THE CLASSIC MB DOGG PT 1 :NIMERUDI VITANI/NILIKUA RAPPER /LATIFA ALIKUWEPO AKANIVURUGA/JUMA NATURE
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Finally Mb Dogg is baack ,na amefika kwenye meza ya The Classic na kuweza kupiga stories na timu ya The Classic wakiongozwa na Jabir Saleh aka KUVICHAKA ,Mb Dogg amefunguka safari yake ya muziki kuanzia awali jinsi ambavyo alifanikiwa lakini hakupata kipato anachostahili na pia jinsi ambavyo anakosa mirabaha ya kazi zake licha ya kuzimiliki kisheria.
Hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi hayo
#theclassic #bongoflava #podcast #efmtanzania #mbdogg
Daaaah jamaa nikimuona tuu namkumbuka sana mpenzi wangu mmoja mitaaa ya Mburahati kwa sasa ni marehemu mungu amrehemu tulikuwa tukigombana najifanya kununa basi ananimbia nyimbo za jamaa na jamaa kipindi hicho wa woto sana noma, mtoto alikuwa na shepu moja ya kukimbiza sana halafu mtoto wa kiswahili flani hivi alinifanya nikawa najulikana kinoma mitaa ya Mburahati na wana kibao waliamini mie mtoto wa Mburahati. Mitaa ya home Magomeni naonekana usiku tu aiseee noma sana ujana ulikuwa nomaa sana i missing those days
DAH NOMA sana
Pole sana
Natamani nikuone sijui ntakuona vipi MB Dog ..love from Rwanda
mshikaji alikua anapenda sana kuja mombasa,nafurahi kukutana nae
Waooooo,nimeisubr sana hiii,dogy man,mb doggy my lovely big brother master🔥🔥🔥🔥
Kaka jabir big up sana kwa kipindi chako , ila watafute manzese crew pia
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu ndio alikuwa msanii wangu
Mmeua sana, lkn as I advised earlier.
Zikate ziwe clip fupi, fupi zipandishe.
Tuwape shauku watu waje twende sokoni.
Kuvifacts inatakiwa kuwa mbali sana.
Mb Dogg aliimurder sana Ina maana
My favorite artist
Prensenter upo vizuri sana.
Unyama saanaa
Bado yuko vizuri hajachoka kma berry white😂
Unyama mwingi sana
Jenga boy from Mbeya mwakalaleli big Mlete Jos mtambo 🎤 Mzee wa Michano Kuna hip hop na hip pah 😂😂
Konki konki sana
Part2 lin
Huyu jamaa mkali sana ila bado ana deni la mziki Fanya ngoma mzee
Tunaomba utuletee D'KNOB
Tunaomba / naomba na sisi hapa utuwekee na hizo ngoma ambazo hukatwa wanazipata waskizaji wa redio peke yao
zina haki miliki huwezi kuweka hapa
@@KuviFacts nakuelewa
R dj mbona mwili mkubwa sana punguza kula bhana
MSIFICHE MAMBO HAPO,,MAPENZI KITU GANI NDO ULIKUWA WIMBO WA WATU KUTONGOZEA,
Enzi hizo mwaka 2006 nyimbo ya latifa ilinibamba sana
Tafuta kazi ya kufanya vijana wa Sasa huwawez...wanapiga mapaty mfululu🤣🤣🤣
Huyu mwamba kilichofanya asiwe na maisha ni hao hao wakina Tifa….Ngoma kali, alipata mawe ila pisi kali zikapangusa wallet😂
Young killer msodoki vs Gee Mwamba freestyle session one 👉ruclips.net/video/txNU3kpJQ60/видео.html
Sasa mwanaum unasuka kweli halfu iwejee
Jinyonge
Kaka ushakua acha kusukasuka nywele mda umeenda wanao watajifunzanon kaka.kumbuka we islam
@kuvifacts fanya mpango wa jose mtambo
Jose mtambo is addicted na ulevi wa pombe asili uku kigamboni, akija apo atachoresha tu anatia aibu ss majirani zake tunaiona hali yake
✊🏿👮🏿