MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU Mhe OTHMAN MASOUD OTHMAN MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 65

  • @khamisjuma5481
    @khamisjuma5481 3 года назад +9

    Mungu mbariki mh othman masoud othman sharrif pamoja na wazanzibar wote aaaamin

  • @mfungwahuru
    @mfungwahuru 3 года назад +14

    Mmefanya jambo zuri mno Al Fatah..Allah akulipeni kheri

    • @aishaaisharagp9381
      @aishaaisharagp9381 3 года назад

      Hatana mm pia nimemkubali nanimempokea kwsmikpno miwili

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 года назад +9

    Allah amfanyie wepesi zaidi na zaidi yarab 👐👐👐Allah amrehem Maalim Seif sharif Hamad😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 3 года назад +3

    Mimi niko Bara ila nawapenda sana ndugu zangu wa Zanzibari. Naumia sana Mzanzibari kukosa Khaki na nchi yake.
    Allah amrehemu Maalim Seif Sharif.
    Na pia Allah ampe nguvu Makamu wa kwanza wa Rais awe na uchungu na Wazanzibari na Waislam kwa ujumla. Ameen

  • @danielkahambo207
    @danielkahambo207 3 года назад +12

    i think alfatah is a tv channel that has professionals, i'm the person who loves his works, they have better quality, i really love

  • @AllyHilal
    @AllyHilal 3 года назад +6

    Kazi nzuri kaka yangu, Ustadh Rashid Salim.

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 3 года назад

    Maashaallah.. "Alfatah tv"Mungu akulipeni kila Kheri Mnazo fanya Inshaallah!

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid7910 3 года назад

    Ma sha Allah mtangazaji studio anasauti nzuri.
    Anamustakbal nzuri

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 3 года назад +5

    Tunashukuru, audio na video 1st class. ZBC waje kusoma kwenu.

  • @jumafaki1697
    @jumafaki1697 3 года назад +3

    Nimependa Ubunifu wenu Alfattah tv

  • @rahmaabdallah5114
    @rahmaabdallah5114 3 года назад +7

    Manshaallah kazi nzuri alfatah ebu mtuonesheni wapiga picha wenu nama editors wenu tuwajue mana mna wanafanya kazi nzuri sana Everyday.

    • @masoudsaid4629
      @masoudsaid4629 3 года назад +1

      "Amin amin kwa bashasha na shawq ya furaha na matumaini mema na ya kiwango kizuri ktk kumchambua na kuzidi kueleweka.. Umahiri na weledi wke Mhe. Othman Masoud.. Allah akupeni tawfiyq na qabul ya maelezo yenu.. naishallah ajalie izidi husnidhan yake ktk juhudi ya mashirikiano mema na ufanisi kwa Viongozi wnzake na kwa mustaqbal wa neema na rehma na amani ya Kisiwa pmja na watu wake.. amin"

  • @khalidfadhil9488
    @khalidfadhil9488 3 года назад +9

    Nyie Alfatah si muende mukawafundishe na ZBC

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 3 года назад

    Wallahi hii historia raha mpaka ninalia kwa kutokwa na machozi dah! Huu mwamba aiseee maalim Allah akurehemu huko uliko.kiukweli hapa huja poteza maalim.

  • @ammaryassir8662
    @ammaryassir8662 3 года назад +10

    Othman ni mtu hodari sana lkn maalim is a different story no body can fit like maalim allah amrehem maalim seif

    • @alkhuzairytune
      @alkhuzairytune 3 года назад +1

      Hakuna mashindani. Lazima nafasi ya Maalim ichukuliwe. Na yeye mwenyewe Othman kasema hawezi kuvaa viatu vya Maalim

    • @ZanzibarKamiliTV
      @ZanzibarKamiliTV 3 года назад

      @@alkhuzairytune umesema sahihi kabisa. Kila mara akizungumza huwa anasema amejifunza kwa Maalim Seif. Na anasema yeye hawezi kuvaa viatu vya Maalim lakini atajaribu kuziendeleza ndoto za Kiongozi wake. Tumuunge mkono tu.

    • @ZanzibarKamiliTV
      @ZanzibarKamiliTV 3 года назад

      Wala Othman hasemi kuwa yeye ndo Maalim mpya. Siku zote anasifu uwezo na karama za Maalim alizopewa na Allah. Tusiseme maneno ya kukatisha tamaa. Ni maoni yangu tu lakini🙏

  • @rashidkhalfan7556
    @rashidkhalfan7556 3 года назад +1

    Endeleeni ivoivo alfatah muko no 1 znz km si tz nzima

  • @nassorchollo4708
    @nassorchollo4708 3 года назад

    Masha Allah m mungu akilipeni kheri

  • @aminahaji7084
    @aminahaji7084 3 года назад +1

    Congratulation alfatah TV

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 года назад +1

    Dr. Hussein.... Wananchi, Wananchi..Wananchi.

