Hardmad Tamala by Mika Mwamba production

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 мар 2015
  • Produced before with father of Bogo flavour Mika Mwamba then in 2006 we have re-mastering of it again when we made an album.
  • КиноКино

Комментарии • 570

  • @annanyassin5742
    @annanyassin5742 4 месяца назад +45

    2024 kuna yeyote anaenjoy mzuri gonga like

    • @denismasele4130
      @denismasele4130 2 дня назад

      I remind you to come back and listen this beautiful song 🎉🎉🎉

  • @Saidy-omaryxmshambo
    @Saidy-omaryxmshambo 29 дней назад +7

    Nakumbuka nilikua kigoma kasulu kabanga mwaka 2009 mpaka leo 1/6/2024❤❤❤❤😅😅😅🎉🎉

  • @shabanhafidhu1951
    @shabanhafidhu1951 6 лет назад +323

    Daah.! Mi naumia kuona muziki mzuri tumeuacha nyuma. Yani beat, mashahiri na mpangilio wa sauti vyote fresh. Mika Mwamba amefanya makubwa kwenye muziki wetu wa Bongo utafikiri sio mzungu yule jamaa. Najua kuna watu wengi hamjui kuwa Mika Mwamba ni Mzungu na ni raia wa Finland. Kama unajua gonga like yako

  • @vascomartin1103
    @vascomartin1103 4 месяца назад +18

    Hii ngoma kitambo Sana na ilikaa pw Sana 2024 ipe like

  • @geffects1141
    @geffects1141 28 дней назад +5

    Now It's 2024 😢😢😢😢😢😢

  • @KandangaKandanga
    @KandangaKandanga 17 часов назад

    Hii ngoma ilikuwa inapigwa sana radio free kipindi Iko tuko kjjn ..mtangazaji aliitwa Fredrick Bundala😂😂usiku tunaota moto na redio yetu risingi "life"

  • @evarist8477
    @evarist8477 6 месяцев назад +6

    1 am leaving a comment so that after a month, or a year, or a decade when someone likes it, i get a reminder to listen to this beautiful song again..

  • @linuspastory5597
    @linuspastory5597 5 месяцев назад +10

    22/01/2024 daaha nakumbuka maisha flaaan ya amani sana daaah mika mwamba ❤❤❤ Respect sana

  • @simongambaloya1727
    @simongambaloya1727 5 месяцев назад +6

    Popote pale walipo hawa jamaa heshima kwao ktk bongo flavor itadumu dahali, huu wimbo hata nikiwa na hasira, stress n. k huwa nikiusikiliza tu napata relief, my #1 song kwny count down za miaka yote

  • @sharlensherif6447
    @sharlensherif6447 5 лет назад +54

    Duh! Yani nimeutafuta huu wimbo miaka mingi bila mafanyikio , niliamua ku give upp, ila leo kama surprise umejitokeza. Old is gold 🙏

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 5 месяцев назад +7

    Sio wepekeako unaeumia, mepia. Alafu sasa hawawasanii wamewatelekeza gizani. Wengne hawajiwezi kimaisha ukiwaona baadhi yao wamechoka wamechakaa. Jaman me nilkua natoa ushauri kwenye baraza ra muzic basata pamoja na wazili wamichezo. Iwaangalie hawa wazanik wakongwe. Maana wanamchango mkubwa sana kwenye hiii nchi. Nawaomba sanasana muwajali wasannii wetu kwakuwa ni kioo vhajamiii

  • @kaputaakida4721
    @kaputaakida4721 7 лет назад +119

    i wish to turn back hands of time! anaesikiliza leo gonga like

  • @muhesakazumba9426
    @muhesakazumba9426 3 месяца назад +4

    Sikuhizi tunaimbiwa nyimbo ambazo huwezi sikiliza au kutazama video mbele ya wazazi wako, eti weka mate niteleze Kama nyoka pangoni dah! Hovyo sana

  • @veronicavenance3159
    @veronicavenance3159 3 года назад +4

    Natamani kulia hii ni classic since 2002

  • @paulmboje2677
    @paulmboje2677 9 месяцев назад +5

    Mika mwamba pokea maua yako kwa hili beat💐

  • @mustaphajuma6821
    @mustaphajuma6821 4 года назад +30

    Hii nyimbo daaaah Hardmad....namkumbuka sana marehem baba yangu....R I P....nilikuwa nikiskiliza hii song kutoka mikocheni B hadi mwenge kwa mguu nenda rudi...LIFE ilikuwa tight sanaa...huwa nikiskia machozi hunilenga lenga......basi tena.!!!

