KIKAO CHA FAMILI (USiJALI)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • "USIJALI" KIKAO CHA FAMILY
    Prod: AMBA/ IRINGA TOWN
    ALBUM: Kutoka Moyoni
    mwaka :2010

Комментарии • 162

  • @bongostories0102
    @bongostories0102 Месяц назад +1

    Tujuane tunaomkubari ramaa dee

  • @ManuuLuambano
    @ManuuLuambano 4 дня назад

    Daaah kaka nimekaa nimefikilia mbali sana nikaamua niingie RUclips nisikilize hii ngoma i like it

  • @theinsider6462
    @theinsider6462 Год назад +4

    Ni jumapili saa nne asubuhi, October 29,2023. Houston TX. Burudani shwari kabisa kutoka kwa king of Rnb bongo. Nilikuwa natafuta kali kama hizi kwa muda sasa thanks for this one Mzee mzima Ramadee

  • @abdallahmadewa626
    @abdallahmadewa626 3 года назад +12

    Hii ngoma nakumbuka mbali sana kipindi hicho Kiss fm kipind cha African beat, host alikuwa D, seven. 2007, asaivi 2021

  • @meshakikigumbi4459
    @meshakikigumbi4459 4 года назад +16

    Sasa ivi nipo na Yesu.nimeshaachana muzik kipindi icho narudi kutoka stend ya msamvu Moro town ndio nyimbo nilipenda kusikiliza wakati narudi home chamwino.Yesu mwema.

    • @AmanHaonga-c7u
      @AmanHaonga-c7u 5 месяцев назад

      Apo kat na dj marz. Ilikua nomaaa ukirud scul xa 11wap rising af saut kubwa kwa hewa na ilikua lazm iguswe hii mbupu😂😂😂

    • @catherineantony1010
      @catherineantony1010 5 месяцев назад

      Kiss FM 🔥🙌​@@AmanHaonga-c7u

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba1143 5 лет назад +3

    Uyu broo namkubali mpaka kesho

  • @mlipukaonline9361
    @mlipukaonline9361 7 лет назад +12

    Kiss fm na dee7 alikua anaupiga sana wimbo huu....kitambo sana.....
    Rama dee na Qjay best rn'b artists kuwahi kutokea Tanzania

    • @manasejoseph8221
      @manasejoseph8221 6 лет назад

      habari mchanganyiko yeah African beats na d7

    • @johnsonayo
      @johnsonayo 6 лет назад

      dah, nakumbuka pia.... African beats from 06h00 PM

    • @jamesmntangi9706
      @jamesmntangi9706 6 лет назад +1

      Dah aisee kipindi hicho pale kiss walikuwa wanapiga ngoma fulani ambazo radio nyingine zilikuwa hazipewi nafasi sana. Radio kama kiss na times fm

    • @emmamoshiyz1679
      @emmamoshiyz1679 6 лет назад

      Sanaaaaa

    • @yusuphiddy8259
      @yusuphiddy8259 6 лет назад

      milele utadumu tu

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic 4 месяца назад +2

    daah nimetafuta huu wimbo na 2024 nimeupata,sikujua aliimba nani

  • @gthirty
    @gthirty 8 месяцев назад +1

    Rama dee ni mmoja tu 🙌🙌🙌

  • @Jamessefania-n5z
    @Jamessefania-n5z 9 месяцев назад +1

    Daaa nalejea hapa 2024 dem wangu alinitesa sana huu wimbo ndio mfaliji

  • @happiedonald7039
    @happiedonald7039 Год назад +1

    The voice of a killer 🙌🙌🙌🥰🥰🥰

  • @naykaselemani8834
    @naykaselemani8834 3 месяца назад +1

    Nyimbo ya 1 kupigwa texas fm,hapa Houston

  • @emmanueljudas4522
    @emmanueljudas4522 5 лет назад +5

    The best Rnb singer of all the time.

