Priscilla Tango - Mkulima wa mboga mboga kutoka Arusha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Priscilla Tango ni muhitimu wa chuo kikuu mwenye shahada ya sheria aliyeamua kujitika kwenye kilimo biashara.

Комментарии • 56

  • @johnmacha2194
    @johnmacha2194 9 лет назад +3

    Hongera sana Mdada! haya mambo nimezoea kuyaona Mkulima young. I am very much impressed, keep it rolling!

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 7 лет назад +1

    HONGERA SANA PRISCILLA KAZI NZURI SANA IYO , NIMEPATA MWANGA NA MIMI NTAKUWA MKULIMA SOON.

  • @Сутьділа
    @Сутьділа 5 лет назад +1

    Зулу
    Mngane othandekayo! Isikhathi somusa siyaphela .. Ukuza kwesibili kukaKristu kusondela! Shesha kuJesu Kristu, ngokuphenduka nokukholwa. Uyakuthanda. UJesu uzokuthethelela zonke izono zakho. Uzokunikeza amandla okuqala konke kusuka ekuqaleni. Uzonikeza ithemba nenjabulo. Uzokusiza ekunqobeni inkinga yakho, upholise amanxeba akho, unikeze amandla okuthethelela izitha. Impilo!
    ‌Thandisisa ibhayibheli, iNkosi ngalo liyakhuluma mathupha nomuntu ngamunye!

    16 “Ngoba uNkulunkulu walithanda izwe kangaka waze wanikela ngeNdodana yakhe ezelwe yodwa, ukuthi yilowo nalowo okholwa kuye angabhubhi, kodwa abe nokuphila okuphakade.” IVangeli likaJohane 3-16
    "31 Base bethi:" Kholwa yiNkosi uJesu Kristu, uzosindiswa wena nendlu yakho yonke. "
    Izenzo 16-31

  • @hagaidaniel1158
    @hagaidaniel1158 4 года назад

    Dada Tango umejitahidi....

  • @daniellubango8175
    @daniellubango8175 4 года назад

    Nataka kupata mawasiliano ya mkulugenz huyu pengne atanifunza meng zaid kwan me pia nataman kwanza ila sijui naaanzia wap

  • @mrgkolongo1561
    @mrgkolongo1561 8 лет назад +1

    prisila uko juu sana nimekuadmire sana naomba number yako kwa ushauri zaidi number yangu ni 0767476060

  • @LeonardWambi-vl7zy
    @LeonardWambi-vl7zy Год назад

    Call me Leonard wambi from collage of Agriculture, continue for providing education to adult people

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад

    Mimi najiuliza maswli bila majibu kuna hoho nimeon kwenye grin haus Inaiva inakuw nyekundu ndo inachumwa je ndo kawaida au i nakosa soko

  • @evashuu1908
    @evashuu1908 7 лет назад +1

    dada Prisila umenifundisha na pía ninania ya kufanya kilimo hiko hivyo nahitaji mesada wako pelase my NUMBER 0659709494

  • @manasemwakagali9358
    @manasemwakagali9358 7 лет назад +2

    jambo jema, lakini sijaona what are the challenges facing her. mkituonyesha upande mmoja hivi ni kutunyima ukweli mtupu

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 Год назад

    Huyo Mzee wa taha nimtu mvivu sana

  • @stevenmsuya9583
    @stevenmsuya9583 6 лет назад +3

    garama za green hose moja ni tsh gapi? nainaukubwa gani

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 5 лет назад +1

    Jamani na Mimi natamani sana kujiingiza kwenye kilimo lakn changamoto ni mtaji

  • @venantmganga8870
    @venantmganga8870 2 года назад

    Umbali kati ya mche na mche wa tango

  • @sanifusimwanza9801
    @sanifusimwanza9801 5 лет назад +1

    Shukran kwenu waandaaji wa kipindi kiukweli nimelizika na mmenitia moyo jatika kilimo #naomba kusaidiwa namna ya kupata mipila ya kumwagili kwa tone kama inawezekana

  • @issasaidi1019
    @issasaidi1019 7 лет назад +1

    dada pliscala mimi ni mtanzania mwenzako mwenye ndoto kama ulizo nazo wewe na kupata utajiri kupitia shambani naomba unichek whatssap kwa ushauri my number is 0672446217

    • @johnlugano5027
      @johnlugano5027 6 лет назад

      Ongera dada yetu hakika umetupa somo zuri yapswa kujfunza kupitia wewe

  • @jamesaloyce491
    @jamesaloyce491 8 лет назад +1

    hongera saana ndugu kwa hatua kuubwa ya mafanikio ila pia napenda kuwapongeza saaana kwa kampuni za TAHA na BALTON Kwa kuwa karibu na wakulima

  • @malemacarson3189
    @malemacarson3189 7 лет назад +1

    HONGERA SANA DADA NAOMBA MUWEKE NAMBA ZENU ILI TUWEZE WASILIANA NA NYIE TUPATE MWONGOZO KUNA WATU WENGI WANATAMANI KUWA KAMA WEWE TATIZO WAAZIE WAPI KAMA MIMI HAPA

  • @miriamnjoka2786
    @miriamnjoka2786 6 лет назад +2

    Dada kwanza hongera sana pia samahani naomba no yako jamani

  • @neyhassanimsulwa4993
    @neyhassanimsulwa4993 3 года назад

    Dada naomba namba yako ya simu

  • @ezekielmtulichile8096
    @ezekielmtulichile8096 7 лет назад +3

    Jamani napenda kulima lakini tatizo mtaji. Naombeni ushauri nifanyeje?

