Kufungua Akaunti ya Uwekezaji ya UTT AMIS: Hatua kwa Hatua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Uwekezaji katika mifuko ya pamoja ni rahisi kuliko unavyofikiria. Ni njia nzuri ya kukuza mtaji kwa wale wenye malengo ya muda mfupi, kati na ya muda mrefu.
    Mifuko hii ni aina ya uwekezaji wa pamoja ambayo inaruhusu wawekezaji walio na malengo sawa kuwekeza fedha zao kwa pamoja kwenye jalada la dhamana au mali zingine.
    Wawekezaji (wenye vipande) hawamiliki dhamana hizo za mfuko moja kwa moja. Umiliki wa mfuko umegawanywa katika umiliki wa vipande. Kadiri mfuko unavyoongezeka au kupungua kwa thamani ndivyo thamani ya kipande huongezeka au kupungua ipasavyo. Idadi ya vipande inategemea bei ya ununuzi wa kipande,wakati wa uwekezaji na kiwango cha pesa kilichowekezwa.
    Kawaida, faida ya uwekezaji kwa wamiliki wa vipande hupatikana kwa mfumo wa gawio la mapato na kukua kwa mtaji, inayotokana na uwekezaji wa pamoja. Kila kipande kinapata mapato sawa, yaliyotokana na kiwango kilichowekezwa kama mtaji katika kipindi chochote.
    Uwekezaji katika mifuko ya uwekezaji wa pamoja, huhamisha utaalam wote wa uwekezaji kwa wale wenye uwezo wa kusimamia masuala ya uwekezaji na hao ndiyo sisi, UTT -AMIS (Wasimamizi wa Mfuko)
    soma zaidi
    "Uwekezaji wa pamoja kwa muhtasari | DHAMANA YA UWEKEZAJI NA USIMAMIZI RASILIMALI TANZANIA" www.uttamis.co...

Комментарии • 40

  • @costantinomwenda9964
    @costantinomwenda9964 4 месяца назад +4

    Kama tayali Nina vupande vya utt nifanyeje ilikupata taarifa zangu.

  • @marymlelwa8471
    @marymlelwa8471 Месяц назад +1

    Asanteee kaka

  • @edisonjoseph4087
    @edisonjoseph4087 Год назад +3

    Ahsante sana

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 2 года назад +2

    Tunashukuru kwa elimu

  • @petterKibona-wq2pp
    @petterKibona-wq2pp Год назад +1

    Shukran kaka

  • @AliKhamis-k9y
    @AliKhamis-k9y 2 месяца назад +1

    Je naweza jiunga utt nikiwa nje ya Tanzania?

  • @lucasnyerere4295
    @lucasnyerere4295 2 года назад +1

    Thanks bro

  • @barakavlogs913
    @barakavlogs913 3 месяца назад

    Msaada nimedeposit ile initial deposit ya liquid fund 100k lakini kutumia nmb yangu lakini ni kicheck balance inaonyesha 0

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Год назад +2

    Na kama umeshafungua form unataka kufungua account simu yangu app unafajanje

  • @EmmanuelMaghabiro
    @EmmanuelMaghabiro 6 месяцев назад +1

    Form zipo nne naomba unielekeze namna ya kuzijaza

  • @MayambaBwere
    @MayambaBwere 8 месяцев назад

    Nikiweka namba ya simu hawaleti taarifa kama nimefungua akaunti mbona?

  • @zamukahemele1505
    @zamukahemele1505 7 месяцев назад

    Jmn mbona mim kila nikifungua haifunguki wala acount siipati

  • @mohamedame3423
    @mohamedame3423 2 года назад +1

    Hatua kwa hatua

  • @Shirimatunda
    @Shirimatunda Год назад +1

    Anaeielewa hii elimu naomba maarifa

  • @FrancesJabo
    @FrancesJabo 6 месяцев назад

    Elimu zaidi kwenye vipande nenda utube kasome zaid

  • @maulidmtani8886
    @maulidmtani8886 2 года назад +1

    Mmmh hakuna ujanja ujanja

  • @Lora97937
    @Lora97937 7 месяцев назад +1

    Naweza kufungua Account mbili kwenye App Moja?!

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  7 месяцев назад

      Ndio inawezekana kama ni mifuko tofauti, au iwapo utatumia line mbili tofuati

  • @christinachande2260
    @christinachande2260 2 года назад +3

    Mimi nimeweka 100000 na nimepoteza ile namba na sijafika ofis zao je nikienda bila namba nitakubaliwa

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  2 года назад +4

      Namba ya akaunti?kama ni ya akaunti sio shida tumia namba yako ya simu kupata namba yako ya akaunti

    • @beproductive839
      @beproductive839 Год назад +2

      Huyu muhun

  • @JamilaMponda-ro5pb
    @JamilaMponda-ro5pb Год назад +2

    Kwa Dar ofisi yao ipo wapi

  • @erickjohn5209
    @erickjohn5209 Год назад +3

    Kwa mfano mm nipo simiyu nikienda crdb wananikamilishia usajili

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  Год назад +2

      Ndio ,popote ulipo Tanzania,pakiwa na tawi la CRDB unakamilisha usajili

    • @LUCKYRegnald
      @LUCKYRegnald 9 дней назад

      M nimeenda crdb wameniambia hawaungi watu wakanipa namba 150*82 sa sielew​@@ElimikaMtandaoni

  • @MayambaBwere
    @MayambaBwere 8 месяцев назад

    Mimi nikifungua akaunti wanasema niweke namba ya simu niliyojisajiri,

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  8 месяцев назад

      Ndio namba ya simu ni muhimu ,maana akaunti yako itahusianishwa na namba yako ya simu

  • @ggmmjasiliamalionline2746
    @ggmmjasiliamalionline2746 Год назад +2

    Na ukienda crdb pia wanakusaidia kukamilisha form sindio

  • @philipombwilo133
    @philipombwilo133 Год назад

    Mbona account haifunguki?

  • @SalhaMsuri
    @SalhaMsuri 3 месяца назад

    Mh

  • @hanschid941
    @hanschid941 Год назад +1

    Dah ingekuwa rahisi sana kama mtu unajifungulia account mwenyewe pia unakamilisha mwenyewe sio mpaka kwenda kwenye mabenk au kuna namna?

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  Год назад

      unaweza kuingia kwenye website yao, www.uttamis.co.tz download application form then unawatumia kwenye email uwekezaji@uttamis.co.tz

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  Год назад

      KYC ni muhimu ,nadhani watafanya namna ya kuiwezesha KYC online kama ilivyo kwa soko la hisa

    • @moxxboydegreat2128
      @moxxboydegreat2128 11 месяцев назад

      Mbn kwenye website yao haionyeshi application form?

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  11 месяцев назад

      www.uttamis.co.tz/forms/scheme_account_opening_form

    • @ongowi5701
      @ongowi5701 8 месяцев назад

      Asante kwa maelezo. Je mfano mimi nina account NMB bank nikishajaza form na kuwatumia online nikitaka kuanza kuchangia naweza hamisha hela kutoka NMB na kutuma huko UTT Amis au naweza kutuma kwa kutumia mfano mpesa au tigo pesa km namba ya simu niliyoandikisha wakati najaza form?