Ubishi wa Kigoma 😂😂🤣🤣
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2023
- Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.com/store/apps/de...
Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC...
2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS
Nakupata vizurii Sana EBM.nikiwa mbezi Luis
Alikuwa ana tengeneza mazingira ya rushwa huyo cashier sio vinginevyo 😃🙌
Tatizo kubwa ni kwamba mwonekano wako haufanani na marekani ndo mana watu wanakuzingua na hawaamin😂😂
UNATAKA AVAE WIGI LA KIZUNGU NDIO UAMINI KUWA ANAISHI MAREKANI😂😂 poor description
Bro huwa nakukubali sana, najifunza vitu vingi sana kupitia wew👏👏
kigoma wanamsimamo sio ubishi
Hbr kaka nimeona laiki yako naomba urafiki nipo kigoma wilaya ya uvinza tarafa ya nguruka
Pole kk 😂😂😂😂 ama kweli lnafurahisha
EBM Napendaga sana maongezi yako hua najifunza mengi kwako more blessings
Kaka EBM hao wakigoma nilisoma nao chuo nikakaa nao chumba Kimoja Hostel yani ilikuwa shida kuwaelewesha kitu kidogo yani nikikumbuka zile Kelele 😂😂😂 WAHA🙌
Lazima UKAE
😂😂 kigoma
😂😂😂 hii ya kushikia ubishi ndo usiseme kabisa
Sisi wamakonde tunatabia ya kushikia ubishi mpaka aliekuachia aende akale na anaukuta ubishi uko pale pale😂😂
Hahahahaha nimefurahi sana maana ivo tunakutana navyo inakuwa mtihani sana
Kigoma nyoko kwa ubishi hahahaaa😂😂😂😂😂
Kwa ubishi huo ndio utakua watu wanaongeleaga maisha ya watu wakati hawa wajui
😂😂😂😂Story ya kigoma noma kabisa ila watu kama ao wapo
😅 Kigoma hiyo.
Nakupata EBM_
Nikiwa Mwandiga Kgm.
Enjoy migebuka mkuu, nimeimis mnoooooo
EBM Ubishi ni wa watu wa Kigoma au ni wa WAHA tu? maana kigoma kuna makabila mengi@@EBMSWAHILI
Huyo jamaa wa Bajaj ameuwa😅😅😅
Ebm leo narudia kulizia zile inshu za kazi za Canada,tafadhari
Zipo, work visa ni process ambayo inaanza na kutafuta kampuni ambayo inakupa kazi na kukupa sponsorship kisha kuomba visa husika
Kaka fanya hivyo,nashukuru kuku pata kwa wakati
Naomba nisaidie kupata KAZI sina ujuzi sana
Tatizo kubwa hua ni wanunuaji, muuzaji unaendana na mnunuaji anavyotaka. Nilifanya kazi Bank way back so somehow nawaelewa. Ila elimu inatakiwa ianze kwa wanunuaji wa dola hua na complications mnoo.
Nilikua napredict mwendelezo wa story nilikua sahihi nimecheka
😂😂😂😂😂 shida
Kaka hambari yako
salama mze, iyi ni atari sana, ila ina bidi ku elewesha ndugu zetu,
Huo ubishi ni wa kiwango cha LAMI 😂
Ulansekesheje chane umusi.
Makulilo banaa😂
Tunajitahidi kwa ubishi sawa
Tanzania kuna ufala sana kuhusu dola.,mara nyingine wanataka mara nyingine hawataki
Amjambo kaka EBM SISI ambao tuko mbali tunasubiri link ya DV LOTTERIES 2025
Hahahahaha 😂😂
Nikweli kaka tupo wingi
😂😂😂😂😂
Kaka EBM Zanzibar mtafika usajili DV LOTTERY?
😅😅😅😅
😂
Kigoma
Nikwenu
Au
Wapi?
Yes Kigoma
Naitaji kuongea na wewe kama uto jali
Umenichekesha sana kwenye hizo story za kuchenji pesa 😂 kuna siku nilirudi bongo so nikaenda bank kuchange pound nikaenda bank moja ya crdb jamaa alikaa nusu saa nzima badae anasema hizi hela ni mpya mbona sijawai kuziona🤣🤣 nilicheka sana mpaka akaja meneja wake ndo akazichange so nahisi wabongo hua wanakawaida ya kuogopa watu wanaoishi nje pamoja na fedha za kigeni hua wanaona kama kitu cha ajabu hua nashangaa sana mtu ukimwambia naishi uingereza anaona kama si mtu wa kawaida
Mimi nilienda kigoma na mke wangu mzulu pamoja na mtoto wakati wakurudi pale kwenye ukaguzi uvinza askari akaona passport ya wife ya south Africa mbona aliwekwa pembeni kwanza 😂😂😂
Sis watanzania niwashamba py tunaubinafusi mwingi py tunajifanya tunajua kilakitu py zalaau zimetujaa sana. Watanzania tuache zalau tuache ubinafusi tuache ubishi kilakitu kubisha tu sio wakigomatu sisi wanzania tuliokua wengi tunahali hiyoya ubishi kujifanya tunajua kilakitu usimzalu mtu usiemjua pole sana elenesti bonefasi mk hizo ndo changamoto hayo ngio maisha yetu sisi watanzania sio beck tu hata ukienda ospitali hali ndo hiyo hiyo kona nyingi
Dharau...,dharau....,dharau..dharau
Naomba kujuwa, endapo umepata green card na ukafika Usa, je! Serikali inakupatia nyumba ata kama una ndugu Usa? Lengo kuwa na address yako mwenyewe bila kutegemea address ya ndugu/rafiki wa Usa 🇺🇸.
Itakuwa vumbi la Kigoma lilikupiga sana sana aiseee 🤣🤣
Fezi ya dv iliopita nilikuwa mtu was Kwanza kupigwa picha lakini matokeo yalitoka vibaya
Pole ndugu
Asante,ila Malika next week dar mtakuja ofisini
Next week nakuja ofisini
Mimi sikuchaguliwa ila naona ivent zimesaidia tuongezee nyingi na imenipa hope walioshinda mungu awaongoze uko waendako iki kupendeza usichoke kuwakumbusha wasijisahau
Samahani kaka ,nimerudi tena.Naomba pia utusaidie mawasiliano yako,maana tunahitaji ushirikiano wako.
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