SIFA ZA MAKABILA YA TANGA:WADIGO,WASAMBAA,WABONDEI NA WAZIGUA/KITANDANI NI WABONDEI/WASAMBAA NI KAZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Follow us on instagram : / thinkers_tv
    : / utamu_wa_pwan
    Kwa Matangazo / Habari Tupigie/ Tuma ujumbe kwa namba 06 87 42 92 33
    #WADIGO
    #WASAMBAA
    #WABONDEI
    #WAZIGUA
    #UTAMUWAPWANI
    #TANGARAHA
    #TANGANAMAENDELEO
    #TANGAYETUSOTE
    #KARIBUTANGA
    #yanga #simba #wasafi #wcb #thinkerstv #milladayo #pwani#azamtv

Комментарии • 61

  • @user-du8qx9bs1b
    @user-du8qx9bs1b 9 месяцев назад +5

    Wziguwa oyeeeeeee❤❤❤ karibu handen

  • @user-sm6yx1wc7f
    @user-sm6yx1wc7f Месяц назад +1

    Mashallah bafurahi kuwa mzigua

  • @omikiss1868
    @omikiss1868 2 года назад +3

    Waoh mashallah
    Ukiachana na point ulizoongea Vazi pekee limekupa heshma kwa watu wa Tanga 👏👌🔥@the family twins Pongwa!!!

  • @fadhilarashidi5184
    @fadhilarashidi5184 2 года назад +5

    Asante kwa kusifia wasambaa

  • @hanagango6922
    @hanagango6922 5 месяцев назад +2

    Wazigua tupo vzr

  • @hamadimachiwa5074
    @hamadimachiwa5074 Месяц назад +1

    Kweli kabisa dada mimi pia mzigua la pili pia kuna wao zaliywa ulaya ni zigua la tatu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +3

    Wasambaa wanajua kutunza pesa na wapambanaji sanaaaa kwa biashara na kilimo hawachezei pesa hovyo na ni rahisi kuwa tajiri haraka wavumilivuwa ndoa kama wazigua

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +2

    Wazigua ni wanawake wazuri sanaaaa wavumilivu wa ndoa na ni wachapa kazi haswa

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 2 месяца назад +2

    Kwenye makabila yaliyotajwa nimependa wasambaa

    • @HamisiBatyli
      @HamisiBatyli Месяц назад

      Kaka mm mwenyewe wasambaa

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 Месяц назад

      @@HamisiBatyli natamani hata nipate mke wa kisambaa nawapenda sana😍😘

  • @munirakatua3909
    @munirakatua3909 Год назад +3

    Wasambaaa wapiiii

  • @johncharles5173
    @johncharles5173 11 месяцев назад +2

    Wabondei oyeee tujuane hapa

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 2 года назад +2

    Umeonaa eeh dadaangu ila inategemeana na mwanamke mwenyew ila kwa dunia ya sasa imepofoka macho

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +3

    Wadigo wasegeju hao ni mabomu hawafai kabisa kuoa na kama huna pesa hiyo kiboko wanakwenda hovyo sana na wapayukaji sana hawana siri kwa starehe ya kitandani kiboko lakini ni wavivu kazi wanapenda kuletewa wapike kujishughulisha na biashara pengine awe mchanganyiko wa kabila

    • @nelsonmwaipaja3727
      @nelsonmwaipaja3727 Год назад

      🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯💯

    • @mkasiali6956
      @mkasiali6956 Год назад

      Waogea..kamaumelala

    • @MariamMoudy
      @MariamMoudy 8 месяцев назад

      Dada mchele mmoja mapishi tofaut, mie mdigo na nina mume si tajiri wala si masikini ila now nina miaka 8 ya ndo na nina miaka 25

  • @fhnchjk5195
    @fhnchjk5195 11 месяцев назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Mm mziguwa

  • @jogoolajiji2499
    @jogoolajiji2499 Год назад

    Mashalla mtoto uko vizuri saana hebu niambie kama unamdogo wako

  • @zuberimkuba2324
    @zuberimkuba2324 2 года назад +2

    Wazigua

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 5 месяцев назад

    Swasawa wazigua

  • @ankaliankali2113
    @ankaliankali2113 2 года назад +1

    Wazigua Miti shamba tu,ndio inayowasaidia katika Ndoa zao

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 2 года назад

      konyoooooooo mitishamba iyo vepe ahahahhaaaa waache watot kizigua wavimbe

    • @sofina157
      @sofina157 Год назад

      Kabisa kaongea kwa ebb yeye mziguwa

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 2 месяца назад

      Dawa sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Na hao wabondei mlango wa nane nu wazuri sana wa maumbile upende usipende utaoa hata ukuambiwa vipi muingize ndani kila siku lile mara hili ni mikosi mitupu inaelekea kuna laana fulani hamuwi na mafanikio hata siku moja na kazi unaweza ukafukuzwa au kama una cheo ukashushwa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Wabondei ni kabila la wasomi sana mkoa wa tanga lakini ukitaka kuoa chunguza kwanza kuna wa mlango wa nane hao wana mikosi kibao kama ni kiongozi au ni mfanyakazi tu unaweza ukafukuzwa na asili yao kama chuma ulete lakini ni waaminifu sana hata maofisini waoga kuiba kwao hapana sijui iwe bahati mbaya sana tena kwa kushawishiwa hao ni waangilikana maana kusoma kwao kuliingia dhehebu hilo sana waingereza

  • @user-of1st9bh7h
    @user-of1st9bh7h Год назад

    Santa dada Mimi pia nimzigua da tatu zigua da kwanza wamo tanzania zigua da pili wamo somalia zigua da tatu wapo ulaya ulaya

  • @almurajjabuaswabbu250
    @almurajjabuaswabbu250 2 года назад

    Wabondei jaman

  • @abdullahzakaria2936
    @abdullahzakaria2936 2 года назад +1

    Teeee ambiwa

  • @rajaburamadhani9421
    @rajaburamadhani9421 2 года назад +1

    Wazigua oyoooo

  • @ummukhadija1551
    @ummukhadija1551 2 года назад

    Oyooooooo

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 2 года назад

    Umeongea kwel

  • @evermoris2794
    @evermoris2794 2 года назад

    Asant

  • @sofina157
    @sofina157 Год назад

    Sio kwer mwenyewe mtanga najuwa mambo huko tanga mziguwa mbondei mmmmmm

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 Год назад +1

    Wasambaa na niwachumii ukiowa mwanamke wakisambaa utajiri fasta

  • @sofina157
    @sofina157 Год назад

    Muongo vyengine waziguwa mmmm

  • @hadija_makange
    @hadija_makange Год назад

    Kwahy wasambaa kwenye mapenzi hatupo zai wewe nakuja chukuwa nguo alafu clipi

  • @amirymbilimo448
    @amirymbilimo448 Год назад

    Mzigua ana kitu acha uwongo

  • @ashazuber9620
    @ashazuber9620 2 года назад

    Wazigua mmmmwaaaaa

  • @user-sm6yx1wc7f
    @user-sm6yx1wc7f Месяц назад

    Kama una ndugu yako naomba niambie

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Makabila ya hovyo kabisa mkoa wa tanga ni wadigo na wasegeju ushirikina ndiyo ehhhhhhhh kiboko hao ndiyo mufilisi kabisa kuliko hata hao wabondei mlango wa nane

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 2 года назад

    Wazigua umechemka waongo Sana na niwahuni