Tamko Maalumu la Maaskofu (TEC), Waamua Makubwa Kuhusu Mkataba wa Bandari, Wananchi Hawajaridhishwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
    Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
    KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
    KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
    Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Комментарии • 214

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 Год назад +6

    Ahsanteni baraza LA maaskofu kwa kuliona jambo hili. Cha kushangaza wale majirani zenu wazee wa kamati wanaleta mambo ya imani kwenye jambo hili awangalii kilio cha watanzania

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Pimbi kweli huyu, mchanga wa madini umeibwa miaka kadhaa Kwa kisingizio cha kwenda kusafishwa nje mbona hatukuwasikia kutoka hadharani kupigania Rasilimali

    • @user-rj2vl4xq4r
      @user-rj2vl4xq4r Год назад

      wanafiki hao,wapuuzwe.wana mambo mengne wanayaficha nyuma ya jambo hili.nawashauri wakae waanze kuandaa waraka wa uchaguzi wa 2025 kama walivyofanya kipindi fulani @@jumakapilima7295

  • @mefaliamikulao9314
    @mefaliamikulao9314 Год назад +3

    Mungu aendelee kuingilia Kati.Asanteni Mababa Maaskofu.Maoni ya wananchi wanadhalauriwa sana

  • @jobharry9009
    @jobharry9009 Год назад +3

    Mungu awape nguvu watumish tena ongelen sana kwa kauli yenu wakijidah hawaon tunamuachia mungu

  • @mamamfugaji9065
    @mamamfugaji9065 Год назад +2

    Asanteni mababa,🎉nilikuwa nasubiri tamko lenu tu basiiiii.

  • @edwardmaghali4921
    @edwardmaghali4921 Год назад +6

    Thanks TEC for the STATEMENT ! The Church has to guide the way for God's sake. Asanteni Mababa wa Kanisa letu.Nia njema kwa faida ya Taifa letu! Haraka yetu ndio kupotea kwa kizazi chetu!!.OBLIGADO!

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад +1

      Ww hatuongozwi na kanisa hapa ! Tz ipo na katiba yake halali

  • @charleslyimo144
    @charleslyimo144 Год назад +1

    Hongeren TEC kwa tamko,kama litapewa uzto

  • @josephbaruty1103
    @josephbaruty1103 Год назад +2

    KANISA MOJA TAKATIFU KATOLIKI LA MITUME ❤❤

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Год назад +3

    Nashukuru Mungu kwa maana sasa watumishi wa Mungu mmeliona hili.

  • @user-rj2vl4xq4r
    @user-rj2vl4xq4r Год назад

    Asante sana mababa askofu.Ila kuna kipindi mlituangusha.mlikaa kimya sana kipindi watu wanaumizwa na kuuwawa.wanasiasa wakifungwa na kupigwa risasi,vyombo vya habari vikifungwa,wanaharakati wakichukuliwa na watu wasiojulikana,na wengine wa wakiokotwa kwenye viroba baharini.Huenda hamkuona umuhim kutetea wananchi kipindi hicho au hamkuwa huru au kuna sababu nyingne iliyowafanya kukaa kimya na mkionekana kuunga mkono serikali bila kujali yaliyokuwa yakiendele.

  • @pitosjuma7224
    @pitosjuma7224 Год назад +2

    Asante Sanaa. Mungu awabariki

  • @jediokokoma8670
    @jediokokoma8670 Год назад +2

    Hongereni sana inaonekana Mungu yupo kazini

  • @ernestcosmas3297
    @ernestcosmas3297 Год назад

    Tunashukuru sana viongozi wetu wa kanisa Kwa kutambua na kuwa na misimamo sahihi Kwa ajili ya wananchi wote wa Taifa hili.
    Viongozi wetu hawana udhalendo na wanazan Wana hati miliki ya hili Taifa ndomana wanaamua na kulazimisha visivyo sahihi.

  • @blandinakimbe8910
    @blandinakimbe8910 Год назад +1

    Asante Mungu Kwa mababa wetu,

  • @user-er3dt3ne3q
    @user-er3dt3ne3q Год назад +3

    Asanteeeee Mababa 🙏tunamshukuru Mungu kwaajili yenu

  • @mselledamas9078
    @mselledamas9078 Год назад +1

    Asanteni sanaa maaskofu

  • @PascalPascual-rn6fx
    @PascalPascual-rn6fx Год назад +5

    Ndio faida ya kuwa watumishi wa Mungu waliosoma.

