Allah ni mwenye kuwanusuru waja wake na hivyo ndivyo Allah alivyomnusuru Musa dhidi ya adui yake na adui akamleausa na Musa hakuacha kufanya kazi ya Allah bila kumjali Firaun. Allah akamnusur Ibrahim na moto na hivyo ndivyo atawanusuru wenye msimamo na Allah ameahidi kwenye Quraan kuwa yeye na mtume wake watashinda na ahadi ya Allah ni ya ukweli. naapa kwa jina la Allah kuwa Marekani na washirika wao si lolote wala si vhochotd hata waislamu kumi tu wenye msimamo wakishika mikuki tu na Wamarekani ns wenzao washike mabom na madege watapigwa kuliko mbwa koko. hawa Taliban wameishika tawhiid na tuamkeni sasa maana hii ni ishara kubwa kwa wenye mazingatio
🤣🤣🤣🤣🤣🙄nashidwa nini huwa mbaya na nyinyi Yani waislamu wenzenu wakiangaika mtacheka haha dio maana munanikwa kwa utube na kitabu chenu chafu,,ingia page ya utube CHRISTIANPRINCE wacristo warabu wameamua kuwanika na Quran masheiks wameshidwa kuthibitisha prophet wenu alikuwa wa ukweli mnadanganywa mnafata warabu ila hamjui dini ni nini dio maana huwa mnangoja kusomewa Quran na kutafsiriea mtaishi kufungwa macho🤮🤮
@@redbutterfly4939 masikini nakuonea huruma sana pole sana naomba Allah akusameh kwasababu hujui ulitendalo akuongoze katika njia sahihi yaani pole sana sana sana...!! Allahu Akbar Alhamdulillah kwa kupata zawadi nzuri zaidi kuliko chochote kwa kuwa muislam hii ni zawadi kubwa sana.
@@nurualishaban7383 hivi niulize mke wa mtu khadija na mtume nani aliyekuwa na mali c ni bi khadija leo hii mke asifanye kazi jamani sheria hizi tusipo jichunga tutamalizana kwa imani zakuonja pepo
Jamani hizi sheria zililetwa na nani?kwa maana katika amri kumi za mungu hakuna ata moja inayotekelezwa na hawa watalibani.jamani tusijitungiye mambo kwa jina la mungu.
@@abdiathumani919 nani alisikia saudi,qatar,wanapigana na wakristo wapo humo pia sisi tulio letewa dini ndo kuelewa kwetu duni tunauwana kwa imani ya kuonja pepo
you are absolutely right. they spent over 2 trillion dollars.. the 88 billion dollars i mentioned is only spent on equipping and arming tbe afghan military. Thanks
Katika dunia yetu ya leo, hakuna jambo la busara kubwa kama kujaribu kuepusha umwagaji wa damu kwa sababu eti ung'ang'anie madaraka. Waliowengi waachiwe kushika madaraka ILA wasiwaburuze na kuwanyanyasa waliowachache.
Wale ni Khawaariji tu Mbw wa motono Lakin pia Ile Dola Walioiteka Hao Mbwa Itawashinda, Lakin pia Huyu Mzungumzaji Ameongeza Neno Sayyidinaa ktk Kumswalia Mtume. Lakim simjui huyu Sheikh Analingania Ktk Dini au Dunia
Tatizo kuu linalozisumbua nchi za kiarabu ni ukosefu wa elimu ( .......)mshike sana elimu na usimwache aende zake hata ukimwangalia huyu mzee anaeongea utagundua brain zero ,siku zote ichi za kiarabu aziishi vita tatizo ni ukosefu wa elimu na kutojikeep bizz kwa vitu vya msingi na kwa maendeleo ya nchi na kwa maendeleo ya watu wao kwa kigezo cha mwamvuli wa dini, na huko misikitini sijui wanamwabudu mungu gani? Nakama angekua mungu wa kweli angewapa elimu na vita zisingekuepo inafaamika ukisali sana unakua na hofu ya mungu sasa hofu yao cijui iko wapi!!!?sasa kama ni dini wayahudi waseme nini!!? watu (waliozungumza na mungu) siwangekua wanakesha kwenye mahekaru
Wewe mwenyewe hata jina la mila yako hauna...na unabweka hapa. Umeoshwa akili na wazungu muafrika jina la kizungu pole kaka. Jambo la pili, nchi yako na utawala wa muafrika una lipi lakujivunia ila viongozi wenu wanapora nchi na kuwafanya masikini hohe hahe. Go and look for the knowlede which you are preaching muslims to seek, yet your talk shows a big empty head.
