Nampenda sana mtume mwamposa Kwa upendo wake Kwa wananchi napia nimpongeze Kwa mafundisho ya neno la Mungu kiukweli Mungu amuweke miaka mingi sana mtume mwamposa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ila wazungu ni wajanja sana! Maana ujanja wanaotumia hapa ni kufanya jambo hilo liongelewe sana hata kama ni kwa kupinga... linapokuwa linaongelewa sana linapigiwa promo kidogokidogo. Ndiomaana sasa hivi limeibukia sana kuongelewa, saikolojia iko hivi; mtu akiwa hataki kufanya kitu flani huku anaongea saaana! Ujue atakubali, ila akisema HAPANA halafu akakaa kimya ujue huyo mtu kamaanisha.
Mm ninavyo fahamu sauti yakukataa maovu inamsisitizo namkazo wake nikiangalia kwenye upande wa mhimili wanchi naona kama kuna mzaha mzaha naswslala hilo kunanini ndani yake?
Mm naomba mucopy mswada wa sheria wa uganda na kila kata kuwe na kikosi maalum cha kufanya operation hiyo ushoga mbona utaisha tu .hata mtaani kwetu hapa kuna wakaka wanatembea wanakata viuno sijui mm jamani kaaaa
Inuka uangaze Mwamposa songa mbele watu tuna pona haturudi nyuma, kazi kuongeaongea tu mnaishinao humohumo mnawaangalia tu alafu mnapiga kelele tu sheria mnazo
Mimi nazani pia hizi nyimbo ambazo zimevuka mipaka ya kimaadili nazo ziangaliwe kwasababu jambo lolote ambalo alikokimaadili linaweza likawa ni chanzo cha vijana wetu kuharibikiwa ......... Mavazi yanayovaliwa , tenzi au mashairi zinazotungwa . Tunaweza tukawaonyeshea wazungu Sana vidole ...kumbe tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe Ukiona moshi jua moto unafuata.
Sheria zipo na zinakataza ushoga hasa tunachohangaika kupiga kelele ni nini kama si uwebdawazimu! Muingireza ndiye alitunga sheria kuzuia ushoga hapa tunasema tunalaximisjwa, hakuna mzungu alikuja Tz akasema kubalini ushoga
Hamjaweka Sheria wafanyweje km Uganda ilivyoiweka Sheria kelele Cha ushoga tunapiga kelele tuu lakini sijaona hatua iliyoanza kufanyiwa kazi ni maneno tuu tutafika Mahali km hatua hazijachukuliwa na serikali hiyo hali ya ushoga itaendelea hamjasema wakamatwe Wala nini tunamumunya tuu maneno na hiyo makamu rais WA marekani na mkurugenzi WA ushoga mbona hamjatuambia Tanzania alifata nini? Na mlikubalia nini?
Nyiee kweli wapuuz itengenezwe sheria wakat sheria ipo toka mwaka 1934 na imefanyiwa marekebisho na kuwekewa mkazo mwaka 1998 alafu leo hii mnaleta projo
Nawasalim Kwa katiba ya Jamhur ya muungano kazi iyendelee maneno mengi tu hakuna jipya ivi hamjajifunza Kipitia Uganda nyinyi kaeni mpitishe uchunguzi hata na wao wako imara Zaid yenu na Kwa vile wamesha ona mambo yapo moto basi hujipanga Zaid hemu kueni wazi Kwan Kuna nn mpaka mkashindwa kupiga kura ya ndio huko bungeni mbona mnatuvuga hili sijambo la uchunguzi
Hamkuwa na sababu ya kuanza kupendekeza kutunga sheria kwa serikali ya kujali watu ilitakiwa bunge liwe na kikao cha dharura litunge Sheria Kali ya kushughulikia ushoga
Kichwa cha habari ni tofauti na uhalisia.Mwandishi kuwa na nidhamu unapoongelea Watumishi wa Mungu kwa mrengo wa kutoa sintofahamu kwa wasomaji.
Mtume mwamposa mungu azidi kukutumia ❤️🇰🇪🇰🇪
Asante kwa kumtaja mtume wetu mwamposa mungu azid kumwinua
Watu wanapenda kujitaftia laana yani kichwa cha habari ni tofauti na maneno yalozungumzwa wacheni kuchafua watumishi wa mungu
Asante sana mtumisi mwamposa mungu aendelee kumuongeza masiku 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akulinde na kukutunza Mtumishi
Inuka uangaze! mwamposa❤❤❤
Mwamposa Mungu akuweke miaka yote❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwamposa Oyeeee pamoja na viongozi wote wa dini Mungu awabariki mno
Mwamposa tunakupenda sana unazidi kutusaidia Mungu akutumie mara dufu
Mama hongera sana, kumbe na wewe unaendaga kukanyaga mafuta kwa Mwamposa!
