MUME WA ISHAMASHAUZI AMCHANA MUME WA SHILOLE KUACHWA/ANATUAHIBISHA WANAUME/KULALA NDANI/VIBE TEN
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- NI UJINGA NI UPUMBAVU ROMMY KAZINGUA SANA HUWEZI KULALA MWANAMKE AMEENDA KUTAFUTA -Tumepiga story na mpenzi wa isha masdhauzi mabango kingdom ameonekana kuchukizwa na na kuongelea kuvunjika kwa penzi la #shilole na aliekua mpenzi wake #rommy3d mabango amesema anaona #shilole yuko sahihi kumuacha mwanaume ambae hatoi pesa fua
Ucmalize maneno bro ngoja tukupe muda
Anafanana na Sheikh Abdul
Sijui wanahusiana
Unaongea sana
Shida nyingne subir uachike tutajua
Ongea kwa nukta dunia ina mengi. Mpk hapo ushajiaibisha ni aibu😏😏
😂😂😂😂Huyu mtoto kwanza hakuna ubishi ni darasa la saba huyu!
Tukubali tukatae maisha yamebadilika sana karne hii .Zaman kipindi wanaume wakiwa wanaume huwezi kuwakuta wanajisifu kuhusu mahusiano.kulelewa,vitu kama.hizo No,no,ila kwa sasa dunia ipo hapa .very sad
Kila mtu ana aina ya life style yake. Wacha kuingiliana maisha ya wengine. Weye fanya yako. Ona sasa mbona umeachwa. Sasa kakojoe ukalale. umeachwa
😂😂😂Vijana wa Bongo wa hovyo sana masikio kama popo
Mwanaume acha kuongea sana
Nnachojua wanaume hawaongei sana ati mpka unaonesha transaction 😂😂 yan unalazimisha tukuone unajamjali mwanamke wako punguza tambo bro tunaijua hii mapenz ya mwanzo yana mbwembwe ata Rommy na shishi walianza hivihivi na ndoa wakafunga lakin sai ameanikwa hatoi matumizi😅
Tushakuchoka nawewe bwana lelewagwa uko chefu au ndo unautafuta umaarufu kwa nguvu komwe kama paa la nyumba 😏😏
Acha kuongea sana ww bado ayajakukuta awo viumbe ata ufanye nn mda wowote wanabadilika acha ujinga
Achana nao hao penda mpendane mapezi kupeana furaha
Yanamuda tunakupa mwaka to😮
Huyu nae mpuuzi tu
Uyo mwanaum unaongea ivooo duuuh
Ndugu yangu yasije yakakukuta mambo haya
Tena anyamaze yy apambane tu isha apate mtoto
Wanaona donge tumia paty yako
Mhhh🙌🏼
Uko sawa.