@@omarykatongo4943 sasa mmi na ww nani mtumwa wa fikra tena ww mtu mweusi ulitakiwa utulize makalio hujui chochote kwanzia dini ustarabu life style na uongozi kaleta mzungu mwarabu kakufanya mtumwa karne na karne hajakupa chochote kakuuza ulaya na duniani kote nyambafu mkubwa ww hujui chochote
@@aminasharif6142 Poor mind kwahiyo Amina sharif ni jina LA kitanganyika au kibantu !!? Au unaropoka tu tumia akili inatakiwa uzungumze ukweli na uhalisia sio mkumbo kati ya mzungu na mwarabu nani alieleta maendeleo na ustarabu duniani ?
Masha Allah. Allah akuzidishie ilmu Na akuweke kwenye pepo ya darja YA juu. walioko kwenye matatizo Allah awape wepesi Ameen
nampenda sana shkh SUNKARI kwa ajili ya ALLAH
الله أكبر
Allah akusaidie sheikh katika kheri kwa kutujuza Hili.
jazzakar kher..allah azidi kuwapa nguvu.
Masha Allah
Asante sheikh umetufumbua macho kwa hili.. ila hotuba ni fupi tuandalie nyingine
Jazzakaallah Kheryy
Mashallah shekh
Namuomba Allah ailinde daula ya taliban
Mashallah sheikh nakuona from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Shukran jazzakAllah ukheri sheikh
allah akupe istiqama na akupe ikhlaswi pamoja na mwisho mwema
Ikhlaswi au Ikhlaas
Allah akbar
Allah awajalie kheri NA azidi kuwaongoza kwakweli ,MANA USTARABU WANAJUA NIKUTEMBEA UCHI TU
Twamuomba allah akuweke weke na akuhifadhi
Yani ukweli ni kwamba Marekani hawajawahi kushid vit ila hua wao kuipa nchi wanao shindana nao hasara ivyo ni kweli vita zote hawaja shinda chochote
MashaAllah alhadulilah
Allah AKBAR.
Mungu ni mwema
Mashallah
Takbeer
Allah ni mwenye kuwanusuru waja wake na hivyo ndivyo Allah alivyomnusuru Musa dhidi ya adui yake na adui akamleausa na Musa hakuacha kufanya kazi ya Allah bila kumjali Firaun. Allah akamnusur Ibrahim na moto na hivyo ndivyo atawanusuru wenye msimamo na Allah ameahidi kwenye Quraan kuwa yeye na mtume wake watashinda na ahadi ya Allah ni ya ukweli. naapa kwa jina la Allah kuwa Marekani na washirika wao si lolote wala si vhochotd hata waislamu kumi tu wenye msimamo wakishika mikuki tu na Wamarekani ns wenzao washike mabom na madege watapigwa kuliko mbwa koko. hawa Taliban wameishika tawhiid na tuamkeni sasa maana hii ni ishara kubwa kwa wenye mazingatio
Swahihi
Taqbiriii. YA-ALLAH tunusuru na utukinge
allah yupo pamoja na mujahedinna allah abaareek taliban ni masimba ya allah nataman niishi uko kwenye ardhi ya sharia ya kislam
🤣🤣🤣🤣🤣🙄nashidwa nini huwa mbaya na nyinyi Yani waislamu wenzenu wakiangaika mtacheka haha dio maana munanikwa kwa utube na kitabu chenu chafu,,ingia page ya utube CHRISTIANPRINCE wacristo warabu wameamua kuwanika na Quran masheiks wameshidwa kuthibitisha prophet wenu alikuwa wa ukweli mnadanganywa mnafata warabu ila hamjui dini ni nini dio maana huwa mnangoja kusomewa Quran na kutafsiriea mtaishi kufungwa macho🤮🤮
Yaan
@@redbutterfly4939 masikini nakuonea huruma sana pole sana naomba Allah akusameh kwasababu hujui ulitendalo akuongoze katika njia sahihi yaani pole sana sana sana...!! Allahu Akbar Alhamdulillah kwa kupata zawadi nzuri zaidi kuliko chochote kwa kuwa muislam hii ni zawadi kubwa sana.
@@redbutterfly4939 haujui lolote kuhusu Uislamu,kaa kimya .......chuki tuu zimejaa kwenye moyo wako
hilo ndoo jeshi la allh
Takbiiiir
Amiiina
Shukran jazakallahu kheir
Inshaalaah mungu mwema
Takbeer!!!
Allahu akbaaaaarrr
الله أكبر، والعزة الله.
Taliban ni waislam wanaotekeleza mafundisho ya Allah, au vipi
Kweli sheikhs wangu
Allah mwenyewe alipeana amri kumi kwa mtume musa je watalibani wanafwata sheria zipi
@@nurualishaban7383 tufanye sawa ila sheria gani ya kuuwa
@@nurualishaban7383 hivi niulize mke wa mtu khadija na mtume nani aliyekuwa na mali c ni bi khadija leo hii mke asifanye kazi jamani sheria hizi tusipo jichunga tutamalizana kwa imani zakuonja pepo
@@philipbenson5343 wanafuata kur ani
Assalama allaykum
Natamani niishii afganistan alhaa awajaliee mujaidini
Jamani hizi sheria zililetwa na nani?kwa maana katika amri kumi za mungu hakuna ata moja inayotekelezwa na hawa watalibani.jamani tusijitungiye mambo kwa jina la mungu.