Kwani kuna shida Gani akikanyaga mafuta ,,,kwani ni uchawi au ,,,,acheni mambo yenu ,,,,,,,,
Kwani kuna shida gani
😂😂😂😂😂
😂😂😂 kwakweli
Asante mama maua kwa bldozaaa❤❤❤❤
Mwamposa for life,Mungu akubariki umefanyika baraka kwangu,hakika nmeuona mkono wa Mungu maishan mwangu
Sheria ipo sikunyingi sana! Utekelezaji tuu unatakiwa. Kwamujibu wa lisu
Mungu aendelee kumuinua daima mtumishi wetu ❤❤
Amina
Mwamposa❤❤❤
Ni vema Sheria hiyo ya mmomonyoko iguse Sekta ya Muziki ( Music Industry ). Inatuharibia sana kizazi kijacho.
Ubarikiwe mama
Una fikira pana
Kaka hongera kwa kuliona ilo hyo ndio sekta namba moja kwa mambo ya ovyo ovyo
Mungu tu atusaidie
Nampenda sana mtume mwamposa Kwa upendo wake Kwa wananchi napia nimpongeze Kwa mafundisho ya neno la Mungu kiukweli Mungu amuweke miaka mingi sana mtume mwamposa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mwamposa
Azam max mwamposa
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu Kwa kukemea mapenzi ya jinsia moja
Arise & shine
Amen mungu akubaliki
Safi sana dada yangu
Muziki unaharibu Sana watoto watu wanacheza uchi muziki gani huo da Kaz kweli kweli
Mwamposaaaa ❤
Amina mama mungu akubark sana
MUNGU ambariki sana 🙏🙏
Abarikiweee mwamposaaa😍😍 kma unaungana namm pita na like apoo
Asnt sn mtumishi mwamposa mungu akutie nguvu🙏
Mungu akutunze❤
A man of God, Mwamposaa.
Fire
Ameeeeeni
Safi sana mtumishi
Mungu wangu
We 💕💕💕💕 you babaetu mwa mposa tuna kupenda my daddy I love you
Mungu atusaidie tu kwakweli!
Mungu amzidishie ampe maisha marefu bulldozzer
Hongera Kwa kukaripia na kukemea maovu
Duh jamani
Safi mbunge Mungu akubaliki sana
Amen mtume wangu
Mama hongera sana. Hata sisi hatuwaelewi baadhi ya viongozi wako kimya kwanini? Wanamuogopa nani???
Wakubwa wa nch wengi wapo kimyaaaaa yan hatariii hii kwakweli
Safi sana
Mwamposa good bless mueshimiwa
Mbn hamtengenezi sheria za kuwabana mafisadi wala ela za umma
Mi naona kila mtu alinde tako lake , na ulinzi ni kumuogopa mungu, na kesho yako akhera basi, hizi zingine ni kelele, wenye kazi zao wanatusonya
Wamama na mwamposa dam dam
Hatari sana 🤣
Waziri viipi! Mbona hukemei jambo hiliii? Hatukuelewi ujue!
Ila wazungu ni wajanja sana! Maana ujanja wanaotumia hapa ni kufanya jambo hilo liongelewe sana hata kama ni kwa kupinga... linapokuwa linaongelewa sana linapigiwa promo kidogokidogo. Ndiomaana sasa hivi limeibukia sana kuongelewa, saikolojia iko hivi; mtu akiwa hataki kufanya kitu flani huku anaongea saaana! Ujue atakubali, ila akisema HAPANA halafu akakaa kimya ujue huyo mtu kamaanisha.
As a Psychologist nakubali
Psychology ya chuo gani hiyo? Magogoni au
@@benardmwigulu7091 we umekaririshwa knowledge zinapatikana chuo tu... akili mgando.
You're very smart!
Et wanapsychology mtuache bana na elimu uchwara zenu acha watu waukemee ushoga hapa Nchini wasiposema aseme nani wasomi wengne bna😁
Ariseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee👏👏👏 mtume mwamposa mungu amuweke milele daima...hongera Sana mama kwa kuliona ili
Wanaacha kutunga sheria wanabogoma bogoma kiboya, fuateni nyayo za shujaa "yoweri kaguta museveni"
Mmmh mbona kama anamkata mama asimalizie, hawa wote lao moja
Angemuacha amalize kuongea. Itakuw limemuum wotw lao moja
👏
Amina tutapona..mwamboeni na huyo Diamond aache kupost mashoga allaaa
Freedom TV
Poleni sana maana uyo uyoo anawangonga pongezeni tuu waenezaji wa roho
Mm ninavyo fahamu sauti yakukataa maovu inamsisitizo namkazo wake nikiangalia kwenye upande wa mhimili wanchi naona kama kuna mzaha mzaha naswslala hilo kunanini ndani yake?