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад

      Chuki binafsi zimewajaa kwa kuwa makubaliano yamefanyika dubai kwa waarabu lkn hakuna moja la ukweli mnaloongea! Na wote mnaosifia maaskofu tukiwatazama ni udini tu lakini serikali hii iko sahihi

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 Год назад +1

    Asante Sana

  • @joejosca7594
    @joejosca7594 Год назад +2

    😂Amina❤Mungu awalinde daima baba zetu

  • @maase2023
    @maase2023 Год назад +1

    Mama samia na serikali yote keep it up hongereni sana na sisi wananchi wenye upeo na uchungu wa taifa letu tupo pamoja na nyie ! Mama samia juu juu juu zaidi na serikali ypte juu juu ju zaidi!

    • @vaxcraker99
      @vaxcraker99 Год назад

      Wacha udini uchwala wewe! Akili huna kabisa, kwanini hamuuzi bandari ya zanzibar, mmeshikilia za Tanganyika? Bwege sana wewe, kwa kusifia wasaliti wa Tanganyika.

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад

      @@vaxcraker99 kweli ww bwege aliyekuambia bandari imeuzwa ni nani? Au kiingereza hamkijui kutafsiri? Mkataba upo wazi mtandaoni tazama Kisha utuambie wapi imeuzwa Kenge wee

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад

      @vaxcraker99 chuki binafsi hizo na kujua mkataba unasemaje wala hamjui basi kuokota maneno ya mitaani tu

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад

      @@vaxcraker99 kweli hujaenda shule ww pole sana

    • @doreenkissia1087
      @doreenkissia1087 Год назад

      Kilaza

  • @user-hl6zd4pv7s
    @user-hl6zd4pv7s Год назад

    Asante maaskofu. Hii imeisha. Kanisa halijawahi kushindwa

  • @mimasirdic8379
    @mimasirdic8379 Год назад +2

    Jugo tv yako inakwamakwama sana jitahidi next time mambo yawe vizuri

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Год назад

    Asanteni wakuu wa kanisa langu. Ilikuwa kidogo nihame kanisa mngekaa kimya

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 Год назад

    Inauma sana Tuko pamoja kwa kila jambo kiongozi

  • @devothabahati6548
    @devothabahati6548 Год назад

    Tunashukuru Baba kwa ushauri wenu.ila tunasema Mungu Wetu hajasimama tangu nchi kuumbwa atatutetea na tunaomba Huruma yake km alivyowaonea Huruma Wana Wa Israel Tutavuka Km walivyo vuka Bahari ya Yorodani.

  • @user-tq5hk4kc4t
    @user-tq5hk4kc4t Год назад

    Thanks alot our fathers kwa kuliona hloooo❤❤❤❤

  • @GFMProduction
    @GFMProduction Год назад +3

    Akili kubwa

  • @user-oi3gg3zh6x
    @user-oi3gg3zh6x Год назад

    Mungu anapenda yenye kuheshimu mamlaka achen siasa ila Kwa Sasa hakuna jamii dhaifu Tena tz shida udini wenu

    • @desolz3809
      @desolz3809 Год назад

      Mamlaka ipi kwa mfano katika nchi ya democracy km tz

    • @user-rj2vl4xq4r
      @user-rj2vl4xq4r Год назад

      hawa maaskofu wanafiki tu,kwann hawakujitokeza kutetea demokrasia wakati mijumuiko ya kisiasa ikizuiwa,wanaharakati na wanasiasa wakipotezwa na kuuwawa na wengne kama lissu ni vilema kwasbb ya uonevu ,kama kipindi hicho waliogopa kulaani basi watoe neno leo kulaani wote waliokuwa nyuma ya uonevu huo.@@desolz3809

  • @bonifacembughi1104
    @bonifacembughi1104 Год назад

    Asanten

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 Год назад

    HUU NDIO UMUHIMU WA KANISA DUNIANI......BARIKIWA SANA WATU WA MUNGU BADO CPCT

    • @desolz3809
      @desolz3809 Год назад

      Cpct waoga tu kazi kujifanya wanahekima sana

    • @dainessgaspar6042
      @dainessgaspar6042 Год назад +1

      Shughuli imeisha wale wote mtakaolazimisha mkataba huu mnateketea Kama Moto Hadi vizazi vyenu, kanisa katoliki ndiyo nchi ccm hawawezi shindana na wakatoliki.

