Talaka Tatu Kwa Mpigo Inafaa ? / Maswali Na Majibu / Sheikh Walid Alhad
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Talaka Tatu Kwa Mpigo Inafaa ? / Maswali Na Majibu / Sheikh Walid Alhad
Sheikh Walid Akijibu Maswali Baada Ya Darasa Msikiti Wa Kichangani
Darsa la tafsiri kichangani 2021 la mwezi ramadhani mwaka 1442H lilotolewa na sheikh Walid Alhad Omar kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Allah subhanahu wataala akupe afya njema na umri mrefu Shekhe wetu
Wallah nafaidika sana na darsa za Shekh Walid
Mungu akusamehe sheikh
Sasa talaka inafananishwa na elfu 10!?
Subhanallah 😢
Napenda sana darasa zako sheikh walidi Allah akupe umri mrefu uzidi kutu elimisha
Barak'Allahu fiiQ
Kwa kweli mtihani leo masheikh wanaacha amri ya Allah na Mtume wake wanafuata eti jamhuri Watu wengi wamesema au swahaba fulani aliona kero akabadilisha subhannallah, hii wanayofanya Hawa wanaosema talaka tatu zinaswihi wallah wako katika bidaa mzito, mtume s, a, w mpaka anakufa talaka tatu kwa pamoja hakuna saydina Abuubar mpaka anakufa talaka tatu hakuna saydina Omar alikaa uhalifa mpaka miaka 2 na kidogo talaka tatu hakuna inakuaje baadae anasema atakae Acha talaka tatu ni tatu, inge kuwa Quraan bado inashuka ingeshuka aya hapana huwezi kuharamisha kitu Allah alichohalalisha, jaman tuwe makini masheikh sio yote wanayajua, haiwi mtume wetu alikosea na aya ikashuka pale alipoharamisha asali na ilikuwa udhru tu na aya ikashuka kwamba huwezi kuharamisha kitu ambacho Allah amekihalalisha na hii ya Mtume ilikuwa fitna ya wake zake tu haikuwa mtume kakusudia na aya imeshuka, naamini kwa hili aya ingeshuka lakini mtume hakuwepo tena muda wa kusema talaka tatu ni tatu jee hawajasoma wenye kusoma waangalie hiyo Quraan jinsi M.mungu alivyozipanga talaka ya kwanza ya pili ya tatu hurejei tena Wallah ni raha na uislam ni dini nyepesi lakini sisi wenyewe tunaitia uzito, wakati wa mtume swahaba alimuacha mke wake talaka 3 na hali anampenda baadae akaenda kwa mtume kumuelezea kila kitu na Mtume alimwambia swahaba jee bado wampenda mke wako akamwambia bado nampenda sana, Mtume akamwambia swahaba ikiwa wampenda unaweza kumrejeea na akamwambia hata ungemuacha talaka 100 ingehesabika ni moja hii ni kauli ya mtume na kunamapokezi sahihi ya hii hadith na asieamini huu wa talaka tatu kuwa ni moja basi asome Quraan surutul Baqara,suratul Talaq. Suratul Al Nisaa utaona jinsi ya talaka na namna ya Allah alivyopangilia na sio sijui rai jamhuri hapana dini inaendeshwa kwa kufuata Quraan na sunna, tuwe makini wabillahi taufiq
Shukran kwa ufahamisho
I like that English Phrase “Divide and Rule”
Mashalla uko makini shekhe
Asante shekhe
Swaddakta sheikh
Sheikh samahani talaka na hela ni mifano miwili tofauti.