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 Год назад +1

      Pole sana Mzee, Mungu ni mwema
      I hope unafanya poa sasa , Mungu asimame na wewe

    • @muhidinhassan5419
      @muhidinhassan5419 Год назад +1

      Daah pole sana mungu asimame na ww

    • @Aboodjan4-
      @Aboodjan4- 9 месяцев назад +1

      Pole sn😢

    • @susancharles1660
      @susancharles1660 8 месяцев назад +1

      Pole sana

    • @BiornProductions
      @BiornProductions  4 месяца назад

      That's what music brought to us,pure memories but sorry

  • @jamesmatiko8676
    @jamesmatiko8676 8 месяцев назад +7

    Hii instrumental inanipa msisimuko fulani hivi wa ajabu na wakipekee ❤❤❤❤

  • @priscamlangwa406
    @priscamlangwa406 2 месяца назад +1

    2024 and back ,,tamalaaa

  • @African511
    @African511 16 дней назад

    Beat tu inaashilia kua kuna ngoma ya wakubwa na wanaojiheshimu inachezwa huku,alooo wasanii rudisheni ladha ya muziki aisee kama zamani.

  • @shabanally6973
    @shabanally6973 3 месяца назад +3

    Maisha ya kitambo yalikuwa matam sana jmn,,nataman kuyarudia

  • @kambwiwamwaduifc7746
    @kambwiwamwaduifc7746 5 лет назад +12

    dah ngoma za zaman zilikua zinaleta isia hata kama ulikua na mawazo ukisikiliza bsi yataondoka kwa muda

  • @user-fh1kj2rr8t
    @user-fh1kj2rr8t 3 месяца назад +1

    Zamani tulikua na wasanii wakali mno sijui wamepotelea wapi! Daaa god bless Tanzania and bongo flava to the world.

  • @terrygabby8976
    @terrygabby8976 5 лет назад +16

    2019...who’s with me?

  • @dyevachkakyekaka3878
    @dyevachkakyekaka3878 8 месяцев назад +6

    2023 October and am still here 🔥🔥🔥 old good days

  • @aeyzee4ever607
    @aeyzee4ever607 8 лет назад +22

    huyu mshakaji anajua as Mimi nimtoto was kitaa tulipokuwa na washkaji zangu tukiskia nyimbo za hard mad humsalute mbaya ..big up to him mbaya

  • @josikinyala4425
    @josikinyala4425 Год назад +14

    What a song. Hard man. Verse ya 3 ndio u can fell the real dance hall. Who is listerning right now at 10 :38 PM on 5th August 2022?

  • @onlinemovie8580
    @onlinemovie8580 3 года назад +2

    Nani yuko mpka saivi 2021

  • @jumabaranyikwa1833
    @jumabaranyikwa1833 2 месяца назад +2

    Mwaka 2003 hiyo. Duh Sasa ni miaka 20

  • @idrisakayila3934
    @idrisakayila3934 3 года назад

    Daaaaah aisee bonge moja la gomaa daaah had mad brooo wapi wewe

  • @Maaworldwide
    @Maaworldwide 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤ good music 🎵🎵 so much for the listening and dance

  • @eliariro5514
    @eliariro5514 6 месяцев назад

    Aisee nakumbuka mbali sana ❤❤

  • @evenlightjumanne1909
    @evenlightjumanne1909 6 лет назад +25

    Daaaah huu wimbo tangia zamani naupenda mpaka sasa bado ninao kwenye sim yangu wakati unatoka nwaka 2004 mm ninamiaka nane ndani ya Zanzibar mpaka sasa 2018 Nina miaka 22 bado ninao naupenda sana na mda wote nausikiliza ndani ya sim yangu daaaah aiseeeeee

