MPENZI WA DIDA SHAIBU AFUNGUKA MAPENZI YAKE NA DIDA/NAMPENDA MUNALOVE/DIDA SIO SHANGAZI/NINA WATOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2024
  • TUMEPIGA STORY NA MR NANA ALIEKUA MPENZI WA #DIDASHAIBU ATUJAACHANA NI UGOMVI TU #MUNALOVE NAMPENDA ANAPENDA DINI
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 18

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 21 день назад +1

    Mlikuwa mnapendana na kuendana sana! Msameheane bwana!

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 20 дней назад +1

    Yaan we kaka unaonekana kabisa unaogopa kuachwa mbona kama unaomba kusamehewa? Tatizo la kuzidiwa hela na mwanamke

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 22 дня назад +4

    Hehehehe naomba kukuuliza mbona uko na mafua? Maana Dida pia Kwa kipindi hiki ana mafua pia.....kama hamuamini angalieni mashamsham ya tarehe 2/5 na Leo wote wanamafua....wamerudiana!!!!

  • @aminasaid7386
    @aminasaid7386 19 дней назад

    Kikongwee yule uso umemkumaa anaudogo gn jmn 😂 khaa kk sema t unamupenda lkn umri umeenda yule bi dada 😂

  • @zainabhussein8142
    @zainabhussein8142 22 дня назад +2

    Mbona unatumia mikorogo jamani wanaume hawapendizi😮😮😮😮😮😮😮

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 22 дня назад

      Umemnunulia hiyo mikorogo? Achana na maisha ya watu wewe.

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy 21 день назад +1

    Na wanafanana misura Yao muzıto na mafuwa yake

  • @alsam4881
    @alsam4881 4 дня назад

    Hata kama Dida amezaa mtoto mmoja na wewe umezaa watoto wanne, Je mtoto wa Dida ana umri gani na wa kwako wana umri gani? Sisi tunamjuwa Dida kitambo na kwa sasa ana umri wa miaka 50+, hata ukimuangalia sura yake imeshaporomoka ni mtu mzima sana, Na acha kusema uoingo kuwa dida ana umri mdogo ili akurudie kwasababu umeshazowea kulelewa.

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 18 дней назад

    Mnaendana sameheaneni

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 21 день назад

    Hii mbona kama umeludiwa jmn wasafi

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 19 дней назад

    Muongo sana ww kaka hata kama alizaaa mdogo sio udogo huwo unosema ww tangu namiaka kumi namuona dida kwenye tv mm saivi namiaka 40 useme mdogo muongo sana ww kaka kiufupi mapenzi hayataki umri ila dida ni mkubwa

  • @MiriamNgairo-pg6sf
    @MiriamNgairo-pg6sf 22 дня назад

    Mkorogo😅😅😅

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 20 дней назад +1

    dida ana miaka 48 alisoma na mtoto wa mjomba

    • @princessmimi4404
      @princessmimi4404 19 дней назад

      Mbona anaseema hajafika miaka 40 yupo kwenye 37-38

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 22 дня назад

    Maskin bado anampenda dida ila hivy pole

    • @lelaiddy6856
      @lelaiddy6856 21 день назад

      Bado anAENDELEA KUJIPENDEKEZA ..DIDA HANA HATA HABARII