MWAMPOSA ATAJWA BUNGENI SAKATA LA MAPENZI YA JINSIA MOJA - "WAZIRI HATUMUELEWI, HAJATOA KAULI YAKE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 254

  • @sekelagatusekelege9325
    @sekelagatusekelege9325 Год назад +5

    Kichwa cha habari ni tofauti na uhalisia.Mwandishi kuwa na nidhamu unapoongelea Watumishi wa Mungu kwa mrengo wa kutoa sintofahamu kwa wasomaji.

  • @purityneema218
    @purityneema218 Год назад +8

    Mtume mwamposa mungu azidi kukutumia ❤️🇰🇪🇰🇪

  • @marymolel800
    @marymolel800 Год назад +3

    Asante kwa kumtaja mtume wetu mwamposa mungu azid kumwinua

  • @PamelaJonas-dh6lg
    @PamelaJonas-dh6lg Год назад +1

    Watu wanapenda kujitaftia laana yani kichwa cha habari ni tofauti na maneno yalozungumzwa wacheni kuchafua watumishi wa mungu

  • @marymary8313
    @marymary8313 Год назад +9

    Asante sana mtumisi mwamposa mungu aendelee kumuongeza masiku 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @RoseMalya
    @RoseMalya 11 месяцев назад

    Mungu akulinde na kukutunza Mtumishi

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Год назад +9

    Inuka uangaze! mwamposa❤❤❤

  • @AminaRashid-hq9ez
    @AminaRashid-hq9ez Год назад +16

    Mwamposa Mungu akuweke miaka yote❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mamafetty8778
    @mamafetty8778 Год назад

    Mwamposa Oyeeee pamoja na viongozi wote wa dini Mungu awabariki mno

  • @RevinaMomo-nw2zh
    @RevinaMomo-nw2zh Год назад

    Mwamposa tunakupenda sana unazidi kutusaidia Mungu akutumie mara dufu

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Год назад +28

    Mama hongera sana, kumbe na wewe unaendaga kukanyaga mafuta kwa Mwamposa!

  • @BehathaThadeo
    @BehathaThadeo Месяц назад

    Asante mama maua kwa bldozaaa❤❤❤❤

  • @roseneemamassawe-gv7oq
    @roseneemamassawe-gv7oq Год назад +3

    Mwamposa for life,Mungu akubariki umefanyika baraka kwangu,hakika nmeuona mkono wa Mungu maishan mwangu

    • @pamelamauki4209
      @pamelamauki4209 Год назад

      Sheria ipo sikunyingi sana! Utekelezaji tuu unatakiwa. Kwamujibu wa lisu

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Год назад

    Mungu aendelee kumuinua daima mtumishi wetu ❤❤

  • @BettyMsongole
    @BettyMsongole 6 месяцев назад

    Amina

  • @jullybonzo3011
    @jullybonzo3011 Год назад +7

    Mwamposa❤❤❤

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 Год назад +21

    Ni vema Sheria hiyo ya mmomonyoko iguse Sekta ya Muziki ( Music Industry ). Inatuharibia sana kizazi kijacho.

  • @jacklinebenjamine3936
    @jacklinebenjamine3936 Год назад +3

    Mungu tu atusaidie

  • @ElicaKimande-lj1ky
    @ElicaKimande-lj1ky Год назад

    Nampenda sana mtume mwamposa Kwa upendo wake Kwa wananchi napia nimpongeze Kwa mafundisho ya neno la Mungu kiukweli Mungu amuweke miaka mingi sana mtume mwamposa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jacobomnyaga
    @jacobomnyaga Год назад +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu Kwa kukemea mapenzi ya jinsia moja

  • @raheliedward6091
    @raheliedward6091 Год назад +5

    Arise & shine

  • @PhinnerKimaro-hn1se
    @PhinnerKimaro-hn1se Год назад

    Amen mungu akubaliki

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Год назад +9

    Safi sana dada yangu

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Год назад +2

    Muziki unaharibu Sana watoto watu wanacheza uchi muziki gani huo da Kaz kweli kweli

  • @bornkilla6173
    @bornkilla6173 Год назад +5

    Mwamposaaaa ❤

  • @enelybukuku6902
    @enelybukuku6902 Год назад +1

    Amina mama mungu akubark sana

  • @asnathmwaipopo6877
    @asnathmwaipopo6877 Год назад

    MUNGU ambariki sana 🙏🙏

  • @happinessmasimban
    @happinessmasimban Год назад +22

    Abarikiweee mwamposaaa😍😍 kma unaungana namm pita na like apoo

  • @Gaudencia-wc8jc
    @Gaudencia-wc8jc Год назад

    Asnt sn mtumishi mwamposa mungu akutie nguvu🙏

  • @JasmineSaleem-x3q
    @JasmineSaleem-x3q Год назад

    Mungu akutunze❤

  • @protasmathias5064
    @protasmathias5064 Год назад +5

    A man of God, Mwamposaa.

