Ubishi wa Kigoma 😂😂🤣🤣

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2023
  • Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.com/store/apps/de...
    Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC...
    2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS

Комментарии • 61

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 10 месяцев назад +2

    Nakupata vizurii Sana EBM.nikiwa mbezi Luis

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt 9 месяцев назад

    Alikuwa ana tengeneza mazingira ya rushwa huyo cashier sio vinginevyo 😃🙌

  • @misanamohamedi8438
    @misanamohamedi8438 10 месяцев назад +2

    Tatizo kubwa ni kwamba mwonekano wako haufanani na marekani ndo mana watu wanakuzingua na hawaamin😂😂

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 10 месяцев назад +1

    Bro huwa nakukubali sana, najifunza vitu vingi sana kupitia wew👏👏

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 9 месяцев назад

    kigoma wanamsimamo sio ubishi

  • @ramadhaniruhula3394
    @ramadhaniruhula3394 5 месяцев назад

    Hbr kaka nimeona laiki yako naomba urafiki nipo kigoma wilaya ya uvinza tarafa ya nguruka

  • @BaigonMacha
    @BaigonMacha 3 месяца назад

    Pole kk 😂😂😂😂 ama kweli lnafurahisha

  • @claudeniyondiko5460
    @claudeniyondiko5460 10 месяцев назад

    EBM Napendaga sana maongezi yako hua najifunza mengi kwako more blessings

  • @mshanatheblacksmith
    @mshanatheblacksmith 10 месяцев назад +1

    Kaka EBM hao wakigoma nilisoma nao chuo nikakaa nao chumba Kimoja Hostel yani ilikuwa shida kuwaelewesha kitu kidogo yani nikikumbuka zile Kelele 😂😂😂 WAHA🙌

  • @VicentJohn-tg9yp
    @VicentJohn-tg9yp 7 месяцев назад

    😂😂 kigoma

  • @fallykhan2383
    @fallykhan2383 10 месяцев назад

    😂😂😂 hii ya kushikia ubishi ndo usiseme kabisa
    Sisi wamakonde tunatabia ya kushikia ubishi mpaka aliekuachia aende akale na anaukuta ubishi uko pale pale😂😂

  • @saluyaadamz
    @saluyaadamz 10 месяцев назад

    Hahahahaha nimefurahi sana maana ivo tunakutana navyo inakuwa mtihani sana

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 10 месяцев назад

    Kigoma nyoko kwa ubishi hahahaaa😂😂😂😂😂

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 10 месяцев назад

    Kwa ubishi huo ndio utakua watu wanaongeleaga maisha ya watu wakati hawa wajui

  • @claudeniyondiko5460
    @claudeniyondiko5460 10 месяцев назад

    😂😂😂😂Story ya kigoma noma kabisa ila watu kama ao wapo

  • @harunanassoro1797
    @harunanassoro1797 10 месяцев назад +1

    😅 Kigoma hiyo.
    Nakupata EBM_
    Nikiwa Mwandiga Kgm.

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  10 месяцев назад

      Enjoy migebuka mkuu, nimeimis mnoooooo

    • @danieljosiah2628
      @danieljosiah2628 10 месяцев назад

      EBM Ubishi ni wa watu wa Kigoma au ni wa WAHA tu? maana kigoma kuna makabila mengi@@EBMSWAHILI

  • @douglasmamboya255
    @douglasmamboya255 10 месяцев назад

    Huyo jamaa wa Bajaj ameuwa😅😅😅

  • @mohamedialliy1974
    @mohamedialliy1974 10 месяцев назад +2

    Ebm leo narudia kulizia zile inshu za kazi za Canada,tafadhari

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  10 месяцев назад

      Zipo, work visa ni process ambayo inaanza na kutafuta kampuni ambayo inakupa kazi na kukupa sponsorship kisha kuomba visa husika

    • @mohamedialliy1974
      @mohamedialliy1974 10 месяцев назад +1

      Kaka fanya hivyo,nashukuru kuku pata kwa wakati

    • @vitalismandi6852
      @vitalismandi6852 9 месяцев назад

      Naomba nisaidie kupata KAZI sina ujuzi sana

  • @thc7542
    @thc7542 9 месяцев назад

    Tatizo kubwa hua ni wanunuaji, muuzaji unaendana na mnunuaji anavyotaka. Nilifanya kazi Bank way back so somehow nawaelewa. Ila elimu inatakiwa ianze kwa wanunuaji wa dola hua na complications mnoo.