Hata mi sijaelewa hapo
Jamani mbn mifano ipo hai sana apo mashallah
Acheni kukaza ubongo sheikh kafanya kwa vitendo ... tena vizur kabisa sema
Ukiwa hutaki kufahamu ndio inakuwa hivo kwa wenye akili ndogo
Hujaelewa mini?😄 Talaka Tatu kwa pamoja ni 3 hilo ndo jibu lililotolewa mfano ni kusherehesha
Kwa masheikh kama hawa kuna siku tutaambiwa tuswali swala zote tano kwa pamoja kama swalat safar 😢😢
Wakiipata madaktari bingwa tumekwisha maana tutakunywa dawa za mwezi mzima maramoja 😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapa kwenye mfumo wa hela sheikh umenifurahisha Sana...Ila inshallah mungu atatuongoza sote kwenye njia iliyo sahihi....Ila sheikh talaka inataratibu zake rudi kwenye Quran imekueleza wazi kabisa taratibu za talaka ...maana kwa mfumo huo basi hadi sala haina haja tuisali kwa vipindi, hata tukizikusanya sote kwenye muda mmoja pia ni sawa...hapo unasemaje sheikh....mwenyezi mungu aliweka utaratibu wa kila Jambo na sheria zake....mwenyezi mungu alisema mkihitalifiana kwenye jambo lolote basi rudini kwenye kitabu, kwa maarifa yako hapa alikusudia kitabu gani..? Cha shafi, Malik au hambal, hapo alikusudia kitabu chenye Aya zake alizokuteremshieni ambacho ni Quran...Sasa jee Quran unasemaje hulihusu hili suala la talaka...? Waislam someni tusipelekeshwe...
Hakika
Mimi nakubaliana na kundi la hao kidogo maana wingi sio hoja,talaka tatu haziswihi talaka tatu inahesabika ni moja ,hata enz ya mtume ilihesabika hivyo na wakati wa saydina Abubakar pia,wakati wa saydina Omar ndio akasema kuanzia Sasa tatu ni tatu Kwa sbb watu wanafanya mchezo,lakini hata kwenye Quraan talaka inahesabika moja moja sio tatu kwenye Quraan yote hakuna talaka tatu kwa pamoja,tuambiane ukweli tu
kweli kabisa talaka 3 alizileta sayyidina omary.yeye alikuwa hataki dhihaka na mambo ya ndoa
Unaeza niandikia hio ayah ya quran inaosema talaka ni moja moja please . Muhimu sana
Hakuna aya kwenye Quran ilosema talaka tatu ni moja
@@rahmamavura406Kote una wafuata ila Kwenye talaka una waacha lengo lako siyo dini ni tamaa za kimwili na fikra za uzinzi. Chaguwa moja usi wafuate kabisa au uwafuate siyo kuchagua vitamu tu
Sasa vipi isisihi na wakati umenadhiria kutoa talaka tatu? Na vipi Ile hadithi ya mtume s.a.w mambo matatu ukweli wake ni ukweli na uwongo wake ni ukweli akataja talaka hii hadithi ni ya wazi kabisa kwamba ukisema tatu ni tatu Wala hakuna uwongo katika jambo hiloo
Qauli ya Jamhuri sio Hoja bali inatazamwa Dalili yenye Nguvu ni ipi
Naitaji no za shee nashida ya kuliza swali la talaka
Shekh hapo sijakuelewa hata kidg kwahio hela na din wapi wapi? Huu mfano sio mfano hai hata kama talaka tatu ni tatu sawa ila huo sio mfano mzur
Naomb namba Yako xhekh
Tatizo liko wapi alikuwa anataka Sheikh aelewe vizuri
Lakini kipimo hiko cha pesa si sawa, kwasababu hilo jambo ni khilafu pia Imekuja kupitishwa wakati wa Omari Allah amridhie so linahitajia hekima zaidi
Hv mwanaume akikuacha alafu mdahuo huo akachan karatas hyo n taraka
Si lazima andike karatasi akitaka na mdomo tuu talaka imepita
Wewe mkongo uliza kwa ufupi talaka tatu kwa pamoja inasihi?
Acha story zako
Kuchukua muda kama anawaidhi kumbe mgongo!!!
Kiakili maelezo ni ufafanunuzi
Quran inamwambia Bwana Mtume Muhammad (SAW)'THUMMA JAALNAAKA ALAA SHARII'AT FATTABI'IHA
hamnakitu walewale kasalo majina
Nauliza talaka tatu inapita bila kukutamkia imeandikwa kwa msg umeachika
Si mtoaji amekiri
Ikiwa talaka 3 ni moja kivipi huji kuhesabu auu mbona talaka mbili hamusemi moja vipi tatu iwe moja
Farudduhuu ilallah! Tushike aliyeamua talaka ni mojamoja au tushike kikamikifu aliyeamua tatu ni Moja! Kazi kwelikweli, haya wasomi!!
swali mtume muhammad aliacha talaka kwa njia ipi? ndio maana talaka zina mkao..