  • @gipsonmwankobela2825
    @gipsonmwankobela2825 9 дней назад

    ngoma Kali Sana

  • @fettyharrison3068
    @fettyharrison3068 5 лет назад +5

    Wozaa twende wote pa1 2019 gonga like

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 2 месяца назад +1

    Huo ndio mkono wa Msenge Mika mwamba yule mbwa hakuna mtu alikamata pale kwa mabeat yake,iko kwao FINLAND nilionana nayo mwaka 2021

    • @kareemdmartins7755
      @kareemdmartins7755 17 дней назад

      mi nadhani hata majani hakumfikia mika mwamba,,,sikiliza hi ya duly na kikongwe ya piko au kajiandae ya mezb

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani6964 7 лет назад +53

    Nasikia sauti ya Fatma Mnonji kwa mbali akiitikia kiitikio. Alikuwa school mate wangu huyu Biafra High School, alikuwa ni binti mwenye haiba ya upole.

    • @mrfinest5004
      @mrfinest5004 6 лет назад

      ntopa ngonyani nice

    • @kiun08
      @kiun08 6 лет назад +1

      Mnonji kaimba wimbo gani mwingine?

    • @faustersanga6627
      @faustersanga6627 6 лет назад +2

      alishirikishwa pia na 20%kati ya nyimbo zake

    • @edwinkakwezi284
      @edwinkakwezi284 5 лет назад +3

      Alikuwa na sauti nzuri sana ila watu hatukutambua kipaji chake

    • @edmundisaack6902
      @edmundisaack6902 5 лет назад +3

      Ni mdogo wake na hard mad pia ameimba chorus kwenye nyimbo ya Ziggy de enomic

  • @AbdallahMwidini-lb3jx
    @AbdallahMwidini-lb3jx 7 месяцев назад

    Mtu na dadaake waliuwaa sanaaa

  • @yakobohenjewele1835
    @yakobohenjewele1835 3 месяца назад +1

    Mika mwamba alikua mwamba kweli kweli kutengeneza bit kali

  • @MuhammedRashid-gs3qx
    @MuhammedRashid-gs3qx Год назад

    Long time 2004 muda haurudi nyuma daaaaa

  • @oldskuladimuzabongo8873
    @oldskuladimuzabongo8873 5 лет назад +5

    August 2018 nasikiliza hii ngoma...bit kali toka kwa Mika Mwamba...Hardmad shikamoo..sauti kali ya dada wa Hardmad daaah natamani nyakati zirudi nyuma😥😥😫😫😪

  • @bakarininga6052
    @bakarininga6052 7 лет назад +12

    hauwezi kuchuja huu wimbo kamweeeeee....big up hard mad

  • @African511
    @African511 Год назад +1

    Muziki mzuri tumeuacha tukakimbilia muziki wakimapokeo aisee, me hadi leo napenda bongo muziki wa zamani

  • @tysongodfrey7600
    @tysongodfrey7600 6 лет назад +16

    2017 daaah this song .napataga hasira sana why why why wasanii kama hawawi respected

  • @kareemsijaona4474
    @kareemsijaona4474 7 лет назад +37

    Hii ngoma daah reminds me back in 2004 when I ws in stnd four 🔥🔥

    • @issahabunu197
      @issahabunu197 2 года назад

      Same here..😭😭😭😭😭

    • @Chekanamimi_
      @Chekanamimi_ 2 года назад +1

      Mimi nilikuwa darasa la 5..... Habari zenu madogo @kareem sijaona na @issah abunu

    • @Cinemalitics
      @Cinemalitics 2 года назад

      @WILLARD MMBANDO Duh basi balaa maana mm nlkuwa chekechea sawa wakubwa🙌🏽

    • @samuelbeti7963
      @samuelbeti7963 Год назад

      Me too

  • @user-jt2xb8wv6z
    @user-jt2xb8wv6z 9 месяцев назад +2

    Nakumbuka Niko form one

  • @martinsamatajr7972
    @martinsamatajr7972 Год назад

    nimekumbuka mbali sana

  • @revocatuskashaga9202
    @revocatuskashaga9202 2 месяца назад +2

    April 2024 nimerudi tena kuusikiliza

  • @petergebo8198
    @petergebo8198 4 года назад +7

    Daaaah nyimbo hizi sasa huwezi kuzipata 2019 still watching

  • @Adv.Zee_
    @Adv.Zee_ 4 года назад +58

    2020 and I’m still here, this song 🔥🔥🔥

  • @BebaKulwa
    @BebaKulwa 5 лет назад +44

    The true definition of classic music...whoelse listening in 2019!!

