BAHASHA ZATIBUA MAMBO KWA MASATU,MTITU&KISUGU | JUMA ALIAMSHA VARANGATI LA MWEKEZAJI SIMBA SC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 май 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
  • СпортСпорт

Комментарии • 28

  • @MubibuHassani
    @MubibuHassani 20 дней назад +1

    Kisugu, Mzee Said, Mzee mtitu, na viherhere wote Bahasha zinawasumbua

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 20 дней назад +1

    Hapo kwenye kupewa bahasha hata hujakosea umegonga msumari wa Moto huyo kisugu, mzalamo, k mziwanda, mwakatalima, mzee wa salut, pas million watu hovyo kabisa 😃

  • @jumahamad9463
    @jumahamad9463 20 дней назад +1

    JUMA UPO SAWA KABISA UKWELI UNAUMA

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 20 дней назад

    Hawa wzee inawezekana wanatumwa

  • @jankenkasambala7687
    @jankenkasambala7687 19 дней назад

    Tanzania ni raha!

  • @kamugishakaroti2569
    @kamugishakaroti2569 20 дней назад +1

    Bora kumsikiliza gb 64 kuliko wapuuzi awa

  • @rockyzacharia6947
    @rockyzacharia6947 19 дней назад

    Kweli shabiki mmoja wa yanga unatoa 10 wa simba

  • @jumahamad9463
    @jumahamad9463 20 дней назад +1

    MIMI PIA NIPO NAIMANI BAHASHA ZINATEMBEA NDIO MAANA WANAWATETEA VIONGOZI

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 20 дней назад +1

    Hawa wazee wa simba,hamna kitu kabisa!!

  • @salumeliasi4655
    @salumeliasi4655 20 дней назад +1

    Kisugu ulisema utatoa kiwanja kama Simba hatakua bingwa huyo ni mnafiki ndiyo aliseme Mo ni mtu muhimu kuliko baba yake kisugu chizi

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 21 день назад

    Sawa kabisa juma

  • @kazobagoraalfani5407
    @kazobagoraalfani5407 20 дней назад +1

    Sasa na kigwangala ni yanga ivi nyiye yazee hamuelewi kitu hapo huyo mo nimuongo simba hatowi hela kwasababu anapata hasara kila siku analalamika

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 20 дней назад

    Wee matako haya unapo lopoka sana kumbuka haya mambo yanzunguka haya angalia leo lefa hajazulumu goli la tabora? Kenge weee

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 21 день назад +1

    kolo bado wanateswa na mzimu wakono lanyani🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wangsomollel6169
    @wangsomollel6169 20 дней назад

    juma fact

  • @kishokaenos8973
    @kishokaenos8973 20 дней назад

    Ilikuwa lahisi kuisaidia yanga sabb tatizo lilikuwa wazi na lilikuwa moja ukata lkn kwa simba matatizo ni mengi

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 20 дней назад +1

    Nahuyu kisugu nikimuona live namtandika viboko ni mshenzi sana naona na hawa wazee nao wamsapoti mpuuzi huyu

  • @MwarabuMbegaa
    @MwarabuMbegaa 20 дней назад

    kusugu nawenzako wanapewa ela ili wawatetee viongoz wapapumbavu hao

  • @seleerenest3650
    @seleerenest3650 20 дней назад

    Hoja kwa hoja ndio utatuzi utapatikana
    utapatikana

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 20 дней назад

    Sasa kama mtu anasema Bora baba yake afe kuliko mo sasa unaona huyo mtu akili zimo au pumba tupu hawa ni mikundu tu

  • @user-zx1vk9pr1w
    @user-zx1vk9pr1w 20 дней назад

    Hahaha wambie haoo ! Hawaelew et yaani timu mbovu lakin hawaisemi mbovu 🤣🤣🤣 !

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 20 дней назад

    Hawa niwajinga tim inazidi kupolomoka na wao wanatetea upuuzi kabisa

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 20 дней назад +1

    Kama kuna mtu mpumbavu zaidi duniani ni huyu zugushiki

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 20 дней назад

    Ila mashabiki wa simba ni maboya😂😂😂😂😂

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 20 дней назад

    😂😂😂😂

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 20 дней назад +1

    Sawasawa tatizo la simba ni hao wajinga wanaoangaishwa na matumbo yao. Wanafikiri wanaisaidia timu yao kumbe ndo wanaangamiza timu.wazee njaa yenu ni laana yenu.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 21 день назад

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @hamadiomari9257
    @hamadiomari9257 20 дней назад

    Uongozi anaujua uyo Herns ni uchawi tu kuiroga simba iwe chini basi anajua nini,kamati za uchawi kibao😊😊