  • @DominiciusRweyemamu
    @DominiciusRweyemamu Год назад

    Fire

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад

    Ameeeeeni

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Год назад

    Safi sana mtumishi

  • @mezddimosso3318
    @mezddimosso3318 Год назад +4

    Mungu wangu

  • @elizabethmgimba
    @elizabethmgimba Год назад

    We 💕💕💕💕 you babaetu mwa mposa tuna kupenda my daddy I love you

  • @misosikonki
    @misosikonki Год назад +4

    Mungu atusaidie tu kwakweli!

  • @kenethcostantine8978
    @kenethcostantine8978 Год назад

    Mungu amzidishie ampe maisha marefu bulldozzer

  • @margaretmkangala7774
    @margaretmkangala7774 Год назад +1

    Hongera Kwa kukaripia na kukemea maovu

  • @SulleymanRamadhan-vm1jg
    @SulleymanRamadhan-vm1jg Год назад

    Duh jamani

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Год назад

    Safi mbunge Mungu akubaliki sana

  • @bonifasithomas7523
    @bonifasithomas7523 Год назад

    Amen mtume wangu

  • @zaym7769
    @zaym7769 Год назад +3

    Mama hongera sana. Hata sisi hatuwaelewi baadhi ya viongozi wako kimya kwanini? Wanamuogopa nani???

    • @zulfasaeed7445
      @zulfasaeed7445 Год назад

      Wakubwa wa nch wengi wapo kimyaaaaa yan hatariii hii kwakweli

  • @wardakangezi6942
    @wardakangezi6942 Год назад

    Safi sana

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 Год назад +1

    Mwamposa good bless mueshimiwa

  • @rejius11
    @rejius11 Год назад +1

    Mbn hamtengenezi sheria za kuwabana mafisadi wala ela za umma

  • @aminaaminamayalla3308
    @aminaaminamayalla3308 Год назад +1

    Mi naona kila mtu alinde tako lake , na ulinzi ni kumuogopa mungu, na kesho yako akhera basi, hizi zingine ni kelele, wenye kazi zao wanatusonya

  • @iddymbuma2856
    @iddymbuma2856 Год назад +9

    Wamama na mwamposa dam dam

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Год назад +3

    Waziri viipi! Mbona hukemei jambo hiliii? Hatukuelewi ujue!

  • @expert5898
    @expert5898 Год назад +66

    Ila wazungu ni wajanja sana! Maana ujanja wanaotumia hapa ni kufanya jambo hilo liongelewe sana hata kama ni kwa kupinga... linapokuwa linaongelewa sana linapigiwa promo kidogokidogo. Ndiomaana sasa hivi limeibukia sana kuongelewa, saikolojia iko hivi; mtu akiwa hataki kufanya kitu flani huku anaongea saaana! Ujue atakubali, ila akisema HAPANA halafu akakaa kimya ujue huyo mtu kamaanisha.

    • @EbondoSounds
      @EbondoSounds Год назад +9

      As a Psychologist nakubali

    • @benardmwigulu7091
      @benardmwigulu7091 Год назад +1

      Psychology ya chuo gani hiyo? Magogoni au

    • @expert5898
      @expert5898 Год назад +5

      @@benardmwigulu7091 we umekaririshwa knowledge zinapatikana chuo tu... akili mgando.

    • @abelsonda4486
      @abelsonda4486 Год назад +5

      You're very smart!

