Mzee Mwinyikai | Nina miaka 106 | wadigo, wakikuyu na wabajuni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 59

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 4 года назад +5

    Masha Allah, elimu nzuri Sheik Mwakidudu na Mzee wetu awazidishie elimu na maisha marefu na mema apa duniani na kesho akhera Amiin Thumma Amiin

  • @chotaramswahili2835
    @chotaramswahili2835 3 года назад +10

    Nina shaka sana na historia ya wadigo namna anavyoeleza huyu mzee..namweshimu ila sikubaliani naye ..hususan kipengele cha Mombasa..sikweli kwamba mtu mweupe alimtangulia mdigo mombasa..nitafteni kwa majadiliano zaidi

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 3 года назад +2

      Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh 🙏🏽

    • @chotaramswahili2835
      @chotaramswahili2835 3 года назад +1

      @@mhmd-bn-asdllah walikumussalam

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 3 года назад +2

      Ningependa kujadiliana na wewe kuhusu historia ya mdigo sijui tutawasilianaje?

    • @saidomar1882
      @saidomar1882 2 года назад +2

      Hapo bro uko sawa coz watu weupe walichakachua historia ili waonekane wao walikuja kabla mtu mweusi

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Год назад

      Mdigo walikuja nyuma wadigo walikuja wakati walipokua na vita wao na waorma ama wagala kwa hio wadigo walikuja wakawakuta waswahili na mwarabu pia alivo kuja walikuta waswali

  • @hemedmraba6326
    @hemedmraba6326 4 года назад +3

    MASHALLAH Father kazi nzuri DIGO NI TRIBE KUBWA NA IKO INAISTORIA KUBWA SANA..WADIGO WALIINGIA MOMBASA MWAKA WA 1573

  • @kombogambare3574
    @kombogambare3574 3 года назад +3

    Mimi ni mkina Ngome Natizama nikiwa Kuliko toka Wadigo (Gulf)

  • @ayushachidau6758
    @ayushachidau6758 4 года назад +4

    Assalam alaikum 😍nakupenda kwa ajili ya Allah mungu awazidishie inshaallah

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi97 3 года назад +3

    Babu ametuchanganya japo kuna mengine ni sahihi lkn hili la mdigo ametoka uarabuni ,ni stori ndefu sana ,hapo kamamtu hajasoma histry nivigumu kimuelewa ,

  • @jumamraba5391
    @jumamraba5391 3 месяца назад

    Mashallah mzee, mwinyi mm mdido fuko langu mdziriphe,bt swali langu mbona wadigo nasikia walitoka tanga?na hali wasema wanatoka makkah

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Год назад

    Mzee hapo wakikuyu na wabajuni ni urongo mbajuni yuko kitambo tangu wareno hawajifika mzee story yako yakirongo

  • @hassanmatano3567
    @hassanmatano3567 3 года назад +3

    Do hapo shaka kubwa mzee babu historia hamna mdigo alitoka makkah) Mtangazaji unaongea sana

  • @kvfihf6324
    @kvfihf6324 3 года назад +2

    Imenigusa sana wadigo walikua kama watumwa

  • @kenyantech9728
    @kenyantech9728 5 месяцев назад

    Mzee u mrongo tsona sana kaya ya adigo ni kongo. Ichikala wagomba adigo atuluka mecca hara amidzichenda anjina ni wa kulaphi? Maan lugha ya amidzichenda ni hiyo mwenga ni variation kidogo tu.

  • @salimmohamedsalim4448
    @salimmohamedsalim4448 4 года назад +2

    Ndivyo sheikh

  • @moramtanga-dar7372
    @moramtanga-dar7372 2 года назад +2

    Swali ivi wagunya ndio hao hao wabaajun

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Год назад

      Hakuna wagunya wale ni wabajuni ila mzee kadanganya mbajuni wako zaidi ya mika elfu na makabila yote walipokuja waliwakuja wabajuni na watikuu

  • @gomakuu
    @gomakuu 3 года назад

    Shukran sana kwa taarifa hii mashallah

  • @nurdinathuman478
    @nurdinathuman478 3 года назад +1

    Mashallah shukran niukweli kabisa mzee wetu kaongea ukweli wadigo watoka Maka ndio chimbuko yuwaijua istoria kweli coz simara yakwanza kusikia huyu mzee akiongea hivo Kuna mwalimu wetu mmoja mbajun mashallah na yeye pia ni mtu wa reach aliwahi kutuambia ivyo ivyo wadigo chimbuko lao ni makkah

  • @iky183
    @iky183 3 года назад +2

    Aya na Mimi baba ndo mdigo wa msambweni .niko kundi lipi?

