Kweli wacheni mungu aitwe mungu ,kwanini nasema hivi hii ni baraka sana kwa mama yetu Rose muhando kumuinua na kuinua kizazi chake na kuheshimisha,Annoint wacha mungu akuangazie daima
Endelea kupepea ndugu Annoint,, baraka za Mungu kupitia kwako zinamiminika Kila uchao nisikiapo nyimbo zako,, ubarikiwe sana uende viwango na viwango,,
Mungu azidi kubariki huyu kijana anoint aendelee kutoa nyimbo nyingi ziokoe kizazi cha kisasa haswa miminmesisikia mpaka nmsikia kuokoka mungu azidi kuinnua huyu kijana namimi pia ntamwombea azidi kumwinua
annoint wewe dungu yangu najua wewe ulitoka Kwa mungu mungu akakutuma Kucha hapa duniani utuwokoe sisi binadam Kaka yangu mungu akubaliki uendelee kufaya kazi yako Kaka yangu 🙏🙏🇰🇪👈
aki wewe Kaka yangu mungu akubaliki uendelee kufaya kazi Yako my brother najua wewe mungu amekutuma Kucha hapa duniani utuwokoe sisi mbinadam lakini sisi mbinadam atusikii mungu akubaliki Sana my brother 🙏🙏 nakusikia Kaka yangu nikiwa hapa Tanzania kikazi my Kwa leo Niko nyumbani kwetu kenya ningeomba ukuche ata HAPA kenya wakusikie kina ruto wakujue my brother 🙏🙏🇰🇪👈 and Tanzania ni kitu kimoja 🇯🇲👈
Kama kujulikana ingekuwa ni lazima MTU awe na meneja....Sisi wengine,tusingefika hapa,,,,,,,"hapo Tu inanifanya nikimbie kwenye studio nikatoe wimbo hata kama sijawai imba,😂
Ambieni huyu mtumishi ahamie Kenya
Kweli wacheni mungu aitwe mungu ,kwanini nasema hivi hii ni baraka sana kwa mama yetu Rose muhando kumuinua na kuinua kizazi chake na kuheshimisha,Annoint wacha mungu akuangazie daima
Ubarikiwe Annoint Amani
more blesses
Wow,,,,,uko xwa kbxaaa my King ❤❤❤
Waiting🎉
Endelea kupepea ndugu Annoint,, baraka za Mungu kupitia kwako zinamiminika Kila uchao nisikiapo nyimbo zako,, ubarikiwe sana uende viwango na viwango,,
Nyimbo za yuyu huyu jamaa annoint...zinampendezaaa....haki mungu akutumikie na asifiwe milele...
Baba🙏🙏Nasikia raha tuu kwa sababu nina baba mwelekezi,❣️Sauti nayo baba jameni🤔Utukufu hadi utukufu
MUNGU azidi kukuinua zaidizaidi nyimbo zako zinabariki mnomno
Ubarikiwe mtumishi nice song
How I wish ungekua ndugu wangu real ❤❤❤ more blessings to the entire family of yours annoint mtumishi wa Mungu
Kweli raha....ujumbe mzuri mno.....hadi raha...amen. your songs are a great blessing.