  • @donaldmhulula6888
    @donaldmhulula6888 5 лет назад +4

    wote ma club banger wa shuleni enzi hizo ! hii ngoma ina wahusu,..kwenye ma graduations za mashuleni !

  • @konzoikweta
    @konzoikweta 3 месяца назад +2

    Mika Mwamba the Best Producer ever 🎉

    • @mussaismail1285
      @mussaismail1285 Месяц назад

      Wanapiga makopo makopo wanajiita ma goat

  • @vicentmushi9906
    @vicentmushi9906 5 лет назад +23

    HII NYIMBO INA historia kubwa sana katika maisha yangu siwezi sahau 2004 mpaka leo naipenda, big up hard mad na mika mwamba, mchango wenu ni mkubwa kwenye gemu ya muziki wa bongo .

  • @siraaronmallya425
    @siraaronmallya425 Год назад +3

    Huu wimbo ulinitesa sana...niliupenda sana ila nilikua sijui kaimba nani..
    Then juzjuz hapa ndo najua mika mwamba ni mzungu baada ya kufanya mahojiano na millard ayo...kweli maisha yamebadilika.

  • @yonathanandrecus7465
    @yonathanandrecus7465 Год назад

    Still 2022 tamala kipind hiko 2004 daaah najisikia kulia

  • @pendochris4576
    @pendochris4576 7 лет назад +8

    Rosemary Benjamin,aloimba wimbo wa farida anaitwa eman

  • @mgenikisukari1371
    @mgenikisukari1371 5 лет назад +3

    mika alileta mapinduzi makubwa katika swala la production

  • @davisdavid6205
    @davisdavid6205 Год назад +1

    Mika mwamba arudishwe TZ beat kali sana hii

  • @Aboodjan4-
    @Aboodjan4- 8 месяцев назад +1

    I'm crying 😢

  • @emanuelmgimba4869
    @emanuelmgimba4869 2 года назад

    Beat kali mika mwanmba kitambo sana hard mad

  • @prettyerasto8733
    @prettyerasto8733 9 месяцев назад +2

    It is September 2023 but still listen this banger

  • @allyKazimoto-im5hp
    @allyKazimoto-im5hp 3 месяца назад +1

    Upo ww hard mad TAMALA na dullayo BILA YULE naenjoy mnooo

  • @ahimidiwembise2924
    @ahimidiwembise2924 3 года назад

    Sindano tano za Moto na Frediwaa hatimae leo tarehe 11/06/2021 ametutoka

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 2 года назад +7

    Ooh, DAAAMN..!!!! Hard Mad n' his sister 'killed it'.! 2021, Novembeeeer.!

  • @fadhilingalu3001
    @fadhilingalu3001 5 лет назад +3

    Heshima kwako bila kumsahau producer mika mwamba Saluti kwenu uliitambulisha ulimwengu kama mukiamua kufanya kitu kizuri kinaoneka

  • @ambrocemalya3551
    @ambrocemalya3551 4 года назад +3

    Nakumbuka ilikua inaimbwa Sana Radio One nyakati hizo ndo Kwanzaa Nipo class 2, umbwe primary 2004, whaooooooo

    • @GeraldAndrew
      @GeraldAndrew 4 года назад +1

      Ambroce Malya umenikumbusha mbali sana, umbwe primary nilisoma miaka ya 91-92 std 4-5. Huu wimbo umetoka nikiwa udsm, nakumbuka sana mabibo hostel .. good old days!