  • @swalehhamad8947
    @swalehhamad8947 3 года назад

    Hongera kaka mbwana aly mtangazaji ninae kukubali

  • @zahoralkharusi727
    @zahoralkharusi727 3 года назад +4

    Assalaam alaykum
    Picha muliyotoa ya Maalim Seif akiwa na Mh.Ismail Jussa ni Hamad Mmanga sio Mh. Masud Othman.

    • @osmanha6915
      @osmanha6915 3 года назад

      Hakika picha wanayotumia sio Othman ni Hamad mmanga.

    • @sudaissoud3670
      @sudaissoud3670 3 года назад

      Ndo nashangaa maana Maalim hakuwai kupiga pc na Othman

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад

    Asante karashid mmetufanya kuona kila kitu kwa uwazi kabisa

  • @mohammedsuleiman5066
    @mohammedsuleiman5066 3 года назад +1

    Mashaa Allah

  • @kudrahalfan5767
    @kudrahalfan5767 3 года назад

    Kazi nzuriii...

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 года назад +2

    Mungu akuhifadhi Makamo wa Kwanza wa Rais.

  • @saumsaum1660
    @saumsaum1660 3 года назад +1

    Mwalim wangu said Masoud chechei

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 года назад +2

    💜💜💜💜💜💜❤❤❤

  • @HaythamHaythamramadhan
    @HaythamHaythamramadhan 6 месяцев назад

    Nikwl nikongozi bora

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 года назад +1

    Shukraan sana Al fatah

    • @alfatahcharitableassociati18
      @alfatahcharitableassociati18 3 года назад +2

      Tuna shukuru sana kwa ushirikiano wenu.

    • @samohazakwani6899
      @samohazakwani6899 3 года назад

      Assalaam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Allah amuwezeshe na ampe nguvu, amthibitishe kwenye haki na uadilifu. Allah humnyanyua amtakae na humshusha amtakae, hakika yeye juu ya kila kitu ni muweza. Mheshimiwa alijitahidi na Allah akamsaidia. Historia yake ni fundisho kwa vijana wetu. Allah ambaarik na amuhifadhi. Shkrn alfatah tumefurahia kuona kijiji chetu PANDANI.

  • @zamzamrashid9534
    @zamzamrashid9534 3 года назад +1

    Ah mwalim binkungawee umeongy kweli tupu

  • @TheBlkk100mk
    @TheBlkk100mk 3 года назад +1

    Kuna makosa mengi... hiyo picha ni jussa, maalim seif na hamad mmanga.

  • @talibsaid8081
    @talibsaid8081 3 года назад

    Lakini Ile picha no jamaa anaitwa hamadi mmanga hapo mmechanganya madawa

  • @ahmedjuma2674
    @ahmedjuma2674 3 года назад

    Naona kikitia kipemba shemge

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza2651 3 года назад +1

    Miti-ulaya shule yangu mmeimiss

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +1

    Hatutaki porojo la sifa au majigambo sie tunataka maendeleo .viwanda na majengo ya kisasa na mji ungare na majengo ya michenzan pamoja na mji mkongwe na majengo ya mjeruman muyapake japo chokaa yote na muyakarabat . Mana sifa za mtu sio maneno ni vitendo visivyo kera . Matendo ndio tunayataka afayanye .Acheni upuuzi

    • @FreedomOfSpeechToAll
      @FreedomOfSpeechToAll 3 года назад +1

      Miaka mingapi mupo CCM mbona hamukuyafanya hayo unayoyataka.
      Bahati ni kuja na Dr Hussain Mwinyi
      Na kaona kuwa sitoweza kuendelea ama kuendesha nchi bila ACT
      Kwa hiyo subiri uangalie.

    • @khalidfadhil9488
      @khalidfadhil9488 3 года назад +1

      Punguza choyo

    • @mimiapa8436
      @mimiapa8436 3 года назад

      Punguza hasad

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 3 года назад

      Nyote mumezaliwa 1995

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 3 года назад

      @@FreedomOfSpeechToAll kwani huyo MWINYI si mzanzibar et au mumesaha . Akili za kuku . Au ndio ubauguz sasa munaumbuka

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 года назад +2

    Wanafanana hata kuongea

  • @abuunuswaibahahmadi8288
    @abuunuswaibahahmadi8288 3 года назад

    p