  • @Gamba177
    @Gamba177 Год назад +1

    Askofu gani umevaa Dera

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Год назад +3

    Wameiba vyakutosha sasa watanzania tunasema imetosha.Kama mwaraabu aliwapa rushwa watajua naman watakavyo lipa

  • @sallkazi9319
    @sallkazi9319 Год назад +1

    Tunautaka mkataba usainiwe haraka na uanze kazi mara Moja .dp world mkuje mfanye kazi nchi yetu iendelee mbereeeeeeeee .huu mkataba huu angekuja nao mwendazake Hawa Hawa wangesema hakuna mkataba mzuri kama huu ,tatizo Lilpo Kwa alieuleta but tunawaambia tuko pamoja na mama this time .mama usirudi nyuma kanyaga twende ukisikia kelele kama hizi maslai Yao ya kuingiza vitu Bure yameguswa .

    • @engineertarimo7345
      @engineertarimo7345 Год назад

      Magufuli hawezi fanya kitu kama hicho! Inaonekana unataka kuweka udini mbele

    • @sallkazi9319
      @sallkazi9319 Год назад

      @@engineertarimo7345 ni mtakatifu? Mbona alipoulizwa 1.5 trillion iko wapi? Akaishia kumwambia prof Assad aondoke, malipo ya ndege unayajua? Ndege zilikuwa chini ya uchukuzi akabadilisha alazipeleka kuzisimamia.kwa nini ?

    • @sallkazi9319
      @sallkazi9319 Год назад

      @@engineertarimo7345 chadema ktk hili ndio walianza udini

  • @titoraphael7329
    @titoraphael7329 Год назад +2

    Nchi ni yetu sauti ya wananchi ndio tunayotaka isikilizwe ma sio kutafuta masihali yao tu

  • @user-bf9vp5hi6e
    @user-bf9vp5hi6e Год назад

    kura ndio suluhisho hapa

  • @alexandermillinga8147
    @alexandermillinga8147 Год назад +1

    Tunapigwa Bora ma askofu mtutee

  • @samsonmaiko6089
    @samsonmaiko6089 Год назад +1

    Hakika kwahili nime faidi mamlaka niliyo kuwa na tumikia bila kujua umuhimu wake, ongereni viongozi wetu, tuta shughudia kwenye kiti Cha ezii.

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Год назад

    Sheikh Mazinge yuko wapi? Tunamuomba aongee!

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Год назад +1

    TEC ASANTENI KWA MSIMAMO HUO. HAPA NASUBIRI CCT

  • @samsonsimeon9944
    @samsonsimeon9944 Год назад

    Ameni Askofu.tunaomba Maaskofu wote Tanzania mjitokeze mtoe tamko juu ya huu mkataba wa bandari

  • @servasionziguye9120
    @servasionziguye9120 Год назад +1

    Saut ya watu ni saut ya Mungu AMEN.

  • @princeatufigwege2638
    @princeatufigwege2638 Год назад +1

    Hili ndio kanisa la kuabudu kwenye watu wenye akili kama hawa

  • @uwuyisabasalvator
    @uwuyisabasalvator Год назад +1

    Watanzania kama mnajitunza kutoka za mani ; siku hizi kitu gani kinaweza kuwashinda ?
    Wana inci wako sahihi kabisa . Mungu yupo . Achene dubai na vyake !

