Sijawaiona movie nzuri kama hii🔥🔥🔥,nimeutazama uku ninalia mara nacheka,nakasirika mara nafurahi ila mwishowe nimemaliza nikiwa nimenuna😌nikavuta hewa Moja ndeeefu Kisha nikauwachilia,kweli team last card mungu awatie nguvu na awaepushe na mabaya na muwe na maisha marefu ❤️❤️,,,I like it❤️❤️🔥🔥🔥,kama umefuraiya na kuikubali weka like Yako tukisonga ❤❤❤❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Congratulations 🎉🎉🎉, you are no one in the world 🌎
Haki ubwa mimi leo nilikaaa na simu mkononi toka nimeamka juu nilikuwa naisubiri kwa ham kuwa wakwanza si mchezo qap like zangu watu wa Tanzania 🇹🇿 na kenya 🇰🇪
Nimeipenda scene ambayo Dboz yupo na ktk harakat za kumtafuta Jambaz afu Suraj karusha kijiwe dah nmefurah sana maana askari kashtuka kama kwamba kapigwa risasi hivi 😂😂😂😂😂😂
kati ya seson zote muliecheza hakuna mbaya zote ni nzili ila hii last card imezidi utamu nimeifulahiya sana kep pamoja na timu yako musikate tama endelea kusonga mbele mungu atawafikisha mbali nawapenda sana kep& zebu kisay likoma dibosi nola cheilla pamoja na wengi tim yenu iko vizuli
Zebuu nmependa ulivyocheza hii ep hk umeicheza vzr sana shikilia hapo hapo bt sijui next episode itakuwa maana naona kisai alivyokushika ukiongea na simu alafu kisai kumbuka ulikuwa ukifundishwa na kp shule iweje sahii umshinde kp kma alikuwa akikufundisha ukumbuke sahii huwez mshinda kp atakukamata tu kp nmependa ulivyocheza nafasi yako hongera sana kwa kazi nzuri na bila kumsahau shey shey umeicheza nafasi yako vizuri sana lakini haujamshinda kp team kp nyote mnastahili sifa kwenye hii movie nmependa mnavyoicheza ni karata ya mwisho bas nayo mnaicheza kma karata kwel team kp nampa hongera sana kwa kazi nzuri mungu awazindishie na awe pamoja naji ili muweze kutuletea utamu zaid kwan sijatazama movie nzuri kma last card hongerani sana kwa kaz nzuri mingu awabarik
Changamkeni kabla shabiki zenu wajachoka mfike final maana siku hizi mnaachia vipande viachache hivyo shabiki hususa hivyo fanyani hivyo wakubwa big up kwa kazi nzuri
Kp wetu mungu akulinde na macho yamahasidi na akupe afya uzidi kutuburudisha na kutuelimisha haki ww kaka waweza .Hongereni sana teamkp oyeee🎉🎉🎉 from kenya
TEAM LAST CARD, TUKUTANE KESHO SAA TATU ASUBUHI, KWENYE EPISODE YA 28 TOMORROW AT 9:00 AM 🙏🏽ASANTE KWA KUSUBIRI TUPO KWENYE MABORESHO YA KUFANYA KAZI IWE INAFIKA KWA WAKATI ZAIDI
❤❤❤❤asante sana zebu nilikuchukia nikajua umemsaliti kp walio elewa ako kamchezo tujuane😂😂 kwa like🎉🎉🎉🎉
🎉
Kumbe wewe pia pole kwa zebuu nilikuwa nimemjukia nami pia
Mimi nilijua kuna kamchezo hapo coz zebuu haezi saliti kp😅😅😅😅
Leo nipe n mm
jamn tuna weka mb mzee wagiza bado
Safi sana zebuu kwa kumuigizia kisai, ume play last card apo, gongen like hapo
Nzur kp kwa kumpa mkojo mshenzi kisai nimependa iyo
leo nmewahi na mm tunaomkubali mis shei shei gonga like
kp na timu yako mpo juu sana mmeleta mapinduz makubwa kwenye tasnia ya filamu tz watching from Korea
♥️♥️♥️
Sijawaiona movie nzuri kama hii🔥🔥🔥,nimeutazama uku ninalia mara nacheka,nakasirika mara nafurahi ila mwishowe nimemaliza nikiwa nimenuna😌nikavuta hewa Moja ndeeefu Kisha nikauwachilia,kweli team last card mungu awatie nguvu na awaepushe na mabaya na muwe na maisha marefu ❤️❤️,,,I like it❤️❤️🔥🔥🔥,kama umefuraiya na kuikubali weka like Yako tukisonga ❤❤❤❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Congratulations 🎉🎉🎉, you are no one in the world 🌎