  • @soccerarena1482
    @soccerarena1482 10 месяцев назад

    Nilikua napredict mwendelezo wa story nilikua sahihi nimecheka

  • @abedindjike3226
    @abedindjike3226 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂 shida

  • @ShabahMob-rx5zc
    @ShabahMob-rx5zc 6 месяцев назад

    Kaka hambari yako

  • @abedindjike3226
    @abedindjike3226 10 месяцев назад

    salama mze, iyi ni atari sana, ila ina bidi ku elewesha ndugu zetu,

  • @lollipophans
    @lollipophans 10 месяцев назад

    Huo ubishi ni wa kiwango cha LAMI 😂

  • @giriadbirusha7006
    @giriadbirusha7006 9 месяцев назад

    Ulansekesheje chane umusi.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 10 месяцев назад

    Makulilo banaa😂

  • @Fadhakir21
    @Fadhakir21 10 месяцев назад

    Tunajitahidi kwa ubishi sawa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 10 месяцев назад

    Tanzania kuna ufala sana kuhusu dola.,mara nyingine wanataka mara nyingine hawataki

  • @mafrikanws
    @mafrikanws 10 месяцев назад

    Amjambo kaka EBM SISI ambao tuko mbali tunasubiri link ya DV LOTTERIES 2025

  • @user-we4rt4ud1b
    @user-we4rt4ud1b 10 месяцев назад

    Hahahahaha 😂😂

  • @jumahamad2227
    @jumahamad2227 10 месяцев назад

    Nikweli kaka tupo wingi

  • @RehemaMichael-fz8qs
    @RehemaMichael-fz8qs 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @athumanizaidi8560
    @athumanizaidi8560 10 месяцев назад

    Kaka EBM Zanzibar mtafika usajili DV LOTTERY?

  • @drsamsonkibona371
    @drsamsonkibona371 10 месяцев назад

    😅😅😅😅

  • @marianneadams1443
    @marianneadams1443 10 месяцев назад

    😂

  • @asisaboazi1036
    @asisaboazi1036 10 месяцев назад +2

    Kigoma
    Nikwenu
    Au
    Wapi?

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  10 месяцев назад +1

      Yes Kigoma

    • @asisaboazi1036
      @asisaboazi1036 10 месяцев назад

      Naitaji kuongea na wewe kama uto jali

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 10 месяцев назад

    Umenichekesha sana kwenye hizo story za kuchenji pesa 😂 kuna siku nilirudi bongo so nikaenda bank kuchange pound nikaenda bank moja ya crdb jamaa alikaa nusu saa nzima badae anasema hizi hela ni mpya mbona sijawai kuziona🤣🤣 nilicheka sana mpaka akaja meneja wake ndo akazichange so nahisi wabongo hua wanakawaida ya kuogopa watu wanaoishi nje pamoja na fedha za kigeni hua wanaona kama kitu cha ajabu hua nashangaa sana mtu ukimwambia naishi uingereza anaona kama si mtu wa kawaida

    • @radhidimasambiro4620
      @radhidimasambiro4620 10 месяцев назад +1

      Mimi nilienda kigoma na mke wangu mzulu pamoja na mtoto wakati wakurudi pale kwenye ukaguzi uvinza askari akaona passport ya wife ya south Africa mbona aliwekwa pembeni kwanza 😂😂😂

  • @user-yd3ol1uh8r
    @user-yd3ol1uh8r 10 месяцев назад

    Sis watanzania niwashamba py tunaubinafusi mwingi py tunajifanya tunajua kilakitu py zalaau zimetujaa sana. Watanzania tuache zalau tuache ubinafusi tuache ubishi kilakitu kubisha tu sio wakigomatu sisi wanzania tuliokua wengi tunahali hiyoya ubishi kujifanya tunajua kilakitu usimzalu mtu usiemjua pole sana elenesti bonefasi mk hizo ndo changamoto hayo ngio maisha yetu sisi watanzania sio beck tu hata ukienda ospitali hali ndo hiyo hiyo kona nyingi

  • @francissamson2207
    @francissamson2207 10 месяцев назад

    Naomba kujuwa, endapo umepata green card na ukafika Usa, je! Serikali inakupatia nyumba ata kama una ndugu Usa? Lengo kuwa na address yako mwenyewe bila kutegemea address ya ndugu/rafiki wa Usa 🇺🇸.

  • @gwalughanomerryrose4913
    @gwalughanomerryrose4913 10 месяцев назад

    Itakuwa vumbi la Kigoma lilikupiga sana sana aiseee 🤣🤣

  • @mohamedialliy1974
    @mohamedialliy1974 10 месяцев назад

    Fezi ya dv iliopita nilikuwa mtu was Kwanza kupigwa picha lakini matokeo yalitoka vibaya

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  10 месяцев назад

      Pole ndugu

    • @mohamedialliy1974
      @mohamedialliy1974 10 месяцев назад

      Asante,ila Malika next week dar mtakuja ofisini

    • @mohamedialliy1974
      @mohamedialliy1974 10 месяцев назад

      Next week nakuja ofisini

    • @mohamedialliy1974
      @mohamedialliy1974 10 месяцев назад

      Mimi sikuchaguliwa ila naona ivent zimesaidia tuongezee nyingi na imenipa hope walioshinda mungu awaongoze uko waendako iki kupendeza usichoke kuwakumbusha wasijisahau

    • @happyjacob9547
      @happyjacob9547 10 месяцев назад

      Samahani kaka ,nimerudi tena.Naomba pia utusaidie mawasiliano yako,maana tunahitaji ushirikiano wako.

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 10 месяцев назад

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @winepreneur7329
    @winepreneur7329 10 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