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +1

    Wakati watu wanapigania uhuru wa Nchi hii mlikuwa busy na wakoloni na mlikuwa hamko tayari kudai uhuru maana mliogopa kuwakwaza Waingereza Leo nanyi mnajifanya wazalendo hahahha acheni uhuni ya kaisari mwachieni kaisari, Viongozi wote wanatoka kwa Mungu acheni kutumia hoja ya Bandari kugawa watu

  • @engineertarimo7345
    @engineertarimo7345 Год назад

    Yaani wengi wanaocomment huku kwa kuukubali huu mkataba asilimia kubwa someni majina yao, utatambua kuna kitu! In short sisi wananchi hatuukubali huu mkataba

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim2172 Год назад

    msilete udini nyie mnaosema habari za dini mimi mama nampenda sana tena sana sisi watanzania tunapendana na hawa maskofu hawapo hapo kwa ajili ya udini kwani bandari ni ya ukristo acheni hizo sisi mama tunampenda sana kama kuna shida sehemu lazima waseme na mwenyezi mungu ndo anaona wakweli na wanafiki

    • @sr.merinernest4045
      @sr.merinernest4045 Год назад

      We ndio huelewi,kwani hao maaskofu wanazungumzia kanisa katoliki lisikilizwe ?au wants email wananchi wasikiliwe?

    • @jayson.chanel.9870
      @jayson.chanel.9870 Год назад

      Huyu name visit? Nenda kampende huko huko Kwame laminitis siyo kwenye Mali zetu

  • @mohammedkilaly2770
    @mohammedkilaly2770 Год назад +2

    MIMI NATAKA TUPIGE KURA

  • @sr.merinernest4045
    @sr.merinernest4045 Год назад

    My the Good LORD PROTECT YOU DEAR ONCE

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Год назад

    Amina amin amina asanteni sana viongozi wa kanisa Mama

  • @wadysaidy8840
    @wadysaidy8840 11 месяцев назад

    Na ule ushoga mliukubali sio

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад

    Maslahi ya maaskofu yameguswa,,,,,hatari sana!!

    • @desolz3809
      @desolz3809 Год назад

      Na bado utabweka tu unaleta udini kwenye mambo ya tanganyika

    • @SaidAlly-uh4qw
      @SaidAlly-uh4qw Год назад

      Hawa nao wana maslah na bandari nilitegemea hilo haya sasa viongozi wangu wa dini ya kiislam zamu yenu sasa tumuunge mkono mh rais kwa kuukubali mkataba hata kama kuna kelele nyingi za makafiri

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 Год назад

      ​😂😂 Mliokuja na majahaz mnajulikana tu, lkn jua kuwa hakuna mwafrika atakayekubali tena mikataba ya kurudisha utumwa na ukoloni

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@desolz3809 mjinga sana wewe, mchanga wa madini umeibwa miaka kadhaa Kwa kisingizio cha kwenda kusafishwa nje mbona hukusema

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@desolz3809 pimbi kweli wewe

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Год назад +1

    Sisi kama wanainchi hatuutak mkataba. Kwann hawasikii? Kwann wanalazimisha? Tumesema hatutak maida za haraka. Bandari nimaliyetu kama hatunauwezo wakuiendesha iacheni haiozi wataiendesha watotozetu wakisoma vizuri

  • @robertmasanja66
    @robertmasanja66 Год назад

    Dr.Slaa aachiwe Hana hatia

  • @zachariamakamillo1965
    @zachariamakamillo1965 Год назад

    Kichaa tu ndo anayeweza kusaini

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey Год назад

    TICSI. HAIKUWA NA MSHIRIKA KWA MIAKA 21 SASA NYIE KIMYA MAANA WAZUNGU LAKINI KOSA WAARABU NA WAKATOLIKI MMEKOSA NAFASI YA KUFANYA MNAVYOTAKA

  • @ramadhanimakange9766
    @ramadhanimakange9766 Год назад

    Semeni ukweli tu kuwa DP wakianza kazi hapo mmekwisha kwasababu mtakuwa hamuibi tena, kwanza mna kashfa tayari yakutorosha makontena

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Год назад +1

    Hatuungi mkono sisi wanyonge

  • @user-vd7fc2rk9k
    @user-vd7fc2rk9k 6 месяцев назад

    Ngorongo

  • @user-lh9xp4cr4h
    @user-lh9xp4cr4h Год назад

    Tatizo sio mkataba tatizo kwanini waarabu tikis sijaona hayamatamko

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 Год назад +1

    Serikali inabidi ITUSIKILIZE HATUUTAKI MKATABA HUO

  • @mussaelisha3733
    @mussaelisha3733 Год назад +1

    Utumwa huo

  • @fahdizahor8792
    @fahdizahor8792 Год назад

    Ivi ni maaskofu au wasaidizi wa chadema

  • @ngombegeorge3577
    @ngombegeorge3577 Год назад

    Waotoe kwa lugha kiswahili kwenye gazeti . Itakuwa vizurl ili tunaojua kiswahili peke yake tuelewe

  • @Shalom803
    @Shalom803 Год назад

    Hongereni TEC! CPCT na CCT mko wapi?