Me too 🤔
Naisi kama sio movi
@@samsonkaboko5137 pia Mimi naona ni kitu rill
Nzuri sana
Hapo kweny kununa😊
Jamani yote tisa tumuombe mungu tufikeni sote wafatiliaji wa ( last card ) pia mm naisubiri kwa hamu usiku mwema❤❤❤❤❤❤❤nawapenda nyote good 👍😊😊
Tunaisubir sanaa ❤❤🎉🎉😂😂 gong like ambao wanaisubir kam mm jap nmechelewa kucomment 😅😅
😂😂😂😂😂 kisai kanywa mikojo ya Kp hahahaaaa haki nimecheka loooh
Shey shey katika ubora wake wa matibabu hongera👏👏
❤🎉
Nawakubali. huku kitaan kwetu mme kiwasha
Kwa kweli sheishei kwa kweli uko vizuri mdogo wg.
Mm uyooo leo mapema tuu msalmieni nolah wangu uyo shabiki wke kindakindaki
yaan humu ndani utasikia kila mtu leo mimi wa kwanza naombeni like nyie vipi jamn kila mtu wa kwanza 😂😂😂 haya mimi wa mwisho naombeni like😂
Wanifurahsha sana wanaopend like 😂😂😂
nouma kila mtu like😂😂😂
Wanaenda nazo wapi sjui
Tunawapenda 🥰sana kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Much love from KE 🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤
Nakupenda dada yangu zebuu lakes kwa mdogo wako
Haki ubwa mimi leo nilikaaa na simu mkononi toka nimeamka juu nilikuwa naisubiri kwa ham kuwa wakwanza si mchezo qap like zangu watu wa Tanzania 🇹🇿 na kenya 🇰🇪
Leo nimewahi naomba like zanguu❤❤ from bu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Napendaka saana movie ya kp na zeebu ❤❤naipenda sana kazi zenu naishi Burundi Bujumbura
Kwr mimi nimependa mpango wa zebuu imenifurahisha saana!!niko buj-burundi.
naisubili tu na Mimi hafu Leo nataka like zangu make nime wahi
Ila interval ya kuachia episodes km siku n nyingi sana,, hebu liangalieni hilo wakuu tafadhali
@@innocentshirima-er1ny naijua lakini ndo hivyo tuweni wapole tu hii movie Kali balaaa
Umepata
Like zikuplke wap ww😂
Haya magele wi samva na huku upo tu duh!
Asant sana tunayi subiri kwa hamu❤❤❤
Tupe
Weweee sjui uachane na kesho..ifungue saiz tuu😂😂😂😂
Naisubiria sana hio kadi ya 28 kwa hamu na gamu jamani sir kp na zb
Kp na zebu mmeanza malavi Davi washenzi 😂😂😂😂
Yaan cjui nyie watu mnaharibu hapo tuu fanyeni kz bna mamb ya mapenz c huko mkiwa nyumbn jmn looh mnaanza kuharibu xax
Waiting for it much love watching from Saudi ❤❤❤
Much love from kenya 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤
😂Ila muwe mnajitahidi kuwaisha jamani tutakufa na upwiru mkichelewaaa tisha sanaa aseeww ☀☀☀☀🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎤🎤
❤❤❤ much love from kenya ... love wins congrats zebbu
Nimeipenda scene ambayo Dboz yupo na ktk harakat za kumtafuta Jambaz afu Suraj karusha kijiwe dah nmefurah sana maana askari kashtuka kama kwamba kapigwa risasi hivi 😂😂😂😂😂😂
Waiting for it ❤❤ much love guys
Ni hatari
Mashallah nimetokea kuipenda hii series wallah japo nimechelewa kuijua Mashallah ♥️
Napenda wewe kp kazi nzuri🎉🎉 watching from Kenya Nairobi nikiwa wa Kwanza wapi likes zangu😅😅
Nawapenda sana kp na zebu sichoki kuwafatilia endeleeni kutupa vitu vizuri
Tunaisubir kwa hamu sana mana kiukweli mnajua sana Mungu wa mbinguni amilinde
I like your creativity guys .miss sheishei killed it.