  • @hezronjohn6374
    @hezronjohn6374 7 лет назад +8

    Kitambo sana hardmad, iko vizuri baada ya kufanyiwa mixing

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 3 года назад +1

    Najiuliza Mara 100 uyu Mika mwamba ni mzungu aliwezaje kukopi na music wetu kiasi hiki

  • @peterdeogratius6122
    @peterdeogratius6122 5 лет назад +4

    Nikisikiliza hii ngoma nakumbuka nikiwa Darasa la saba Shule ya msingi makuburi 2004 tulikuwa tunaenda dhihara bagamoyo kwenye gari tuliyopanda hii ngoma ilikuwa inarudiwa mpaka raha

    • @allymjato8980
      @allymjato8980 Год назад

      Dah log time sana Nlosoma Hapo but nilikua Mabibo

  • @owenoswald3398
    @owenoswald3398 4 года назад +25

    Mikaa mwambaa he deserves a legend medal of the best producer of all the time his beats still lives up to right now 2020 and still am having feelings and the vibes with these songs that has been produced by him #MIKAMWAMBATHELEGEND

    • @BiornProductions
      @BiornProductions  4 года назад +2

      It's very true home boy

    • @owenoswald3398
      @owenoswald3398 4 года назад +1

      @@BiornProductions very very true brother

    • @denniskataraihya5698
      @denniskataraihya5698 2 года назад

      Mikka Mwamba alirudi kwao Finland. Cheki akihojiwa na milard ayo ruclips.net/video/ztlyM3Gg3qM/видео.html

    • @GodfreyWilliam-pb3wh
      @GodfreyWilliam-pb3wh Год назад

      @@denniskataraihya5698

    • @azizamakotha7428
      @azizamakotha7428 6 месяцев назад

      Sio Mika mwamba Tu kwenye tasnia ya muzik wa bongo flavour but also P FUNK MAJAN. They are all legends

  • @tatualmasi1175
    @tatualmasi1175 Год назад +1

    Jamaniiiii dah vya zamani vizuri

  • @johnizoboy
    @johnizoboy 4 года назад

    Kali za bongo

  • @hassanitubwa6835
    @hassanitubwa6835 6 лет назад +3

    Wimbo unanikumbusha mbali sana asee

  • @donaldmhulula6888
    @donaldmhulula6888 5 лет назад +1

    ma schoolmate wangu wa Kongwa Secondary 2004-2007 mko wapi ? fanya kama una like !

  • @fidelischale6683
    @fidelischale6683 6 лет назад +5

    Wimbo wake hauchuji wana

  • @evaristangelo8856
    @evaristangelo8856 11 месяцев назад

    Mika Mwamba kichwaaa😅😅

  • @akechkabiero1536
    @akechkabiero1536 3 года назад +1

    Kama vile naiona 2014 yangu ilikua ya kuvutia sana pale Isenye sekondari. Shout out kwa wote tuliokuwa pale. I miss my memory

  • @josephcolt571
    @josephcolt571 5 лет назад +15

    Beautiful beautiful,,this song nimeisikilzaa back in the days nakumbuka nipo Kenya nasafiri with scandanvia express,,, the song has never left my mind

    • @Joseph-lu4yj
      @Joseph-lu4yj 4 года назад +1

      hahaaaaaaaa !! na zile chuma zilivyo kuwa zinaamsha daaaaaaa !!

    • @josephcolt571
      @josephcolt571 4 года назад

      @@Joseph-lu4yj Hatari mzee hii ngoma siwezi sahau

  • @Fadnho
    @Fadnho 2 года назад +6

    i'VE BEEN LOOKING FOR THIS SHIT FOR YEARS TILL I CAME ACROSS BWANA MISOSI NITOKE VIPI, THATS WHEN I CLOCKED MY MAN HARDMAD. COULD'T HELP FEELING NOSTALGIA

    • @BiornProductions
      @BiornProductions  2 года назад

      Subscribe to the channel and you will be able to access the old one vibes... Enjoy bror

    • @Fadnho
      @Fadnho 2 года назад

      @@BiornProductions Big up to yourself Bro

  • @barakaleader1550
    @barakaleader1550 5 лет назад +4

    Sometimes nilijifanya mwalimu sometimes..nkajifanya mwanafunzi sometimes..sina simu...hapo dah wanikumbusha mbalii

    • @kaizjulius2326
      @kaizjulius2326 3 года назад +1

      mwanangu nindikie lyrics full mwanzo mwisho ,nilipoteza uwezo wa kusikia 2008 alafu ninaupenda sana huu wimbo,,niandikie kaka

