LISSU AKIWASHA MAKYUNGU, "MUNGU WETU NI MWEMA SANA, KUNA WATU WAONGO WAONGO KUPIGWA KWANGU RISASI"
HTML-код
- Опубликовано: 26 май 2024
- #TANZANIA: Tundu Lissu akiwasha Makyungu vijijini, apokelewa kwa kishindo, "Mungu wetu ni mkubwa na ni mwema sana, tumeonana, kuna watu waongo waongo kupigwa kwangu risasi, gari hii hapa"
lissu ni kamanda kweli kweli
kamanda Lissu mungu akulinde sana kamanda mana wewe unapingania haki ya Nchi yako tupo pamoja napesa yagari tutachanga ununue gari zuri kamanda
Pole Sana kamanda mungu anamakusudi na wewe. Risasi 16 kwa binadam. Sio kitu cha kawaida kabisa. Na a naunga mkono hoja. Libaki kama lilivyo. Nalitembee kila mkoa wanataka walione
Hilo gari tunaomba lifike mpaka Njombe huku tulione
Pole sana kamanda thanks for your life 🙏you have been
Waliokupiga risasi Mungu na awalaani milele
Tunakukubali sana kamanda kura yangu umeipata nanitailinda
Huyu mtu ni mtu wa kipekee sana
ILA !ILA!IBILISI NI KIPOFU. BADO 2020 WAKATAKA KUMUUMIZA TENA ILA UBALOZI WA UJERUMANI WAKAMWOKOA 😢😢
Pole
Mungu amesema atawakatilia mbali waovu wote, ishi saana mhe lisu
Wao
Mungu ni mwema mh lisu
Smart boy
❤❤❤❤
Makiungu na sio Makyiungu
Tundu lissu nizaidi ya Obama Huyu ninabiiii kabisa kwa zama hizi Mungu akupe nguvu asimpe nguvu Mh samia yamkute ya Uwauwa jpm akajiita Jiwe likapasika Mungu tumekuerewa mwangarie na fisadi papa Jk mpinga katiba
Naomba gari la lisu lifike kwetu mtwara tulishuhudie
Makamanda
Tufushe
Mpaka wanafunzi,,