Wacha nikupe maua ukiwa hai ndugu yangu niruhusu nikuite babangu katika huduma kazi yako njema ya kutia moyo na kuelimisha
Nice song 🎵 👌
Kazi safi 🔥🔥🔥❤
Endelea ivyoivyo ,baraka za mungu ,nanyimbo zako zinanigiza saaaaana
Mungu azidi kubariki huyu kijana anoint aendelee kutoa nyimbo nyingi ziokoe kizazi cha kisasa haswa miminmesisikia mpaka nmsikia kuokoka mungu azidi kuinnua huyu kijana namimi pia ntamwombea azidi kumwinua
Eagerly waiting mkuu,,,,,,🎉❤❤
Hadi raha kweli👍
Nmebarikiwa Man of God, may God continue using you Amani
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🎉🎉
Powerful song Man of God be blessed more Kakangu
Napenda huu wimbo sana
Ina ufunuo Wa nguvu
Kazi nzur ubarikiwe sana
Safi dady hongera sana nimekupenda buree
Safiiii sana kijana mungu akubaliki sana
Kazi kubwa kwakweli
Kazi njema 🔥🔥🔥🔥🌹🌹
Napenda kweli🙏🙏🙏💓
Amen
AMINAAA
Amen shujaa wanguu
Hallelujah hallelujah 🙌🙌👏🙌👏
Congratulations 🎉
Ooh yes mungu napenda jinzy ulivyo, unafanya mambo atakama wengine inawakera
Napenda nyimbo zako anoint😂
Amen Hadi Raha kuwa na mungu
Amazing ❤❤
Ni wimbo wangu nashukuru sana kwa kweli ni Mimi umenisema mtumishi 😭😭
kazi safi kaka mungu azidi kukukuza kwennda vigwango vingine you're such amazing man of God
Mungu akubariki kwawimbo huu aaa wamilele akubariki ❤
A blessing song, realities
Amen barikiwa sana na bwana baba mtumishi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nice song ❤❤❤❤❤❤❤
Aki nimeamin kavzha bro
🎉🎉🎉hadi Raha kweli be blessed 🙏
I can't explain how much I like ur gospel music, really it encourages me alot nd makes my faith strong to God🙏🙏🙏,Be blessed man👨 🙏🙏
Blessed love
Kazi nzuri🎼🎼🙏🙏🙏
annoint wewe dungu yangu najua wewe ulitoka Kwa mungu mungu akakutuma Kucha hapa duniani utuwokoe sisi binadam Kaka yangu mungu akubaliki uendelee kufaya kazi yako Kaka yangu 🙏🙏🇰🇪👈
aki wewe Kaka yangu mungu akubaliki uendelee kufaya kazi Yako my brother najua wewe mungu amekutuma Kucha hapa duniani utuwokoe sisi mbinadam lakini sisi mbinadam atusikii mungu akubaliki Sana my brother 🙏🙏 nakusikia Kaka yangu nikiwa hapa Tanzania kikazi my Kwa leo Niko nyumbani kwetu kenya ningeomba ukuche ata HAPA kenya wakusikie kina ruto wakujue my brother 🙏🙏🇰🇪👈 and Tanzania ni kitu kimoja 🇯🇲👈
Hadi raha
❤🎉
God bless you
You always have a sweet songs.. Congratulations to you bro may God bless you more 🙏🙏🙏.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Unanitia nguvu
More grace kaka
Hakika mkubwa ni ukweli napenda pia mie jinsi mungu alivyo hadi raha❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu akubaliki
Napenda haya Maneno (lyrics). Hongera. Mungu Akuinue.
Amen amen
Who! Nice song Amen , hallelujah unatutumia zaidi ya mbeleni Mungu wooo🎉.
May God keep on using you
You are a vessel 🥳. God bless you
Your songs are full of blessings .keep going anoint amani.❤❤
Napenda unavyofanya mambo!!!! Wow Mungu azidi kukubariki kaka annoint
Ubalikiwe San bro nagupendasan kwanyimbozako
🙏🙏🙏🔥
Amen 🙏
❤❤❤❤❤
Hallelujah 🙌🙏 to God be the glory 💪💪keep the light of gospel burning Mtumishi
God bless the work you're doing my brother 🎉🎉
🙏🙏🙏🙏🎉🎉🎉📯📯🔥🔥👑👑
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🇪🇺🇪🇺
Blessed voice full of God's presence
Kama kujulikana ingekuwa ni lazima MTU awe na meneja....Sisi wengine,tusingefika hapa,,,,,,,"hapo Tu inanifanya nikimbie kwenye studio nikatoe wimbo hata kama sijawai imba,😂
Thenk your brother
❤❤❤❤❤🇺🇸🇺🇸🇺🇸🙌🙌🙌🧚♀️🧚♀️🧚♀️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amen
Amen amen
❤❤❤❤
Amen
❤❤
Amen