    • @barakaleader1550
      @barakaleader1550 3 года назад

      @@kaizjulius2326 pole sana ndugu yangu

  • @williamochiel90
    @williamochiel90 Год назад +1

    Mziki mufti

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa2178 11 месяцев назад +1

    Mika mwamba anajua sana kutengeneza bite

  • @AminiKanda
    @AminiKanda 2 месяца назад +1

    Tujuane miminipo mafia kipindi unahiti wimbo huu nipo masasi wilaya yamangaka

  • @benbawse
    @benbawse 8 месяцев назад

    MaashAllah aaaaah 😊

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 4 года назад +1

    Naipenda sana hii nyimbo uko wapi Mika Mwamba Hadmad.......................... whose else listen in 2020

  • @lucymayelias3114
    @lucymayelias3114 5 лет назад +13

    Still 2019 😘😘 napenda sauti ya Fatma inanikumbusha mbali

    • @elisamehecharles5432
      @elisamehecharles5432 3 года назад +1

      Ogaaah! Huyu Fatma si ndo yule aliimba pia na Jaffarai na Joh Makini?

    • @brosataasisi3657
      @brosataasisi3657 3 года назад +2

      @@elisamehecharles5432 ni yeye huyo huyo dada yake Hardmad

    • @elisamehecharles5432
      @elisamehecharles5432 3 года назад +1

      @@brosataasisi3657 Ogaaah! Ni Dada wa Damu??

    • @brosataasisi3657
      @brosataasisi3657 3 года назад +1

      @@elisamehecharles5432 Dada yake kabisa akitoka Slim(Hardmad) ndio anakuja Fatma

  • @giftgadiel9191
    @giftgadiel9191 5 месяцев назад

    Legendary music..😢
    Inanikumbusha udogoni nipo na mzee tumetoka shamba tupo na baiskel ya phonex.kanipakiza kwenye bomba radio yetu kwenye staring kigiza kinaingia anachochea kupandisha nyumbani inapiwa ngoma hii ooh old is gold..

  • @shebbybrain9346
    @shebbybrain9346 2 года назад

    Inanikumbusha utoto hatari

  • @anithaphilip3526
    @anithaphilip3526 Месяц назад +1

    Enzi hizo ikipigwa pale bilcanas club, kama nawaona vile, watu wanalivyokuwa wanayarudi 😂 saivi ndo tumekuwa mishangazi, nyie 😅

  • @kimeabaraka3795
    @kimeabaraka3795 3 года назад

    2020 im the like button

  • @ericknjowoka4245
    @ericknjowoka4245 Год назад +1

    2023 huyu producer daaah ngoma inaishi sana

  • @issaibony6386
    @issaibony6386 4 года назад +3

    Hahaha.... Kiukwli leo namamlizia 2019 kwa wimbo huu kwafraha zote kwani kwa wakati huo 2004 ulinitoa chozi😅ilah leo shavu 😘😘😘saluti mkali popote ulipo kuimba unajua.

  • @zenamacheka2737
    @zenamacheka2737 11 месяцев назад +1

    2023❤

  • @aniyujakaya9196
    @aniyujakaya9196 5 лет назад +2

    Dah kitambo Sana nakumbuka mbali enzi izo ndani ya fuji znz.

  • @aishajumakahema4239
    @aishajumakahema4239 10 месяцев назад

    mpak damu ina simka😅😅❤

  • @joharindaro3075
    @joharindaro3075 3 года назад

    2021 bado nasikiliza tamalaa

  • @pengocuttingdressingsaloon5620
    @pengocuttingdressingsaloon5620 4 года назад +1

    Kwann hakuifanyia video hii ngoma sheet! Still am back 2004 npo stndard 4 nakumbuka vingi xana

  • @tanzanadian
    @tanzanadian 2 года назад +9

    October 2021 and still my favourite song 🎧 🔥🔥🔥🇹🇿🇨🇦

  • @allychande8716
    @allychande8716 6 лет назад +6

    Mika mwamba rudi +Tanzania bhana tumemis ladha ya bongo fleva za zamani mika mwamba vionyo vya mika mwamba nyimbo za sasa hiv havipo havisikiki walikutoa tz kwa majungu tu kk waliona unawafunika ila kaz zako bado zipo na hazichuji heshima kwako mika mwamba ngoma za cku hiz mwez tu zishachuja

  • @husseinramadhan3515
    @husseinramadhan3515 5 лет назад +4

    big up 2you had mad wherever youre