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 4 года назад +1

      Yani kilimo kinalipa tatizo ukienda kukopa kwa ajili ya kilimo ni ngum sanah kukuamin cha kufanya ushauri wangu kwako anza na kilimo cha garama ndogo apo apo utapata mtaji Mimi nimepitia njia hiyo

  • @rahmarahma6259
    @rahmarahma6259 4 года назад

    Hongera sana,nami naomba kuwafahamu hao walio kufundisha,kwani nami napenda kilimo,my no 0717 020 868,pls nipigie

  • @pricpric1686
    @pricpric1686 3 года назад

    Nakupenda bure dada p

  • @lemameasi1723
    @lemameasi1723 4 года назад

    NAPENDA SANA KULIMA ,ILA JINSI YA KUPATA MTAJI NA MTAALAMU,MIMI NINA ARDHI LAKINI JINSI YA KUITUMIA NIPATE MTAJI,NIPO ARUSHA JIRANI NA CHUO CHA NELSON MANDELA,ANSAF MNATUSAIDIAJE

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum833 7 лет назад +1

    napenda sana kilimo.cha kuomba muweke na namba zenu.ili tuwacheki wa ndugu

  • @emanuelmwalukasa7723
    @emanuelmwalukasa7723 5 лет назад

    Dada Priscilla naomba nipibeep kwa hii namba m mwenyewe mkulima tubadilishane mawazo

  • @orinakhocha
    @orinakhocha 8 лет назад +1

    a good story like that of Priscilla makes me proud of my motherland Africa.

  • @webpeter3460
    @webpeter3460 8 лет назад +1

    Nahitaji kuwa mkulima bora na nipo ktk kujenga greenhouse ya mboga.

  • @marygabriel6657
    @marygabriel6657 8 лет назад +1

    dada pricilla nicheki 0787657479 kwa ushauri

  • @shaneliakaro8322
    @shaneliakaro8322 5 лет назад

    nipo marangu mkoani kilimanjaro naomba ushauri wenu tunaweza kulima matango ukanda wa marangu

  • @michaelmbelwa9813
    @michaelmbelwa9813 7 лет назад +1

    Hongera sana, Priscilla nitafata nyayo

  • @sarahlaban5219
    @sarahlaban5219 5 лет назад

    Dada unajuaje kuwa bidhaa hii itahitajika sokon katika msimu flan tafathali nisaidie kwa hilo plz

  • @christde1
    @christde1 6 лет назад +1

    asanteni je mna shule ya kujifunza hapo tanzania`?

  • @aristarik20031
    @aristarik20031 8 лет назад +1

    Congratulations sana Priscilla
    Big up

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 5 лет назад +1

    Hongera sana Dada

  • @giftnjau8390
    @giftnjau8390 8 лет назад +1

    duh congrats Dada big up

  • @daniellubango8175
    @daniellubango8175 4 года назад

    Kama unafuatilia comment plz naomba

  • @fatmawakanai3463
    @fatmawakanai3463 8 лет назад +1

    All the best Priscilla Tango

  • @dawayakuzuiyanywelekukatik6825
    @dawayakuzuiyanywelekukatik6825 5 лет назад

    Hongera unajitahidi mamake

  • @johariswai5556
    @johariswai5556 4 года назад

    Way to go Mate👏👏👏am Proud of you.

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 4 года назад

    Mawasiliano tafadhali

  • @Isack_Leo
    @Isack_Leo 4 года назад

    Mwanasheria mwenga

  • @saidamourali2924
    @saidamourali2924 5 лет назад

    munatumia mbolea ganni

  • @magrethshao1841
    @magrethshao1841 4 года назад

    How do you join TAHA

  • @khamissnassor1462
    @khamissnassor1462 5 лет назад

    TAHA wanapatikana wapi

  • @dareenali6086
    @dareenali6086 4 года назад

    Mashallah

  • @danielpatrickrobert125
    @danielpatrickrobert125 9 лет назад +1

    aise im on truck,nataka kufanya hii kitu

  • @paschalmpenzwa1770
    @paschalmpenzwa1770 6 лет назад

    Naomba ushauli mm Matango yangu yameingiwa u gpnjwa.mnjano