Wa mama wanaosali kwa mwamposaa hapaaaaaa tutawaonaaa
Mm naomba mucopy mswada wa sheria wa uganda na kila kata kuwe na kikosi maalum cha kufanya operation hiyo ushoga mbona utaisha tu .hata mtaani kwetu hapa kuna wakaka wanatembea wanakata viuno sijui mm jamani kaaaa
Wapiiiii wazir
Ubarikiwe dada
Hiyo kweli
Inuka uangaze Mwamposa songa mbele watu tuna pona haturudi nyuma, kazi kuongeaongea tu mnaishinao humohumo mnawaangalia tu alafu mnapiga kelele tu sheria mnazo
Ahsante mungu majibu hivi punde yatajibiwa jamani hatuuishi kulia kwa uchungu na mungukasimame
Mama uko vizuri sana
Mwamposaaaaaaaaaaa
Ushoga haukubalik kabisa ni kinyume cha maumbile ya mwanadamu mungu atuepushie
Amen
Buldoza❤❤❤ natamani siku aje wasafi apo
Amen 🙏🙏
Kweli kabisa
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
🙌🏿
Mimi nazani pia hizi nyimbo ambazo zimevuka mipaka ya kimaadili nazo ziangaliwe kwasababu jambo lolote ambalo alikokimaadili linaweza likawa ni chanzo cha vijana wetu kuharibikiwa .........
Mavazi yanayovaliwa , tenzi au mashairi zinazotungwa . Tunaweza tukawaonyeshea wazungu Sana vidole ...kumbe tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe
Ukiona moshi jua moto unafuata.
Sheria zipo na zinakataza ushoga hasa tunachohangaika kupiga kelele ni nini kama si uwebdawazimu! Muingireza ndiye alitunga sheria kuzuia ushoga hapa tunasema tunalaximisjwa, hakuna mzungu alikuja Tz akasema kubalini ushoga
Kabisa waziri mwenye dhamana akuje kemea mama hili jambo
Rayvanny
Mungu azidi kumuinua mtumishi huyu kwani amekuwa ni msaada mkubwa sana.
Bulldozer weeeee🙌🙌🙌🙌
Kweli weka Sheria ngumu yenye macho
Naunga mkono hoja, tuache porojo itungwe Sheria. Na iyo ndo dawa
Hamjaweka Sheria wafanyweje km Uganda ilivyoiweka Sheria kelele Cha ushoga tunapiga kelele tuu lakini sijaona hatua iliyoanza kufanyiwa kazi ni maneno tuu tutafika Mahali km hatua hazijachukuliwa na serikali hiyo hali ya ushoga itaendelea hamjasema wakamatwe Wala nini tunamumunya tuu maneno na hiyo makamu rais WA marekani na mkurugenzi WA ushoga mbona hamjatuambia Tanzania alifata nini? Na mlikubalia nini?
Shetani atamtoaje shetani mwezake??(mwamposa)
Nyiee kweli wapuuz itengenezwe sheria wakat sheria ipo toka mwaka 1934 na imefanyiwa marekebisho na kuwekewa mkazo mwaka 1998 alafu leo hii mnaleta projo
Arise and shine Tanzania azam max channel no.117
Hii inchi imeshakuwa ya hovyo,kiongozi mwenye dhamana kakaa kimnya,na Raisi nae anatafuna tafuna maneno
Nikweli kabisa mama viongozi wote mbarikiwe Kwa kukemea izo tabia mbaya zinazoendelea
Hii hatarii sana
Azam max
Waziri kimya
Khaaaaaa!!!Kumbe muheshimiwa Waziri hajaongeleaga chochote jamani? Aaaàaaaaaaaa....
Acheni ujinga mnakazana Sheria ya madili na vipi wabadhilifu wa mali za Uma acheni kutafuta trending
Kanzi mzuri
Ukiona Kimya kwa waziri ujue Raisi yuko nyuma yake
Nawasalim Kwa katiba ya Jamhur ya muungano kazi iyendelee maneno mengi tu hakuna jipya ivi hamjajifunza Kipitia Uganda nyinyi kaeni mpitishe uchunguzi hata na wao wako imara Zaid yenu na Kwa vile wamesha ona mambo yapo moto basi hujipanga Zaid hemu kueni wazi Kwan Kuna nn mpaka mkashindwa kupiga kura ya ndio huko bungeni mbona mnatuvuga hili sijambo la uchunguzi
Hapo nimekuelewaa kidogo niwe nnje ya head line,
🤔🤔
Ushoga uwo kwann msikeme awo walio kubali wasikemewe
Huyo waziri ndie mshikilia dhamana ya laana hiyo
Mwamposa hoyeeee
Wazungu daa
Hamkuwa na sababu ya kuanza kupendekeza kutunga sheria kwa serikali ya kujali watu ilitakiwa bunge liwe na kikao cha dharura litunge Sheria Kali ya kushughulikia ushoga