Mimi niko Bara ila nawapenda sana ndugu zangu wa Zanzibari. Naumia sana Mzanzibari kukosa Khaki na nchi yake. Allah amrehemu Maalim Seif Sharif. Na pia Allah ampe nguvu Makamu wa kwanza wa Rais awe na uchungu na Wazanzibari na Waislam kwa ujumla. Ameen
"Amin amin kwa bashasha na shawq ya furaha na matumaini mema na ya kiwango kizuri ktk kumchambua na kuzidi kueleweka.. Umahiri na weledi wke Mhe. Othman Masoud.. Allah akupeni tawfiyq na qabul ya maelezo yenu.. naishallah ajalie izidi husnidhan yake ktk juhudi ya mashirikiano mema na ufanisi kwa Viongozi wnzake na kwa mustaqbal wa neema na rehma na amani ya Kisiwa pmja na watu wake.. amin"
Wallahi hii historia raha mpaka ninalia kwa kutokwa na machozi dah! Huu mwamba aiseee maalim Allah akurehemu huko uliko.kiukweli hapa huja poteza maalim.
@@alkhuzairytune umesema sahihi kabisa. Kila mara akizungumza huwa anasema amejifunza kwa Maalim Seif. Na anasema yeye hawezi kuvaa viatu vya Maalim lakini atajaribu kuziendeleza ndoto za Kiongozi wake. Tumuunge mkono tu.
Wala Othman hasemi kuwa yeye ndo Maalim mpya. Siku zote anasifu uwezo na karama za Maalim alizopewa na Allah. Tusiseme maneno ya kukatisha tamaa. Ni maoni yangu tu lakini🙏
Assalaam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Allah amuwezeshe na ampe nguvu, amthibitishe kwenye haki na uadilifu. Allah humnyanyua amtakae na humshusha amtakae, hakika yeye juu ya kila kitu ni muweza. Mheshimiwa alijitahidi na Allah akamsaidia. Historia yake ni fundisho kwa vijana wetu. Allah ambaarik na amuhifadhi. Shkrn alfatah tumefurahia kuona kijiji chetu PANDANI.
Hatutaki porojo la sifa au majigambo sie tunataka maendeleo .viwanda na majengo ya kisasa na mji ungare na majengo ya michenzan pamoja na mji mkongwe na majengo ya mjeruman muyapake japo chokaa yote na muyakarabat . Mana sifa za mtu sio maneno ni vitendo visivyo kera . Matendo ndio tunayataka afayanye .Acheni upuuzi
Miaka mingapi mupo CCM mbona hamukuyafanya hayo unayoyataka. Bahati ni kuja na Dr Hussain Mwinyi Na kaona kuwa sitoweza kuendelea ama kuendesha nchi bila ACT Kwa hiyo subiri uangalie.
Mungu mbariki mh othman masoud othman sharrif pamoja na wazanzibar wote aaaamin
Amin
Mmefanya jambo zuri mno Al Fatah..Allah akulipeni kheri
Hatana mm pia nimemkubali nanimempokea kwsmikpno miwili
Allah amfanyie wepesi zaidi na zaidi yarab 👐👐👐Allah amrehem Maalim Seif sharif Hamad😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Amin
Mimi niko Bara ila nawapenda sana ndugu zangu wa Zanzibari. Naumia sana Mzanzibari kukosa Khaki na nchi yake.
Allah amrehemu Maalim Seif Sharif.
Na pia Allah ampe nguvu Makamu wa kwanza wa Rais awe na uchungu na Wazanzibari na Waislam kwa ujumla. Ameen
i think alfatah is a tv channel that has professionals, i'm the person who loves his works, they have better quality, i really love
Kazi nzuri kaka yangu, Ustadh Rashid Salim.
Tupo pamoja Maalim wangu Ali Hilal
Maashaallah.. "Alfatah tv"Mungu akulipeni kila Kheri Mnazo fanya Inshaallah!
Ma sha Allah mtangazaji studio anasauti nzuri.
Anamustakbal nzuri
Tunashukuru, audio na video 1st class. ZBC waje kusoma kwenu.
Nimependa Ubunifu wenu Alfattah tv
Manshaallah kazi nzuri alfatah ebu mtuonesheni wapiga picha wenu nama editors wenu tuwajue mana mna wanafanya kazi nzuri sana Everyday.
