ALLY KAMWE" TUNAUTAKA UBINGWA WA AFRIKA/WAKIWEKA KICHWA TUNAWEKA MGUU/BALEKE HAYUPO YANGA/AZIZ KI..
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Leo July 17,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC.
Aidha Ally Kamwe amesema kikosi chao kimekamilika kwa Asilimia zote na kipo tayari kutoa ushindani mkubwa kwenye mashindano yote watakayoshiriki na watafanya vizuri
Big upAlikamwa unajuakujieleza wengine waige
Mwenyekiti kwenye Ubora wako🙌🙌🙌🙌
Hatali sana
Kabsa
Jeans mbona tena hatumuoni mpenja jaman 😢😢
Weee Jamaaa Wewe😂😂😂😂
Ndioooooooo
Yanga Bingwa Tena
Labda bingwa bia walimu wenu wa Mpira Lunyasi wamerudi Tena jiandaeni kumshitaki Karia na TFF yake😅😅😅😅
Kwani jeni kishai yuko wapi
WACHAMBUZI HAWAIWEZI KUIDHOOFISHA YANGA HAWAJITAMBUI. UNAVYOZIDI KUIKOROFISHA YANGA NDIPO MNAPOOMBA KUFUNGWA 2O. YANGA INAPAA JUU KILELENI. 🎉
Uyu Jamaa katoka Tukuyuu kiswahili chakeeeee
Tuombe radhi wa tukuyu
Wewe mwenyewe hujui kiswahili sio UYU ni HUYU sawa kolo
Hata shuleni walimu wetu huwa hatuwaamini lakini walimu wageni kuwaogopa... Yanga ni bora 🔰🔰🔰
Apaa amna mtangazijii😂
Acha kumuharibia mtu ugali wake....comment inaonekana hio😕😕
Yanga hatutanii
Atakubalije wakati hajatambulishwa???😅😅
Ni Ile umefanya kitu na umeonekana ni wewe lakini ukihojiwa unawakana kabisa 😂😂😂😂😂😂
Kwan jeni yukowap
Ameahama mbona mda kidogo
Kijana mdogo akili kubwa🎉🎉