MPENZI WA DIDA SHAIBU AFUNGUKA MAPENZI YAKE NA DIDA/NAMPENDA MUNALOVE/DIDA SIO SHANGAZI/NINA WATOTO
HTML-код
- Опубликовано: 10 май 2024
- TUMEPIGA STORY NA MR NANA ALIEKUA MPENZI WA #DIDASHAIBU ATUJAACHANA NI UGOMVI TU #MUNALOVE NAMPENDA ANAPENDA DINI
- Развлечения
Mlikuwa mnapendana na kuendana sana! Msameheane bwana!
Yaan we kaka unaonekana kabisa unaogopa kuachwa mbona kama unaomba kusamehewa? Tatizo la kuzidiwa hela na mwanamke
Hehehehe naomba kukuuliza mbona uko na mafua? Maana Dida pia Kwa kipindi hiki ana mafua pia.....kama hamuamini angalieni mashamsham ya tarehe 2/5 na Leo wote wanamafua....wamerudiana!!!!
Dida apendi kuruana na eks
Yeye anasonga mbele
😂😂😂
Kikongwee yule uso umemkumaa anaudogo gn jmn 😂 khaa kk sema t unamupenda lkn umri umeenda yule bi dada 😂
Mbona unatumia mikorogo jamani wanaume hawapendizi😮😮😮😮😮😮😮
Umemnunulia hiyo mikorogo? Achana na maisha ya watu wewe.
Na wanafanana misura Yao muzıto na mafuwa yake
Hata kama Dida amezaa mtoto mmoja na wewe umezaa watoto wanne, Je mtoto wa Dida ana umri gani na wa kwako wana umri gani? Sisi tunamjuwa Dida kitambo na kwa sasa ana umri wa miaka 50+, hata ukimuangalia sura yake imeshaporomoka ni mtu mzima sana, Na acha kusema uoingo kuwa dida ana umri mdogo ili akurudie kwasababu umeshazowea kulelewa.
Mnaendana sameheaneni
Hii mbona kama umeludiwa jmn wasafi
Muongo sana ww kaka hata kama alizaaa mdogo sio udogo huwo unosema ww tangu namiaka kumi namuona dida kwenye tv mm saivi namiaka 40 useme mdogo muongo sana ww kaka kiufupi mapenzi hayataki umri ila dida ni mkubwa
Mkorogo😅😅😅
dida ana miaka 48 alisoma na mtoto wa mjomba
Mbona anaseema hajafika miaka 40 yupo kwenye 37-38
Maskin bado anampenda dida ila hivy pole
Bado anAENDELEA KUJIPENDEKEZA ..DIDA HANA HATA HABARII