  • @Mo_Blaze
    @Mo_Blaze 2 года назад

    Noma sana . Nostalgia

    • @Mo_Blaze
      @Mo_Blaze Год назад

      Came back again 2024. Thank God for the life

  • @mrg5614
    @mrg5614 6 лет назад +1

    Duuh utafikiri umeiachia leo brother good sana

  • @maximillianmpaname2878
    @maximillianmpaname2878 3 года назад +3

    Amba produced this song, and it's unforgettable masterpiece

  • @ladislausdidas6488
    @ladislausdidas6488 8 лет назад +9

    I really miss the voice... Rama dee u r so great brother release the other one

  • @jumasuleiman4386
    @jumasuleiman4386 2 года назад +1

    The best rnb song all time god bless u brother unajua

  • @Mo_Blaze
    @Mo_Blaze 2 года назад

    JABIR SALEH BROUGHT ME HERE AISEE

  • @emmamoshiyz1679
    @emmamoshiyz1679 5 лет назад

    Inanikumbusha mengi sanaa .... mnoo... hongera sana rama dee..

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Год назад

    Duuuu! Nyimbo kali sana

  • @ferrybaizo8733
    @ferrybaizo8733 6 лет назад +2

    Kama imetoka leo... Yes for me! Rama 😘😘

  • @clemkiz2376
    @clemkiz2376 4 года назад +2

    Rama Dee yo the BEST 👍

  • @charlesased
    @charlesased 6 лет назад +11

    Enzi hizo siwezi kusoma bila kusikiliza MUSIC 😀

    • @aloycempandana1336
      @aloycempandana1336 3 года назад +1

      ndio maana ulifeliiiiii 😂😂😂😂

    • @charlesased
      @charlesased 2 года назад

      @@aloycempandana1336 😅😅 bro sikufeli,na nilikuwa mfano bora wa wanafunzi upande wa taaluma.

  • @faithaction2505
    @faithaction2505 5 лет назад +2

    Amba Iringa way back dah

  • @mussakidangi9390
    @mussakidangi9390 2 года назад

    Dah huyu jamaa alkuwaga anaweza

  • @philljombs1151
    @philljombs1151 7 лет назад +1

    Rama Dee upo sawa sana Vocals RNB nakukubali zee

  • @AbdallahMhando-if8fr
    @AbdallahMhando-if8fr 10 месяцев назад

    Nakukubali mzeebaba

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 4 года назад +2

    Sipati picha ungefanya track kama kumi hivi na huyo producer wa hii ngoma na ya Sarah! Alikupatia sana track mpaka mixing, kuna ngoma yako moja ya zamani siioni, nikiikumbuka ntaisema hapa

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 3 года назад +4

    It's 2022... God bless Tanzania. God bless Rama Dee

  • @abdoullahngare1247
    @abdoullahngare1247 9 месяцев назад

    Hizi ndio r&b old z gold -2024.❤

  • @mussamsophe5340
    @mussamsophe5340 6 лет назад +1

    Nice namkubali Sana Rama d

  • @yokelmelo8005
    @yokelmelo8005 3 года назад +2

    Dah, nakumbuka mbali sana...fredwaa rest in peace

  • @luanamwambigija5266
    @luanamwambigija5266 4 года назад +13

    Who still listening 2020🔥🔥

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 5 лет назад +4

    music well crafted by the underrated music genius

  • @AbdallahMhando-if8fr
    @AbdallahMhando-if8fr 10 месяцев назад +1

    Mzeebaba hili song linaish miaka buku

  • @mariamkizango6421
    @mariamkizango6421 3 года назад +4

    I still love this song today 2021...
    Proudly Tanzanian 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😊

  • @MeshackDivioshi
    @MeshackDivioshi Год назад

    Kikao cha family nouma kinomaaaa naikubali till i die.

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 7 лет назад +2

    daah..unanikosha sana na hii ngomA

  • @mussakidangi9390
    @mussakidangi9390 2 года назад

    Kipindi hicho nauza duka maeneo ya tumbaku mskiti wa mungu mmoja dini moja Moro town

  • @afreybuli3476
    @afreybuli3476 5 лет назад +3

    Enzi hizo Tripple A Fm Arusha Hii ngoma 2010 Ilikuwa Inapigwa balaa Mpk leo Iko so Hot

