MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, KURASINI JIJI...
HTML-код
- Опубликовано: 24 июн 2021
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Kurasini, Temeke - Dar es Salaam.
[25-Juni-2021]
#KaziIendelee
#SSH
Hongereni sana wanafunzi wa uhasibu kwa kuimba vizuri ! Heko kwa Rais Wangu Mama yangu Samia Suluhu
Watching from Washington DC-United States
Askofu Kilaini una story nyingi na nzuri, naomba hizo historia ziwe kwenye mfumo wa video na picha.
Uhemaji wa Mama sijaupenda🥺🥺 Nadhani anapaswa kupumzika na kufuatilia afya yake🙏🏽🙏🏽
Safi sana mama Samia pia asante Balaza la TEC kwa kuwa imara pia kwa kumuunga mkono
Good speech
Asante sana Mhe Rais kwa hotuba fupi yenye manufaa kwa ustawi wa nchi yetu
Tumepingwa hapa
Mnavaa barakoa afu mnamtukuza mungu??
hahaa, sasa ulitaka wakivaa barakoa wamtukuze nani ? ila watu weusi tuna shida jamani .,sijui ni laaana
Mbinguni ni kazi kufika kumbe huyu Mungu aminiki hasa wanaamini barakoa
Hata mungu nae anajuwa waja wake wanakipindi gan na ndo maana akatwambia Yasin Kinga Ila mbio tuwe nazo
Pumzika kwa Aman king Solomon uliweza kutupa ujasir wa kupambana na koron lakin Leo hii tunaambiwa imerud he watalii watakuja Tena watu wahal ya chin tutaish maish gan pumzika kwa amani jpm na mungu akupunguzie adhab wanAnchi wako tunakulilia kila.kukicha tunakukumbuka
@@happymrema6728 mmh kazi unayo
Mama kwa Refer mistari na Aya za Biblia tuu, ndio Maana Mwenyezi Mungu Anaendelea kumbariki kila siku. Anajua dini zinahubiri maneno ya Mungu.
Hawa ndo watumishi hewa wanao vaa barakoa wanaziba hewa?
Kwan Nizambi
Ila Kwa sababu ni Roma haishangazi ni walewale
Wewe unajua chanzo Cha dini zote, fuatilia kwanza kabla haujaongea lolote, Kama unakebehi ukatoliki inamaana dini zote za kukiristo NI ovyo maana dini zote za kukiristo zmeanzishws toka ndani ya ukatoliki, Soma historian, idpokua tu sabato.
Acha UDINI wewe
Hassani una matatizo wewe
@@sylverjosiasy8536 watu waliamua kuasi baada ya kuona mienendo Yao haitoi utukufu kwa MUNGU mwenye enzi zote wamekomaa na principles za kidunia zaid
@Irene Deogratias Rutatora nirudi shule kwa uhuni huu maana ya shule ni kuona na kuelewa maana ya jambo we ndo unaonekana upo gizani