Keep on the good work
#kenyanboy
We were waiting for it❤❤❤from Nairobi kenya... mjitahidy muwajilie episode 29 baada ya siku ya kesho jameni❤🎉🎉🎉
Ohoooooooo sheishei umenyoa lastar zako daah umenoga xana xaiz kuliko mwazo
Nangonja kwa hamu.love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
kati ya seson zote muliecheza hakuna mbaya zote ni nzili ila hii last card imezidi utamu nimeifulahiya sana kep pamoja na timu yako musikate tama endelea kusonga mbele mungu atawafikisha mbali nawapenda sana kep& zebu kisay likoma dibosi nola cheilla pamoja na wengi tim yenu iko vizuli
Daaa mwanangu Sema unatutesa sana saiz mwanangu tunaweka bando tukija kuangalia Bado ujatoa ndo vp sasa
Wow hongera saana team kp na zebuu......naona kp umempea kisai dawa ya tumbo😂😂😂😂😂love you guys from Nairobi kenya 🎉🎉🎉🎉
Itakuwaje jamani kisai amekuwa mweusi zaidi jamani kumbe kp na zebuu wanashirikiana hapo iko powa ❤❤❤❤
Zebuu nmependa ulivyocheza hii ep hk umeicheza vzr sana shikilia hapo hapo bt sijui next episode itakuwa maana naona kisai alivyokushika ukiongea na simu alafu kisai kumbuka ulikuwa ukifundishwa na kp shule iweje sahii umshinde kp kma alikuwa akikufundisha ukumbuke sahii huwez mshinda kp atakukamata tu kp nmependa ulivyocheza nafasi yako hongera sana kwa kazi nzuri na bila kumsahau shey shey umeicheza nafasi yako vizuri sana lakini haujamshinda kp team kp nyote mnastahili sifa kwenye hii movie nmependa mnavyoicheza ni karata ya mwisho bas nayo mnaicheza kma karata kwel team kp nampa hongera sana kwa kazi nzuri mungu awazindishie na awe pamoja naji ili muweze kutuletea utamu zaid kwan sijatazama movie nzuri kma last card hongerani sana kwa kaz nzuri mingu awabarik
Uwiiiii kisai ameskia mazungumzo ya zebu sjui itakuaje😮
Kazi nzuri sana kp na kundi lako hasa miss sheyshey❤
Huyu Sheila kaoleka kweli, anakaa mwanamke fulani hivi mwenye msimamo mkali,we love such girls
Sheila nakupenda sana kwa gisi unacheza hi movie yani unacheza nakili sana❤🎉❤❤ Sheila natoka burundi namifata sana Sheila wangu
Asante sana zebuu kumbe nilithani umemgeuka kp wetu big up guys qwa kazi mzuri from 🇰🇪
😂😂 nimefurai
@@user-jf9pt8bu5j mie mwenyewe imenibamba mbaya shinda nieti zebbu iafumaniwa na kisai so sijui what next
Kisai kanywa mkojo ety dawa 😂😂😂😂 mjinga wewe umekubali mambo ya kp
Nimefurahi sana zebuu nilizania tayar umempenda kisai hii ni kweli ni last card
Miss Sheila mpokea makopayako❤❤❤❤❤❤❤❤
Mm silali nangoja tu saatatu ikifika niichambue ❤❤❤
Mkuu @kp wa Aguino
Hii sio dawa mkojo dhambi 😅😅😅😅😅😅😅😅 sijapenda🙌🙌🙌
Hongereni sana kwa kazi nzuri❤❤❤❤❤
Munaceza vizuli buno nawabenda sana kp n'a zebu
napenda kazi enu Mr kp & wawengne kwenye group enu also I wish to be like especially niwe mmoja wenu
zebuu jmn uwiiiii sjui itakuwaje 🤦
Mrs sheilah kazi nzuri sana
Changamkeni kabla shabiki zenu wajachoka mfike final maana siku hizi mnaachia vipande viachache hivyo shabiki hususa hivyo fanyani hivyo wakubwa big up kwa kazi nzuri
Waooow nilikua nikiisubiri sana nawapa hongera zebuu nikikunyima mauwa nitakua sitendi haki ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Wa pili ni Mimi ...Nani kangoja kama Mie ❤❤❤
Hiyo ya kisai kunywa mkojo imebamba😂😂 pole kp kwa kupigwa risas 🎉🎉🎉
🎉❤❤❤❤njamani mpaka raha
Sheh shey umeicheza vzur sana unaprani kabambe kwakweli na vipande vyako unacheza good sana 🎉kam kp tu🎉
Nakubali sana nawapenda bure kabisa
Wenzangu mnamuonaje sheishei kwa matibabu yake mnaamini ni ukweli😂😂😂😂😂 kanifulahisha sana
mpo vzur sana uyo ksai kanywa mikojo
This is what I wanted to watch can’t wait for another episode please ❤
Keep it up....huu mchezo mnaucheza vizuri sana aki!
