupumzika na kufuatilia afya yake🙏🏽🙏🏽

  • @stevengracphord953
    @stevengracphord953 3 года назад

    Safi sana mama Samia pia asante Balaza la TEC kwa kuwa imara pia kwa kumuunga mkono

  • @mokehamwita6685
    @mokehamwita6685 3 года назад

    Good speech

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873
    @ezrakaturitsaofficialtz7873 3 года назад

    Asante sana Mhe Rais kwa hotuba fupi yenye manufaa kwa ustawi wa nchi yetu

  • @mashibatoursafari4670
    @mashibatoursafari4670 3 года назад

    Tumepingwa hapa

  • @yohanaosiligimoikan7134
    @yohanaosiligimoikan7134 3 года назад

    Mnavaa barakoa afu mnamtukuza mungu??

    • @Nyimbozamani
      @Nyimbozamani 3 года назад

      hahaa, sasa ulitaka wakivaa barakoa wamtukuze nani ? ila watu weusi tuna shida jamani .,sijui ni laaana

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 3 года назад +1

    Mbinguni ni kazi kufika kumbe huyu Mungu aminiki hasa wanaamini barakoa

    • @subirakhamis7994
      @subirakhamis7994 3 года назад

      Hata mungu nae anajuwa waja wake wanakipindi gan na ndo maana akatwambia Yasin Kinga Ila mbio tuwe nazo

    • @happymrema6728
      @happymrema6728 3 года назад

      Pumzika kwa Aman king Solomon uliweza kutupa ujasir wa kupambana na koron lakin Leo hii tunaambiwa imerud he watalii watakuja Tena watu wahal ya chin tutaish maish gan pumzika kwa amani jpm na mungu akupunguzie adhab wanAnchi wako tunakulilia kila.kukicha tunakukumbuka

    • @chrismassawe326
      @chrismassawe326 3 года назад

      @@happymrema6728 mmh kazi unayo

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 3 года назад

    Mama kwa Refer mistari na Aya za Biblia tuu, ndio Maana Mwenyezi Mungu Anaendelea kumbariki kila siku. Anajua dini zinahubiri maneno ya Mungu.

  • @yohanaosiligimoikan7134
    @yohanaosiligimoikan7134 3 года назад

    Hawa ndo watumishi hewa wanao vaa barakoa wanaziba hewa?

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 3 года назад

    Ila Kwa sababu ni Roma haishangazi ni walewale

    • @sylverjosiasy8536
      @sylverjosiasy8536 3 года назад

      Wewe unajua chanzo Cha dini zote, fuatilia kwanza kabla haujaongea lolote, Kama unakebehi ukatoliki inamaana dini zote za kukiristo NI ovyo maana dini zote za kukiristo zmeanzishws toka ndani ya ukatoliki, Soma historian, idpokua tu sabato.

    • @abdalaalmas2535
      @abdalaalmas2535 3 года назад

      Acha UDINI wewe

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 3 года назад

      Hassani una matatizo wewe

    • @hassanimngetege2904
      @hassanimngetege2904 3 года назад

      @@sylverjosiasy8536 watu waliamua kuasi baada ya kuona mienendo Yao haitoi utukufu kwa MUNGU mwenye enzi zote wamekomaa na principles za kidunia zaid

    • @hassanimngetege2904
      @hassanimngetege2904 3 года назад

      @Irene Deogratias Rutatora nirudi shule kwa uhuni huu maana ya shule ni kuona na kuelewa maana ya jambo we ndo unaonekana upo gizani