GB 64 Awaka CHECHE Nzito UTATA NENO SANDA KWENYE JEZI MPYA YA SIMBA/ MAONI YAKE JEZI NZURI AU MBAYA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • #gb64 #jezimpyazasimba #jeziyasimba2024 #sanda #simbasc

Комментарии • 70

  • @hassankarume5058
    @hassankarume5058 2 месяца назад +2

    Ndo masharti ya mganga hayoooo😂😂 TEAM YA WAFU

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 2 месяца назад +2

    Kilefu cha sanda ni SANDAKALAWE acha ushamba alafu msitulazimishe kuongea point

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 2 месяца назад +1

    Daaah aisee Tzd kunawatu waongo wakubwa washamba kupita maelezo kwakweli mola awanusuru aisee

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 2 месяца назад

    Achana na yanga on gea ya simba mtaka po fungwa na yanga ndio mtajua kwamb a wanawaiga au ha wawaigi hovyooooo

  • @philiminamlosa
    @philiminamlosa 2 месяца назад +1

    Hawa kweli makolo 😂😂 Sanda!! Hii tarehe 8 mmeisha iandaa

  • @Zuwenamachela
    @Zuwenamachela 2 месяца назад +1

    Kwahyo mmeshakufa subirini kuzikwa

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 2 месяца назад

    Km ni mshabiki wa Simba na unasema huwezi kununua hiyo jezi,we ni msenge na unarudisha nyuma maendeleo ya Simba

  • @gastonmbarila9458
    @gastonmbarila9458 2 месяца назад

    Mimi yanga Ila katika watu wa Simba ambao ua nawasikioiza ni GB ata kama ka ushabiki anako Ila ua anasema ukweli

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 2 месяца назад +1

    SANDAKALAWE ndo abali ya mjini tena mkome kutulazimisha kuongea point

  • @SIDEBOYTV1990
    @SIDEBOYTV1990 2 месяца назад

    Sisi hatutaki kuamini kama kifupi cha neno sanda ni sandaland sisi tunachokifahamu sanda ni nguo ya maiti vaeni tu na kina debora wenu

  • @AnthonySarwatt
    @AnthonySarwatt 2 месяца назад

    Unayesema jezi mbaya kahamie yanga peleka unafiki huko kwa hiyo msemaji ambaye anaionea wivu jezi letu hata hiyo anayesema sanda hata yeye lazima ataingia kwenye sanda

  • @wazirimajani4476
    @wazirimajani4476 2 месяца назад +1

    Hiyo tunaoelewa ni sandarland

  • @PaulSengo
    @PaulSengo 2 месяца назад +3

    UBAYA UBWELA

  • @WadhifHajji
    @WadhifHajji 2 месяца назад +1

    Wametengeneza mapema hizosanda wanafahamukuwa tare he nane watakufa

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 2 месяца назад

    Lengo la vilabu hivi ni ubingwa Sio longa longa au uzuri wa jezi.08/08/2024.tusibiri kitachtokea.

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 2 месяца назад

    Na lile jina la Moo makalioni lina maana gani

  • @Mhabeshi.Madayi
    @Mhabeshi.Madayi 2 месяца назад

    Hakuna cha tulijua wala tulikusudia wala tulijua..Hilo neno sanda amejichanganya na makoro kuanzia wewe mwenyewe limewakalia vibaya hakuna cha promo wala nini hiyo mijezi ni sanda na mtazikwa nazo msimu huu hakuna ubunifu wowote mnatambulisha mijezi kama gulioni😂😂😂

  • @ladislausriwa7768
    @ladislausriwa7768 2 месяца назад

    Mwalimu nimekusikia umesema who is discover? Kama ni hivyo watoto wetu wangefauluje?

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 2 месяца назад

    Simba mshaivaa hyo nguo ngumu (sanda) Tar8 tunaenda kuzika tu maana mshajigharamia sanda

  • @NatressMwaskonya
    @NatressMwaskonya 2 месяца назад

    Big up?

  • @EstherMulinga
    @EstherMulinga 2 месяца назад

    Ndo hio sanda itakayowazika trh8

  • @PlanetLeo721
    @PlanetLeo721 2 месяца назад

    SANDA ! Duuuh

  • @salmahemed5840
    @salmahemed5840 2 месяца назад

    Kitambaa kizuri ,Kiko simple kama sanda.sinunui ng'o sanda hiyo nitavaa ya mwaka jana

  • @JumaBagelle
    @JumaBagelle 2 месяца назад

    Sanda fc

  • @frankiemissingo1925
    @frankiemissingo1925 2 месяца назад

    discover??????? kweli hv vTV vina watu.