    • @ahimidiwemichael9948
      @ahimidiwemichael9948 5 лет назад

      Daaaa unanikumbusha mbali enz za kina edina peter,Sam chomola,tira Philip

  • @davidmbwilo4954
    @davidmbwilo4954 2 года назад

    Music huu tunahuhitaji sana music wa Sasa unatuumiza maskio

  • @danidaniel3657
    @danidaniel3657 5 месяцев назад

    Amba producer mkali

  • @emmanuelmchaki2938
    @emmanuelmchaki2938 6 лет назад +3

    since2005 now 2018..bado una bak kuwa mzk mzur ##those days rnb

  • @MsafiriMasudya
    @MsafiriMasudya 9 месяцев назад

    Naitwa msafiri madudya kutoka dodo kiukweri nyimbo hii inani kumbusha kipindi nipo arusha na ludi kongwa huwa inani kumbusa sna hii nyimbo

  • @ashraphomary8715
    @ashraphomary8715 4 года назад +1

    Tupo nyumbani usijali mpenzi,Kuna kikao cha family wivu usiwe Mwingi 2020

  • @jamesturuka3374
    @jamesturuka3374 7 лет назад +2

    Hakuna r&b singer tz kama rama basi tu

  • @sumadashsumadash7342
    @sumadashsumadash7342 4 года назад +8

    Huyu Rama D na Q jay pamoja na MB Dog ndio wasanii wanaijua True Tastle ya muziki wa R&B nahawawez fananishwa na msanii yeyote hapa Tz kwa huwezo wao..lakini ndio hivyo warukaji rukaji na wasoujua mziki wa kweli wanajipa Promo kwa kuwa wanamihela nakujifanya eti wsnasapoti wasanii sasa embu wawasapoti vichwa kama hivi tuone kama kweli wanania njema nao... Wanajua mauwezo yao ni makaki sana na wanazid kuwapotezea

    • @jannelejane9434
      @jannelejane9434 2 года назад

      Bila kumsahau stive Rnb

    • @pizzowizzo3997
      @pizzowizzo3997 2 года назад +1

      Mb dog tena😂😂, nemo, steve, Damian soul, rama d, nuruel, wakali kwanza, tid wa zamani enzi za rahisa,

    • @Tanzaniaunforgetable1961
      @Tanzaniaunforgetable1961 2 месяца назад

      @@jannelejane9434 +Yeah Steve ni balaa namwita New Master RnB bongo😊😊😊

  • @kapituomary2344
    @kapituomary2344 3 года назад

    Kikao cha famili itabaki kuwa the best song

  • @abeladmin9333
    @abeladmin9333 5 лет назад +5

    Nan yupo nami 2019

  • @rangaamon7440
    @rangaamon7440 4 года назад

    Bloo unaweza

  • @ibrahimmalo4839
    @ibrahimmalo4839 7 лет назад +3

    Dah bro nashindwa hata la kusema tangu 2005 mpaka 2017 ngoma bado ina mvuto kinoma

  • @manyakigeorge9221
    @manyakigeorge9221 4 года назад

    Rama Dee anajuwa cyo kitoto

  • @happydaniel1779
    @happydaniel1779 7 лет назад +2

    Rama dee daaaaah!

  • @henrybaraka6821
    @henrybaraka6821 2 месяца назад +1

    ONE OF THE BEST SONG EVER........LEGENDS WENZANGU LIKE HAPAAAAAA 🎧🎤🎵🎶🎙🎚🎛

  • @penningtonepaschal4882
    @penningtonepaschal4882 4 месяца назад +1

    2024 tap here

  • @danielmihanjo5472
    @danielmihanjo5472 10 месяцев назад

    Nyimbo bora ya RnB ya muda wote

  • @mariohtenah3574
    @mariohtenah3574 2 года назад

    Iringa iz my hood hii ngoma

  • @deusliganga6758
    @deusliganga6758 6 лет назад +2

    duuu bonge ya ngoma uliifanyia video hii kazi fanya hivyo kaka

  • @josiangamagila
    @josiangamagila 6 месяцев назад +2

    Still here 2024

  • @mwambete
    @mwambete 5 лет назад +4

    4th oct 2019 still rocking 👌🏿

  • @philljombs1151
    @philljombs1151 Год назад +1

    Still on it 2023.thanks to God

  • @festontandu3596
    @festontandu3596 4 года назад +2

    2021 wote dondosha like apa

  • @omarsufyan9709
    @omarsufyan9709 7 лет назад +3

    my best R&B song ever

  • @geofreyfelix86
    @geofreyfelix86 3 года назад

    Rama Dee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abdalamadewa3988
    @abdalamadewa3988 4 года назад +1

    nakumbuk mbali

  • @TravellersTv1
    @TravellersTv1 2 года назад +1

    Where is Amba 😢

  • @reganmmasi1246
    @reganmmasi1246 8 месяцев назад

    Hii ngoma na ile ya sara mbona kama hatuzipati kwenye platform kama Spotify hiv mzee..😟😟

