MUME WA ISHAMASHAUZI AMCHANA MUME WA SHILOLE KUACHWA/ANATUAHIBISHA WANAUME/KULALA NDANI/VIBE TEN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • NI UJINGA NI UPUMBAVU ROMMY KAZINGUA SANA HUWEZI KULALA MWANAMKE AMEENDA KUTAFUTA -Tumepiga story na mpenzi wa isha masdhauzi mabango kingdom ameonekana kuchukizwa na na kuongelea kuvunjika kwa penzi la #shilole na aliekua mpenzi wake #rommy3d mabango amesema anaona #shilole yuko sahihi kumuacha mwanaume ambae hatoi pesa fua

Комментарии • 21

  • @hussenyahaya8675
    @hussenyahaya8675 3 месяца назад +6

    Ucmalize maneno bro ngoja tukupe muda

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 3 месяца назад +3

    Anafanana na Sheikh Abdul
    Sijui wanahusiana

  • @eestermos9933
    @eestermos9933 3 месяца назад +3

    Unaongea sana
    Shida nyingne subir uachike tutajua

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 3 месяца назад +2

    Ongea kwa nukta dunia ina mengi. Mpk hapo ushajiaibisha ni aibu😏😏

  • @Marjeby
    @Marjeby 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂Huyu mtoto kwanza hakuna ubishi ni darasa la saba huyu!

  • @righitkileo
    @righitkileo Месяц назад

    Tukubali tukatae maisha yamebadilika sana karne hii .Zaman kipindi wanaume wakiwa wanaume huwezi kuwakuta wanajisifu kuhusu mahusiano.kulelewa,vitu kama.hizo No,no,ila kwa sasa dunia ipo hapa .very sad

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Месяц назад

    Kila mtu ana aina ya life style yake. Wacha kuingiliana maisha ya wengine. Weye fanya yako. Ona sasa mbona umeachwa. Sasa kakojoe ukalale. umeachwa

  • @Marjeby
    @Marjeby 3 месяца назад +1

    😂😂😂Vijana wa Bongo wa hovyo sana masikio kama popo

  • @TatoTato-t7s
    @TatoTato-t7s 3 месяца назад +1

    Mwanaume acha kuongea sana

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah1595 2 месяца назад

    Nnachojua wanaume hawaongei sana ati mpka unaonesha transaction 😂😂 yan unalazimisha tukuone unajamjali mwanamke wako punguza tambo bro tunaijua hii mapenz ya mwanzo yana mbwembwe ata Rommy na shishi walianza hivihivi na ndoa wakafunga lakin sai ameanikwa hatoi matumizi😅

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mn 2 месяца назад

    Tushakuchoka nawewe bwana lelewagwa uko chefu au ndo unautafuta umaarufu kwa nguvu komwe kama paa la nyumba 😏😏

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 3 месяца назад +1

    Acha kuongea sana ww bado ayajakukuta awo viumbe ata ufanye nn mda wowote wanabadilika acha ujinga

  • @AishaAisha-q4t
    @AishaAisha-q4t 3 месяца назад +1

    Achana nao hao penda mpendane mapezi kupeana furaha

  • @marthatv9335
    @marthatv9335 3 месяца назад +1

    Yanamuda tunakupa mwaka to😮

  • @eestermos9933
    @eestermos9933 3 месяца назад +1

    Huyu nae mpuuzi tu

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 3 месяца назад +1

    Uyo mwanaum unaongea ivooo duuuh

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 3 месяца назад

    Ndugu yangu yasije yakakukuta mambo haya

  • @elizabethchikoti3534
    @elizabethchikoti3534 3 месяца назад

    Tena anyamaze yy apambane tu isha apate mtoto

  • @AishaAisha-q4t
    @AishaAisha-q4t 3 месяца назад

    Wanaona donge tumia paty yako

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 3 месяца назад

    Mhhh🙌🏼

  • @AnnaJacobo-q4i
    @AnnaJacobo-q4i 3 месяца назад

    Uko sawa.