  • @benjamimantoniomangoni6765
    @benjamimantoniomangoni6765 2 месяца назад

    Sanda Manara

  • @JumaBagelle
    @JumaBagelle 2 месяца назад

    Sanda Ubaya Ubwelaa

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc 2 месяца назад +1

    🚫

  • @raulencomarkesh5848
    @raulencomarkesh5848 2 месяца назад

    Kumbe huyu .....,🌑

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 2 месяца назад

    Huyu jamaaa anaharibu soka la bongo mm Nashauri TFF IWAFUNGIE HAWA WAJINGA MAKUMA HAWA

    • @erasmusleonidas6729
      @erasmusleonidas6729 2 месяца назад +1

      Wewe mwenyewe kwa kauli uliyotumiwa ilibidi ufukuzwe nchini

  • @LohayDaniel
    @LohayDaniel 2 месяца назад

    Nyee makolo maneno ya kuandoka kama yameisha mngeandika jeneza kabisa,

  • @wazirimajani4476
    @wazirimajani4476 2 месяца назад

    Tutanunuwa tu.duh kinaa

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 2 месяца назад

    SI Bora wangeandika tu sunder

  • @IddyMawenge
    @IddyMawenge 2 месяца назад

    Hii mimi japo ni simba lkn swz kuvaa

  • @bisejulius4100
    @bisejulius4100 2 месяца назад

    Ubora wa sanda😂

  • @yusufsalimu-j4w
    @yusufsalimu-j4w 2 месяца назад

    😂watu wa yanga bwana, wamekosa malezi ya maadili katika familiazao. sasa hilitusi aliloandika hapa hajuwi kwamba anatangaza yaliyopo katika familiayake?

  • @ZuberySheketo
    @ZuberySheketo 2 месяца назад

    Weka arsenal nnje kwenye vijola vyenu😂😂😂

  • @NathanielKayuni
    @NathanielKayuni 2 месяца назад

    Wekafe2 machawa2shajuwaweweni yang

  • @Seven-x7q
    @Seven-x7q 2 месяца назад

    Sanda tayari, mazishi tarehe 8.tunazika hapahapa😂😂😂

    • @SalimAl-mahrooqi
      @SalimAl-mahrooqi 2 месяца назад

      Tutawavisha yanga sanda. Hiyu tarehe 8.ashaushamba msikilize GB 64. Ndio umsome kisawasawa

    • @Seven-x7q
      @Seven-x7q 2 месяца назад

      Tar 8 mnakufa na mmeshajua mkaamua kuandaa sanda mapema😂😂😂.mazishi kwa mkapa
      ​@@SalimAl-mahrooqi

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 2 месяца назад

    Weee mpumbavu sanda sio Sunderland maksudi gani anawafananisha na Maiti mapoyoyo nyie

  • @SaidOmar-d3m
    @SaidOmar-d3m 2 месяца назад

    gb 64 wewe ilikua sahihi kutumbuliwa siamini ata hao wanafunzi waliopita kwako kama wanauwezo sahihi akuna maendeleo ya pekee yako duniani hata mataifa makubwa wanajifunza kwa taifa hata dogo vipi nyie simba mnakataa kujifunza kwa wengine na mnakataza wengine wasijifunze kwenu

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 2 месяца назад

    Mm Simba lakini jezi mbaya

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 2 месяца назад

    Na bdo mtasema tu

  • @SaidOmar-d3m
    @SaidOmar-d3m 2 месяца назад

    gb 64 mbumbumbu wewe unavaa mawani umemwiga nani au wewe ndio wa mwanzo acha ushamba uwezi kufanya jambo iwe wengine wasifanye ndio ulitumbuliwa unaakili uliiba cheti

  • @yusufsalimu-j4w
    @yusufsalimu-j4w 2 месяца назад

    Kama wewe ni simba unaona jezi ya simba nimbaya basi kavae ya yanga maana ndo timuyako, wewe siyo simba tuachie simbayetu.

  • @silivianjonh6851
    @silivianjonh6851 2 месяца назад +1

    kifuanni zimeandikwa sanda😂😂😂😂😂😂😂

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 2 месяца назад +3

    Aliyebuni neno sanda kwenye jezi ni mpumbavu sana hana akili. Hata kama ni Simba mwenzangu hakutakiwa kuandika neno hilo. Sanda inayojulikana ni vazi la maiti. Sasa inakuwaje jezi zetu ziitwe sanda. Mlirogwa na nani kukosa akili kiasi hicho? Tutazodolewa mpaka tukome.

    • @NasibuAlban
      @NasibuAlban 2 месяца назад +1

      Tatizo nn

    • @lonesomekabora5547
      @lonesomekabora5547 2 месяца назад +1

      Sanda ni kifupi Cha kampuni ya sandaland iliyotengeneza jezi sasa huyo anapiga kelele na SANDA wakati umevaa nguo imeandikwa FILA upuuzi unakujaga kwenye jezi ya Simba tu?

    • @saidseleman2973
      @saidseleman2973 2 месяца назад

      Uwezi andika 3:37 Sunderland, ni tim UK, sanda ni tz

    • @emmanuelraphaelmalangahe456
      @emmanuelraphaelmalangahe456 2 месяца назад

      Tatizo la uto uelewa hawana

    • @sangaelly8548
      @sangaelly8548 2 месяца назад

      Wajinga wataumia sana na neno SANDA 😂UPUMBAVU Mwingi jamani

  • @bishopmgambomwenyecheo4610
    @bishopmgambomwenyecheo4610 2 месяца назад

    Mimi sivai sanda piga ua

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 2 месяца назад

    Michoro iliyopo kwy jezi,ni jezi ya za yanga ya njano ,hiyo nyekundu juu kidogo ina namba moja,na chini kuna tano ni matokeo ya dabi,jezi nyeupe haina tofauti na msimu uliopita tofauti ni juu ya kifua neno m cola aliekuwa nayo mwaka jana mwaka huu tofauti ni m cola

  • @MartinWekesa-c2x
    @MartinWekesa-c2x 2 месяца назад

    Sunderland....not SANDALAND