"Amin amin kwa bashasha na shawq ya furaha na matumaini mema na ya kiwango kizuri ktk kumchambua na kuzidi kueleweka.. Umahiri na weledi wke Mhe. Othman Masoud.. Allah akupeni tawfiyq na qabul ya maelezo yenu.. naishallah ajalie izidi husnidhan yake ktk juhudi ya mashirikiano mema na ufanisi kwa Viongozi wnzake na kwa mustaqbal wa neema na rehma na amani ya Kisiwa pmja na watu wake.. amin"
Nyie Alfatah si muende mukawafundishe na ZBC
Wallahi hii historia raha mpaka ninalia kwa kutokwa na machozi dah! Huu mwamba aiseee maalim Allah akurehemu huko uliko.kiukweli hapa huja poteza maalim.
Othman ni mtu hodari sana lkn maalim is a different story no body can fit like maalim allah amrehem maalim seif
Hakuna mashindani. Lazima nafasi ya Maalim ichukuliwe. Na yeye mwenyewe Othman kasema hawezi kuvaa viatu vya Maalim
@@alkhuzairytune umesema sahihi kabisa. Kila mara akizungumza huwa anasema amejifunza kwa Maalim Seif. Na anasema yeye hawezi kuvaa viatu vya Maalim lakini atajaribu kuziendeleza ndoto za Kiongozi wake. Tumuunge mkono tu.
Wala Othman hasemi kuwa yeye ndo Maalim mpya. Siku zote anasifu uwezo na karama za Maalim alizopewa na Allah. Tusiseme maneno ya kukatisha tamaa. Ni maoni yangu tu lakini🙏
Endeleeni ivoivo alfatah muko no 1 znz km si tz nzima
Umesahau kama kuna millard ayo
Masha Allah m mungu akilipeni kheri
Congratulation alfatah TV
Dr. Hussein.... Wananchi, Wananchi..Wananchi.
Hongera kaka mbwana aly mtangazaji ninae kukubali
Assalaam alaykum
Picha muliyotoa ya Maalim Seif akiwa na Mh.Ismail Jussa ni Hamad Mmanga sio Mh. Masud Othman.
Hakika picha wanayotumia sio Othman ni Hamad mmanga.
Ndo nashangaa maana Maalim hakuwai kupiga pc na Othman
Asante karashid mmetufanya kuona kila kitu kwa uwazi kabisa
Mashaa Allah
Kazi nzuriii...
Mungu akuhifadhi Makamo wa Kwanza wa Rais.
Mwalim wangu said Masoud chechei
💜💜💜💜💜💜❤❤❤
Nikwl nikongozi bora
Shukraan sana Al fatah
Tuna shukuru sana kwa ushirikiano wenu.
Assalaam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Allah amuwezeshe na ampe nguvu, amthibitishe kwenye haki na uadilifu. Allah humnyanyua amtakae na humshusha amtakae, hakika yeye juu ya kila kitu ni muweza. Mheshimiwa alijitahidi na Allah akamsaidia. Historia yake ni fundisho kwa vijana wetu. Allah ambaarik na amuhifadhi. Shkrn alfatah tumefurahia kuona kijiji chetu PANDANI.
Ah mwalim binkungawee umeongy kweli tupu
Kuna makosa mengi... hiyo picha ni jussa, maalim seif na hamad mmanga.
Mambo ya mitandao hayo!
Lakini Ile picha no jamaa anaitwa hamadi mmanga hapo mmechanganya madawa
Naona kikitia kipemba shemge
Miti-ulaya shule yangu mmeimiss
Skuli yako.
Yp nilifeli f4 2012
Hatutaki porojo la sifa au majigambo sie tunataka maendeleo .viwanda na majengo ya kisasa na mji ungare na majengo ya michenzan pamoja na mji mkongwe na majengo ya mjeruman muyapake japo chokaa yote na muyakarabat . Mana sifa za mtu sio maneno ni vitendo visivyo kera . Matendo ndio tunayataka afayanye .Acheni upuuzi
Miaka mingapi mupo CCM mbona hamukuyafanya hayo unayoyataka.
Bahati ni kuja na Dr Hussain Mwinyi
Na kaona kuwa sitoweza kuendelea ama kuendesha nchi bila ACT
Kwa hiyo subiri uangalie.
Punguza choyo
Punguza hasad
Nyote mumezaliwa 1995
@@FreedomOfSpeechToAll kwani huyo MWINYI si mzanzibar et au mumesaha . Akili za kuku . Au ndio ubauguz sasa munaumbuka
Wanafanana hata kuongea
p