  • @anthonymwathi839
    @anthonymwathi839 3 года назад +3

    Hahaha...uongo mtupu mzee..wadigo wametoka Congo..wadigo ni wabantu...wadigo ati walitoka Mecca...huo uwongo mzee...wadigo ni miji Kenda

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 3 года назад

      Shungwaya n kwa mbajuni

    • @anthonymwathi839
      @anthonymwathi839 3 года назад

      @@mhmd-bn-asdllah Mbajuni ni nani...hawa asilia ya waarabu...kwa arabuni..Africa ni ya watu weusi..nywele ngumu...zako porojo

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 3 года назад +1

      Muarabu ni muarabu mbajuni ni mbajuni

    • @anthonymwathi839
      @anthonymwathi839 3 года назад

      @@mhmd-bn-asdllah Haya maandishi yako si kiarabu...remnants wa kiarabu

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 3 года назад +1

      Kiarabu lugha tu hata wewe weza jisomesha

  • @aishasalimaishasalim1323
    @aishasalimaishasalim1323 3 года назад +1

    Jamani nisaidieni
    Mmsijielewi kabilagan
    Ila mamayangu mganda
    Babayangu I uohukoowamzeemwansimba inamaana wadigo sasammnitakuwawap.. 😢
    Kwa anayejuwa sokwaubaya.. 😢

  • @muonlinetv1879
    @muonlinetv1879 Год назад

    Mbona una haraka kuhoji unaohoji uambiwe ama tiyari ulikua unajua sijapenda interview yake

  • @sellamwani7300
    @sellamwani7300 2 года назад

    Hawa watu wa makah,inakuaje lugha Yao ni sawa na wgiriama,wachonyi,waswahili,waduruma!huyu jamaa msanii.nyele ngumu hizo ataka dandia!wadigo wabantu waafrika.

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 4 года назад +2

    Shukran kwa kutuelimisha mi cjui fuko langu mpaka nimuulize mama😂😂

  • @Wastara001
    @Wastara001 3 года назад +2

    Mtangazaji unaongea sanaaaaaa

  • @allymadunda7931
    @allymadunda7931 3 года назад +1

    Mkimbizi mdigo kumbe

  • @nyembomajid1262
    @nyembomajid1262 10 месяцев назад

    nasikia mzee anasema mambasa sio mombasa nyinyi mnaeita mombasa na huyo mzee anaeita mambasa nani mkweli?

  • @colonelghadafi.4806
    @colonelghadafi.4806 3 года назад +1

    Wacha kutu potosha mdigo n mu bantu chimbuko lake Congo

    • @michaelmwakibo
      @michaelmwakibo 3 года назад

      Nashangaa eti mdigo alitoka Makka !

    • @habelchome1680
      @habelchome1680 Год назад

      Na ni mijikenda hadithi za mekha ni za abunuwasi

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 4 года назад +1

    Langu ni mdziriphe

  • @onemanshow1851
    @onemanshow1851 3 года назад +4

    "Mdigo alitoka Makka ndio akaja shungwaya"Babu😂😂😂😂😂😂😂..Salaaaalah!!!!..Sio kilamzee anabusara hata wajinga huzeeka.

    • @colonelghadafi.4806
      @colonelghadafi.4806 3 года назад

      Duuh ati wadigo wali toka makka😁😁

    • @zolongOne
      @zolongOne 3 года назад

      😂😂😂

    • @mrjarso
      @mrjarso 3 года назад

      😂😂😂😂 duh! Makkah? hekaya!

  • @nyembomajid1262
    @nyembomajid1262 10 месяцев назад

    mwarab ni mtu wakwanza kufika Africa baadae mzungu akatuweka fikra mbovu eti mwarab mtu mbaya

  • @muonlinetv1879
    @muonlinetv1879 Год назад

    Unaongea sana

  • @gomakuu
    @gomakuu 3 года назад

    Nina habari nzuri hapa ya Wasegeju;ruclips.net/video/BUDcnuZjsR0/видео.html