THE CLASSIC MB DOGG PT 1 :NIMERUDI VITANI/NILIKUA RAPPER /LATIFA ALIKUWEPO AKANIVURUGA/JUMA NATURE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Finally Mb Dogg is baack ,na amefika kwenye meza ya The Classic na kuweza kupiga stories na timu ya The Classic wakiongozwa na Jabir Saleh aka KUVICHAKA ,Mb Dogg amefunguka safari yake ya muziki kuanzia awali jinsi ambavyo alifanikiwa lakini hakupata kipato anachostahili na pia jinsi ambavyo anakosa mirabaha ya kazi zake licha ya kuzimiliki kisheria.
    Hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi hayo
    #theclassic #bongoflava #podcast #efmtanzania #mbdogg

Комментарии • 35

  • @Marjeby
    @Marjeby Год назад +9

    Daaaah jamaa nikimuona tuu namkumbuka sana mpenzi wangu mmoja mitaaa ya Mburahati kwa sasa ni marehemu mungu amrehemu tulikuwa tukigombana najifanya kununa basi ananimbia nyimbo za jamaa na jamaa kipindi hicho wa woto sana noma, mtoto alikuwa na shepu moja ya kukimbiza sana halafu mtoto wa kiswahili flani hivi alinifanya nikawa najulikana kinoma mitaa ya Mburahati na wana kibao waliamini mie mtoto wa Mburahati. Mitaa ya home Magomeni naonekana usiku tu aiseee noma sana ujana ulikuwa nomaa sana i missing those days

  • @OlivierKayige
    @OlivierKayige Год назад +1

    Natamani nikuone sijui ntakuona vipi MB Dog ..love from Rwanda

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Год назад +1

    mshikaji alikua anapenda sana kuja mombasa,nafurahi kukutana nae

  • @keydeemasinga6986
    @keydeemasinga6986 Год назад

    Waooooo,nimeisubr sana hiii,dogy man,mb doggy my lovely big brother master🔥🔥🔥🔥

  • @ramadhanjumayussuf6616
    @ramadhanjumayussuf6616 7 месяцев назад

    Kaka jabir big up sana kwa kipindi chako , ila watafute manzese crew pia

  • @kibakivideos
    @kibakivideos Год назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ibrahimzuberi-qd6uv
    @ibrahimzuberi-qd6uv Год назад +2

    Huyu ndio alikuwa msanii wangu

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 Год назад +1

    Mmeua sana, lkn as I advised earlier.
    Zikate ziwe clip fupi, fupi zipandishe.
    Tuwape shauku watu waje twende sokoni.
    Kuvifacts inatakiwa kuwa mbali sana.
    Mb Dogg aliimurder sana Ina maana

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 Год назад

    My favorite artist

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 Год назад

    Prensenter upo vizuri sana.

  • @givenswallo9951
    @givenswallo9951 Год назад

    Unyama saanaa

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 Год назад +1

    Bado yuko vizuri hajachoka kma berry white😂

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 Год назад

    Unyama mwingi sana

  • @jengadaudi-oe9wq
    @jengadaudi-oe9wq Год назад

    Jenga boy from Mbeya mwakalaleli big Mlete Jos mtambo 🎤 Mzee wa Michano Kuna hip hop na hip pah 😂😂

  • @silamnyama1642
    @silamnyama1642 Год назад

    Konki konki sana

  • @keydeemasinga6986
    @keydeemasinga6986 Год назад

    Part2 lin

  • @geofreymkwelele3588
    @geofreymkwelele3588 7 месяцев назад

    Huyu jamaa mkali sana ila bado ana deni la mziki Fanya ngoma mzee

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Год назад

    Tunaomba utuletee D'KNOB

  • @Alegria_doPovo
    @Alegria_doPovo Год назад

    Tunaomba / naomba na sisi hapa utuwekee na hizo ngoma ambazo hukatwa wanazipata waskizaji wa redio peke yao

  • @KELLYMFILINGE
    @KELLYMFILINGE Год назад

    R dj mbona mwili mkubwa sana punguza kula bhana

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад +1

    MSIFICHE MAMBO HAPO,,MAPENZI KITU GANI NDO ULIKUWA WIMBO WA WATU KUTONGOZEA,

  • @pauljosephtarimo2279
    @pauljosephtarimo2279 Год назад

    Enzi hizo mwaka 2006 nyimbo ya latifa ilinibamba sana

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Год назад

    Tafuta kazi ya kufanya vijana wa Sasa huwawez...wanapiga mapaty mfululu🤣🤣🤣

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Год назад

    Huyu mwamba kilichofanya asiwe na maisha ni hao hao wakina Tifa….Ngoma kali, alipata mawe ila pisi kali zikapangusa wallet😂

  • @mcgeemwamba9303
    @mcgeemwamba9303 Год назад

    Young killer msodoki vs Gee Mwamba freestyle session one 👉ruclips.net/video/txNU3kpJQ60/видео.html

  • @abdullyally59
    @abdullyally59 Год назад

    Sasa mwanaum unasuka kweli halfu iwejee

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 Год назад

    Kaka ushakua acha kusukasuka nywele mda umeenda wanao watajifunzanon kaka.kumbuka we islam

  • @Alegria_doPovo
    @Alegria_doPovo Год назад +1

    @kuvifacts fanya mpango wa jose mtambo

    • @harakationlinetv8224
      @harakationlinetv8224 Год назад

      Jose mtambo is addicted na ulevi wa pombe asili uku kigamboni, akija apo atachoresha tu anatia aibu ss majirani zake tunaiona hali yake

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 Год назад

    ✊🏿👮🏿