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +1

    Wananchi au kanisa ndio lisikilizwe?

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Год назад +3

    Unafiki mbaya sana mkimaliza mvunje na mkataba wa kanisa na serikali ambao kanisa linapokea mapesa

    • @titoraphael7329
      @titoraphael7329 Год назад

      Mkataba gani huo unausemea. Taasisi zilizopo nchini ndizo zenye kuunganika na kuwa na umoja wa kuendesha nchi yao. Wewe binafsi ndio unamtazamo wa kidini nchi hii haina dini ila Watanzania wanadini zao. Wewe unahaki ya kusema na kudai ndani ya nchi yako ili uifurahie na sio kuwa mtumwa tena leo hii.

    • @nyerere1259
      @nyerere1259 Год назад

      Vilaza

    • @libetztanzania-kiswahilina2845
      @libetztanzania-kiswahilina2845 Год назад

      Allymusira MKATABA HAUNA MASLAHI KWA NCHI😢

    • @sr.merinernest4045
      @sr.merinernest4045 Год назад

      @@titoraphael7329 mungo akurehemu

    • @user-zb4yp5md9w
      @user-zb4yp5md9w Год назад

      Kutoka wapi

  • @bryanmagee5681
    @bryanmagee5681 Год назад +2

    Kuna mbunge moja alituambia kuwa alitembelea mwekezaji mtata DP World kule dubai aliona machine zina pakuwa mizigo na mtu analipa hela kwenye machine Ina maana mtu hakutani na pesa machine ndiyo zinapokea pesa kwanini. Tuuze bandari na uwezo wakununua machine hizo tunao. Kwa mambo serikali Imewaficha wanunuzi wa bandari hiyo naona ni kikundi cha mafisadi wa kitanzania na masisadi wa kigeni. Kwa sababu kamata kamata hiyo kunakitu nyuma siyo afya kwa watanzania.

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад

      Ww aliyekuambia bandari imeuzwa ni nani??? Mbn mnaokota maneno kwenye vibanda vya kahawa Kisha mnatangaza ovyo

    • @uwuyisabasalvator
      @uwuyisabasalvator Год назад

      Ndio hivo wazungu myaka hii vitu vyao habisumbuane sana. Pesa zinaishi ndani ya card na mshahara wako inaingiya hapo hapo pesa huwezi kuzigusa mikononi bira kwenda kuziomba kwenye bank au machine . Hayo yote unatumia card tu!!!

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 Год назад

      ​@@maase2023soma mkataba ndo ujue

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад

    Bunge VS Kanisa

  • @thamani5842
    @thamani5842 Год назад

    Mnazunguuka tu

  • @MachageMakindi
    @MachageMakindi Год назад

    na mkawakamate na maaskofu na lazima huu mkataba wenu ufeee rudishen vya watu mlivyokula msiojielewa ninyi

  • @janjahakimu3947
    @janjahakimu3947 Год назад +1

    😂😂😂😂😂 kumbe wengine tunapelekwa2 wenye bandari wamejitokeza

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Год назад

      Walaji wenye kupata faida hao.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +1

    Sema kanisa ndio haliutaki, sio wananchi,,,,!!!

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 Год назад

      Hivi ww ni mtanzania?Nina mashaka na uraia wako mbona ni mgumu kuelewa?au uchawa ndio unakusumbua

    • @theson1987
      @theson1987 Год назад

      mbona kama una muhawoo wewe tulia kama 1

    • @enofrank1842
      @enofrank1842 Год назад

      Tena nyamaza sisi sio wananchi?