Kwani we unasoma kitabu gani
@@abdiathumani919 nani alisikia saudi,qatar,wanapigana na wakristo wapo humo pia sisi tulio letewa dini ndo kuelewa kwetu duni tunauwana kwa imani ya kuonja pepo
🙏🙏🙏
The US spent $2 trillion in Afghanistan - Al Jazeera
you are absolutely right. they spent over 2 trillion dollars..
the 88 billion dollars i mentioned is only spent on equipping and arming tbe afghan military.
Thanks
.
mlendelaa
Hasbunillah walineti lihakim
Kulu,yatii,qarrib
Jina la sheikh
Dr Ali Sunkar
Shukran kuna kisa alisimulia ya Ashkinazi ntaipataje nikitambo nilipoteza
@@aliabdullahi7138 aahh hapana sina uhakika
Katika dunia yetu ya leo, hakuna jambo la busara kubwa kama kujaribu kuepusha umwagaji wa damu kwa sababu eti ung'ang'anie madaraka.
Waliowengi waachiwe kushika madaraka ILA wasiwaburuze na kuwanyanyasa waliowachache.
@@ahmedalbalooshi8518 ndio maana halisi ya uisilamu
Sio billioni 88 ni Trillions 2
Si umeelewa lakini
@@azizawadh5973 nimeelewa nini? Wewe kama huna la kusema bora unyamaze. Kiswahili kigumu
Wale ni Khawaariji tu Mbw wa motono Lakin pia Ile Dola Walioiteka Hao Mbwa Itawashinda,
Lakin pia Huyu Mzungumzaji Ameongeza Neno Sayyidinaa ktk Kumswalia Mtume.
Lakim simjui huyu Sheikh Analingania Ktk Dini au Dunia
Kwani wewe nim Afghanistan
Unauliza ili iweje kwani Akiwa muafgan yanakuusu nin
Nilisema kwa video nyingine kuwa watalban walisaindiwa na waamerika ndio maana waliondoka, lakini kama kuna amani bac ni sawa
Kwaio umekaa unaeleza kuwa wapo sawa hao mataliban au niujinga
acha ukichaa unajua kuswali tuu nini
Kafiri wewe!!!
Si ni nchi yao wamarekan ni wa koloni
Hujui kitu kaa kimya usicomment ktk hii topic tafadhali.
We punga
Tatizo kuu linalozisumbua nchi za kiarabu ni ukosefu wa elimu (
.......)mshike sana elimu na usimwache aende zake hata ukimwangalia huyu mzee anaeongea utagundua brain zero ,siku zote ichi za kiarabu aziishi vita tatizo ni ukosefu wa elimu na kutojikeep bizz kwa vitu vya msingi na kwa maendeleo ya nchi na kwa maendeleo ya watu wao kwa kigezo cha mwamvuli wa dini, na huko misikitini sijui wanamwabudu mungu gani? Nakama angekua mungu wa kweli angewapa elimu na vita zisingekuepo inafaamika ukisali sana unakua na hofu ya mungu sasa hofu yao cijui iko wapi!!!?sasa kama ni dini wayahudi waseme nini!!? watu (waliozungumza na mungu) siwangekua wanakesha kwenye mahekaru
Wewe mwenyewe hata jina la mila yako hauna...na unabweka hapa. Umeoshwa akili na wazungu muafrika jina la kizungu pole kaka. Jambo la pili, nchi yako na utawala wa muafrika una lipi lakujivunia ila viongozi wenu wanapora nchi na kuwafanya masikini hohe hahe. Go and look for the knowlede which you are preaching muslims to seek, yet your talk shows a big empty head.
@@aminasharif6142 washafanywa watumwa wa kifikra hao,,, na washazibwa masikio na kufunikwa nyoyo zao. Hivyo ujinga ndio maisha yao
Elimu uliyo nayo wewe ni ipi. Tupe tuone ujinga wako
@@omarykatongo4943 sasa mmi na ww nani mtumwa wa fikra tena ww mtu mweusi ulitakiwa utulize makalio hujui chochote kwanzia dini ustarabu life style na uongozi kaleta mzungu mwarabu kakufanya mtumwa karne na karne hajakupa chochote kakuuza ulaya na duniani kote nyambafu mkubwa ww hujui chochote
@@aminasharif6142 Poor mind kwahiyo Amina sharif ni jina LA kitanganyika au kibantu !!? Au unaropoka tu tumia akili inatakiwa uzungumze ukweli na uhalisia sio mkumbo kati ya mzungu na mwarabu nani alieleta maendeleo na ustarabu duniani ?
Allah akbar