EDA BAADA YA TALAKA - SHEIKH MOHAMMAD IDDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Abuuiddi Tv online Email :Sheikhmohamediddi1@gmail.com / abuuiddi-tv-. . www.youtube.co....

Комментарии • 39

  • @zaitunbisher5261
    @zaitunbisher5261 3 года назад +1

    Shukran kwa funzo lako ya kukaa eda

  • @tumtumkhan3115
    @tumtumkhan3115 2 года назад

    Shukran sana shekh kwa mawaidha yako. Likuwa nna swali shekh wangu kama mume amekuacha na hukalii eddah kwake sababu kuanzia mwanzo Likuwa twaishi kwangu i na yyj ee mke akiwa ni mgonjwa inamlazimu kumpeleka siptali au kumgharamia pesa za matibabu. Shekh naomba jibu tafadhali

  • @abdoulamisi5179
    @abdoulamisi5179 Год назад

    Baarakallahu fiykum

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 5 лет назад +3

    Allah akulipe kila la kheri shekhe wetu kwa somo zuri ila bado kitu kimoja hujatuelezea ambacho ni MAMBO YANAYO BATILISHA EDA,yaani ni mambo gani mwanamke akiyafanya eda yake huharibika?

  • @rajabukasim3872
    @rajabukasim3872 5 лет назад +1

    Jazaaka llwaahu khayran

  • @sauhatmoses5414
    @sauhatmoses5414 3 года назад +1

    Asant

  • @abubakaryusuph6555
    @abubakaryusuph6555 5 лет назад +2

    maa shaa llaah
    mungu akupe kila lakheri sheykh wetu abuu idi kwa darsa zako hizi

  • @swabriali4583
    @swabriali4583 4 года назад +1

    MashaAllah maelezo fasaha

  • @hutisaleh2320
    @hutisaleh2320 5 лет назад +1

    Maaxhaallaah allaah akuweke shekh wetu akupe umri mrefu wenye barka ili 2endlee kustafid na mawaidha yko..

  • @ashakhator1777
    @ashakhator1777 5 лет назад +1

    shukran tumepata elimu kubwa sana .

  • @abdalahtwahil5202
    @abdalahtwahil5202 4 года назад +1

    Sheikh mwanaume ambae hamuudumii mtarak wake inakuaje

  • @allymaulid9391
    @allymaulid9391 7 месяцев назад

    Je kama mama mkwe kamng'ang'ania mwanae nyumbani kwao

  • @shamimnassoro4971
    @shamimnassoro4971 2 года назад

    aww, inakuwaje mume kamtaliki mke kisha akamfukuza na mke akakosa namna na akaondoka afanyeje ili kuitekeleza ibada ya eda

  • @maryammaua591
    @maryammaua591 2 года назад

    Maswali shekhe

  • @shufaakhamis2643
    @shufaakhamis2643 3 года назад +2

    Kwa mke alie achwa talaka ya Tatu. Mwanamme anaweza kumhudumia ndani ya kipindi cha eda?

  • @Akram-safwan
    @Akram-safwan 3 года назад

    naomba

  • @jacoboalphaxard3450
    @jacoboalphaxard3450 4 года назад

    Nashkuru sheikh Kwa darsa zuli Sana,

    • @mwanamisitenga1158
      @mwanamisitenga1158 4 года назад

      Shukrani sheikh kwa kutuelimisha

    • @hassangogola1261
      @hassangogola1261 4 года назад

      Sheikh assalam walaykum naomba namba ya sim ya wttsp mm nipo congo

  • @firo0ozdawah378
    @firo0ozdawah378 3 года назад +1

    Assalam Aleykum, sheikh abuu idd ni maarufu sana Allah amekunyanyua ila ninasikitika daawah zako hazitilii manani sunnah ndio misemo yenu ukifanya unapata thawabu ukiacha hupati dhambi kutokana na neema uliyonayo dawah yako ingekamilika kama ungenyoa masharubu na uweke ndevu mbona unafanya kinyume na mafundisho sheikh ?

  • @innocentjay5844
    @innocentjay5844 5 лет назад +2

    Sheikh mbona wasichana wakiislamu hawana subra mukikosana kidogo adai TALAKA.tena Kwa vishindo

  • @kaulibwanza2180
    @kaulibwanza2180 4 месяца назад

    shekh kama kama nimemuacha MKE wangu harafu akaendelea kukaa kwangu tuna ruhusiwa kula CHAKULA KWAPAMOJA na kunipikia pia kulala kitanda kimoja?

  • @HidayaZiadi
    @HidayaZiadi Месяц назад

    Mi naomba namba yako sheikh

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 2 года назад

    Je shkh nini hukmu ya kumuacha mke na mimba?
    Na je nn hukmu ya kumuacha mke bila kumpa taarifa?
    Allah akuzidishie kheri

  • @sahimtv4742
    @sahimtv4742 2 года назад

    Mke amejivua katika ndoa hakurejesha mahari, kwa kutokujua Mume akampa talaka bila kurejeshewa mahari baada ya mke kudai talaka hiyo (Kujivua) baada ya myezi 8 Mume anataka kumrejea je! atamposa upya ?? na vipi kuhusu ile mahari ambayo haikurejeshwa baada ya Mke kujivua!

  • @ayxhertwaalib5479
    @ayxhertwaalib5479 3 года назад +1

    Assalam aleykmu shekh naitwa aysher iv mfano umeachwa na mume taraka moja baada ya cku kazaa mukakutana kimwili kabla ya eda kuisha apo inakuaje?

    • @asiamussa4054
      @asiamussa4054 2 года назад

      Waaleykum msalaam hapo itakuwa mmerudiana na hakuna eda bali mtakuwa tena mke namumu kukutana kimwili maana yake ni mmesameheyana

    • @sabraame1916
      @sabraame1916 2 года назад

      Na mie nilikuwa nasubir nijuwe

  • @faridamohammed182
    @faridamohammed182 3 года назад +1

    Je mtu akipewa talaka 1 anatakiwa akae muda gan ili kupewa zote talaka?

  • @fatmamohammedali4306
    @fatmamohammedali4306 2 года назад

    Sheikh naomba namba ya simu mimi maongezi yangu ni siri

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 2 года назад

    Shekhe naomba darsa ya biashara kiislam wengi tunafanya tu na mashekh wengi hii maada hawaizungumzi cjuwi kwa nn?

  • @aishaabubakar6759
    @aishaabubakar6759 4 года назад

    jee mwanamke alieachwa ananyonyesha na akinyonyesha huwa haingii katika siku zake mpaka amalize kunyonyesha jee eda yake ni miezi mitatu au khurui tatu?

  • @user-lv9cu1hn1q
    @user-lv9cu1hn1q 3 года назад

    Hukum ya talaka tatu
    ruclips.net/video/dwxR9uBDFq8/видео.html

  • @fatmaahmedbashirfatmabashi364
    @fatmaahmedbashirfatmabashi364 4 года назад

    Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh........sheikh niko na swali mwanamke aliyeachwa na yumo ndani ya eda jee anafaaa kuongea na mwanaume mwengine ata kama ni maneno ya kawaida tu??????

    • @asiamussa4054
      @asiamussa4054 2 года назад

      Waaleykum msalaam mandhali munaongea kawaida na hamna matarajio ya kuoana basi hakuna shida