    • @theson1987
      @theson1987 Год назад

      zololo

    • @theson1987
      @theson1987 Год назад

      @@enofrank1842 zorolo 1

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 Год назад +1

    Nyinyi maskofu mmetumwa hangalieni neno la mungu sio siasa

  • @samuelmsuji8674
    @samuelmsuji8674 Год назад +1

    Bunge liliwakataa wananchi

    • @nsiamasawe4578
      @nsiamasawe4578 Год назад

      Watusubiri 2025 wajumbe bado tupo tutakula vichwa

  • @wadysaidy8840
    @wadysaidy8840 11 месяцев назад

    Si tunaupenda mkataba wa bandari nyie nani mmepiga sensa kwamba awautaki atuwasikilizi nyinyi wachochez

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Год назад +2

    Tuliowaajiri wamesahau kuwa kwenye katiba yetu kuna mahali panatuhusu watanzania juu ya maamzi ya rasmali zetu.Tunataka katiba mpya na time huru ya uchaguzi imeisha hiyo michezo ya kutuchezea watanzanzania tumechoka bwana

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Год назад

    Waachane nao kwanini wanaung'ang'ania. Hiyo tuu ndio initia shaka kubwa

  • @jumamohamed994
    @jumamohamed994 Год назад +3

    Tunaomba Bakwata watoe kauli!!! Wananch wa kawaida tunautaka Mkataba

  • @thamani5842
    @thamani5842 Год назад

    Kwani mkataba wa kidini uo?

  • @fikirikiwike4909
    @fikirikiwike4909 Год назад +1

    Ndiyo viongozi wa dini mmetoa tamko wakati muafaka huo mkataba siyo mzuri hata kidogo huo ni mkataba mbovu haijawahi kutokea

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Год назад

    Mnufaika na wanufaika 😂😂

  • @jumamohamed994
    @jumamohamed994 Год назад +5

    Wakristo mnaigawa Nchi hii!!! Watanzania gani hao wacheni mambo yenu ya Udini huo

    • @nyerere1259
      @nyerere1259 Год назад +1

      Tatizo hamna elimu dunia😂😂

    • @victoriarwerengera4831
      @victoriarwerengera4831 Год назад

      Juma mohamed naona hujui kama faida au hasara ikitokea kuhusu MKataba huu unadhani watafaidi au kupata hasara wakristo tu..😂😂😂😂😂😂

    • @sr.merinernest4045
      @sr.merinernest4045 Год назад

      Hayo ni mawazo yako ndugu wananchi wasikilizwe

    • @michaelndumbalo3828
      @michaelndumbalo3828 Год назад

      Udini unakutesa wewe!

    • @leverimlaki5667
      @leverimlaki5667 Год назад

      Acha udini. Weka udini pemebeni tazama kwa jicho la kitaifa.

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp Год назад

    Father kitima mushafaulu.

  • @sallkazi9319
    @sallkazi9319 Год назад

    Mbona nyinyi hamkutoa tamko alipopigwa risasi tundu lissu? Kipindi kile ! Swali mlipoongea na serikali waliwaambia nini? Swali nyinyi mnasema ufutwe usipofutwa mtafanya nini? Kwa nini hamtaki dp world wapewe sehemu mzuri?

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад

    Kama kweli nyie mnapigania maslahi ya taifa, hamjatuambia wale maaskofu waliotajwa kuwekewa mpunga wa escrow muliwafanya nini, na zile fedha ziliishia wapi,,,,

  • @jonsjones2580
    @jonsjones2580 Год назад

    wewe unayewaza udini apa...bandari sio ya wakatolikii ni ya watanzania wote..Askofu amezungumza vizur........ila kama ukisikiliza kwa kutafuta pa kumkosoa hautaelewa kazungumza nini

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Год назад +4

    Kuna kitu kanisa ina maslahi na udhaifu wa utendaji uliopo bandarini

    • @ackshuba8679
      @ackshuba8679 Год назад

      Andamana basi

    • @niceandsmoothmelodies1619
      @niceandsmoothmelodies1619 Год назад

      Hayo ni makasiriko tuuu

    • @neemataris3273
      @neemataris3273 Год назад

      Maslai yapi acha udini wewe utakutesa

    • @christianmwabukusi8132
      @christianmwabukusi8132 Год назад

      Na ninyi mna maslahi ya kifamilia ndio maana hamuobyeshi tutapqtq nini

    • @dicksonkusaga
      @dicksonkusaga Год назад

      Hivi nyie kina rashid kina hassani kina Omary munakosa nini kwenye uendeshaji wa bandari wa watanzania na mutwambie munahisa ngapi na faida gani bandari itakapoendeshwa chini ya utawala wa waarabu??? Tuwekeni wazi maana naona comment zenu za uchawa zinavyowatesaaa rohoo

  • @jonsjones2580
    @jonsjones2580 Год назад

    Maisha ni utu wa mtu

  • @Gamba177
    @Gamba177 Год назад +1

    Uliongea na nani muongo wewe

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Год назад

    Serikali wala haikusikilizi wewe,imeshakutambua kwamba ni mdini na mkabila.

