UTAMU WA PWANI: MKIWAOA WATOTO WA WATU MSIWAPELEKE KWENU/WAKE HAWABEBI MIMBA KWA KAZI/MSIWADEKEZE!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Follow us on instagram : / thinkers_tv
    : / utamu_wa_pwan
    Kwa Matangazo / Habari Tupigie/ Tuma ujumbe kwa namba 06 87 42 92 33
    #UTAMUWAPWANI
    #TANGARAHA
    #TANGANAMAENDELEO
    #TANGAYETUSOTE
    #KARIBUTANGA
    #yanga #simba #wasafi #wcb #thinkerstv #milladayo #pwani#azamtv

Комментарии • 45

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 2 года назад +3

    Mashallah nawapenda sana 😃😃maneno kuntu sana

  • @mariamabou3553
    @mariamabou3553 2 года назад +3

    Finally, nimewamiss sana wanadada.

  • @soniamshimu7491
    @soniamshimu7491 2 года назад +4

    Mna maneno ya msingi dada zangu❤️

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 2 года назад +3

    The team is back 💪

  • @fatumadiriye6162
    @fatumadiriye6162 2 года назад +2

    Yey I have missed you so much welcome back.

  • @susanakinyi
    @susanakinyi 2 года назад +6

    Longtime na kuwamis

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 года назад +2

    Mm Inshallah nikipata mume wakuniowa kama anakaa kwao sito kubali maana napenda kujiachia sitaki tabu tuliwamisi sana😘

    • @tamemahmad9902
      @tamemahmad9902 2 года назад

      Tuko wote mamy. Mm pia siwezi kujibana na niliolewa nikakaa ukweni. Nilishindwa ndoa ilivunjika.

    • @dottohamisi9844
      @dottohamisi9844 2 года назад

      @@tamemahmad9902 mwezangu haiwezakani kabisa siku unatamani kushinda na chupi ushindwa

  • @phatmahsulleiman9334
    @phatmahsulleiman9334 2 года назад +3

    🤣🤣🤣 wallah mmenifurahisha

  • @jafarifadhili148
    @jafarifadhili148 2 года назад

    asanteni kwa darasa hili

  • @PinkPetals1
    @PinkPetals1 2 года назад +4

    Yaaaaani tumewamissi! Tunawapenda saaana!

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Haaaaaaaaa jamani dada zangu ninamuomba mwenyezi mungu awabariki mumenifurahisha maneno sadakta yote hayo yalinikuta miye kama nime watuma minipelekee salamu imewafikiya

  • @aminabakar9248
    @aminabakar9248 2 года назад +3

    Leo mmenifurahisha kwa kweli

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 года назад +2

    Swadakta nikweli
    Asante

  • @fatumadiriye6162
    @fatumadiriye6162 2 года назад +3

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 2 года назад

    Habari ndo hiyooo

  • @ashachai3416
    @ashachai3416 2 года назад +2

    Kweli mambo yako majumbani 🤣🤣🤣kwetu pasuwa majipu shongaangu

  • @mwinyibakarisenkopwa931
    @mwinyibakarisenkopwa931 2 года назад +2

    Welcome back
    Welcome back
    Welcome back
    Welcome back
    Welcome back
    Welcome back

  • @susanakinyi
    @susanakinyi 2 года назад +4

    Kusema ukwe vile mwasema yashawai nikuta hayo yote!Kunasiku nishwawai kuwa mgonjwa sijiwezi nikaambiwa najifanya.ilibidi nikamcl dadangu acom anipeleke hosi.mimi niliacha hio marriage mpaka sahii niko na 6yrs tangu tuachane

    • @ThinkersTVOnline
      @ThinkersTVOnline  2 года назад +1

      pole sana

    • @nelsonmandela7654
      @nelsonmandela7654 2 года назад

      Duh aise Pole akinyi

    • @tamemahmad9902
      @tamemahmad9902 2 года назад +1

      Tupo wote mami hata mm yalinikuta. Niliumwa presha ya kushuka nikawa naanguka napoteza fahamu. Mwisho wa siku nilisamehe ndoa. Huu mwaka wa 5 nipo na mwanangu.

    • @susanakinyi
      @susanakinyi 2 года назад

      @@tamemahmad9902 Amen God akutie nguvu na jua akona mpango mzuri kwako .

    • @susanakinyi
      @susanakinyi 2 года назад

      @@nelsonmandela7654 thnks sana nishapoa

  • @meremishery3470
    @meremishery3470 2 года назад

    Swadakta

  • @halimamvungi6956
    @halimamvungi6956 2 года назад

    🥰😘

  • @mwinyibakarisenkopwa931
    @mwinyibakarisenkopwa931 2 года назад +3

    Mlipotea kwa kipindi kirefu sana.
    Karibuni tena mjini Makungwi wetu.

  • @mwanajuma108
    @mwanajuma108 2 года назад +2

    Nimewa miss

    • @anasmalik6761
      @anasmalik6761 Год назад

      Jamani mmeolewa au? Tambueni jamani maana nyie kunaonekana ni mbegu kubwa tunanaugwadu baraa

  • @chakacamps9886
    @chakacamps9886 2 года назад +2

    Shkamooni na nimefurahi mumerudi kwa kasi

  • @ummymuzda6854
    @ummymuzda6854 2 года назад +2

    Pambee

  • @njeriratliff5918
    @njeriratliff5918 2 года назад

    Madada warembo hawa.
    Na maneno matamu na ya kweli!!