Shukran kwenu waandaaji wa kipindi kiukweli nimelizika na mmenitia moyo jatika kilimo #naomba kusaidiwa namna ya kupata mipila ya kumwagili kwa tone kama inawezekana
dada pliscala mimi ni mtanzania mwenzako mwenye ndoto kama ulizo nazo wewe na kupata utajiri kupitia shambani naomba unichek whatssap kwa ushauri my number is 0672446217
HONGERA SANA DADA NAOMBA MUWEKE NAMBA ZENU ILI TUWEZE WASILIANA NA NYIE TUPATE MWONGOZO KUNA WATU WENGI WANATAMANI KUWA KAMA WEWE TATIZO WAAZIE WAPI KAMA MIMI HAPA
Yani kilimo kinalipa tatizo ukienda kukopa kwa ajili ya kilimo ni ngum sanah kukuamin cha kufanya ushauri wangu kwako anza na kilimo cha garama ndogo apo apo utapata mtaji Mimi nimepitia njia hiyo
NAPENDA SANA KULIMA ,ILA JINSI YA KUPATA MTAJI NA MTAALAMU,MIMI NINA ARDHI LAKINI JINSI YA KUITUMIA NIPATE MTAJI,NIPO ARUSHA JIRANI NA CHUO CHA NELSON MANDELA,ANSAF MNATUSAIDIAJE
Hongera sana Mdada! haya mambo nimezoea kuyaona Mkulima young. I am very much impressed, keep it rolling!
HONGERA SANA PRISCILLA KAZI NZURI SANA IYO , NIMEPATA MWANGA NA MIMI NTAKUWA MKULIMA SOON.
Зулу
Mngane othandekayo! Isikhathi somusa siyaphela .. Ukuza kwesibili kukaKristu kusondela! Shesha kuJesu Kristu, ngokuphenduka nokukholwa. Uyakuthanda. UJesu uzokuthethelela zonke izono zakho. Uzokunikeza amandla okuqala konke kusuka ekuqaleni. Uzonikeza ithemba nenjabulo. Uzokusiza ekunqobeni inkinga yakho, upholise amanxeba akho, unikeze amandla okuthethelela izitha. Impilo!
Thandisisa ibhayibheli, iNkosi ngalo liyakhuluma mathupha nomuntu ngamunye!
16 “Ngoba uNkulunkulu walithanda izwe kangaka waze wanikela ngeNdodana yakhe ezelwe yodwa, ukuthi yilowo nalowo okholwa kuye angabhubhi, kodwa abe nokuphila okuphakade.” IVangeli likaJohane 3-16
"31 Base bethi:" Kholwa yiNkosi uJesu Kristu, uzosindiswa wena nendlu yakho yonke. "
Izenzo 16-31
Dada Tango umejitahidi....
Nataka kupata mawasiliano ya mkulugenz huyu pengne atanifunza meng zaid kwan me pia nataman kwanza ila sijui naaanzia wap
prisila uko juu sana nimekuadmire sana naomba number yako kwa ushauri zaidi number yangu ni 0767476060
Call me Leonard wambi from collage of Agriculture, continue for providing education to adult people
Mimi najiuliza maswli bila majibu kuna hoho nimeon kwenye grin haus Inaiva inakuw nyekundu ndo inachumwa je ndo kawaida au i nakosa soko
dada Prisila umenifundisha na pía ninania ya kufanya kilimo hiko hivyo nahitaji mesada wako pelase my NUMBER 0659709494
jambo jema, lakini sijaona what are the challenges facing her. mkituonyesha upande mmoja hivi ni kutunyima ukweli mtupu
Utamu wa ngoma ingia ucheze.
Huyo Mzee wa taha nimtu mvivu sana
garama za green hose moja ni tsh gapi? nainaukubwa gani
Jamani na Mimi natamani sana kujiingiza kwenye kilimo lakn changamoto ni mtaji
Umbali kati ya mche na mche wa tango
Shukran kwenu waandaaji wa kipindi kiukweli nimelizika na mmenitia moyo jatika kilimo #naomba kusaidiwa namna ya kupata mipila ya kumwagili kwa tone kama inawezekana
dada pliscala mimi ni mtanzania mwenzako mwenye ndoto kama ulizo nazo wewe na kupata utajiri kupitia shambani naomba unichek whatssap kwa ushauri my number is 0672446217
Ongera dada yetu hakika umetupa somo zuri yapswa kujfunza kupitia wewe
hongera saana ndugu kwa hatua kuubwa ya mafanikio ila pia napenda kuwapongeza saaana kwa kampuni za TAHA na BALTON Kwa kuwa karibu na wakulima
HONGERA SANA DADA NAOMBA MUWEKE NAMBA ZENU ILI TUWEZE WASILIANA NA NYIE TUPATE MWONGOZO KUNA WATU WENGI WANATAMANI KUWA KAMA WEWE TATIZO WAAZIE WAPI KAMA MIMI HAPA
Dada kwanza hongera sana pia samahani naomba no yako jamani
Dada naomba namba yako ya simu
Jamani napenda kulima lakini tatizo mtaji. Naombeni ushauri nifanyeje?
Yani kilimo kinalipa tatizo ukienda kukopa kwa ajili ya kilimo ni ngum sanah kukuamin cha kufanya ushauri wangu kwako anza na kilimo cha garama ndogo apo apo utapata mtaji Mimi nimepitia njia hiyo
Hongera sana,nami naomba kuwafahamu hao walio kufundisha,kwani nami napenda kilimo,my no 0717 020 868,pls nipigie
Nakupenda bure dada p
NAPENDA SANA KULIMA ,ILA JINSI YA KUPATA MTAJI NA MTAALAMU,MIMI NINA ARDHI LAKINI JINSI YA KUITUMIA NIPATE MTAJI,NIPO ARUSHA JIRANI NA CHUO CHA NELSON MANDELA,ANSAF MNATUSAIDIAJE
napenda sana kilimo.cha kuomba muweke na namba zenu.ili tuwacheki wa ndugu
Dada Priscilla naomba nipibeep kwa hii namba m mwenyewe mkulima tubadilishane mawazo
a good story like that of Priscilla makes me proud of my motherland Africa.
Nahitaji kuwa mkulima bora na nipo ktk kujenga greenhouse ya mboga.
umefikia wapi saivi
dada pricilla nicheki 0787657479 kwa ushauri
Prisila hongera
nipo marangu mkoani kilimanjaro naomba ushauri wenu tunaweza kulima matango ukanda wa marangu
Hongera sana, Priscilla nitafata nyayo
Dada unajuaje kuwa bidhaa hii itahitajika sokon katika msimu flan tafathali nisaidie kwa hilo plz
asanteni je mna shule ya kujifunza hapo tanzania`?
Congratulations sana Priscilla
Big up
Hongera sana Dada
duh congrats Dada big up
Kama unafuatilia comment plz naomba
All the best Priscilla Tango
Habari samahani naomba namba yako
Hongera unajitahidi mamake
Way to go Mate👏👏👏am Proud of you.
Mawasiliano tafadhali
Mwanasheria mwenga
munatumia mbolea ganni
How do you join TAHA
TAHA wanapatikana wapi
Mashallah
aise im on truck,nataka kufanya hii kitu
hongera sana,keep on growing.
Naomba ushauli mm Matango yangu yameingiwa u gpnjwa.mnjano