    • @bilalidaudi4440
      @bilalidaudi4440 Год назад

      MBONA BARAZA LA ASKOFU LIMEKUWA KAMA CHAMA PINZANI HIVI. NA HAWAAMBIWI WANACHANGANYA DINI NA SIASA . KWELI KANISA LISHAKUA CHAMA PINZANI WAAAZI KABISA

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 Год назад

      @@bilalidaudi4440 hayo hayataki darubini,kwa kawaida yapo wazi kwa sasa.

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku3449 Год назад +1

    Mzee ulipiga kura kujua wengi hawautaki, mlijificha Sasa mmedhihirika uchochezi tuu, ndiyo maana padri Dr slaa anahangaika, Zamani mkapa alivyoingia mikataba ya MADINI miaka 100 mbona hamkufanya vikao na hayo matamko. Visokorokwinyo

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +1

    Kwanini maaskofu Tu? Jibu moja Tu, biashara zao za ujanjaujanja kupitia bandari zinakwenda kwisha ndio maana povu linawatoka! Mchanga wa madini umeibwa miaka kadhaa na hao wazungu Kwa kisingizio cha kwenda kusafishwa nje mbona hatukuwasikia kutoka hadharani kupigania Rasilimali!!

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 Год назад +2

    Msilete bla blaa mkataba ndo huo huo hakuna kubadili,,kaeni kimyaaa???

  • @rashidsaid1199
    @rashidsaid1199 Год назад

    fanyeni Kazi yakuwaabudisha waumini.acheni maneno yakinafki mnajambo Lenu Katjka mioyo yenu.

  • @ramadhanimakange9766
    @ramadhanimakange9766 Год назад

    Achane umbea nyie katoliki, tamko lenu hilo sio la watanzania achane unafiki

  • @hajisaid3024
    @hajisaid3024 Год назад

    Q

  • @thamani5842
    @thamani5842 Год назад

    UDINI

  • @rashidsaid1199
    @rashidsaid1199 Год назад +1

    mlikuwa wapi mpaka sikuzote Leo ndio muonekane ? mmemuona Iyo mama nidhaifu ndio maana mnakutana nakupanga maneno.nyinyi mnavita na uislam na sivinginevyo.kama kweli nyingi niwachamungu lini mli tafuta pesa za maendeleo mkaikabidhi serekali.acheni serekali inaonua uzito wakuendesha nchi.mbona viongozi WA Dini wapo wengi Lakini hawana sema chochote nyinyi mnaonyesha kama kunakitu kitaharibika kwenu

    • @michaelkawito1883
      @michaelkawito1883 Год назад

      Huna unchaikijua, umekalia udini tuh

    • @dicksonkusaga
      @dicksonkusaga Год назад

      Kama unaona wanafaidi kutoa maoni yao nawe andaa tamuko lako ulitoe hadharani tulisikie.hujazuiliwa.

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 Год назад

      Kwa hiyo ni mkataba wa uislam na Tanzania? 😂😂😂😂😂

  • @kingayo4272
    @kingayo4272 Год назад +2

    Mama samia hana ubaya na hiyo bandari ila watanganyika wameutasfsiri vbya

    • @sr.merinernest4045
      @sr.merinernest4045 Год назад

      Ila wananchi wasikilizwe

    • @kingayo4272
      @kingayo4272 Год назад

      @@sr.merinernest4045 kwani hii serekani inamsikiliza mwanmchi

  • @maase2023
    @maase2023 Год назад +1

    Hawa maaskofu bandari na masuala ya uchumii yanawahusu vp hawa? Wao wahubiri dini mbn wanaingia ndani ya uchumi tena?😊

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Год назад +2

    Sisi tunautaka msitusingizie