UTAMU WA PWANI: MKIWAOA WATOTO WA WATU MSIWAPELEKE KWENU/WAKE HAWABEBI MIMBA KWA KAZI/MSIWADEKEZE!!
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Follow us on instagram : / thinkers_tv
: / utamu_wa_pwan
Kwa Matangazo / Habari Tupigie/ Tuma ujumbe kwa namba 06 87 42 92 33
#UTAMUWAPWANI
#TANGARAHA
#TANGANAMAENDELEO
#TANGAYETUSOTE
#KARIBUTANGA
#yanga #simba #wasafi #wcb #thinkerstv #milladayo #pwani#azamtv
Mashallah nawapenda sana 😃😃maneno kuntu sana
Finally, nimewamiss sana wanadada.
Mna maneno ya msingi dada zangu❤️
The team is back 💪
Yas we back❤️
Yey I have missed you so much welcome back.
😊 thank you
Asante Sana tunawapenda mno
Longtime na kuwamis
Mm Inshallah nikipata mume wakuniowa kama anakaa kwao sito kubali maana napenda kujiachia sitaki tabu tuliwamisi sana😘
Tuko wote mamy. Mm pia siwezi kujibana na niliolewa nikakaa ukweni. Nilishindwa ndoa ilivunjika.
@@tamemahmad9902 mwezangu haiwezakani kabisa siku unatamani kushinda na chupi ushindwa
🤣🤣🤣 wallah mmenifurahisha
asanteni kwa darasa hili
Yaaaaani tumewamissi! Tunawapenda saaana!
Tunakupenda pia
Haaaaaaaaa jamani dada zangu ninamuomba mwenyezi mungu awabariki mumenifurahisha maneno sadakta yote hayo yalinikuta miye kama nime watuma minipelekee salamu imewafikiya
Leo mmenifurahisha kwa kweli
Asante
Swadakta nikweli
Asante
❤
Habari ndo hiyooo
Kweli mambo yako majumbani 🤣🤣🤣kwetu pasuwa majipu shongaangu
Welcome back
Welcome back
Welcome back
Welcome back
Welcome back
Welcome back
Thanks
Asante love
Kusema ukwe vile mwasema yashawai nikuta hayo yote!Kunasiku nishwawai kuwa mgonjwa sijiwezi nikaambiwa najifanya.ilibidi nikamcl dadangu acom anipeleke hosi.mimi niliacha hio marriage mpaka sahii niko na 6yrs tangu tuachane
pole sana
Duh aise Pole akinyi
Tupo wote mami hata mm yalinikuta. Niliumwa presha ya kushuka nikawa naanguka napoteza fahamu. Mwisho wa siku nilisamehe ndoa. Huu mwaka wa 5 nipo na mwanangu.
@@tamemahmad9902 Amen God akutie nguvu na jua akona mpango mzuri kwako .
@@nelsonmandela7654 thnks sana nishapoa
Swadakta
🥰😘
Mlipotea kwa kipindi kirefu sana.
Karibuni tena mjini Makungwi wetu.
Asante nilikuwa naumwa nilipumzishwa na daktari
@@malikiawahuba6500 love you dadangu 😘😘😘
Nimewa miss
Jamani mmeolewa au? Tambueni jamani maana nyie kunaonekana ni mbegu kubwa tunanaugwadu baraa
Shkamooni na nimefurahi mumerudi kwa kasi
Marahaba Asante tunawapenda wote
Pambee
❤️
Jamani me nawapenda. Mpaka naumwa
Madada warembo hawa.
Na maneno matamu na ya kweli!!