Tulivyotalijia sio ilivyokuwa kazi nzuri
❤kp na zebuu nawapenda Sana mungu awalinde kp mungu akulinde
Kp ameweza hapo kumfanya Kisai kunywa mkojo akidhani ni dawa😂😂
naqubal kaka na ninakuombea kwa mungu maisha malefu
Nazani tushafika kwenye uhondo wa last card...mambo xx moto jamanii...nawapenda sna team kp na zebuu🎉🎉watching from kenya...
Duh kp ubarikiwe mno
mimi niwa 10000 naomda like zango jaman 😊🙏💪
Nakubali San team KP hamna baya kazi nzuri sana twende nalo 🎉🎉
Kp wetu mungu akulinde na macho yamahasidi na akupe afya uzidi kutuburudisha na kutuelimisha haki ww kaka waweza .Hongereni sana teamkp oyeee🎉🎉🎉 from kenya
Nilikuchukia xana zebuu nilijua ulimsaliti kp nmeipenda kazi yako my friend
Much love ❤ from Kenya 🇰🇪
I love it❤❤❤
😂😂😂ya leo moto.much love from kenya ❤❤❤🎉
Mnafanya vizur sana jaman du ila sheila ananidatishaaa sana
Very good job ❤❤❤
TEAM LAST CARD, TUKUTANE KESHO SAA TATU ASUBUHI, KWENYE EPISODE YA 28
TOMORROW AT 9:00 AM
🙏🏽ASANTE KWA KUSUBIRI TUPO KWENYE MABORESHO YA KUFANYA KAZI IWE INAFIKA KWA WAKATI ZAIDI
We're waiting 😊❤❤
Nasubiri
Sawa tuko rada sana hiyo saa tatu lakini mmetukalisha sana nkiwa uwarabuni nawapenda sana
Naunga bando kwajir yenu kila cku nkiingia bado t
Dah kazi nzul San bro ila mnachewa sana kutoa
Jmn zebuuuu love ue more kpnziiiiiiii kazi njema sanaaa
Wow pendraaa saanah I wish muje azam tv
Saa hii ni asubuhi saana kp ila nko na wewe pamoja. Nipeni like zangu. Cjalala nisubiiri kwa udi. Eka kitu tuinjoi
Congratulations 👏👏❤❤
aki nakubali daa zbuu
Timu sheyshey na kp Tujuane kwenye like ❤❤❤nawapnda San jaman yan nataman kila siku kp ulete muendelez
Nakufatlia sana kp na zebu Ms shyshy
Ep ya 29 Lin jarbun bas kuw mnatoa hata vipande viwil❤❤❤❤🎉
Mkojo wa kp mwekund kama wenye UTI
Zebu hongera sana kumusaidia kp 😂😂😂❤❤❤ nawapenda sana wote kutoka Kenya 🇰🇪
Waaaah hi last card akili nyingi imetumika.hongereni sana team kp
Naipenda sana kazi yenu
Et mambo ya move namim wap na wap chefuuuu makomwe yenu😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Nawapenda Sana zebuu na kp xito choka kuwafatilia sanaa zen nawapenda
Jaman zebuu mungu akuepushe nahuyo shetan kisai
Mmmmh jamn atakam nimechelewa ila so Sana kiivo jmn naipenda Sana last card ❤