  • @richardkirongo4835
    @richardkirongo4835 Год назад

    Bro 2023, the hit song

  • @adinaniabubakary7223
    @adinaniabubakary7223 6 лет назад +2

    The best rnb single

  • @emmanuelmchaki2938
    @emmanuelmchaki2938 6 лет назад +7

    who is here with me 2k19

  • @alexelias5434
    @alexelias5434 2 года назад

    Kaka upo kimya mno hebu tupe kitu

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 9 месяцев назад

    Dah!

  • @andrelucky9818
    @andrelucky9818 3 года назад

    Imagine RnB ya bongo bila Rama Dee , kipaji cha kweli

  • @benbranco3688
    @benbranco3688 4 года назад

    ft emax dahh kitambo sana

  • @maasaisteppetanzaniatravel
    @maasaisteppetanzaniatravel 4 года назад +2

    Who with me here 2030 😊

  • @mickmussa5008
    @mickmussa5008 8 лет назад

    nice song,remind me those days

  • @syliakusprimu8058
    @syliakusprimu8058 5 лет назад +1

    What a song
    stil trending in 2019

  • @TravellersTv1
    @TravellersTv1 2 года назад +1

    2023❤❤ 🎻🔥

  • @immahfred2127
    @immahfred2127 4 года назад

    Brother upload,USIHOFIE WACHAGA

  • @haidaryathuman7653
    @haidaryathuman7653 6 лет назад

    I really appreciate you Bro#never ever like you

  • @andreawawino5075
    @andreawawino5075 4 года назад +1

    2020 NASIKILIZA HII NGOMA

  • @AbdallahMhando-if8fr
    @AbdallahMhando-if8fr 10 месяцев назад

    Umeutendea haki

  • @adillimassoi2909
    @adillimassoi2909 6 лет назад

    yuko nje siku hizi anakula bata

  • @AbuubakaryKisheo-rp7vo
    @AbuubakaryKisheo-rp7vo Год назад

    Msanii ana song Kali lakin havumi aisee n hatar

  • @ezradaniel4613
    @ezradaniel4613 5 лет назад

    Kipaji km hiki jamn kinapotea hv hv kizembe,Watanzania tunaferi wap kusaport vya kwetu!!??

  • @hassanmakota1343
    @hassanmakota1343 5 лет назад +1

    2019 still am here

  • @asantesangawe7714
    @asantesangawe7714 6 лет назад

    Kazi nzur

  • @bakaridaudi1333
    @bakaridaudi1333 5 лет назад

    naikubali sana 2019

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 5 лет назад

    Toa bx video ya hii ngoma na nyingine kama, Sara

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 4 года назад

    Best Rnb

  • @alphamalima
    @alphamalima 3 года назад

    Sidhan Kama umewahi kutoa ngoma ilotulia kwa kila kitu Kama hii halafu inafuatiwa na Sarah kiukweli hapo wewe na producer wako mlitulia kufanya kazi

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 4 года назад

    I always love this song

  • @eddsonelly7069
    @eddsonelly7069 4 года назад

    2020 Rama we miss you brother

  • @bnsofficial255
    @bnsofficial255 3 года назад

    Nov 2021 still on it

  • @tumusiimedeus4571
    @tumusiimedeus4571 3 года назад

    Nice song

  • @lackshminamanullah1730
    @lackshminamanullah1730 3 года назад

    Classic bongo flavor

  • @contempo_builders
    @contempo_builders 6 лет назад +1

    Listening in December 2018... still on fireee

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 5 лет назад

    Sawa

  • @Agonzaz
    @Agonzaz Год назад

    🔥