    • @benardmwigulu7091
      @benardmwigulu7091 Год назад +3

      Et wanapsychology mtuache bana na elimu uchwara zenu acha watu waukemee ushoga hapa Nchini wasiposema aseme nani wasomi wengne bna😁

  • @geeoutfitdesgner
    @geeoutfitdesgner Год назад +1

    Ariseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee👏👏👏 mtume mwamposa mungu amuweke milele daima...hongera Sana mama kwa kuliona ili

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Год назад +5

    Wanaacha kutunga sheria wanabogoma bogoma kiboya, fuateni nyayo za shujaa "yoweri kaguta museveni"

  • @beyondmediatz1607
    @beyondmediatz1607 Год назад +7

    Mmmh mbona kama anamkata mama asimalizie, hawa wote lao moja

    • @yuzolugata4204
      @yuzolugata4204 Год назад

      Angemuacha amalize kuongea. Itakuw limemuum wotw lao moja

  • @Gian_all_updates
    @Gian_all_updates Год назад

    👏

  • @josephinelwamlema7331
    @josephinelwamlema7331 Год назад +1

    Amina tutapona..mwamboeni na huyo Diamond aache kupost mashoga allaaa

  • @TumainiJohnibrah-bn6vg
    @TumainiJohnibrah-bn6vg Год назад

    Freedom TV

  • @rosepallangyo1352
    @rosepallangyo1352 Год назад

    Poleni sana maana uyo uyoo anawangonga pongezeni tuu waenezaji wa roho

  • @jumamavind7713
    @jumamavind7713 Год назад +1

    Mm ninavyo fahamu sauti yakukataa maovu inamsisitizo namkazo wake nikiangalia kwenye upande wa mhimili wanchi naona kama kuna mzaha mzaha naswslala hilo kunanini ndani yake?

  • @serafinamalecela4728
    @serafinamalecela4728 Год назад

    Wa mama wanaosali kwa mwamposaa hapaaaaaa tutawaonaaa

  • @mbegambega9705
    @mbegambega9705 Год назад +1

    Mm naomba mucopy mswada wa sheria wa uganda na kila kata kuwe na kikosi maalum cha kufanya operation hiyo ushoga mbona utaisha tu .hata mtaani kwetu hapa kuna wakaka wanatembea wanakata viuno sijui mm jamani kaaaa

  • @ahazimalave8160
    @ahazimalave8160 Год назад +2

    Wapiiiii wazir

  • @GAODANIBOYCROWN8767
    @GAODANIBOYCROWN8767 Год назад

    Hiyo kweli

    • @kenethkayuni8658
      @kenethkayuni8658 Год назад

      Inuka uangaze Mwamposa songa mbele watu tuna pona haturudi nyuma, kazi kuongeaongea tu mnaishinao humohumo mnawaangalia tu alafu mnapiga kelele tu sheria mnazo

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 Год назад +3

    Ahsante mungu majibu hivi punde yatajibiwa jamani hatuuishi kulia kwa uchungu na mungukasimame

  • @Ben_kino
    @Ben_kino Год назад +16

    Mwamposaaaaaaaaaaa

  • @jumasongoro7607
    @jumasongoro7607 Год назад

    Ushoga haukubalik kabisa ni kinyume cha maumbile ya mwanadamu mungu atuepushie

  • @juniorjuma-mh7ie
    @juniorjuma-mh7ie Год назад

    Amen

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 Год назад

    Buldoza❤❤❤ natamani siku aje wasafi apo

  • @BahatMwakapiso-rh9lx
    @BahatMwakapiso-rh9lx Год назад

    Amen 🙏🙏

  • @shekinahrevivalinternation6614

    Kweli kabisa

  • @GIFTMICHAEL580
    @GIFTMICHAEL580 Год назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    🙌🏿

  • @prophetessmarylight434
    @prophetessmarylight434 Год назад +1

    Mimi nazani pia hizi nyimbo ambazo zimevuka mipaka ya kimaadili nazo ziangaliwe kwasababu jambo lolote ambalo alikokimaadili linaweza likawa ni chanzo cha vijana wetu kuharibikiwa .........
    Mavazi yanayovaliwa , tenzi au mashairi zinazotungwa . Tunaweza tukawaonyeshea wazungu Sana vidole ...kumbe tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe
    Ukiona moshi jua moto unafuata.

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 Год назад +1

    Sheria zipo na zinakataza ushoga hasa tunachohangaika kupiga kelele ni nini kama si uwebdawazimu! Muingireza ndiye alitunga sheria kuzuia ushoga hapa tunasema tunalaximisjwa, hakuna mzungu alikuja Tz akasema kubalini ushoga

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад

    Kabisa waziri mwenye dhamana akuje kemea mama hili jambo

  • @AshuraRamazan
    @AshuraRamazan Год назад +1

    Rayvanny

  • @sekelagatusekelege9325
    @sekelagatusekelege9325 Год назад +2

    Mungu azidi kumuinua mtumishi huyu kwani amekuwa ni msaada mkubwa sana.

