MFUKO WA UKWASI (LIQUID FUND)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Mr. Daudi Mbaga akielezea kwa kina jinsi mfuko wa Ukwasi unavyoweza kuwanufaisha wawekezaji wote.

Комментарии • 19

  • @boniphacegervas8118
    @boniphacegervas8118 2 месяца назад +5

    Kwanini hapo kwenye verification msifanye kama walivyo fanya DSE , weken sehem ya mtu kuweka no ya nida ili taarifa ziji update zenyewe maana kila no ya nida iko na picha

    • @uttamiss
      @uttamiss  2 месяца назад +1

      habari,
      Asante kwa mpendekezo tumepokea.

  • @komboratz
    @komboratz 2 месяца назад +5

    Naomba kujua kati ya mfuko ukwasi na bond upi mzuri zaidi

    • @mkiramwenitv6948
      @mkiramwenitv6948 2 месяца назад +6

      Yote Ni Mifuko Bora Na Mizuri Mnooo, Naona Katika UTT ni Moja Ya Mifuko Imara Na Bora, Ila Inautofauti Mdogo Sana, Maana Kwenye Bond Tunazungumzia Dhamani Za Serekali, But Kwenye UKWASI hapo pesa ikiingia inaenda kuwekezwa kwenye Dhamani, Mabank Na Makampuni, So Bond Inabezi kwenye Hatifungani tu za Serekali(Dhaman?, Kwa uelewa wangu,

  • @kelvinkileo-v3j
    @kelvinkileo-v3j Месяц назад +1

    Nitajuaje kama nimekamilisha usajilii na nimeukamikisha kwa usahihi??? Kwanini mtu akikamilisha usajili kwa kujaza form msimjulishe kwa sms au kwa namna yoyote ile?

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 2 месяца назад +2

    👏👏👏🙏🙏🙏🙏....UTT Mshirika hakika katika uwekezaji.

  • @othumntz6953
    @othumntz6953 2 месяца назад +3

    Aise vizuri sana nafanya mpango nakuja kuwekeza

    • @uttamiss
      @uttamiss  2 месяца назад +1

      Karibu sana.

    • @Elikiyosaki_
      @Elikiyosaki_ 2 месяца назад

      Make fast vipande vinakuwa value kila siku

  • @Sempchannel
    @Sempchannel Месяц назад +1

    Lazima niende CRDB, NMB haiwezekani?

    • @uttamiss
      @uttamiss  Месяц назад

      Habari, unaweza kuwekeza na NMB.

  • @estergasper
    @estergasper 2 месяца назад +2

    ❤❤❤

  • @HappyKamugisha
    @HappyKamugisha 29 дней назад

    Mm nmejisajir leo ila namba ya account inagoma af sasa nikitaka kutoa natoaje

  • @mosescompany5913
    @mosescompany5913 3 месяца назад +2

    💯..

  • @magrethzakaria7659
    @magrethzakaria7659 2 месяца назад +1

    Ukienda crdb utakutana na watoa huduma wa Utt na wanatoa elimu kuhusu hii mifuko?

  • @magemathingo3997
    @magemathingo3997 Месяц назад

    Jaman mm nna shida ya kutoa ela kwenye mfuko wa umoja na kupeleka kwenye mfuko wa ukwasi mnanisaidiaje

  • @mkiramwenitv6948
    @mkiramwenitv6948 2 месяца назад +1

    🎉

  • @GraceNkondola
    @GraceNkondola 2 месяца назад +1

    🎉