  • @briella6899
    @briella6899 Год назад +4

    Bulldozer weeeee🙌🙌🙌🙌

  • @stephensengo6877
    @stephensengo6877 Год назад

    Kweli weka Sheria ngumu yenye macho

  • @IbrahimMwakasembe-mu5fv
    @IbrahimMwakasembe-mu5fv Год назад +9

    Naunga mkono hoja, tuache porojo itungwe Sheria. Na iyo ndo dawa

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Год назад +1

    Hamjaweka Sheria wafanyweje km Uganda ilivyoiweka Sheria kelele Cha ushoga tunapiga kelele tuu lakini sijaona hatua iliyoanza kufanyiwa kazi ni maneno tuu tutafika Mahali km hatua hazijachukuliwa na serikali hiyo hali ya ushoga itaendelea hamjasema wakamatwe Wala nini tunamumunya tuu maneno na hiyo makamu rais WA marekani na mkurugenzi WA ushoga mbona hamjatuambia Tanzania alifata nini? Na mlikubalia nini?

  • @194summer
    @194summer Год назад +1

    Shetani atamtoaje shetani mwezake??(mwamposa)

  • @hashimahashimu7366
    @hashimahashimu7366 Год назад +1

    Nyiee kweli wapuuz itengenezwe sheria wakat sheria ipo toka mwaka 1934 na imefanyiwa marekebisho na kuwekewa mkazo mwaka 1998 alafu leo hii mnaleta projo

  • @KulwaKaboja-wm3ru
    @KulwaKaboja-wm3ru Год назад

    Arise and shine Tanzania azam max channel no.117

  • @paschalhaishi863
    @paschalhaishi863 Год назад +1

    Hii inchi imeshakuwa ya hovyo,kiongozi mwenye dhamana kakaa kimnya,na Raisi nae anatafuna tafuna maneno

  • @ElicaKimande-lj1ky
    @ElicaKimande-lj1ky Год назад

    Nikweli kabisa mama viongozi wote mbarikiwe Kwa kukemea izo tabia mbaya zinazoendelea

  • @jackobowilson-ec7dc
    @jackobowilson-ec7dc Год назад

    Hii hatarii sana

  • @KulwaKaboja-wm3ru
    @KulwaKaboja-wm3ru Год назад

    Azam max

  • @joevang4685
    @joevang4685 Год назад

    Waziri kimya

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Год назад

    Khaaaaaa!!!Kumbe muheshimiwa Waziri hajaongeleaga chochote jamani? Aaaàaaaaaaaa....

  • @rockentermentinc5880
    @rockentermentinc5880 Год назад +2

    Acheni ujinga mnakazana Sheria ya madili na vipi wabadhilifu wa mali za Uma acheni kutafuta trending

  • @byoseasolokoci7257
    @byoseasolokoci7257 Год назад +3

    Kanzi mzuri

  • @Jonas-kk4bh
    @Jonas-kk4bh Год назад +1

    Ukiona Kimya kwa waziri ujue Raisi yuko nyuma yake

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Год назад +1

    Nawasalim Kwa katiba ya Jamhur ya muungano kazi iyendelee maneno mengi tu hakuna jipya ivi hamjajifunza Kipitia Uganda nyinyi kaeni mpitishe uchunguzi hata na wao wako imara Zaid yenu na Kwa vile wamesha ona mambo yapo moto basi hujipanga Zaid hemu kueni wazi Kwan Kuna nn mpaka mkashindwa kupiga kura ya ndio huko bungeni mbona mnatuvuga hili sijambo la uchunguzi

  • @annamadavid4152
    @annamadavid4152 Год назад +5

    Hapo nimekuelewaa kidogo niwe nnje ya head line,

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Год назад

    🤔🤔

  • @mchinamchinaboy7056
    @mchinamchinaboy7056 Год назад

    Ushoga uwo kwann msikeme awo walio kubali wasikemewe

  • @kambonamahmadoo6814
    @kambonamahmadoo6814 Год назад +1

    Huyo waziri ndie mshikilia dhamana ya laana hiyo

  • @maryhaule6448
    @maryhaule6448 Год назад

    Mwamposa hoyeeee

  • @TabuCharles-vc3gk
    @TabuCharles-vc3gk Год назад

    Wazungu daa

  • @healingclinic978
    @healingclinic978 Год назад +1

    Hamkuwa na sababu ya kuanza kupendekeza kutunga sheria kwa serikali ya kujali watu ilitakiwa bunge liwe na kikao cha dharura litunge Sheria Kali ya kushughulikia ushoga